Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Uko sahihi.



Ni kweli ukimwi unaepukika.Lakini si kweli kwamba kwenye vituo vya upimaji wanapima ukimwi.Hawapimi ukimwi bali wanapima VVU/HIV(feki).



HIV/AIDS haiambukizwi, na haiambukizwi kwa njia ya ngono.Hata ukinywa damu ya mtu uliyeambiwa ni HIV+ hutapata HIV/AIDS kamwe.
HIV/AIDS is a mindset disease.Ulichoambiwa miaka 30 iliyopita kuhusu HIV/AIDS sio kweli,HIV(feki) hasababishi AIDS/Ukimwi.Jitahidi kusoma ndugu yangu ili ujue na upande wa pili kuna nini,ondoka gizani uje kwenye mwanga.

SOMA UJIKOMBOE.

niliyokwisha soma yanatosha....sitaki headache
 
.Nashukuru sana Ndugu Deception kwa kutuamsha kutoka kwenye usingizi mzito wa ugonjwa huu feki.

Binafsi imekua rahisi kukuamini kwa sababu mimi mwenyewe ni mfatiliaji wa mambo.mfano kuna research article moja iliyoandikwa na prof. mmoja wa ivory coast akielezea uowongo wa CDC kuhusu ebola na chanzo chake.ishu kama za uzazi wa mpango kwa wamerekani weusi na secrete agenda behind,global warming n.k....
Yote hayo yananiaminisha kuwa VITU VINAVYOONEKANA DUNIANI SIO KAMA VILIVYO.

Hongera kwa kuzinduka,hiyo ndio maana ya elimu hasa;
Unajua mambo haya mtu akiyaingilia kwa pupa anaweza kuishia kudharau tu na kuondoka zake,lakini ukijaliwa kujitolea ka muda kadogo tu kuupa nafasi ubongo wako kudadisi,basi utagundua mambo ambayo kukuwahi kuyafikiria na mambo yenyewe ni mazito kwelikweli.

Kwa mfano;Kuhusu ebola;
Kuna thread moja humu JF niliwahi kuwaambia watu kwamba Ebola ni ugonjwa feki pia na nikawaambia wana JF kwamba kamwe hawawezi kuja kupata Ebola.Watu wakacheka sana,mimi nikaenda zangu.

Pia hili la uzazi wa mpango;
ukiachilia mbali wamarekani weusi,tuzungumzie hapa kwetu maana ndio kunatuhusu.Kampeni zote za uzazi wa mpango kwenye vyombo vyetu rasmi vya habari mwisho wake zinaishia na kuhamasisha watu watumie vidonge vya uzazi wa mpango.Kumbuka kwamba kuna njia nyingi za kufanya uzazi wa mpango,lakini wameng'ang'ania kwenye hili la vidonge,je,unajua kwa nini?

Kwanza kwenye suala zima la uzazi wa mpango wana agenda nyingi,lakini kubwa kuliko yote ni kuuza dawa.Sasa ngoja nikwambie wanafanyaje hapa;
-Kwanza kampeni;"uzazi wa mpango jamani uzazi wa mpangoooo, uzazi wa mpango ndio mpango mzimaaaaaa"
-Pili;Wanawake wanazoea kusikia maneno hayohayo na mwishowe yanageuka kuwa kasumba.

-Tatu;Wanawake wanaambiwa njia rahisi na 'salama' ya uzazi wa mpango ni kutumia vidonge(contraceptive pills).

-Nne;Wanawake wanakubali kwa sababu ya kasumba,na wanaanza kutumia vidonge.Tayari biashara imeanza.

-Tano;Vidonge hivi ambavyo wanasema havina madhara vinasababisha cancer ya kizazi na cancer ya matiti kwa wanawake baada ya kutumika kwa muda mrefu kama zilivyo ARVs.

-Sita;Wanawake hawa hupelekwa Ocean Road kuhudhuria matibabu ambapo pale ndio kituo chao kikubwa cha kuuzia dawa za cancer.Biashara moja imezaa nyingine,vidonge vya uzazi wa mpango vimezaa biashara ya dawa za cancer(chemotherapy,radiations/mionzi).Kumuhudumia mgonjwa mmoja wa cancer Ocean Road si chini ya Tshs 2,000,000 kwa mwaka,na usifikiri kwamba anapona,haponi,bali hutuliza dalili tu.Mashine moja ya mionzi(Linear Accelerator) inauzwa Tshs 4,500,000,000(4.5 bil).

