AccomplishedEntrepreneur
JF-Expert Member
- Feb 25, 2020
- 507
- 878
Je CPA bila degree ya accounts unakuwa nani?Degree bila CPA hutambuliki kama mhasibu, ni mhasibu msaidizi au karani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je CPA bila degree ya accounts unakuwa nani?Degree bila CPA hutambuliki kama mhasibu, ni mhasibu msaidizi au karani.
Watu wanatoka sekondari na wanazipata wala hupiti chuo boss.Ili ufanye CPA Kuna qualifications & requirements zake mzee..
Mimi licha ya kua daktari nimefanya postgraduate studies ya Finance hivyo na qualify kufanya mitiani ya CPA
Mkuu kichwa kichwa hutoboi CPA 😇
Kirefu cha CPA ni nini? Anyway, binafsi sina hiyo CPA wala sijawahi ichunguza sana ila nimefanya kazi sana na wahasibu wa zamani na wa sasa hivyo pengine uelewa ni mdogo. Ngoja wajuzi waelezee vizuri.Je CPA bila degree ya accounts unakuwa nani?
Inawezekana kabisa,,ukiwa na CPA unakuwa mhasibu,ila ukiwa na degree tu unakuwa afisa hesabuKwa mtu ambaye tayari ni muajiriwa, na anataka kusoma degree nyingine, je aanze na uhasibu then CPA ndio afanyiwe recategorization, au haiwezekani kusoma CPA bila kua na degree ya uhasibu? Kama ilivyo school of law? Maana school of law ni lazima mtu amalize bachelor ya LLB?.
CPA unakuwa mhasibu ila degree tu Unakuwa afisa hesabuJe CPA bila degree ya accounts unakuwa nani?
Sawa asante, hicho ndio kinanikimbiza ualimu, maana baada ya kuchukua mshahara ndio basi tena mpaka Mwisho wa mwezi.usiingalie E, angalia kuwa HR kibao hawajui kuwa ukiwa na CPA meant tayari una degree ya uhasibu ndani yake.Kuna watu nawajua wana CPA na recategorization hawafanyiwi kisha wanaambiwa degree ya Uhasibu hawana (naongea in practical sense kama huamini kamuulizee DHRo wako)
2. Kuipata CPA sio rahisi kiivyo inahitaji dedications
3. Ukiwa mhasibu Halmashauri huitaji E ili uishi, kama matumizi yako sio ya anasa na ukiwa na heshima kwa wakuu wako na bidii utakuwa unakula posho posho zilizohalali hutaitaji mshahara ili uishi
4. Mhasibu Halmashauri anapata pesa kuliko Medical doctor (collectve kibunda)
Very true 😃 kinacho angaliwa ni performance.Tunatunga sheria tusizozifata. Anyway, hata huku private hata hiyo degree au cpa hatujali, tunaajiri kwa kujuana, exposure na iq level yako katika uhalisia, makaratasi yanafata baadae kama kuna uhitaji.
Mkuu Kuna NTA LEVEL UNAFANYA MITIANI.Watu wanatoka sekondari na wanazipata wala hupiti chuo boss.
Mshahara wako kama una degree ya walimu ni uleule hautofautian na degree ya uhasibu the same kama una diploma. Tofauti idara ya fedha halmashauri ndiyo roho kwahyo malupulupu kibao.Shukurani mkuu, ndio nawaza hizo attech nikifanyiwa recategorization nabadilishiwa tgs hipi?
Tutofautishe kati ya sheria na mtu ambaye either ana chuki zake binafsi au mahaba yake; hao waliokua wanakataa huko wilayani na mkoani is either walikua na personal internet or walikua na mtu wao standby somewhere akiwa anasubiri wampe mchongohao HR au DHRO akili mgando hawaelewi, hata walioko Mkoani hawaelewi
Kuna jamaa aliapata kazi toka sekretariati ya AJIRA akiwa na Intermediate stage ambayo ni degree in Accounting nakwambia alikataliwa, issue ikafika mkoa akakataliwa, ikarudi Dodoma ndio ikawa solved.
