Je, inawezekana matumizi ya aina fulani ya pedi yakabadili 'flow' ya damu ya hedhi?

Mimi nimetumia HC sijaona tatizo lolote , nyuma nilikuwa natumia pad za free style na alwayz yani nilikuwa siponi fungus mara miwasho mara harufu mbaya nikaachana navyo baada ya kutumia hc niko murua na sihami

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulikuwa unakaa na pad muda gani? Hilo ndilo laweza kuwa tatizo.
 
Wanawake tuna taabu jamani!!!
 
Nimetumia miaka sijawahi kupata shida yoyote!!
Hayo matatizo ni kwa baadhi yenu.
Sioni kama ni vyema kuhitimisha ati zinaharibu mzunguko wa hedhi hadharani.
Pia wengine tukitumia hizo always, freestyle na nyinginezo tunapata fangasi na miwasho mpaka michubuko.
Generally pedi zote usalama wake inategemeana na mwili wa muhusika


Rubiikimimi[emoji85]
 
Nilikwenda only two days, alafu kuumwa tumbo sio kwa kawaida. Baada ya hapo na muwasho juu.
Mimi baada ya kusoma hapa ndo nimegundua kuwa nilienda siku chache. Mimi nilidhani kawaida maana hedhi ya mwezi huu ilikuwa ya maajabu..huwa naumwa tumbo nagaragara ila mwezi huu walaaa hata halikubipu sijui kwa sababu ya nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikivaa ped nyingine muwasho jamani...ule ubaridi wake nafikiri ni Mint.Siiachi ng'o,nyembamba...ina harufu nzuri na haiwashi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…