Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Nimekufuatilia vizuri sana ila unapaswa kutueleza kuhusu ukimwi zaidi maana hiv umefafanua tayari mkuu

Ukimwi=Upungufu wa kinga mwilini,ukimwi hauambukizwi kwa jinsi yoyote ile kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine,asilan abadani hauambukizwi.Ukimwi ulikuwapo karne nyingi zilizopita kabla ya hata mwaka 1984 baada ya kutangazwa kwa HIV feki.Ukimwi si jambo la kutisha/kutishia maisha kama utajua sayansi yake kwa maana ya chanzo na jinsi ya kukikabili.Ukimwi unatibika kirahisi sana tena kuliko magonjwa mengi sana na ukimwi hausababishwi na HIV kama tulivyoaminishwa huko nyuma.
Sababu zinazosababisha ukimwi ziko nyingi sana.Katika hizi sababu nyingi HIV hayumo.Na ndio maana kuna wakati nasema sababu kubwa inayosababisha ukimwi ni lifestyle;

1.Malnutrition/utapiamlo,
2.Oxdative stress,
3.Repeated infections
4.Ukosefu wa maji safi ya kunywa
5.Alcohol abuse
6.Frequent use of drugs(eg antibiotics,diclofenac,ARVs,contraceptive pills,chemotherapy,radiations etc),
7.Frequent use of drugs(heroin,cocaine etc )
8.Stress/msongo

Ukimwi humtokea mtu yeyote wakati wowote,na wakati mwingine ukimwi hutoweka wenyewe bila hata mhusika kujijua,endapo tu atabadilisha lifestyle.Kila mtu alishawahi kupata ukimwi wakati fulani wa maisha yake,na ndio maana kuna wakati tunaumwa magonjwa ya kuambukizwa mara kwa mara halafu kuna wakati tunakaa muda mrefu sana bila kuumwa.Mwili hujikinga kwa namna tofauti tofauti kulingana na ugonjwa.Lakini endapo kinga itashuka kidogo basi ni rahisi kushambuliwa na magonjwa ya kuambukizwa au yasiyoambukizwa kama cancer.
Leo hii tumekuwa brainwashed na tunauona ukimwi ni ugonjwa wa kutisha sana tofauti na kipindi cha nyuma,watu watakuona wewe umechanganyikiwa kama utasema kwamba ukimwi hautishi na wala hauambukizwi.Jamaa hawa wamefanikiwa sana kuturubuni akili zetu.Njia wanazozitumia kurubuni akili zetu ni very scientific,kwa akili za watu wengi na hasa sisi weusi si rahisi kung'amua uongo huu wa kisayansi,wametumia sayansi kubwa sana kutudanganya.

Sasa kama una swali kuhusu ukimwi zaidi ya hayo niliyoeleza,kuwa huru,nakukaribisha.
 
Mkuu Deception nime ku pm nasubiria jibu.
 
Last edited by a moderator:
Angalia reply/post yangu #103 .Kama hujaelewa rudi tena hapa.

Ukimwi=Upungufu wa kinga mwilini,ukimwi hauambukizwi kwa jinsi yoyote ile kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine,asilan abadani hauambukizwi.Ukimwi ulikuwapo karne nyingi zilizopita kabla ya hata mwaka 1984 baada ya kutangazwa kwa HIV feki.Ukimwi si jambo la kutisha/kutishia maisha kama utajua sayansi yake kwa maana ya chanzo na jinsi ya kukikabili.Ukimwi unatibika kirahisi sana tena kuliko magonjwa mengi sana na ukimwi hausababishwi na HIV kama tulivyoaminishwa huko nyuma.
Sababu zinazosababisha ukimwi ziko nyingi sana.Katika hizi sababu nyingi HIV hayumo.Na ndio maana kuna wakati nasema sababu kubwa inayosababisha ukimwi ni lifestyle;

1.Malnutrition/utapiamlo,
2.Oxdative stress,
3.Repeated infections
4.Ukosefu wa maji safi ya kunywa
5.Alcohol abuse
6.Frequent use of drugs(eg antibiotics,diclofenac,ARVs,contraceptive pills,chemotherapy,radiations etc),
7.Frequent use of drugs(heroin,cocaine etc )
8.Stress/msongo

