Lakini ndugu wanaweza wakaenda kufungua kesi kwa vigezo kuwa Polisi walikuwa wanamfuatilia kwa karibu alipokuwa akipitishwaInawezekana but nani mwenye ubavu WA kukubari,ikitokea ndugu ameenda kama mlalamikaji ataambiwa hajawahi kukamatwa na anatafutwa,,,ukileta mdomo saana utapigiwa ndani then ulisaidiwe jeshi la polisi upelelezi
Hamna hata mtu wa kutupatia historia yake?View attachment 2031774inauma Sana.
Wahuni joto limepandaKuna uwezekano mkubwa Moses Lijenje alikamatwa na pengine alipelekwa selo za Polisi zisizojulikana pengine na kupewa majina mengine ili asijulikane kama ilivyokuwa kwa akina Adamoo!
Kwa kuwa pia hawakuwa wakiandikishwa wakati wakiingizwa lock-up, mfano pale TAZARA, je kuna uwezekano kwa ushahidi kama huo kesi ikafunguliwa na Ndugu wa Lijenje au hata rafiki kuwataka Polisi kutoa maelezo alipo huyu Kommandooo? Ni hayo tu!
Alitumika kuchora mchoro wa uongo. Sasa hivi atakuwa South Afrika kujaribu kupunguza stress za usalitiInawezekana kweli aliuza mechi,, nani aliekua anamwambia kingai kuwa jamaa wapo Rau na wamevaa shati hili na hili,
Aliwezaje kuchomoka,, wakati kina mahita wanawazunguka kuwakamata?
Kwanini family yake haijatoka mbele kuclaim kwamba ndugu yao kapotea?
Ndugu,mbona waonekana kukerwa sana na hili. Hivi Njenje angekuwa nduguyo ungetaka liachwe hivihivi tu? Hebu vaa utu japo kidogo.Polisi wameshakwambia hawana mtu kama huyo na bado anatafutwa, kama wewe unamtambua yuko rumande mahala fulani basi uwe ndiye mlalamikaji na dhamira yako uiweke wazi usije ukajuta baadae kwa kushabikia usichokijua!!!!
Mhhhh hebu dadavua kidogo inawezekana wewe ni Urio?Alitumika kuchora mchoro wa uongo. Sasa hivi atakuwa South Afrika kujaribu kupunguza stress za usaliti
Hehehe unataka akina Kingai wanitafute?? Hunitakii memaMhhhh hebu dadavua kidogo inawezekana wewe ni Urio?
Kwa sasa akina Kingai mbupu zimesinyalia ndani so kuwa huru kusema!Hehehe unataka akina Kingai wanitafute?? Hunitakii mema
Sijui wanajisikiaje. Wamefanya matukio mengi bila kujulikana. Mission zao zilikuwa za kikomandoo kweli kweli. Jamaa hawalali usiku wala mchana. Wanavuka boda tu.Kwa sasa akina Kingai mbupu zimesinyalia ndani so kuwa huru kusema!
Wakilipwa mihela mingi!Sijui wanajisikiaje. Wamefanya matukio mengi bila kujulikana. Mission zao zilikuwa za kikomandoo kweli kweli. Jamaa hawalali usiku wala mchana. Wanavuka boda tu.
Sanaa yaani wale wana kitita chao hakikaguliwi na mtu. Ni special segment forceWakilipwa mihela mingi!
Halafu Kingai sijui ana watoto? Mbona ninamwona kama katili sana asiyejali kabisa!Sanaa yaani wale wana kitita chao hakikaguliwi na mtu. Ni special segment force
Mkuu mafunzo ya kikatili ndivyo wanavyofundishwa. Yule hana roho wala nafsi tena. Kafanywa vile kwa njia ya training na Mind control models. Pale matukio mengine hajui aliwezaje kuyafanya.Halafu Kingai sijui ana watoto? Mbona ninamwona kama katili sana asiyejali kabisa!
Walishamuingiza kwenye viroba na kuitosa bahariniKuna uwezekano mkubwa Moses Lijenje alikamatwa na pengine alipelekwa selo za Polisi zisizojulikana pengine na kupewa majina mengine ili asijulikane kama ilivyokuwa kwa akina Adamoo!
Kwa kuwa pia hawakuwa wakiandikishwa wakati wakiingizwa lock-up, mfano pale TAZARA, je kuna uwezekano kwa ushahidi kama huo kesi ikafunguliwa na Ndugu wa Lijenje au hata rafiki kuwataka Polisi kutoa maelezo alipo huyu Kommandooo? Ni hayo tu!
Serious?Walishamuingiza kwenye viroba na kuitosa baharini
Hataonekana tena mileleSerious?
Kuna uwezekano mkubwa Moses Lijenje alikamatwa na pengine alipelekwa selo za Polisi zisizojulikana pengine na kupewa majina mengine ili asijulikane kama ilivyokuwa kwa akina Adamoo!
Kwa kuwa pia hawakuwa wakiandikishwa wakati wakiingizwa lock-up, mfano pale TAZARA, je kuna uwezekano kwa ushahidi kama huo kesi ikafunguliwa na Ndugu wa Lijenje au hata rafiki kuwataka Polisi kutoa maelezo alipo huyu Kommandooo? Ni hayo tu!
Hili wazo lina maana sana. Kama inawezekana wafanye hivyo jamani!Kuna uwezekano mkubwa Moses Lijenje alikamatwa na pengine alipelekwa selo za Polisi zisizojulikana pengine na kupewa majina mengine ili asijulikane kama ilivyokuwa kwa akina Adamoo!
Kwa kuwa pia hawakuwa wakiandikishwa wakati wakiingizwa lock-up, mfano pale TAZARA, je kuna uwezekano kwa ushahidi kama huo kesi ikafunguliwa na Ndugu wa Lijenje au hata rafiki kuwataka Polisi kutoa maelezo alipo huyu Kommandooo? Ni hayo tu!
Hawajaeleza kwenye kesi ndogo pengine kesi kubwa wataelezaSasa sijui wewe hapa umeshobokea kitu gani.
Hao hao majambazi polisi wanasema alikuwepo Rai, na walimwona Rai. Adamoo na Ling'hwenya hawajaeleza lolote kuhusu kutoweka kwa Lijenje, kwa hiyo wewe hapa unajitia kimbelembele kuelewa kilichotokea?
Hopeless kabisa!