Je inawezekana kusoma CPA na kufanyiwa recategorization bila kua na degree ya uhasibu?

Je inawezekana kusoma CPA na kufanyiwa recategorization bila kua na degree ya uhasibu?

Shida ni moja HR Wengi hawatambui CPA kwenye recategorization, wanataka bachelor ya uhasibu kwanza ndio maana nikauliza, kusoma sio shida saana maana msuli nauweza vizuri tu.
Point. Hata UTUMISHI (PSRS) wakitangaza post za uhasibu, sidhani kama mwenye CPA bila degree ya uhasibu wanamkubali
 
Ukiwa muhasibu mshahara wako utakuwa unakutana kwenye akaunti. Au ndo unafika unapangwa kuwa muhasibu wa mapato au Afya shida utakuwa umekimbia.
Akiwa muhasibu wa afya hakosi laki 6 kila mwezi viposho kutoka Zahanati na vituo vya afya. Kutamu balaa
 
Back
Top Bottom