Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,683
Sasa kama unajua ukimwi upo na unaua unamsapoti vipi anayesema ukimwi haupo na hakuna HIV-virus?Umeandika vizuri, ila mimi sipingi uwepo wa ukimwi, binafsi najua upo na unaua, mimi nipo na ARV tu, uwe na ukimwi usiwe nao ila bado ntaendelea kusimama kwenye matumizi ya ARV, kuhusu kupinga ukimwi mimi sipo ndugu, mind you that, bado nahis ARV ni tatizo na sio UKimwi
Sasa kama unajua ukimwi upo na unaua unamsapoti vipi anayesema ukimwi haupo na hakuna HIV-virus?
Sasa kama unajua ukimwi upo na unaua unamsapoti vipi anayesema ukimwi haupo na hakuna HIV-virus?
Mimi nilishakujibu kuhusu ARV post za nyuma kama unakumbuka na nikakupa na mifano ya nchi nyingine na tukafikia muafaka actually in some way kwamba dawa za ukimwi na umaskini ni receipe for disaster lakini unavyoonekana yet umebase kwenye upande wa Deception halafu unashadadia watu wamsapoti Deception hakuna HIV/ukimwi!!Na nakumbuka pia niligusia kuhusu quality ya hizo dawa!!Apo ndipo mnapomichanganya, mnajua mimi namsapot kila kitu deception,hilo tu ndio tatizo, mimi kuhusu ARV, nipo na deception kwa kweli, ila kwenye ukimwi bado naendelea kuona hoja zenu zipo vipi, yani bado sijashiba kuhusu ukimwi, na ndio maana nataka kuwasikia na nyie mna hoja gan mpya za kumpinga deception ila hamna, mwisho wa siku inabid niamini, maana kma madokta hamjui then kwa nn niendelee kuwaamin? Acha tu deception endeele kutudanganya kwa kwlli
You are better than this.
Deception hajasema ukimwi haupo. Amesema hiv ndio fake. Au pengine uelewa wako ni ukimwi = hiv na kwamba nje ya hiv hakuna ukimwi; tuweke sawa
Warumi my dear, wengi wetu tunapenda sana Deception awe right hata hao madaktari nao wanapenda;...
....Hata wafanyakazi wa tacaids nao wangefurahi kama huyu mdudu asingekuwepo...
....Issue ni kwamba wengi wetu tumeona vifo na mateso mengi ya 'ukimwi' pasipo hata matumizi ya arv na pia tumeona wengi waliokuwa positive muda mfupi wakianza kunywa arv wanakufa. Sasa ndio hapo tunapochanganyikiwa....
...3. Kungekuwa na scientific debate kati ya Wanasayansi wakubwa pro hiv na hiv denialists ingesaidia sana
Sio kweli.Antibiotic inamuua au kumdhoofisha bacteria na haihusiani na immune system.Kuna watu wana residriv urinary tract infection na wanatumia antibiotics for maintanance hawana matatizo na immune system.Back in early 2000 kulikuwa na nurse mmoja kwenye one of the national parks. Aliniambia hata matumizi ya muda mrefu ya antibiotic yanaweza leta upungufu wa kinga mwilini. Namkubali sana huyo nurse. Hii ilikuwa kabla sijasikia kuhusu hiv denial.
So my dear Ukimwi unaweza sababishwa na kitu kingine na sio lazima hiv.
Mimi nilishakujibu kuhusu ARV post za nyuma kama unakumbuka na nikakupa na mifano ya nchi nyingine na tukafikia muafaka actually in some way kwamba dawa za ukimwi na umaskini ni receipe for disaster lakini unavyoonekana yet umebase kwenye upande wa Deception halafu unashadadia watu wamsapoti Deception hakuna HIV/ukimwi!!
Yeye ndo anayepinga kama ukimwi haupo ndo ajitoe tuthibitishe mimi NASEMA UKIMWI UPO NA UNAUA NA UKIAMINI HAUPO NA UNAKUNYWA JUISI YA MAEMBE NAKUSHESABIA SIKU ZA KUISHI!!
Hapo kwenye nyekundu si kweli.
Si kweli,halafu wakale wapi?
Hapa kwenye nyekundu ndipo kwenye hoja zangu za msingi.Na jambo hili kama ungekuwa makini kufuatilia nimeshalijibu.Lakini hukuwa makini.
Niliwahi kuwaambia watu kwamba unaweza kuona kitu lakini usikielewe,na hii inatokana na uelewa wako kuhusu kitu hicho.Sasa basi,hao watu uliowaona wewe je,unajua sababu ya msingi iliyowaondoa hata kama hawakutumia ARVs?Sehemu kama hizi ndizo ngumu kwa watu kuzielewa kama watakuwa na bias.
Ukiona mtu amepata TB ujue alikuwa na upungufu wa kinga wakati anapata hiyo TB,kama huamini muulize Dr yeyote yule.Na si wagonjwa wote wenye TB wamepimwa HIV+,lakini kutokuwa HIV+ haimaanishi kwamba huwana upungufu wa kinga,umeelewa hapo.
Pia inabidi ufahamu kwamba dalili za TB zinafanana kabisa na zile dalili ambazo wewe umeambiwa ndio dalili za ukimwi,upo hapo?