Ukimwi humtokea mtu yeyote wakati wowote,na wakati mwingine ukimwi hutoweka wenyewe bila hata mhusika kujijua,endapo tu atabadilisha lifestyle.Kila mtu alishawahi kupata ukimwi wakati fulani wa maisha yake,na ndio maana kuna wakati tunaumwa magonjwa ya kuambukizwa mara kwa mara halafu kuna wakati tunakaa muda mrefu sana bila kuumwa.Mwili hujikinga kwa namna tofauti tofauti kulingana na ugonjwa.Lakini endapo kinga itashuka kidogo basi ni rahisi kushambuliwa na magonjwa ya kuambukizwa au yasiyoambukizwa kama cancer.
Leo hii tumekuwa brainwashed na tunauona ukimwi ni ugonjwa wa kutisha sana tofauti na kipindi cha nyuma,watu watakuona wewe umechanganyikiwa kama utasema kwamba ukimwi hautishi na wala hauambukizwi.Jamaa hawa wamefanikiwa sana kuturubuni akili zetu.Njia wanazozitumia kurubuni akili zetu ni very scientific,kwa akili za watu wengi na hasa sisi weusi si rahisi kung'amua uongo huu wa kisayansi,wametumia sayansi kubwa sana kutudanganya.

Sasa kama una swali kuhusu ukimwi zaidi ya hayo niliyoeleza,kuwa huru,nakukaribisha.

Mkuu asante kwa elimu...kuna swal langu hapo juu hujalijibu...!
 
Mkuu nachojua unaweza kupima na ukakutwa ni HIV+ lakini ukashauriwa usianze kutumia ARVs kwakua kinga yako haijashuka sana,,ila unashauriwa kujenga afya yako na kupima kiwango cha kinga yako mara kwa mara ili kujua siku unayoweza kuaanza kutumia ARVs...hii ikoje?

Samahani nilipitiwa kidogo;

Sina uhakika vituo ulivyotembelea wewe kutafiti.Lakini ninachojua mimi siku hizi wamebadilisha utaratibu.

Siku hizi ukikutwa tu HIV+ hapohapo unapewa zigo la dawa bila kujali kama kinga yako iko juu au la,labda vituo vingine ambavyo sijawahi kufika inaweza ikawa tofauti.

Na kuna uwezekano mkubwa wamefanya hivyo kwa uzoefu kwamba siku hizi watu wameuzoea ungonjwa huu(kwangu mimi ni feki) hivyo hata mtu akiambiwa ni HIV+ huwa hapati msongo sana kama kipindi kile cha miaka ya nyuma,huwa atachukulia poa tu ndio imetokea halafu anaendelea na shughuli zake,sasa watu kama hawa wakishauriwa kula vizuri kinga zao hazishuki chini ya kiwango cha kuanza kutumia ARVs kwa sababu hawana msongo wa mawazo.

Sasa hili si jambo jema kwa wauza ARVs kwa kuwa wale wanaotegemewa kinga zishuke ili waanzishiwe dawa kinga zao hazishuki hivyo wanakosa wateja.Na ndio maana wakaamua kuja na utaratibu mpya,ukipimwa HIV+ tu,unabebeshwa zigo lako hapohapo.Lakini kama kweli HIV angekuwa ndiye anayehusika kushusha kinga ya mwili,watu hawa lazima wangerudi mapema kuanzishiwa dawa,lakini ukweli hauko hivyo,na ndio maana kuna wakati nilisema kwamba kuna watu wengi sana duniani ambao wana HIV lakini hawana AIDS,kwa afrika peke yake ni 97%.Yaani 97% ya watu wenye HIV,hawana AIDS.Baada ya kupata takwimu hizi WHO wakaamua kubadili utaratibu.Hebu fanya tafiti tena halafu uje unijuze na mimi kama wamebadilisha tena.Lakini sasa iko hivyo.Ukiwa HIV+ hapohapo unaondoka na zigo lako la ARVs ukahangaike nalo.

