Je, inawezakana kumuabudu Mungu pasipo kuwa na mahusiano(affiliation) yoyote na madhehebu ya kidini?

Je, inawezakana kumuabudu Mungu pasipo kuwa na mahusiano(affiliation) yoyote na madhehebu ya kidini?

Sasa kama we ni Mwislam Unavyoabudu kupitia ALLAH huoni ukimuona mkristo anaomba kupitia YESU au YEHOVA anaabudu miungu mingine na sio MUNGU. na Kinyume chake pia.

Au we umeona Mungu wa hizi dini wanafanana wapi?
Hakuna MUNGU wa waIslam na wakristo.Ila kuna nabii Mohamed na MASIHI Issa bin Mariam
Hawa walitumwa na MUNGU kwa kazi maalum.
Aliyetangulia alikuwa Masihi Issa Bin Mariam wayahudi mnaowasifia walivyomsulubu ikapita miaka 570 MUNGU akamtuma Mtume Mohamed.
Issa Bin Mariam alileta Injili na Mohamed alileta Quoran.
Wote hawa wanatokea tawi la Nuhu,Ibrahim na ndo maana hizi dini mbili zinaitwa dini za Ibrahim
Huyo mnayemuita YESU ni jina tu liloletwa na Wazungu Jesus waswahili tukasema YESU.
ila ujue nikuambie jina la nabii yeyote linatakiwa litamkwe kama liivyo.
Ndio maana muislam aliyebobea kwenye dini hawezi kukwambia anamuabudu YESU ila atakuambia anamuabudu Issa Bin Mariam.Na waislam wanakubali alizaliwa bila kuwa na baba wa kibayolojia na ndio maana wanatamka Issa bin Mariam.Ila Mohamed alizaliwa na baba na mama.
Mwisho wa yote MUNGU wa wakristo ni huyo huyo wa waislam
 
Hakuna dini ya kweli na hakuna imani ya kweli. Kama n muhumini wa ukristo yaani ni mfuasi wa dini ya kiksristo utakubaliana na ukwel kuwa yesu alipokuja hakuwa kwenye dini yoyote isipokuwa alihubiri kwa kutumia torati ya musa ya zamani hizo. Lkn baada ya kuondoka wale wafuasi wake 12 (motume 12) walielekezwa wakahubiri habari njema za yesu sio wakasambaze dini ya ukristo NO. N wakahubiri habari za yesu na ikaelezwa kila atakayeamini na kubatizwa ataokoka. Inamaana atakayeamini na kubatizwa n mfuasi wa kristo, sio amejiunga na dini ya ukristo. Kwahyo mpk hapo utaona ukristo sio dini ni kufuata na kuyaishi maisha sawa na aliyoyaishi yesu na yaliyofundishwa na mitume wale 12. Mpaka hapo niambie dini ya kweli ni ipi

Sasa kuwaunganisha wahumini pamoja ili kuwatengeneza kama jumuhia wasaidiane na kutambulika kourahisi ndio linakuja kuanzishwa dini ya wakristo. Kwahyo dini ni utaratibu ulioanzishwa na watu. Kwahyo kabla ya dini watu walikuwa kwenye imani pekee dini hazikuwepo
Maelezo mazuri sana
 
Kudos. Watu mnaamka sasa.

Religion must go!

Huitaji kumuamini wala kumwabudu Mungu.

Unahitaji kujiamini wewe mwenyewe.
 
Vitabu vimeeleza utamaduni wa waarabu wanavyomuabudu mungu na ukristo wayahudi wanavyomuabudu mungu. Haujasema mungu mwenyewe ameaaagiza wamwabudu hivi

Utaratibu wa kuabdu ulipaswa kutolewa kwa adam ila tunaona mpk waizrael wanapelekwa utumwani hakuna utaratibu wa kuabdu uliokuwepo isipokuwa kulikuwa na taratibu mbalimbali za kutoa sadaka na za kuabduku kwa nyakati tofauti tofauti na kwa mitume tofauti tofauti. Utaratibu mmoja haukuwepo.

