- Thread starter
- #21
Lakini ndugu wanaweza wakaenda kufungua kesi kwa vigezo kuwa Polisi walikuwa wanamfuatilia kwa karibu alipokuwa akipitishwaInawezekana but nani mwenye ubavu WA kukubari,ikitokea ndugu ameenda kama mlalamikaji ataambiwa hajawahi kukamatwa na anatafutwa,,,ukileta mdomo saana utapigiwa ndani then ulisaidiwe jeshi la polisi upelelezi