Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
shunie unatumia pedi gani?Asante mkuu kwa taarifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shunie unatumia pedi gani?Asante mkuu kwa taarifa
Pamba unaziwekaje pritty.Karibu team pamba,
Mimi natumia pamba halisi, maana hakuna pedi iliyosalama
kudu ukudulie umande, mvua haina ukuduzi
Always mamyshunie unatumia pedi gani?
ila hii ni pantliner .hizi zina madhara sio za hq tuNimekuwa mtumiaji wa pedi hizi aina ya Human Cherish maarufu kama HQ. Nilitokea kuzipenda kutokana na hali yake ya ubaridi kama air condition na harufu yake nzuri ya aerobic tea.
Lakini nimegundua pad hizi si salama na zinaweza kuwa chanzo cha matatizo mengi kwa wanawake hapo baadae.
Kwa uzoefu wangu na baadhi ya watu niliowauliza, unapotumia pedi hizi damu hutoka kidogo sn kuliko kawaida na mzunguko humalizika kabla ya siku za kawaida.
Kwa kulithibitisha hili nilibadili aina ya pedi katikati ya mzunguko na damu zikaongezeka kama kawaida na wakati wa kuchange nikatumia HC na flow ikarudi katika hali ya vitone.
Je wahusika wanatwambia nini kuhusiana na tatizo hili la pedi zao? Je usalama wa afya zetu za uzazi utaachwa salama?
Wanawake wenzangu tujihadhari sana na ikiwezekana tuchukue hatua ya kuzikimbia.![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Inakuwa juu upo darisalama lkn chini upo kilimanjaroHuo baridi sio kabisa
Hahahahaha, ndugu yangu twende pm
Unatumiaje pamba ukiwa periods?!Karibu team pamba,
Mimi natumia pamba halisi, maana hakuna pedi iliyosalama
kudu ukudulie umande, mvua haina ukuduzi
Kumbe wengi mmekuwa interested ngoja ntakuja baadae now bize kidogoUnatumiaje pamba ukiwa periods?!
Ni pamba za aina gani?
Hayaa twakusubiri kwa haamKumbe wengi mmekuwa interested ngoja ntakuja baadae now bize kidogo
kudu ukudulie umande, mvua haina ukuduzi
Mwaga darasa hapa tukawafundishe na wengine.Hahahahaha, ndugu yangu twende pm
kudu ukudulie umande, mvua haina ukuduzi
[emoji39] [emoji39]kuna always moja ile ambayo pink yake imekolea sana inawasha balaa sijui ni ya nchi gani kuna siku nilivua chupi barabarani
Ni best pad kwangu.Mimi nimetumia HC sijaona tatizo lolote , nyuma nilikuwa natumia pad za free style na alwayz yani nilikuwa siponi fungus mara miwasho mara harufu mbaya nikaachana navyo baada ya kutumia hc niko murua na sihami
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa muhenga. Mi nazipenda balaaNimetumia miaka sijawahi kupata shida yoyote!!
Hayo matatizo ni kwa baadhi yenu.
Sioni kama ni vyema kuhitimisha ati zinaharibu mzunguko wa hedhi hadharani.
Pia wengine tukitumia hizo always, freestyle na nyinginezo tunapata fangasi na miwasho mpaka michubuko.
Generally pedi zote usalama wake inategemeana na mwili wa muhusika
Rubiikimimi[emoji85]
Hizo za ndani kwa ndani zikoje jamani??? Damu inaenda wapi sasa???
Ungeweka hapa basi tuelimike wote..mie najitahidi sana kubadili pad ila huwa zinanichubua sijui kwa nini.natafuta mbadala wakeHahahahaha, ndugu yangu twende pm
kudu ukudulie umande, mvua haina ukuduzi