Mimi naamini utaratibu wa kumwabudu mungu n kwa kupenda watu na kuishi kwa kufuata ile sauti ya ndani (inner voice)(ambayo kwakwel n sauti ya mungu mwenyewe)) zaidi ya hapo kutoa kwa jamii (ndio sadaka)
Si kila inner voice ni SAUTI ya Mungu
 
Ahsante mkuu..
Dini niliyokuwemo kuna indocrination ya hatari, maana tumekuwa tukiambiwa kuwa ndo dini ya kweli, ukitoka basi ujue umemuacha Mungu na ujiandae kuharibiwa..nilikuwa humo kwa miaka 20, haya yameniathiri mpaka nimeacha kusali kibinafsi nahsi labda kwa kuwa nimeacha mambo ya dini basi hata Mungu atakuwa asikilizi...
Congrats for emancipating yourself from mental slavery.

Religion is a mental slavery.
 
Nini kinakufanya uamini dunia imeumbwa na Mungu ikiwa hujui Mungu alipotokea?

Ikiwa unaweza kuamini ulimwengu uliumbwa na Mungu ambaye chanzo chake hakijulikani unashindwaje kuamini kwamba hata Ulimwengu chanzo chake hakijulikani?

Ikiwa unaamini Mungu alijiumba unashindwaje kuamini pia ulimwengu ulijiumba?

Infact hakuna anayejua jambo lolote kuhusiana na Chanzo cha Maisha na Ulimwengu, Wote tumejikuta tu tupo duniani.

Ukisoma biblia utashangaa kuona hata kitabu cha Mwanzo hakikuandikwa na Adam mwenyewE.
Uko sahihi mkuu... lakinh binafsi akili yangu imegoma kukubali kuwa hakuna Mungu. Nimesoma vitabu vingi vya atheism lakini bado..
 
Hakuna MUNGU wa waIslam na wakristo.Ila kuna nabii Mohamed na MASIHI Issa bin Mariam
Hawa walitumwa na MUNGU kwa kazi maalum.
Aliyetangulia alikuwa Masihi Issa Bin Mariam wayahudi mnaowasifia walivyomsulubu ikapita miaka 570 MUNGU akamtuma Mtume Mohamed.
Issa Bin Mariam alileta Injili na Mohamed alileta Quoran.
Wote hawa wanatokea tawi la Nuhu,Ibrahim na ndo maana hizi dini mbili zinaitwa dini za Ibrahim
Huyo mnayemuita YESU ni jina tu liloletwa na Wazungu Jesus waswahili tukasema YESU.
ila ujue nikuambie jina la nabii yeyote linatakiwa litamkwe kama liivyo.
Ndio maana muislam aliyebobea kwenye dini hawezi kukwambia anamuabudu YESU ila atakuambia anamuabudu Issa Bin Mariam.Na waislam wanakubali alizaliwa bila kuwa na baba wa kibayolojia na ndio maana wanatamka Issa bin Mariam.Ila Mohamed alizaliwa na baba na mama.
Mwisho wa yote MUNGU wa wakristo ni huyo huyo wa waislam
Hujajibu swali la mjumbe mkuu
Swali kuna uwezekano wa kumwabudu mungu pasipo kuhusisha dini?? ?
 
Sasa Mungu wa kweli anapatikana dhehebu gani,
Hakuna Mungu wa kweli.

Kuna Mungu waliotengenezwa na wanadamu.

Kuna Yesu wa wakristo.

Kuna Allah wa waislamu.

Kuna Zeus wa wagiriki.

Kuna Ngai wa wamasai.

Kuna Mulungu wa wakamba

Kuna Krishna wa wahindu n.k

Na hapa kila dini na imani inapambana kumtetea Mungu wa upande wao aonekane ndio wa ukweli.

Sasa Mungu anayepiganiwa na wanadamu ili aonekane yupo, Huyo ni Mungu wa kutungwa na kutengenezwa tu.