Mwanzo waliweka CD4 zikiwa chini ya 250 cells/mm3,wakaona hailipi,wakapandisha kufikia 350 cells/mm3 nayo wakaona hailipi sasa wamepandisha kuwa 500 cells/mm3 sehemu nyingi tu.Wanabadilisha vigezo kila wakati ili kukidhi vigezo vya kutengeneza faida.

Na sasa hivi wameweka vigezo vingine ili kulazimisha watu waanze kutumia ARVs mapema,wameweka criteria kibao siwezi kuzitaja zote.Mojawapo wanasema inabidi uanze mapema ili kupunguza uwezekano wa kuambukiza wengine,hii sanasana iko kwa kina mama wajawazito,wanaonyonyesha,watoto chini ya miaka 5 nk,hapa hawajali CD4 zako ziko vipi.Pia kuna criteria kibao ambazo ukizifuatilia vizuri utaona kwamba kila mtu anaingia katika mkumbo huo wa kuanzishwa mapema ARVs.

Sasa jiulize,kwa nini criteria zibadilike kila kukicha ilihali ugonjwa huu una miaka mingi sana sasa?Kama uko vyema ni rahisi sana kugundua uongo wao.Na ndio maana huwa nasema suala hili ni pana sana,hawa jamaa wanafanya kazi usiku na mchana kutunga mambo mapya ili kutetea biashara yao.Kuna mengi sijayaeleza hapa kuhusu hili swali lako,lakini hayo tu niliyoeleza ukitaka kujua kwamba wametudanganya utajua tu kwa kujiuliza maswali ambayo hayana majibu na hata hao wenyewe hawana majibu.

Ngoja nikwambie kitu;Kwenye dunia ya leo haijalishi kama una evidence au la,haijalishi kama unachosema kina mantiki au la,kinachoangaliwa katika dunia ya leo sio ukweli ulivyo bali ni jinsi maslahi yalivyo.

Ukiwa kwenye panel unafanya debate na watu wanaokupinga halafu ukatoa evidence,wanaokupinga pia wanajua kwamba wewe unasema kweli na wanajua pia kwamba evidence unayotoa hapingiki lakini watacheka tu na kuendelea na shughuli zao kama ilivyo kawaida.

Ukijua ukweli wa mambo mengi ulivyo kwenye dunia hii ni raha kwako binafsi kwa kuwa utakuwa huru lakini kwa upande mwingi utaishi kwa majonzi sana kama kweli una upendo na wengine na unataka wengine wajue lakini hawakupi nafasi ya kukusikiliza au jamii inayokuzunguka inakucheka ili hali unachoeleza wewe ni ukweli mtupu.
 
Deception

Kuna kitu najiuliza.Kama hawa wazungu wanetegemea faida kwenye mauzo ya hizi dawa mbona Serikali zao ndio bado zinatumia fedha nyingi kugharamikia hii ishu?

Ni kwamba na wao hawajui kinachoendelea au wanafahamu ila wanacholeta kwa mgongo wa msaada ni kidogo sana kulingana na wanachopata?
 
Last edited by a moderator:
Kuna kitu najiuliza.Kama hawa wazungu wanetegemea faida kwenye mauzo ya hizi dawa mbona Serikali zao ndio bado zinatumia fedha nyingi kugharamikia hii ishu?

Ni kwamba na wao hawajui kinachoendelea au wanafahamu ila wanacholeta kwa mgongo wa msaada ni kidogo sana kulingana na wanachopata?

Na je huko ulaya na marekani wananchi hawashauriwi kupima HIV? Vp kwa wajawazito wakati wa kujifungua?
 
Na je huko ulaya na marekani wananchi hawashauriwi kupima HIV? Vp kwa wajawazito wakati wa kujifungua?

Marekani ni lazima upimwe ukimwi ukiwa mjamzito, utake usitake.

jamani ukimwi unaepukika, it takes 2 minutes kumpima mtu. ukiona anajidai alishapima na hataki kupima tena akiwa na wewe, achana naye. siyo lazima kulala naye halafu baada ya hapo pressure ikapanda. ni good habit kupima kila mwaka especially kama uko sexually active
 
Kuna kitu najiuliza.Kama hawa wazungu wanetegemea faida kwenye mauzo ya hizi dawa mbona Serikali zao ndio bado zinatumia fedha nyingi kugharamikia hii ishu?

