Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Biblia haina shaka yoyote wewe umepofushwa na biblia ya shetani iliyopo.kwenye madhehebu ya dini hiyo ni potovu..yenye kusema mungu anazo nafsi 3 😁Kwa kweli BIBLIA ninaitilia mashaka...
Nikitazama ufanisi(COMPLEXITY) uliopo duniani na ulimwenguni kwa ujumla inakuwa vigumu kufikia mkataa wa kuwa Mungu hayupo..