Mungu hayupo.
maana nimetumia zaidi ya miaka 20 kwenye dhehebu ambalo nilidhani ndo dini ya kweli lakini baada kufanya utafiti nimevunjika moyo na mambo ya dini....

Kwa kweli kama Mungu atagawa uzima wa milele kwa kutazama mafungamano na hzi dini naona kabisa ntashndwa...
 
Sawa mkuu, je ni dini/dhehebu gani lililo sahh??
kwa upande wangu Uislamu uko sahihi , upo kamili, umekamilika , uko very logical, uko scientific, uko practical hata ibada zake zina manufaaa ya kisayansi, Mfano Funga ya RAMADHAN, kuamka Alfajiri, kulala mapema,.

uislamu.umefundisha kila kitu tokea mtu anapoamka mpaka anapolala.

Halafu kwenye Uislamu hakuna mambo ya ajabu au mambo ya kuchekesha kama ule upande wa pili , Mtu anajiita Mungu, anajiita Mfalme anakuambia anamfufua Michael Jackson na watu wamekaaa tu wanamuangalia. Kuna mmoja alisema Anasubiri kwenda kumpokea Yesu Airport na Range Rover , anakwambia aliwahi kumuona Yesu ilimradi ni mambo ya vichekesho na watu kujipatia pesa kutoka kwa wajinga.

Lakini Uislam husikii vichekesho hivi msikitini karibu sana utakuja kunishikuru
 
Niliwaza kuwa na vipindi vya ibada hapa kwangu, kama kuimba mwenyewe, kusoma biblia na kusali.. Je ni sawa?
Kwa kuwaza hivyo tu,inamaanisha una wito,ila hujui namna ya kuutekeleza.

M-ngu hajawahi kuwa wa dhehebu au kikundi flani,M-ngu ni wa mtu binafsi,ndio maana utasikia anajiita M-ngu wa Ibrahim au M-ngu wa isaka,ukifatilia kipindi cha ibrahim,kulikuwa hakuna ukristo,judism wala uislamu lakini Ibrahim alimwabudu M-ngu,hata kwenye agano jipya Yehoshua(Jesus) anasema,M-ngu haabudiwi hekaluni wala juu ya mlima Bali anaabudiwa katika roho na kweli,simply worship is personal and never a public act.

Ngoja nifupishe maelezo

Fanya mambo haya matatu,utakuja kunishukuru.

1.hilo wazo la kuwa ATHEISM achana nalo kwasababu,kutokana na maelezo yako naona tayari una amini katika uwepo wa M-ngu.

2.hilo wazo lako la kuanzisha hizo ibada za hapo nyumbani kwako ukiwa na familia yako,usiliache,hizi dini zote zilianzia nyumbani kwa mtu na maandiko yanasema "walipo wawili watatu wamekusanyika kwa jina langu,nami nipo papo hapo katikati yao"math 18:20
Zingatia hiyo idadi, spiritually ina maana yake,you can't stand alone,even G-d ana stakeholders.

3.usiwe na haraka kutoka kwenye hiyo dini yako ya Sasa kwasababu calling za kiroho zina stages zake,nakuona upo kwny zile stage za mwanzoni ambazo usipopata muongozo mzuri,utapotea,...Kuna revelational stage,Kuna separational stage,.....zipo Kama sita hivi,naona wewe unataka kwenda stage ya pili bila kuvuka ya kwanza,take it slowly.
 
Your body is your temple
huitaji kanisa au msikiti ili uwe karibu na Mungu
Juc Keep your temple clean

images (84).jpeg
 
Uko sahihi mkuu... lakinh binafsi akili yangu imegoma kukubali kuwa hakuna Mungu. Nimesoma vitabu vingi vya atheism lakini bado..
The fact an almighty God and all powerful God needs humans to speak for him and defend him, It's a prove that he doesn't exist.

Wala hata huitaji kusoma sana kujua kwamba hakuna Mungu.
 
Back
Top Bottom