Ni kwamba na wao hawajui kinachoendelea au wanafahamu ila wanacholeta kwa mgongo wa msaada ni kidogo sana kulingana na wanachopata?

Kamuulize mkuu WA kaya vizuri kama hizo dawa huwa wanapewa Bure kama unavodhani???
 
Kuweni Makini na Maelezo ya Deception. HIV yupo, na anashambulia kinga ya mwili na kupelekea UKIMWI, achaneni na hizi conspiracy theories zake . Nadhani almost kila mtu ashaona/Uguza mtu mwenye UKIMWI. Iwapo HIV hana madhara iweje tushuhudie mtu ambaye naye alikuwa na mpenzi aliyekufa kwa AIDS kutokana na HIV kumshambulia na yeye baada ya muda fulani aanze kudevelop dalili za AIDS?.

HIV inashambulia kinga na kupelekea magonjwa nyemelezi kama vile carposis sarcoma, TB, Shingles n.k kujitokeza.
Lakini pamoja na hayo, kuna stage acute symptoms kujitokeza, laiti HIV angekuwa harmless haya yasingetokea
 
Deception

Bravoo!
Mkuu upo vizur.
Cheki hii true story iliyotwist brain yangu.
Kuna jamaa yangu mwaka 2013 mwishoni aliambukizwa HIV(feki) kwa makusudi na mwanamke wake wakati huo akitumia ARV kisha kumwambia akapime ili aanze dozi maana keshakufa. Akaanza kuharisha, mara kakonda, vipele havikuchelewa, Akanifuata kwa ushauri sababu alipanic, moja kwa moja kupima kweli akakuta anao (HIV+feki) wakampa hapo hapo dozi. tuliporudi nikamuacha home apumzike nikaenda kijiweni na kuwakuta jamaa (huwa wanaenda kwa madiba na kurudi) wakibishana juu ya aids.

Walisema muhimu ni kupima magonjwa haya; pneumonia, malaria,TB.usijaribu kumeza ARV! na ukiwa na moja kati ya hayo yatibu kisha kula mlo kamili ndani ya mwezi kisha kapime tena.! Basi nikampelekea jamaa yangu huo ushauri na kwa shingo upande akaufuata akaenda kupima kesho yake akakutwa na pneumonia akapewa dawa zake baada ya wiki 2 akaanza kula chakula kamili, matunda mengi.

Huwezi kuamini baada ya mwezi na wiki 1 tukaenda palepale alipopima na kukutwa yupo HIV- yenyewe wale wapimaji walishangaa maana walijua kafuata dozi ingine. Hivi sasa ameoa na ana watoto wawili as always yupo negative. Hapo ndipo nikaanza kuhisi conspiracy flani hivi.
Nina swali moja;

Kuna suala nahitaji ufahamu kidogo..

Je ukitembea peku na mtumiaji wa arvs kuna side effects? Kama zipo nitajie.
 
Last edited by a moderator:
Kuna kitu najiuliza.Kama hawa wazungu wanetegemea faida kwenye mauzo ya hizi dawa mbona Serikali zao ndio bado zinatumia fedha nyingi kugharamikia hii ishu?......

Hata wewe ukiona biashara yako inalipa vizuri lazima utawekeza zaidi.

.....Ni kwamba na wao hawajui kinachoendelea au wanafahamu ila wanacholeta kwa mgongo wa msaada ni kidogo sana kulingana na wanachopata?

Exactly!!Ulichosema hapo kwenye nyekundu ndio ukweli wenyewe.
Lakini nakusahihisha kidogo.Hawaleti msaada,tunalipia vyote hivyo,lakini wewe umeambiwa na vyombo vyako vya habari kama ni msaada.Hata rais wako anajua kwamba si msaada,wananchi ndio wanajua kwamba ni msaada.Niikulize kitu hapa;
Mimi nikija kukupa msaada wa Tshs 2mil kama msaada wa kumuuguza mjomba wako halafu nikakupa mkataba uweke sahihi/saini yako kupokea kiasi hicho cha fedha,Je,huo utakuwa ni msaada?Toka lini mtu unasaini kupokea msaada?Ok,hii ishu ya misaada kutoka nje nayo ni topic kubwa,hebu tuachane nayo.Natumaini umenielewa.
 
