Je, inawezekana kila kitu ni mpango wa Mungu?

Je, inawezekana kila kitu ni mpango wa Mungu?

Kosoa katika kile nilichokieleza au fafanua unapoona sikupaelewa.
Mara ngapi? Hujui kwamba mtu anaweza kuamini kitu ambacho ni cha kweli na kukithibitisha ikawa kamba pale alipoamini aliamini kitu cha kweli ambacho bado hakijathibitishwa na baadaye kikathibitishwa?

Hujui kwamba Einstein alipoamini katika Relativity aliamini katika kitu cha kweli na baadaye Sir Arthur Eddington alivyothibitisha ikawa imethibitishwa kwamba Einstein aliamini ukweli as opposed to uongo?

Unakataa kwamba kuna kuamini ukweli na kuamini uongo?
 
Mara ngapi? Hujui kwamba mtu anaweza kuamini kitu ambacho ni cha kweli na kukithibitisha ikawa kamba pale alipoamini aliamini kitu cha kweli ambacho bado hakijathibitishwa na baadaye kikathibitishwa?

Hujui kwamba Einstein alipoamini katika Relativity aliamini katika kitu cha kweli na baadaye Sir Arthur Eddington alivyothibitisha ikawa imethibitishwa kwamba Einstein aliamini ukweli as opposed to uongo?

Unakataa kwamba kuna kuamini ukweli na kuamini uongo?

Utaona hapo alichokiamini Einstein kimekuja kujulikana kuwa ni jambo la kweli baadaye kabisa hivyo hata yeye Einstein hakuthibitisha anachokiamini ili ijulikane kuwa anachokiamini ni kweli.

Hivyo huo uthibitisho uliyokuja baadaye kuthibitisha kile alichokuwa akikiamini Einstein,si kwamba ndiyo umefanya imani ya Einstein kuwa sahihi bali huo uthibitisho umedhihirisha kwamba alichokiamini Einstein lilikuwa ni jambo la kweli.

Utakumbuka nilikwambia kuwa imani si utabiri kwamba lazima usubiri matokeo ya ulichokitabiri,hivyo hata kama alichokiamini Einstein kisingethibitishwa bado imani yake lilikuwa ni jambo la kweli.
 
Umeshindwa nini kuweka ufafanuzi wewe unayejua maana? Wewe umesema kuwa kutokana na mzazi kuwa na dhambi hivyo anazaa mtoto mwenye laana ndio maana anapata magonjwa. Mungu ni mwenye haki atampaje mtoto magonjwa kutokana na dhambi ambazo mtoto ajazitenda?
Wewe mkuu tumia akili kidogo za kuzaliwa na utaelewa nini kilifanyika. MUNGU amekupa akili na anategemea utazitumia akili zako vizuri. Iko hivi; dhambi ni kama sumu inayoharibu mwili wote taratibu, sasa kama mwili ukiharibika ina maana hata mbegu za uzazi pia zinaharibika, sababu mbegu za uzazi ni sehemu ya mwili. Mbegu hizi za uzazi ambazo tayari zinakuwa zimeshaharibiwa na dhambi ndizo hizo hizo zinazotungisha mimba na mtoto anazaliwa. Matokeo yake kila anayezaliwa anakuwa ni UZAO WA DHAMBI, na dhambi ni maangamizi, ndiyo maana kuna magonjwa, njaa, vita, umaskini na hata kifo.

Aliyeichagua dhambi ni Mwanadamu mwenyewe, kwa hiari yake mwenyewe akachagua kutenda dhambi. Hata wewe umeshatenda dhambi nyingi tu tokea umezaliwa mpaka leo. Kwa umri wako huo ulionao unajua fika tofauti ya dhambi na mema, lakini kwa sababu ya kiburi bado unaendelea kutenda dhambi kila siku. Mbaya zaidi unamlaumu MUNGU kwa matendo yako mwenyewe.

Lakini kama ukiamua kuacha kutenda dhambi kabisa na kujitenga na uovu, hilo linawezekana kabisa sababu ni hiari yako tu. Hakuna mtu au malaika au shetani mwenye uwezo wa kukulazimisha wewe utende dhambi, kila kitu ni maamuzi yako mwenyewe!
 
