Je, ilikuwa sahihi kwa Rais kuiasa hadharani familia ya Mzee Mwinyi isigombane?

Je, ilikuwa sahihi kwa Rais kuiasa hadharani familia ya Mzee Mwinyi isigombane?

Mkuu nadhani kifo na maziko ni fundisho si kwa waliiofiwa bali wa jumuiya yote, mama anaihasa familia ya Mwinyi lakini pia ni ujumbe kwa familia nyingine.
 
Huu ni uchochezi.

Mara nyingi migogoro ndani ya familia huchochewa na watu wa nje kama vile marafiki, majirani na wale wanao jinasibisha kuwa ndugu wa mbaaali.

Familia ya Hayati Mzee Mwinyi ni miongoni mwa familia zenye kujiheshimu na wanajitambua, hii ni kutokana na msingi mzuri walio pewa na Mzee.

Tuiache familia ifanye mambo yao, tuache chokochoko.
 
Hii stori nimesoma nikajikuta nasikitika na kuilewa zaidi kauli aliyoitoa mfalme Daudi katika WAH:1:2....Ubatili mtupu, asema Mhubiri, ubatili mtupu; yote ni ubatili . Mtu ana faida gani ya kazi yake yote anayoifanya chini ya jua? Kizazi kimoja kinapita, na kizazi kingine kinakuja, lakini dunia hudumu milele
 
Huu ni uchochezi.

Mara nyingi migogoro ndani ya familia huchochewa na watu wa nje kama vile marafiki, majirani na wale wanao jinasibisha kuwa ndugu wa mbaaali.

Familia ya Hayati Mzee Mwinyi ni miongoni mwa familia zenye kujiheshimu na wanajitambua, hii ni kutokana na msingi mzuri walio pewa na Mzee.

Tuiache familia ifanye mambo yao, tuache chokochoko.
Kumbe kuna mengi huyajui
 
Sio mbaya, na yeye si ajabu anayajua ya ndani kuliko sisi wa mitandaoni, na ukizingatia pale kwenye umati wa watu kuna MASHEIKH wakubwa, hivyo italeta nguvu ndani ya familia.

Allah awasimamilie hao Ndugu zetu, na awaepushe na wabaya
 
Maslahi ya mada,

1. Mzee Mwinyi alikuwa Mzee sana kiasi cha kutegemewa kufanya maamuzi yoyote! Kwa umri wake alikuwa kama mtoto akifanyiwa kila kitu.

2. Mzee Mwinyi alikuwa na wake wawili. Kama kuna familia za baba na mama mmoja watoto wanatofautiana na kugombana kabisa wazazi wanapofariki si jambo la ajabu kwa watoto wa familia za mitala.

Kwahiyo shida si migogoro bali chanzo chake, wahusika na namna ya kuitatua kupitia sheria ama watu wanaoaminika na kuheshimika.

Mzee Mwinyi alikuwa na wake wawili na watoto kwa kila mke. Kusema hakuna migororo ni kujidanganya kulikopitiliza. Inahitaji akili kubwa ufahamu wa kutosha na hekima kubwa sana mke mkubwa kuwapenda na kuwasaidia watoto wa mke mdogo na hapa hawezi kulaumiwa hata kidogo.

Migogoro mara nyingi huanzia kwenye vipaumbele kwa watoto na mgawanyo wa mali na majukumu ndani ya familia.

Migororo hii huwa ya wazi ama ya kimyakimya ndani ya familia kulingana na weledi, utashi na nafasi ya wazazi kwenye Jamii. Kuna watu kwa kujua ama kutojua huwa wa kwanza kuchochea migogoro hiyo.Wakidhani wanarekebisha kumbe ndio kwanza wanachochea moto.

Rais ni binadamu kama wengine si mkamilifu kama mimi na wewe lakini kuna vitu anapaswa kuwa navyo kuwazidi wengine wengi ili aweze kuimudu vema nafasi aliyonayo kijamii. Kwenye msiba wa Mzee Mwinyi kwenye hotuba yake rais kachochora kidogo na kuzua mijadala isiyokuwa na lazima.

Rais katuambia kwamba kwenye familia ya Mzee Mwinyi kuna migogoro na hataki kuisikia ikichachamaa huku akimtaka Hussein Mwinyi rais wa Zanzibar na mtoto mkubwa wa Mzee Mwinyi kwa mke mkubwa alisimamie hilo
Nje ya urais wa Hussein ni mtoto wa marehemu Mzee Mwinyi mwenye ndugu wa kuzaliwa na ndugu kwa mama mdogo.

Je, kwa nafasi yake ya pili ataweza kulimudu hilo? Je, Rais alipaswa kuliongelea hilo mbele ya kadamnasi?
Marais wa nchi hii kuropoka ndio kazi yao hasa kwenye misiba ya watu mfano kwenye msiba wa komba ifahamike komba alikuwa na wake 4 alikuwa kazaa nao lakini watoto walio kuwa wana julikana kifamilia ni watoto wa wake 2 tu Magufuli alipo simama kutoa nasaha akasema hivi watu wengi wanafahamu kuwa komba kazaa wanawake 2 tu jambo ambalo sio kweli akasema mimi nivyo fahamu kazaa na wanawake wengine 2 hivyo kuna watoto wasio fahamika kifamilia bahati nzuli wale wanawake walikuwepo

Pale na watoto wao ikawa sababu ya kutambulika naisi watakuwa walimwambia Magufuli kusema maneno hayo hata mama shishi si ajabu upende wa mke mdogo umemwambia asema hivyo
 
