Je, inaweza kufunguliwa kesi dhidi ya Jeshi la Polisi ya kumwitisha Moses Lijenje aletwe Mahakamani?

Je, inaweza kufunguliwa kesi dhidi ya Jeshi la Polisi ya kumwitisha Moses Lijenje aletwe Mahakamani?

Inawezekana but nani mwenye ubavu WA kukubari,ikitokea ndugu ameenda kama mlalamikaji ataambiwa hajawahi kukamatwa na anatafutwa,,,ukileta mdomo saana utapigiwa ndani then ulisaidiwe jeshi la polisi upelelezi
Lakini ndugu wanaweza wakaenda kufungua kesi kwa vigezo kuwa Polisi walikuwa wanamfuatilia kwa karibu alipokuwa akipitishwa
 
Kuna uwezekano mkubwa Moses Lijenje alikamatwa na pengine alipelekwa selo za Polisi zisizojulikana pengine na kupewa majina mengine ili asijulikane kama ilivyokuwa kwa akina Adamoo!
Kwa kuwa pia hawakuwa wakiandikishwa wakati wakiingizwa lock-up, mfano pale TAZARA, je kuna uwezekano kwa ushahidi kama huo kesi ikafunguliwa na Ndugu wa Lijenje au hata rafiki kuwataka Polisi kutoa maelezo alipo huyu Kommandooo? Ni hayo tu!
Wahuni joto limepanda
 
Inawezekana kweli aliuza mechi,, nani aliekua anamwambia kingai kuwa jamaa wapo Rau na wamevaa shati hili na hili,
Aliwezaje kuchomoka,, wakati kina mahita wanawazunguka kuwakamata?
Kwanini family yake haijatoka mbele kuclaim kwamba ndugu yao kapotea?
Alitumika kuchora mchoro wa uongo. Sasa hivi atakuwa South Afrika kujaribu kupunguza stress za usaliti
 
Polisi wameshakwambia hawana mtu kama huyo na bado anatafutwa, kama wewe unamtambua yuko rumande mahala fulani basi uwe ndiye mlalamikaji na dhamira yako uiweke wazi usije ukajuta baadae kwa kushabikia usichokijua!!!!
Ndugu,mbona waonekana kukerwa sana na hili. Hivi Njenje angekuwa nduguyo ungetaka liachwe hivihivi tu? Hebu vaa utu japo kidogo.
Wakati umefika, ni lazima tutazamane usoni na hawa wanaojivunia udhalimu. AMEN
 
Kwa sasa akina Kingai mbupu zimesinyalia ndani so kuwa huru kusema!
Sijui wanajisikiaje. Wamefanya matukio mengi bila kujulikana. Mission zao zilikuwa za kikomandoo kweli kweli. Jamaa hawalali usiku wala mchana. Wanavuka boda tu.
 
Halafu Kingai sijui ana watoto? Mbona ninamwona kama katili sana asiyejali kabisa!
Mkuu mafunzo ya kikatili ndivyo wanavyofundishwa. Yule hana roho wala nafsi tena. Kafanywa vile kwa njia ya training na Mind control models. Pale matukio mengine hajui aliwezaje kuyafanya.
 
Kuna uwezekano mkubwa Moses Lijenje alikamatwa na pengine alipelekwa selo za Polisi zisizojulikana pengine na kupewa majina mengine ili asijulikane kama ilivyokuwa kwa akina Adamoo!
Kwa kuwa pia hawakuwa wakiandikishwa wakati wakiingizwa lock-up, mfano pale TAZARA, je kuna uwezekano kwa ushahidi kama huo kesi ikafunguliwa na Ndugu wa Lijenje au hata rafiki kuwataka Polisi kutoa maelezo alipo huyu Kommandooo? Ni hayo tu!
Walishamuingiza kwenye viroba na kuitosa baharini
 
Kuna uwezekano mkubwa Moses Lijenje alikamatwa na pengine alipelekwa selo za Polisi zisizojulikana pengine na kupewa majina mengine ili asijulikane kama ilivyokuwa kwa akina Adamoo!
Kwa kuwa pia hawakuwa wakiandikishwa wakati wakiingizwa lock-up, mfano pale TAZARA, je kuna uwezekano kwa ushahidi kama huo kesi ikafunguliwa na Ndugu wa Lijenje au hata rafiki kuwataka Polisi kutoa maelezo alipo huyu Kommandooo? Ni hayo tu!

Kwani ndugu zake walishawahi kujitokeza hadharani wakasema hawajui alipo!? Upande wa ndugu zake ndio wanajua ukweli, kwamba either wanajua alipo au lah!
 
Huku kufoka ,kutukana na vitisho ,vinaficha nini? Kama ni mtu ametoa mawazo yake , kwa vitisho vya nini? Kuna dalili mbaya hapa. Ni swala la muda tu. Rejea ya Makonda.
 
Kuna uwezekano mkubwa Moses Lijenje alikamatwa na pengine alipelekwa selo za Polisi zisizojulikana pengine na kupewa majina mengine ili asijulikane kama ilivyokuwa kwa akina Adamoo!
Kwa kuwa pia hawakuwa wakiandikishwa wakati wakiingizwa lock-up, mfano pale TAZARA, je kuna uwezekano kwa ushahidi kama huo kesi ikafunguliwa na Ndugu wa Lijenje au hata rafiki kuwataka Polisi kutoa maelezo alipo huyu Kommandooo? Ni hayo tu!
Hili wazo lina maana sana. Kama inawezekana wafanye hivyo jamani!
 
Sasa sijui wewe hapa umeshobokea kitu gani.
Hao hao majambazi polisi wanasema alikuwepo Rai, na walimwona Rai. Adamoo na Ling'hwenya hawajaeleza lolote kuhusu kutoweka kwa Lijenje, kwa hiyo wewe hapa unajitia kimbelembele kuelewa kilichotokea?

Hopeless kabisa!
Hawajaeleza kwenye kesi ndogo pengine kesi kubwa wataeleza
 
Back
Top Bottom