Wewe mkuu tumia akili kidogo za kuzaliwa na utaelewa nini kilifanyika. MUNGU amekupa akili na anategemea utazitumia akili zako vizuri. Iko hivi; dhambi ni kama sumu inayoharibu mwili wote taratibu, sasa kama mwili ukiharibika ina maana hata mbegu za uzazi pia zinaharibika, sababu mbegu za uzazi ni sehemu ya mwili. Mbegu hizi za uzazi ambazo tayari zinakuwa zimeshaharibiwa na dhambi ndizo hizo hizo zinazotungisha mimba na mtoto anazaliwa. Matokeo yake kila anayezaliwa anakuwa ni UZAO WA DHAMBI, na dhambi ni maangamizi, ndiyo maana kuna magonjwa, njaa, vita, umaskini na hata kifo.

Aliyeichagua dhambi ni Mwanadamu mwenyewe, kwa hiari yake mwenyewe akachagua kutenda dhambi. Hata wewe umeshatenda dhambi nyingi tu tokea umezaliwa mpaka leo. Kwa umri wako huo ulionao unajua fika tofauti ya dhambi na mema, lakini kwa sababu ya kiburi bado unaendelea kutenda dhambi kila siku. Mbaya zaidi unamlaumu MUNGU kwa matendo yako mwenyewe.

Lakini kama ukiamua kuacha kutenda dhambi kabisa na kujitenga na uovu, hilo linawezekana kabisa sababu ni hiari yako tu. Hakuna mtu au malaika au shetani mwenye uwezo wa kukulazimisha wewe utende dhambi, kila kitu ni maamuzi yako mwenyewe!
Unaweza kuniambia hizi mbegu za uzazi ziliharibika na dhambi wakati gani? Je mbegu za uzazi zisizo na dhambi ukizipima maabara zinapaswa ziweje ili kutofautisha na mbegu zenye dhambi?
 
Unaweza kuniambia hizi mbegu za uzazi ziliharibika wakati gani? Je mbegu za uzazi zisizo na dhambi ukizipima maabara zinapaswa ziweje ili kutofautisha na mbegu zenye dhambi?
Mkuu Gamba anamaanisha mambo ya kiroho, hakuna maabara yenye kipimo cha kupima roho.
 
Wewe mkuu tumia akili kidogo za kuzaliwa na utaelewa nini kilifanyika. MUNGU amekupa akili na anategemea utazitumia akili zako vizuri. Iko hivi; dhambi ni kama sumu inayoharibu mwili wote taratibu, sasa kama mwili ukiharibika ina maana hata mbegu za uzazi pia zinaharibika, sababu mbegu za uzazi ni sehemu ya mwili. Mbegu hizi za uzazi ambazo tayari zinakuwa zimeshaharibiwa na dhambi ndizo hizo hizo zinazotungisha mimba na mtoto anazaliwa. Matokeo yake kila anayezaliwa anakuwa ni UZAO WA DHAMBI, na dhambi ni maangamizi, ndiyo maana kuna magonjwa, njaa, vita, umaskini na hata kifo.

Aliyeichagua dhambi ni Mwanadamu mwenyewe, kwa hiari yake mwenyewe akachagua kutenda dhambi. Hata wewe umeshatenda dhambi nyingi tu tokea umezaliwa mpaka leo. Kwa umri wako huo ulionao unajua fika tofauti ya dhambi na mema, lakini kwa sababu ya kiburi bado unaendelea kutenda dhambi kila siku. Mbaya zaidi unamlaumu MUNGU kwa matendo yako mwenyewe.

Lakini kama ukiamua kuacha kutenda dhambi kabisa na kujitenga na uovu, hilo linawezekana kabisa sababu ni hiari yako tu. Hakuna mtu au malaika au shetani mwenye uwezo wa kukulazimisha wewe utende dhambi, kila kitu ni maamuzi yako mwenyewe!
Ikiwa marekani wanaasilimia chache sana ya vifo vya watoto wanaokufa chini ya miaka mitano kulinganisha na Tanzania hivyo basi kwa maana yako ni kwamba Tanzania ina uzao wa dhambi zaidi kuliko marekani?
 
Mkuu Gamba anamaanisha mambo ya kiroho, hakuna maabara yenye kipimo cha kupima roho.
Mbegu ya uzazi inapimika au haipimiki? Angekuwa anazungumzia mambo ya kiroho basi asingechanganya na kitu kinachopimika. Ni sawa na kusema maji yana sumu kiroho wakati maji yanayoweza kupimika kujua kilichomo kwenye maji kama yana sumu au hayana.
 
Dhamira ya kiumbe ndio inahukumu kiumbe,ukiona unafanya jambo na dhamira yako haishitaki basi ni halali yako

Kwakua dhamira ndio yenye kutofautisha kati ya binadamu na mtu.