Marais wa nchi hii kuropoka ndio kazi yao hasa kwenye misiba ya watu mfano kwenye msiba wa komba ifahamike komba alikuwa na wake 4 alikuwa kazaa nao lakini watoto walio kuwa wana julikana kifamilia ni watoto wa wake 2 tu Magufuli alipo simama kutoa nasaha akasema hivi watu wengi wanafahamu kuwa komba kazaa wanawake 2 tu jambo ambalo sio kweli akasema mimi nivyo fahamu kazaa na wanawake wengine 2 hivyo kuna watoto wasio fahamika kifamilia bahati nzuli wale wanawake walikuwepo

Pale na watoto wao ikawa sababu ya kutambulika naisi watakuwa walimwambia Magufuli kusema maneno hayo hata mama shishi si ajabu upende wa mke mdogo umemwambia asema hivyo
Magu 😂😂
 
Maslahi ya mada,

1. Mzee Mwinyi alikuwa Mzee sana kiasi cha kutegemewa kufanya maamuzi yoyote! Kwa umri wake alikuwa kama mtoto akifanyiwa kila kitu.

2. Mzee Mwinyi alikuwa na wake wawili. Kama kuna familia za baba na mama mmoja watoto wanatofautiana na kugombana kabisa wazazi wanapofariki si jambo la ajabu kwa watoto wa familia za mitala.

Kwahiyo shida si migogoro bali chanzo chake, wahusika na namna ya kuitatua kupitia sheria ama watu wanaoaminika na kuheshimika.

Mzee Mwinyi alikuwa na wake wawili na watoto kwa kila mke. Kusema hakuna migororo ni kujidanganya kulikopitiliza. Inahitaji akili kubwa ufahamu wa kutosha na hekima kubwa sana mke mkubwa kuwapenda na kuwasaidia watoto wa mke mdogo na hapa hawezi kulaumiwa hata kidogo.

Migogoro mara nyingi huanzia kwenye vipaumbele kwa watoto na mgawanyo wa mali na majukumu ndani ya familia.

Migororo hii huwa ya wazi ama ya kimyakimya ndani ya familia kulingana na weledi, utashi na nafasi ya wazazi kwenye Jamii. Kuna watu kwa kujua ama kutojua huwa wa kwanza kuchochea migogoro hiyo.Wakidhani wanarekebisha kumbe ndio kwanza wanachochea moto.

Rais ni binadamu kama wengine si mkamilifu kama mimi na wewe lakini kuna vitu anapaswa kuwa navyo kuwazidi wengine wengi ili aweze kuimudu vema nafasi aliyonayo kijamii. Kwenye msiba wa Mzee Mwinyi kwenye hotuba yake rais kachochora kidogo na kuzua mijadala isiyokuwa na lazima.

Rais katuambia kwamba kwenye familia ya Mzee Mwinyi kuna migogoro na hataki kuisikia ikichachamaa huku akimtaka Hussein Mwinyi rais wa Zanzibar na mtoto mkubwa wa Mzee Mwinyi kwa mke mkubwa alisimamie hilo
Nje ya urais wa Hussein ni mtoto wa marehemu Mzee Mwinyi mwenye ndugu wa kuzaliwa na ndugu kwa mama mdogo.

Je, kwa nafasi yake ya pili ataweza kulimudu hilo? Je, Rais alipaswa kuliongelea hilo mbele ya kadamnasi?
Kun umuhim kuoa mke mmoja aisee.
 
Maslahi ya mada,

1. Mzee Mwinyi alikuwa Mzee sana kiasi cha kutegemewa kufanya maamuzi yoyote! Kwa umri wake alikuwa kama mtoto akifanyiwa kila kitu.

2. Mzee Mwinyi alikuwa na wake wawili. Kama kuna familia za baba na mama mmoja watoto wanatofautiana na kugombana kabisa wazazi wanapofariki si jambo la ajabu kwa watoto wa familia za mitala.

Kwahiyo shida si migogoro bali chanzo chake, wahusika na namna ya kuitatua kupitia sheria ama watu wanaoaminika na kuheshimika.

Mzee Mwinyi alikuwa na wake wawili na watoto kwa kila mke. Kusema hakuna migororo ni kujidanganya kulikopitiliza. Inahitaji akili kubwa ufahamu wa kutosha na hekima kubwa sana mke mkubwa kuwapenda na kuwasaidia watoto wa mke mdogo na hapa hawezi kulaumiwa hata kidogo.

Migogoro mara nyingi huanzia kwenye vipaumbele kwa watoto na mgawanyo wa mali na majukumu ndani ya familia.

Migororo hii huwa ya wazi ama ya kimyakimya ndani ya familia kulingana na weledi, utashi na nafasi ya wazazi kwenye Jamii. Kuna watu kwa kujua ama kutojua huwa wa kwanza kuchochea migogoro hiyo.Wakidhani wanarekebisha kumbe ndio kwanza wanachochea moto.

Rais ni binadamu kama wengine si mkamilifu kama mimi na wewe lakini kuna vitu anapaswa kuwa navyo kuwazidi wengine wengi ili aweze kuimudu vema nafasi aliyonayo kijamii. Kwenye msiba wa Mzee Mwinyi kwenye hotuba yake rais kachochora kidogo na kuzua mijadala isiyokuwa na lazima.

Rais katuambia kwamba kwenye familia ya Mzee Mwinyi kuna migogoro na hataki kuisikia ikichachamaa huku akimtaka Hussein Mwinyi rais wa Zanzibar na mtoto mkubwa wa Mzee Mwinyi kwa mke mkubwa alisimamie hilo
Nje ya urais wa Hussein ni mtoto wa marehemu Mzee Mwinyi mwenye ndugu wa kuzaliwa na ndugu kwa mama mdogo.

Je, kwa nafasi yake ya pili ataweza kulimudu hilo? Je, Rais alipaswa kuliongelea hilo mbele ya kadamnasi?
ALiyeongea ni Rais
 
Back
Top Bottom