Idadi ya wagonjwa wa cancer Ocean Road inaongezeka kila mwaka kwa mwezi.Sasa hivi Ocean Road inapokea zaidi ya wagonjwa 400 kwa mwezi kutoka 3 kwa mwezi kipindi cha nyuma.Asilimia 80 ya wagonjwa hao ni wanawake, na asilimia kubwa ya wanawake hao wana cancer ya kizazi na cancer ya matiti.Fanya utafiti utajua hilo.Swali la kujiuliza;Kwa nini wagonjwa wa cancer wanaongezeka kwa kasi kubwa hivyo siku hizi?Na kwanini idadi kubwa ya wagonjwa hao ni wanawake?Je,kuna variable gani imeongezeka kwenye equation hii ya sababu za cancer?I hope jibu unalijua.

-Saba;Matumizi ya muda mrefu ya vidonge hivi huharibu kinga na hivyo hupelekea generation ya antibodies ambazo hu trigger vipimo vya HIV kutoa HIV+ results.Biashara nyingine hiyo imeshazalishwa ambayo ndio ninaizungumzia sasa.Fuatilia dozi kikopo kimoja tu cha ARVs(mfano,Tenofovir Disoproxil Fumarate) ni Tshs ngapi,piga mahesabu kwa mwaka vinatumika vingapi kwa mgonjwa mmoja halafu zidisha kwa wagonjwa 3,000,000 wa Tanzania,achilia mbali wagonjwa wapya wanaozalishwa kwa life style zinazosababishwa na kampeni zao feki.Pesa utakayoipata utashangaa.Na ndio maana wanazidi kuwekeza hapa Tanzania na Afrika kwa ujumla.

Na mwisho Global warming:
Hili nalo ni pana.Wanasema kwamba glabal warming inasababishwa na hewa ya ukaa ambayo inazalishwa na binadamu,yaani Anthropogenic global warming,kitu ambacho si kweli.Na mbaya zaidi ndivyo tunavyofundishwa mashule mpaka leo.Hadi leo watoto wetu wanalishwa sumu hii,na watu wengi wanajua hivyo.Wanang'ang'ania kusema hivyo kwa kuwa wana agenda nyingi sana nyuma ya pazia;

Agenda mojawapo ni ile ya kuweka sheria ambayo itazuia nchi zinazoendelea kama Tanzania kutoweza au kuwa na ukomo wa kujenga viwanda kwa maendeleo ya nchi.Nadhani watu wanaelewa kwa nini nchi zinazoendelea kama Tanzania zikiwa na viwanda vyake itakuwa ni tatizo kwa nchi na wafanya biashara wakubwa katika nchi zilizoendelea kama Marekani.

Al gore ndio world tycoon aliyeanzisha uzushi huu,na kwa sababu yeye ni mmoja wa wadau wa serikali ya marekani inayosimamia sheria za dunia hii,basi imekuwa rahisi sana kwa sheria hizi kupita na kukubaliwa na UN na kuwa enforced kwa nchi wanachama na hivyo elimu nzima kuhusu global warming ikaanza kufundishwa mashuleni ku brainwash watu.

Ndugu yangu tuna safari ndefu sana.Ukifuatilia mashuleni;Shule za msingi,sekondari na vyuo vikuu,utakuwa na huzuni sana kutokana na mambo yanayofundishwa kama kweli unajua uhalisia wa dunia hii ulivyo.Ni vizuri na wewe uka share na wana JF wengine ulichonacho ili kupunguza gape hili,kidogokidogo hujaza kibaba.Elimu ya kweli ndio itakayoiokoa nchi yetu na kuipeleka kwenye maendeleo makubwa.Kwa uelewa huu tulionao,maendeleo ni kama ndoto.
 
Umenifungua macho sana mkuu, kumbe Ndio maana waganga WA jadi husema wako na dawa, kumbe yawezekana wanajua ukweli, WA hii issues.