Mungu hana jema wala Baya vyote kwake ni sawa tu,Kwa kuwa asili yavyo ni yeye mwenyewe

Na la kuongezea ni kuwa inabidi kujifunza kutofautisha kati ya Muumba na Miungu na ndio changamoto kubwa kwenye maandiko mnayotumia
Inaweza kuwa kweli, ila kuna wengine wamejikita kwenye kutenda mabaya hadi dhamira zao zimezimwa kabisa hata hatende unaliona baya gani dhamira yake haimsuti kabisa.

Hapo huwezi sema dhamira ndio inayo determine baya na jema
 
Mara ngapi? Hujui kwamba mtu anaweza kuamini kitu ambacho ni cha kweli na kukithibitisha ikawa kamba pale alipoamini aliamini kitu cha kweli ambacho bado hakijathibitishwa na baadaye kikathibitishwa?

Hujui kwamba Einstein alipoamini katika Relativity aliamini katika kitu cha kweli na baadaye Sir Arthur Eddington alivyothibitisha ikawa imethibitishwa kwamba Einstein aliamini ukweli as opposed to uongo?

Unakataa kwamba kuna kuamini ukweli na kuamini uongo?
Hapa mna haribu dhumuni la mjadala, thread. Swali liliuliza je kila litokealo duniani ni mpango wa Mungu, swali hili kwa namna moja au nyingine liliwahusu wanoamini uwepo wa Mungu na uweza wake.

Sasa kuleta mjadala wa Mungu yupo au hayupo ni kuhamisha na kuharibu Mada.

Zipo nyuzi nyingi zinazojadili kama Mungu yupo au hayupo.

Mngeenda huko kufanya mijadala na maswali hayo ya Je Mungu yupo ama hayupo.
 
Hapa mna haribu dhumuni la mjadala, thread. Swali liliuliza je kila litokealo duniani ni mpango wa Mungu, swali hili kwa namna moja au nyingine liliwahusu wanoamini uwepo wa Mungu na uweza wake.

Sasa kuleta mjadala wa Mungu yupo au hayupo ni kuhamisha na kuharibu Mada.

Zipo nyuzi nyingi zinazojadili kama Mungu yupo au hayupo.

Mngeenda huko kufanya mijadala na maswali hayo ya Je Mungu yupo ama hayupo.
Hapana.

Hatuharibu mjadala. Tunapanua mjadala.

Ukianzishwa mjadala wa kuuliza Je, rangi ya wimbo wa taifa ni nyekundu au bluu?

Utasema mjadala huo akija mtu kusema wimbo wa taifa hauna rangi na hivyo swali ni potofu atakuwa kakosea?

Pinga hoja kwa hoja. Si kwa viroja vya kulazimisha sheria za kutunga mwenyewe.

Mungu hayupo. Habari zake ni hadithi.

Sasa kama unataka kupiga hadithi sawa.
 
Mbegu ya uzazi inapimika au haipimiki? Angekuwa anazungumzia mambo ya kiroho basi asingechanganya na kitu kinachopimika. Ni sawa na kusema maji yana sumu kiroho wakati maji yanayoweza kupimika kujua kilichomo kwenye maji kama yana sumu au hayana.
Inawezekana ukawa upo sahihi lakini, yeye alilenga pale edeni baada ya Adam kuanguka dhambini, iledhambi ilituathiri hata sisi, kwamujibu wa biblia sisi ni uzao wa Adam.
 
Hapa mna haribu dhumuni la mjadala, thread. Swali liliuliza je kila litokealo duniani ni mpango wa Mungu, swali hili kwa namna moja au nyingine liliwahusu wanoamini uwepo wa Mungu na uweza wake.

Sasa kuleta mjadala wa Mungu yupo au hayupo ni kuhamisha na kuharibu Mada.

Zipo nyuzi nyingi zinazojadili kama Mungu yupo au hayupo.

Mngeenda huko kufanya mijadala na maswali hayo ya Je Mungu yupo ama hayupo.
Mkuu bora umeliona hilo, lakini waache tu pengine ndiyo mpango wa Mungu. Kuna andiko linasema acheni ngano na magugu yakue pamoja hadi wakati wa mavuno...
 
Kama hakuna Mungu kuna nini?
That's for us to find out.

Habari za kwamba kuna Mungu zinakuja kwa sababu ubongo wa mtu hautaki swali lisilona jibu.

Tumeymba dhana ya Mungu, tuseme jibu ni Mungu kwa maswali yote ambayo hatuna majibu.

Tukipata majibu tunaondoa Mungu,tunamsogeza kwenye maswali ambayo hatuyajui.

Kama swali hatujui jibu lake, cha kufanya ni kukubali hatujui jibu na kujikita kwenye uchunguzi ilitujue jibu.

