Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii hata mimi inanikuta nikitumia HQ mpaka najiuliza hizo dam zinaganda huko huko ndan kwa ndan...It's very true.. Mimi nikitumia days zinakua chache na hata utokaji wa damu flow inakua ndogo ukilinganisha ninapotumia pedi aina nyingine. kuna muda unataka kubadili pedi unakuta kitu holla...
halafu zina ubaridi fulani ile ukiivaa unasikia ubaridi wa haja huko chini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna always moja ile ambayo pink yake imekolea sana inawasha balaa sijui ni ya nchi gani kuna siku nilivua chupi barabarani
Inakuwaje jaman wew mwanamke upo kwa menstrual bleeding then unaenda swimming pool tena ni public swimming pool?!
Its not fair indeed!
Sent from Samsung Galaxy S8 Plus using JamiiForums mobile app
[emoji2] [emoji2] [emoji2]HQ ni high quality products....zinafyonza damu sana....maendeleo haya....why bleeding for over 5 days??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina uhakika kama wamiliki wa swimming pools wana zuio hilo lakin kwa kutumia tu akili ya kawaida(common sense),si jambo la afya hasa kujali afya za wengineHaturuhusiwi??[emoji15]
Rubiikimimi[emoji85]
Ebu nambie huo ushamba wangu upo wap [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Sent from Samsung Galaxy S8 Plus using JamiiForums mobile app
Kabisa!!!Badilisha title yako.
Kitu kinachokupa madhara wewe sio lazima kiwape madhara wengine ili muwe sawa kwa kuwaminisha kwamba zina shida. Use whats suits your condition.
Maelekezo na Maamuzi kutoka Juu
Hizo za ndani kwa ndani zikoje jamani??? Damu inaenda wapi sasa???Zipo nenda pharmacy bei around 5000 na 8000 nzuri sana... Kitu ndani kwa ndani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umesema papuchi imapooza? Ndo inakuwaje vile mkuu?sizipendi zinavopoozesha papuchi.nilitumia kidogo nikaacha sipendi vitu vyenye machemical ukeni.sijui ac,sijui pafyum hivi vitu vya mchina shida sana bora utumie always ndau.
Hizo nazifahamu ila unajua utokaj wa damu hasa ktk siku ya kwanza na ya pili huwa nyingi zaid sasa hizo tampons hulowa haraka sometimes huweza kuvujisha bloodJaribu kugoogle "tampons women pads"
Hiyo damu yako tu!!Hizo nazifahamu ila unajua utokaj wa damu hasa ktk siku ya kwanza na ya pili huwa nyingi zaid sasa hizo tampons hulowa haraka sometimes huweza kuvujisha blood
Sent from Samsung Galaxy S8 Plus using JamiiForums mobile app
Hata mm hiyo ya kupoozesha uke ndio ilinishinda kbs.sizipendi zinavopoozesha papuchi.nilitumia kidogo nikaacha sipendi vitu vyenye machemical ukeni.sijui ac,sijui pafyum hivi vitu vya mchina shida sana bora utumie always ndau.
hata mimi kwa kweli papuchi inatakliwa iwe na moto bna. aaahHata mm hiyo ya kupoozesha uke ndio ilinishinda kbs.