Je, inawezekana matumizi ya aina fulani ya pedi yakabadili 'flow' ya damu ya hedhi?

Je, inawezekana matumizi ya aina fulani ya pedi yakabadili 'flow' ya damu ya hedhi?

Mmhhhh!!!!
Nadhani inategemea NTU na NTU...
Ushauri kwa anaetumia pad zinamletea shida better atumie gozi au pad za kufua zipo.
 
Mimi nilikuwa natumia ila nikawa naumwa tumbo sana nikiwa kwenye hedhi.
Nilijua ni kawaida.
Siku ziliniishia nikakosa dukani ikabidi nichukue nyingine. Sikuumwa tumbo kabisa.
Lakini bado sikugundua kwamba tatizo ni Pad.
Mzunguko mwingine nilianza tumbo haliumi kabisa ila baada ya kuvaa HQ likaanza hapo hapo kuuma, wazo likanijia hebu niivue nikaivua nikavaa nyingine tumbo likakata.
Hadi Leo Sivaagi tena maana ule ubaridi una kama kasumaku kanavuta uchi sijui..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilikuwa natumia ila nikawa naumwa tumbo sana nikiwa kwenye hedhi.
Nilijua ni kawaida.
Siku ziliniishia nikakosa dukani ikabidi nichukue nyingine. Sikuumwa tumbo kabisa.
Lakini bado sikugundua kwamba tatizo ni Pad.
Mzunguko mwingine nilianza tumbo haliumi kabisa ila baada ya kuvaa HQ likaanza hapo hapo kuuma, wazo likanijia hebu niivue nikaivua nikavaa nyingine tumbo likakata.
Hadi Leo Sivaagi tena maana ule ubaridi una kama kasumaku kanavuta uchi sijui..

Sent using Jamii Forums mobile app
Same here, niliumwa tumbo hadi nikawaza "nini hiki"!!! nilipoziacha basi hali ikarejea kawaida.
 
Nimekuwa mtumiaji wa pedi hizi aina ya Human Cherish maarufu kama HQ. Nilitokea kuzipenda kutokana na hali yake ya ubaridi kama air condition na harufu yake nzuri ya aerobic tea.

Lakini nimegundua pad hizi si salama na zinaweza kuwa chanzo cha matatizo mengi kwa wanawake hapo baadae.
Kwa uzoefu wangu na baadhi ya watu niliowauliza, unapotumia pedi hizi damu hutoka kidogo sn kuliko kawaida na mzunguko humalizika kabla ya siku za kawaida.
Kwa kulithibitisha hili nilibadili aina ya pedi katikati ya mzunguko na damu zikaongezeka kama kawaida na wakati wa kuchange nikatumia HC na flow ikarudi katika hali ya vitone.

Je wahusika wanatwambia nini kuhusiana na tatizo hili la pedi zao? Je usalama wa afya zetu za uzazi utaachwa salama?
Wanawake wenzangu tujihadhari sana na ikiwezekana tuchukue hatua ya kuzikimbia.
f1b279e1e3be8b81c64dbf78f52a13af.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kama inafyonzwa sana kiasi haionekani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimetumia miaka sijawahi kupata shida yoyote!!
Hayo matatizo ni kwa baadhi yenu.
Sioni kama ni vyema kuhitimisha ati zinaharibu mzunguko wa hedhi hadharani.
Pia wengine tukitumia hizo always, freestyle na nyinginezo tunapata fangasi na miwasho mpaka michubuko.
Generally pedi zote usalama wake inategemeana na mwili wa muhusika


Rubiikimimi[emoji85]
I agree with you...mimi nikitumia zingine ambazo sio HC nachubuka kabisa...na kuwashwa kusiko kawaida. Nadhani inategemea mtu na mtu...kama kitu hakikupendi unaacha..find wat works best for you.
 
Back
Top Bottom