Siyo kuweka jibu la Mungu.
 
Inaweza kuwa kweli, ila kuna wengine wamejikita kwenye kutenda mabaya hadi dhamira zao zimezimwa kabisa hata hatende unaliona baya gani dhamira yake haimsuti kabisa.

Hapo huwezi sema dhamira ndio inayo determine baya na jema
Pia nilisema dhamira ndio hutofautisha kati Mtu na binadamu

Nikiwa na maana kiumbe kinapoweka jitihada katika kuzoeza kipawa chema ndani ya dhamira ndipo huinurisha
 
Utaona hapo alichokiamini Einstein kimekuja kujulikana kuwa ni jambo la kweli baadaye kabisa hivyo hata yeye Einstein hakuthibitisha anachokiamini ili ijulikane kuwa anachokiamini ni kweli.

Hivyo huo uthibitisho uliyokuja baadaye kuthibitisha kile alichokuwa akikiamini Einstein,si kwamba ndiyo umefanya imani ya Einstein kuwa sahihi bali huo uthibitisho umedhihirisha kwamba alichokiamini Einstein lilikuwa ni jambo la kweli.

Utakumbuka nilikwambia kuwa imani si utabiri kwamba lazima usubiri matokeo ya ulichokitabiri,hivyo hata kama alichokiamini Einstein kisingethibitishwa bado imani yake lilikuwa ni jambo la kweli.
Kwahiyo Einstein uthibitisho ungeonesha kwamba alikosea, imani yake haikuwa kweli, imani yake bado ingekuwa ya kweli?

Alichokiamini kama kisingekuwa alivyoamini, alichoamini kingekuwa alivyoamini?

Ukiamini wewe ni Bill Gates founder wa Microsoft, wakati siye, unakuwa Bill Gates founder wa Microsoft?
 
Mkuu Gamba anamaanisha mambo ya kiroho, hakuna maabara yenye kipimo cha kupima roho.
Kiranga anasema hajui roho ni nini, na hii nadhani ndo inasababisha asimjue Mungu maana Mungu ni roho. Pia napenda kusema Mungu hachunguziki kwa ufahamu wetu katika macho haya nyama bali katika macho ya roho na Mungu husikika katika masikio ya roho,in short hii pysical appearence ya mtu ni frame/kasha/box ambalo ndo linahifadhi roho ya binadamu.
Ndo maana mtu akikata roho tunabaki tunasema mwili wa marehemu let say tunapumzisha mwili wa Bukijo je Bukijo mwenye halisi ni nini na anakuwa wap mda huo mnapumzisha mwili wake?.
Nasema Mungu ni Mungu tu anawezangamiza watu 10,000 kwa kuokoa roho1,kwa ufahamu wa mwanadamu utaona kama vile ni hasara lakin Mungu haangalii kama wanadamu tuangaliavyo.
Kama roho haipo kiswahili hiki kinamaanisha nini:-
..ana roho mbaya.
...anasura mbaya ila ana roho nzuri..au ana sura nzuri ila ana roho mbaya..
....roho ya marehemu ipumuzishwe mahali pema...(ilihali wao wako wanapumzisha mwili)
 
Kwahiyo Einstein uthibitisho ungeonesha kwamba alikosea, imani yake haikuwa kweli, imani yake bado ingekuwa ya kweli?

Alichokiamini kama kisingekuwa alivyoamini, alichoamini kingekuwa alivyoamini?

Ukiamini wewe ni Bill Gates founder wa Microsoft, wakati siye, unakuwa Bill Gates founder wa Microsoft?
Nilichomaanisha ni kwamba kama unachokiamini ni jambo la kweli basi itabaki kuwa hivyo na si kwamba uthibitisho ndio unafanya imani yako iwe kweli na ukikosekana uthibitisho hufanya imani yako kuwa si ya kweli hata kama ni ya kweli.

Ndiyo maana nikasema kwamba uthibitisho umekuja kudhihirisha tu kwamba alichokiamini Einstein lilikuwa ni jambo la kweli,na kama imani ya Einstein ingekuwa si ya kweli basi pia uthibitisho ungedhihirisha hilo.

Kumbuka tunazungumzia imani,hivyo hauwezi kusema imani fulani si ya kweli kisa hakuna uthibitisho maana tumeona hata Einstein hakuthibitisha imani yake hadi pale baadaye ilipokuja kuthibitika.

Ila unaweza kujua imani isiyo sahihi kama hiyo ya kuamini wewe ni Bill gate.
 
Back
Top Bottom