-Kupungua uzito
-Kukonda sana
-Kukohoa mara kwa mara
-Homa za mara kwa mara
-Kukosa hamu ya kula
-Kuharisha au kutapika kutegemea na aina ya TB
-Kukosa nguvu
Je hata wewe huoni kwamba TB nayo ni ukimwi?Au ukimwi ni nini hasa?Unajichanganya wewe mwenyewe.Ukiwa na bias maeneo kama haya kamwe huwezi kuujua ukweli asilani abadan.
Sasa je,una uhakika gani kama kile ulichokiona sio TB au hakikusababishwa na sababu nyingine zinazofanana na TB?Acha bias kama kweli unataka kuelewa.
We unachokoza watu sasa.Unafikiri hao wagunduzi wanapenda kujadili hoja tofauti na zao pamoja na kwamba hiyo wanayosema dawa ya HIV haijapatikana?Kwa kuwa dawa ya huyo HIV haijapatikana,wewe huoni kwamba ndio ungekuwa wakati muafaka kutoa nafasi kwa hoja tofauti kujaribu nafasi yao?Huoni kitu hapo?
Nikipata muda nitakuletea video yenye mambo mengi sana lakini pia utaona jinsi mgunduzi mmoja wa HIV anavyopinga kuulizwa maswali fulani fulani ambayo ni kinyume na theory rasmi.
Apo ndipo mnapomichanganya, mnajua mimi namsapot kila kitu deception,hilo tu ndio tatizo, mimi kuhusu ARV, nipo na deception kwa kweli, ila kwenye ukimwi bado naendelea kuona hoja zenu zipo vipi, yani bado sijashiba kuhusu ukimwi, na ndio maana nataka kuwasikia na nyie mna hoja gan mpya za kumpinga deception ila hamna, mwisho wa siku inabid niamini, maana kma madokta hamjui then kwa nn niendelee kuwaamin? Acha tu deception endeele kutudanganya kwa kwlli
You are better than this.
Deception hajasema ukimwi haupo. Amesema hiv ndio fake. Au pengine uelewa wako ni ukimwi = hiv na kwamba nje ya hiv hakuna ukimwi; tuweke sawa
Sasa HIV ni fake AIDs ni nini then?Unajua maneno yenu yanawafunga kamba wenyewe!
Doctor try to understand Deception
Hajasema ukimwi haupo amethibitisha UKIMWI upo
Anachopinga yeye ni HIV kuwa inasabisha UKIMWI
Kwa akil ndogo tu;
UKIMWI ni upungufu wa kinga mwilini
Hivyo MTU akiwa na TB kinga inashuka means anakuwa na upungufu wa kinga ya mwili
MTU akiwa na cancer,pneumonia, typhoid au ugonjwa wowote na ukamsumbua kwauda mrefu lazima kinga ya mwili itashuka hivyo atakuwa na upungufu wa kinga mwilini lakin sio HIV+
Kwa elimu yangu ndogo ninaweza kasema MTU unaweza kuwa na UKIMWI pasipo kuwa na VVU
Ni mtazamo tuuuu..
Nahitaji facts zaidi ili niweze kuside. Nimechanganyikiwa.
Nina ndugu zangu waliofariki bila kutumia arv (zaidi ya 4 watoto wakiwemo)
Nina ndugu ambaye alikuwa vizuri hiv+ kwa miaka 12 akaanza kutumia arv hakuchukua miezi 4 akafariki
Nina ndugu mwingine alifiwa na mumewe na amekuwa kwenye arv kwa mwaka wa 4 sasa
Unaona dilemma yangu hiyo?
Mimi nilishakujibu kuhusu ARV post za nyuma kama unakumbuka na nikakupa na mifano ya nchi nyingine na tukafikia muafaka actually in some way kwamba dawa za ukimwi na umaskini ni receipe for disaster lakini unavyoonekana yet umebase kwenye upande wa Deception halafu unashadadia watu wamsapoti Deception hakuna HIV/ukimwi!!Na nakumbuka pia niligusia kuhusu quality ya hizo dawa!!
Mimi nilishakujibu kuhusu ARV post za nyuma kama unakumbuka na nikakupa na mifano ya nchi nyingine na tukafikia muafaka actually in some way kwamba dawa za ukimwi na umaskini ni receipe for disaster lakini unavyoonekana yet umebase kwenye upande wa Deception halafu unashadadia watu wamsapotiDeception hakuna HIV/ukimwi!!Na nakumbuka pia niligusia kuhusu quality ya hizo dawa!!
Binafsi nimekuwa ni msomaji zaidi ya kuandika au kujibu,kuna wakati uzalendo umekuwa ukinishinda baada ya kuona watu either wanaamua kutokumuelewa Deception kwa makusudi au ni kwasababu uwezo wao wa kufikiri upo chini saaaanaDoctor try to understand Deception
Hajasema ukimwi haupo amethibitisha UKIMWI upo
Anachopinga yeye ni HIV kuwa inasabisha UKIMWI
Kwa akil ndogo tu;
UKIMWI ni upungufu wa kinga mwilini
Hivyo MTU akiwa na TB kinga inashuka means anakuwa na upungufu wa kinga ya mwili
MTU akiwa na cancer,pneumonia, typhoid au ugonjwa wowote na ukamsumbua kwauda mrefu lazima kinga ya mwili itashuka hivyo atakuwa na upungufu wa kinga mwilini lakin sio HIV+
Kwa elimu yangu ndogo ninaweza kasema MTU unaweza kuwa na UKIMWI pasipo kuwa na VVU
Ni mtazamo tuuuu..
Sasa kama HIV haisababishi ukimwi.HIV ni nini then?