Na je huko ulaya na marekani wananchi hawashauriwi kupima HIV? Vp kwa wajawazito wakati wa kujifungua?

Sheria/slogan zote ambazo ziko huku kwetu bara la giza, na ulaya pia zipo.Ila tofauti kubwa ipo kwenye uelewa.

Asilimia kubwa ya wazungu wanaelewa ukweli huu kuhusu HIV/AIDS kama ni ugonjwa feki,kama huamini muulize jamaa yako yeyote anayeishi ulaya/marekani akufanyie utafiti mdogo tu.
Kinachofanyika kule sasa hivi ni maigizo ya HIV/AIDS kama vile kuunda vikundi/NGO za mambo hayo ili kurubuni akili za mwafrika na nchi zinazoendelea, maana ndiko kwenye soko kubwa kwa sasa.
 
Marekani ni lazima upimwe ukimwi ukiwa mjamzito, utake usitake....

Uko sahihi.

...jamani ukimwi unaepukika, it takes 2 minutes kumpima mtu....

Ni kweli ukimwi unaepukika.Lakini si kweli kwamba kwenye vituo vya upimaji wanapima ukimwi.Hawapimi ukimwi bali wanapima VVU/HIV(feki).

.....ukiona anajidai alishapima na hataki kupima tena akiwa na wewe, achana naye. siyo lazima kulala naye halafu baada ya hapo pressure ikapanda. ni good habit kupima kila mwaka especially kama uko sexually active

HIV/AIDS haiambukizwi, na haiambukizwi kwa njia ya ngono.Hata ukinywa damu ya mtu uliyeambiwa ni HIV+ hutapata HIV/AIDS kamwe.
HIV/AIDS is a mindset disease.Ulichoambiwa miaka 30 iliyopita kuhusu HIV/AIDS sio kweli,HIV(feki) hasababishi AIDS/Ukimwi.Jitahidi kusoma ndugu yangu ili ujue na upande wa pili kuna nini,ondoka gizani uje kwenye mwanga.

SOMA UJIKOMBOE.
 
Ukofanya mapenzi na mtu anayetumia ARV utapata nn
 
Kuweni Makini na Maelezo ya Deception. HIV yupo, na anashambulia kinga ya mwili na kupelekea UKIMWI, achaneni na hizi conspiracy theories zake . Nadhani almost kila mtu ashaona/Uguza mtu mwenye UKIMWI.....

Wewe ukiendelea kuwa na mlengo huo kamwe huwezi kuelewa.Nilishakwambia mara nyingi kwamba using'ang'anie kukumbatia jambo ambalo hulielewi,jitahidi kusoma na kufuatilia upande wa pili una facts gani.Unasema vitu kwa hisia tu pasi na uthibitisho,nimekupa uthibitisho mwingi tu husomi,unakumbatia elimu rasmi.Sasa kati ya mimi na wewe nani anafanya conspiracy?Unakuja kwenye uzi huu kwa kunyemelea,unadokoa kidogo,ukipewa facts unapotea.Huna evidence ya kile unachokisema zaidi ya hisia na ukosefu wa knowledge sahihi.Mimi nimeshauguza hao wagonjwa sana kuliko wewe unavyodhani,hivyo najua sababu halisi iliyowasumbua na si ile unayoijua wewe.Mimi nilikuwa nauguza nikiwa na open mind na kufanya tafiti wakati huohuo,wewe ulikuwa unauguza ukiwa gizani hivyo hukuweza kung'amua chochote zaidi ya kile ulichodanganywa.

1.Thibitisha kwamba HIV yupo.
2.Thibitisha kwamba HIV anashambulia kinga ya mwili.

...Iwapo HIV hana madhara iweje tushuhudie mtu ambaye naye alikuwa na mpenzi aliyekufa kwa AIDS kutokana na HIV kumshambulia na yeye baada ya muda fulani aanze kudevelop dalili za AIDS?....

