toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
yan una akili zako timamu kabisa, unawasikiliza na kuwaamini askari police wa Tz ? Hii nchi ina shida sana...Polisi wameshakwambia hawana mtu kama huyo na bado anatafutwa, kama wewe unamtambua yuko rumande mahala fulani basi uwe ndiye mlalamikaji na dhamira yako uiweke wazi usije ukajuta baadae kwa kushabikia usichokijua!!!!