Hili jambo pia linawakuta wanausoma Procurement na kupata award za Board zao pasipo kuwa na degree za chuo
Asante sana kwa ushauri.usiingalie E, angalia kuwa HR kibao hawajui kuwa ukiwa na CPA meant tayari una degree ya uhasibu ndani yake.Kuna watu nawajua wana CPA na recategorization hawafanyiwi kisha wanaambiwa degree ya Uhasibu hawana (naongea in practical sense kama huamini kamuulizee DHRo wako)
2. Kuipata CPA sio rahisi kiivyo inahitaji dedications
3. Ukiwa mhasibu Halmashauri huitaji E ili uishi, kama matumizi yako sio ya anasa na ukiwa na heshima kwa wakuu wako na bidii utakuwa unakula posho posho zilizohalali hutaitaji mshahara ili uishi
4. Mhasibu Halmashauri anapata pesa kuliko Medical doctor (collectve kibunda)
Tunapambana kuyafata hayo malupulupu boss, kuliko kupasuka mwezi kwa mwezi bora hayo malupulupu, hata ukipata 10,000 sio mbaya kulipo kwenda job hupati hata 100Mshahara wako kama una degree ya walimu ni uleule hautofautian na degree ya uhasibu the same kama una diploma. Tofauti idara ya fedha halmashauri ndiyo roho kwahyo malupulupu kibao.
Ukiwa muhasibu mshahara wako utakuwa unakutana kwenye akaunti. Au ndo unafika unapangwa kuwa muhasibu wa mapato au Afya shida utakuwa umekimbia.Tunapambana kuyafata hayo malupulupu boss, kuliko kupasuka mwezi kwa mwezi bora hayo malupulupu, hata ukipata 10,000 sio mbaya kulipo kwenda job hupati hata 100
Nina degree ya ualimu masomo ya physcis na mathematics.. nilitaka kusoma uhasibu open ndio nikaingiziwa ilo wazo la kusoma CPA, maana CPA halmashauri wanaanza na E, kwahiyo sitarudishwa nyuma sana.
Kwa kua wewe ni Optimists lolote linaweza kutokea! Una ngekewaKwa mtu ambaye tayari ni muajiriwa, na anataka kusoma degree nyingine, je aanze na uhasibu then CPA ndio afanyiwe recategorization, au haiwezekani kusoma CPA bila kua na degree ya uhasibu? Kama ilivyo school of law? Maana school of law ni lazima mtu amalize bachelor ya LLB?.
Kabisa mkuuVery true 😃 kinacho angaliwa ni performance.
Ok mkuu, weka kwa msaada wa wanaohitaji wasije wakadhani ni rahisi kama kumaliza drs 4 shule ya kata.Mkuu Kuna NTA LEVEL UNAFANYA MITIANI.
Ndio unapata sifa za kufanya mitiani ya CPA
Unaweza kumaliza secondary na ukaanza kufanya mitiani ya bodi kuanzia ngazi za Chini mpaka kufikia kupata CPA..
NB.
Sio lelemama au sandakalawe au ndiki ndikiki ni mchakato Kuna VIGEZO ili upate qualifications for sitting for CPA EXAMS
Ntaweka humu ngoja nipekue pekue makabrasha..
✌️
Shida ni moja HR Wengi hawatambui CPA kwenye recategorization, wanataka bachelor ya uhasibu kwanza ndio maana nikauliza, kusoma sio shida saana maana msuli nauweza vizuri tu.Soma CPA straight kupitia stage za Atec.
Achana na mambo ya university utapoteza hela na kujichosha tu.
Kwa mtu aliyesoma PCM na akafaulu hata kwa div 2. Hawezi kufeli masomo ya CPA. Maana physics imeshamkomaza akili