JIBU:
Kushuhudia si suala la msingi,suala la msingi ni kujua sababu iliyosababisha uone kile unachokishuhudia.Kama sio open minded na sio mdadisi wa kila ulichokishuhudia,kamwe huwezi kung'amua ukweli uliojificha.Elimu ipo wazi hapa lakini hutahi hata kuigusa,unakimbiakimbia tu,ushindani hautakupeleka popote,soma ndugu yangu upevuke kiuelewa.Kwanini uko hivyo ndugu?

....HIV inashambulia kinga na kupelekea magonjwa nyemelezi kama vile carposis sarcoma, TB, Shingles n.k kujitokeza....

Haha haaa....Ndugu yangu unanichekesha sana wewe.Sikulaumu sana wewe kwa maana hivyo ndivyo ulivyofundishwa kutoka kwenye vyombo rasmi kutoka kwa Obama,na ndivyo unavyoamini.Hebu tuchukulie carposis sarcoma peke yake kuokoa muda;
Carposis sarcoma haisababishwi kama wewe unavyoamini,sababu yake ni nyingine kabisa,na ndio maana huwa nakusisitiza upende kusoma.Kwa sababu wewe umekaa kiubishi zaidi,sina budi kukuomba uthibitishe unachosema halafu na mimi nitakuletea uthibitisho wa kisayansi ugonjwa huu unasababishwa na nini tofauti na ulivyoaminishwa.
Fahamu kwamba,wakati unaleta maelezo yako ujue kabisa kwamba carposis sarcoma ni cancer.Sijui kama umeng'amua kitu hapo.Nakusubiri tuwathibitishie wana JF ni nani mwana maconspiracy kati ya mimi na wewe.

...... laiti HIV angekuwa harmless haya yasingetokea

Unakumbuka data niliyotoa kwamba 97% ya watu wenye HIV(feki) (kwa miaka mingi) Afrika hawana AIDS?Unaweza kung'amua kitu hapo?Hii ni data ya 'miungu' wako WHO.

Na ndio maana mwanzo nilisema,siku hizi cha msingi sio scientifc evidence,bali cha msingi ni maslahi.Watu hukimbilia kuomba evidence lakini wakipewa evidence hawasomi kwa kuwa wakisoma na kuelewa watapoteza ushindi mbele ya watu.Hivyo kwa kuogopa kushindwa(kwa sababu wamejikitika kupinga) huwa wanaomba evidence kama mtego tu na si kwamba wanahitaji kweli hizo evidence kujiridhisha.Wewe ndio uko hivyo.
 
Bravoo!
Mkuu upo vizur.
Cheki hii true story iliyotwist brain yangu.
Kuna jamaa yangu mwaka 2013 mwishoni aliambukizwa HIV(feki) kwa makusudi na mwanamke wake wakati huo akitumia ARV kisha kumwambia akapime ili aanze dozi maana keshakufa. Akaanza kuharisha, mara kakonda, vipele havikuchelewa, Akanifuata kwa ushauri sababu alipanic, moja kwa moja kupima kweli akakuta anao (HIV+feki) wakampa hapo hapo dozi. tuliporudi nikamuacha home apumzike nikaenda kijiweni na kuwakuta jamaa (huwa wanaenda kwa madiba na kurudi) wakibishana juu ya aids. Walisema muhimu ni kupima magonjwa haya; pneumonia, malaria,TB.usijaribu kumeza ARV! na ukiwa na moja kati ya hayo yatibu kisha kula mlo kamili ndani ya mwezi kisha kapime tena.! Basi nikampelekea jamaa yangu huo ushauri na kwa shingo upande akaufuata akaenda kupima kesho yake akakutwa na pneumonia akapewa dawa zake baada ya wiki 2 akaanza kula chakula kamili, matunda mengi. Huwezi kuamini baada ya mwezi na wiki 1 tukaenda palepale alipopima na kukutwa yupo HIV- yenyewe wale wapimaji walishangaa maana walijua kafuata dozi ingine. Hivi sasa ameoa na ana watoto wawili as always yupo negative. Hapo ndipo nikaanza kuhisi conspiracy flani hivi.
Nina swali moja;
Kuna suala nahitaji ufahamu kidogo..
Je ukitembea peku na mtumiaji wa arvs kuna side effects? Kama zipo nitajie.

