atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Miss Natafuta ktk ubora wakokuna always moja ile ambayo pink yake imekolea sana inawasha balaa sijui ni ya nchi gani kuna siku nilivua chupi barabarani
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miss Natafuta ktk ubora wakokuna always moja ile ambayo pink yake imekolea sana inawasha balaa sijui ni ya nchi gani kuna siku nilivua chupi barabarani
Aisee kuna pedi za hivi???Mimi natumia OB ni za kuingiza ndani kabisa ya K kina baki kikamba tu then unavaa chupi kama kawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna dada alizitumia akajikuta anableed mara mbili kwa mwezi, mzunguko ukabadilika kabisa akawa hatà hauelewi. Baadae ndio akagundua tatizo litakuwa ni pads akaachana nazo.Mimi pia nilitumia mara mbili nikaachana nazo.
Endelea maybe utagundua mengine zaidi.Mimi baada ya kusoma hapa ndo nimegundua kuwa nilienda siku chache. Mimi nilidhani kawaida maana hedhi ya mwezi huu ilikuwa ya maajabu..huwa naumwa tumbo nagaragara ila mwezi huu walaaa hata halikubipu sijui kwa sababu ya nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Zipo nenda pharmacy bei around 5000 na 8000 nzuri sana... Kitu ndani kwa ndani
Same here, niliumwa tumbo hadi nikawaza "nini hiki"!!! nilipoziacha basi hali ikarejea kawaida.Mimi nilikuwa natumia ila nikawa naumwa tumbo sana nikiwa kwenye hedhi.
Nilijua ni kawaida.
Siku ziliniishia nikakosa dukani ikabidi nichukue nyingine. Sikuumwa tumbo kabisa.
Lakini bado sikugundua kwamba tatizo ni Pad.
Mzunguko mwingine nilianza tumbo haliumi kabisa ila baada ya kuvaa HQ likaanza hapo hapo kuuma, wazo likanijia hebu niivue nikaivua nikavaa nyingine tumbo likakata.
Hadi Leo Sivaagi tena maana ule ubaridi una kama kasumaku kanavuta uchi sijui..
Sent using Jamii Forums mobile app
Zile hapana my sis ila Mtu anayezitumia zikamkubali atumie tuu.Same hear, niliumwa tumbo hadi nikawaza "nini hiki"!!! nilipoziacha basi hali ikarejea kawaida.
Ni kweli aisee, alafu kunaweza kukawa na mabadiliko na usinote kuwa tatizo litakuwa ni pedi.
Sio kama inafyonzwa sana kiasi haionekani.Nimekuwa mtumiaji wa pedi hizi aina ya Human Cherish maarufu kama HQ. Nilitokea kuzipenda kutokana na hali yake ya ubaridi kama air condition na harufu yake nzuri ya aerobic tea.
Lakini nimegundua pad hizi si salama na zinaweza kuwa chanzo cha matatizo mengi kwa wanawake hapo baadae.
Kwa uzoefu wangu na baadhi ya watu niliowauliza, unapotumia pedi hizi damu hutoka kidogo sn kuliko kawaida na mzunguko humalizika kabla ya siku za kawaida.
Kwa kulithibitisha hili nilibadili aina ya pedi katikati ya mzunguko na damu zikaongezeka kama kawaida na wakati wa kuchange nikatumia HC na flow ikarudi katika hali ya vitone.
Je wahusika wanatwambia nini kuhusiana na tatizo hili la pedi zao? Je usalama wa afya zetu za uzazi utaachwa salama?
Wanawake wenzangu tujihadhari sana na ikiwezekana tuchukue hatua ya kuzikimbia.![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
zipo ila nadhani zinatanua papuchi balaa
Tuna tabu hatareee....Wanawake tuna taabu jamani!!!
Pole sana...hakuna haja ya kufanya majaribio; tumia uliyoizoea.sizipendi zinavopoozesha papuchi.nilitumia kidogo nikaacha sipendi vitu vyenye machemical ukeni.sijui ac,sijui pafyum hivi vitu vya mchina shida sana bora utumie always ndau.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna always moja ile ambayo pink yake imekolea sana inawasha balaa sijui ni ya nchi gani kuna siku nilivua chupi barabarani
Alafu kitendo cha hiyo damu kubakia hukohuko wakati inatakiwa itoke nje sio hatari kiafya kweli!!!zipo ila nadhani zinatanua papuchi balaa
Kabisaa, alafu sijui ndio inavuta damu hadi inafanya itoke siku chache tu!!!Tuna tabu hatareee....
ule ubaridi unasikia kabisa K inavuta
I agree with you...mimi nikitumia zingine ambazo sio HC nachubuka kabisa...na kuwashwa kusiko kawaida. Nadhani inategemea mtu na mtu...kama kitu hakikupendi unaacha..find wat works best for you.Nimetumia miaka sijawahi kupata shida yoyote!!
Hayo matatizo ni kwa baadhi yenu.
Sioni kama ni vyema kuhitimisha ati zinaharibu mzunguko wa hedhi hadharani.
Pia wengine tukitumia hizo always, freestyle na nyinginezo tunapata fangasi na miwasho mpaka michubuko.
Generally pedi zote usalama wake inategemeana na mwili wa muhusika
Rubiikimimi[emoji85]