Siku moja nilikuwa nawaelezea watu kuhusu Thabo Mbeki,kisa kilichomfanya angolewe madarakani kabla ya kumaliza muda wake.Hao jamaa walichokipata South Africa ndio matokeo ya elimu aliyoitoa Thabo Mbeki kwa wananchi wake ambayo ndio imempelekea yeye angolewe madarakani na kuwekwa chizi Zuma ili aokoe jahazi la biashara ya ARVs linalozama.
Wewe ni mmoja wa mashuhuda kwa sababu umejionea mwenyewe baada ya kufanya kwa vitendo.Lakini pamoja na evidence hiyo,bado watu wataendelea kung'ang'ania walichoaminishwa hata kama wameuona ukweli huu unaoeleza wewe.Kwa kuwa siku hizi evidence sio ishu,ishu ni maslahi.Hata hao waliompima bado hawataamini ukweli huo,hii ni kasumba mbaya sana.Pia inabidi ufahamu kwamba jamaa yako hakuwa HIV+ eti kwa sababu alitembea na mtu ambaye ni HIV+,la hasha.Mtu yeyote anaweza kupimwa HIV+ hata kama yeye ni bikira,suala la msingi hapa lipo kwenye sayansi ya vipimo,vipimo hivi nilishasema mwanzo kwamba viko very tricky.Mtu yeyote anaweza kupima HIV+ kwa vipimo hivi.
Ukitembea peku na mtu anayetumia ARVs hamna side effects zozote.Labda sanasana utakuwa mwoga tu wakati wa kufanya tendo lenyewe.
 
Bravoo!
Mkuu upo vizur.
Cheki hii true story iliyotwist brain yangu.
Kuna jamaa yangu mwaka 2013 mwishoni aliambukizwa HIV(feki) kwa makusudi na mwanamke wake wakati huo akitumia ARV kisha kumwambia akapime ili aanze dozi maana keshakufa. Akaanza kuharisha, mara kakonda, vipele havikuchelewa, Akanifuata kwa ushauri sababu alipanic, moja kwa moja kupima kweli akakuta anao (HIV+feki) wakampa hapo hapo dozi. tuliporudi nikamuacha home apumzike nikaenda kijiweni na kuwakuta jamaa (huwa wanaenda kwa madiba na kurudi) wakibishana juu ya aids. Walisema muhimu ni kupima magonjwa haya; pneumonia, malaria,TB.usijaribu kumeza ARV! na ukiwa na moja kati ya hayo yatibu kisha kula mlo kamili ndani ya mwezi kisha kapime tena.! Basi nikampelekea jamaa yangu huo ushauri na kwa shingo upande akaufuata akaenda kupima kesho yake akakutwa na pneumonia akapewa dawa zake baada ya wiki 2 akaanza kula chakula kamili, matunda mengi. Huwezi kuamini baada ya mwezi na wiki 1 tukaenda palepale alipopima na kukutwa yupo HIV- yenyewe wale wapimaji walishangaa maana walijua kafuata dozi ingine. Hivi sasa ameoa na ana watoto wawili as always yupo negative. Hapo ndipo nikaanza kuhisi conspiracy flani hivi.
Nina swali moja;
Kuna suala nahitaji ufahamu kidogo..
Je ukitembea peku na mtumiaji wa arvs kuna side effects? Kama zipo nitajie.

mkuu alianza kupata hzo effcts baada ya kutembea na mtu mwenye ukimwi (ambao ni feki) au alikuwa tayari amisha anza kutokana na ugonjwa alio kwenda kupima badaye na kugundulika anao
 
mkuu alianza kupata hzo effcts baada ya kutembea na mtu mwenye ukimwi (ambao ni feki) au alikuwa tayari amisha anza kutokana na ugonjwa alio kwenda kupima badaye na kugundulika anao

Me nadhan huyo jamaa baada ya kugundua mpenz wake anatumia ARV alipata stress na ndiyo iliyomshusha kinga za mwil.na kinga za mwili zikishuka utapata magonjwa kwa urahisi...
 
Back
Top Bottom