Uko sahihi sana.Sio tu waganga wa jadi,bali hata baadhi ya wahubiri wa dini pia wamesha unlock password hii ya ugonjwa huu feki.Hawa niliowataja huwa wanasema wana dawa na kweli watu wakienda wanapona HIV/AIDS (feki),pamoja na kwamba mbwembwe zinazooneshwa na wahubiri au waganga hawa wa jadi hazina uhusiano na tiba yenyewe lakini mwishoni wanawapa tiba halisi lakini mgonjwa hawezi kujua,yeye anachojua zile mbwembwe ndio tiba yenyewe.
Ukijua mambo mengi ni rahisi sana kutengeneza pesa.Ha haaaa, sijui umeng'amuaje hili.
 
Mnaletaleta siasa kwenye vitu siliasi!mnapimia asilimia ndogo ili mfanye sana! Shetani anawatamani hamjui tuu! Historia ya huo ugonjwa hatali mnajua wazi kabisa! Lakini mkitaka kukamatwa basi endeleeni na izo peku!

Umejiunga leo JF na leoleo umeanza kukurupuka kuchangia mada nzito nzito.Nakushauri uanze na ndogondogo kwanza ili ukuze kipaji.
Kuza kipaji kwa kuanza na kusoma mwenzako kaandika nini,hoji,uliza maswali halafu ukikomaa ndio uanze kuchangia,umesikia eenh!!
 
niliyokwisha soma yanatosha....sitaki headache

Ooooh nimechelewa,milango ya fahamu imeshafungwa,nasikitika kukupoteza.Bado nina nia ya kukujuza ukweli,muda wowote ukiwa tayari utaniambia.
 
Uko sahihi sana.Sio tu waganga wa jadi,bali hata baadhi ya wahubiri wa dini pia wamesha unlock password hii ya ugonjwa huu feki.Hawa niliowataja huwa wanasema wana dawa na kweli watu wakienda wanapona HIV/AIDS (feki),pamoja na kwamba mbwembwe zinazooneshwa na wahubiri au waganga hawa wa jadi hazina uhusiano na tiba yenyewe lakini mwishoni wanawapa tiba halisi lakini mgonjwa hawezi kujua,yeye anachojua zile mbwembwe ndio tiba yenyewe.
Ukijua mambo mengi ni rahisi sana kutengeneza pesa.Ha haaaa, sijui umeng'amuaje hili.

I read a lot of stuff. I also do some research, na hii topic Yako imenifanya nigundue Vingi, zaidi,
 
Wewe utakuwa umeoteshwa kulizungumzia tunda hili humu.Haya ndiyo mambo ambayo ninayaongelea mara nyingi kwamba elimu ambayo tunapewa nyumbani na mashuleni ni irrelevant,yaani haikidhi haja/mazingira tunayoishi,yaani haina maana.
Ukifuatilia kwa undani kwa nini tuliambiwa hivyo lazima utagundua kwamba kulikuwa na mkono wa mtu hapo.Wazazi wetu wamepigwa changa la macho kwa faida ya watu wachache.Sasa kwa nini nasema umeoteshwa;

Jibu;
Limao halikaushi damu,bali limao lina faida lukuki mwilini ambapo kama mtu,na hasa watoto,watatumia vizuri tunda hili basi kwa mtu/mtoto huyo kuumwa kwake ni hadithi.Hata leo ukianza kulitumia tunda hili ninakuhakikishia utarudi hapa kutoa ushuhuda.Unaweza ku google mwenyewe uone faida zake;

1.Huimarisha kinga ya mwili-vitamin C
2.Husafisha utumbo mpana,huzuia constipation-Dietary Fiber
3.Hutibu malaria,kipindupindu-Antibacteria
4.Huweka sawa pH ya damu-Limao hufanya damu iwe alkaline.
5.Husaidia mmeng'enyo wa chakula-Husaidia/huchochea kuzalishwa kwa nyongo
6.Huzuia magonjwa ya moyo na presha ya juu ya damu-pH balance,calcium,magnesium na potassium
7.Hutuliza homa na mafua
8.Huondoa sumu mwilini-alkaline blood/pH balance
9.Hutibu arthritis na Rheumatism-Husafisha damu na huondoa uric acid
10.Huondoa mikunjo kwenye ngozi
11.Huondoa maumivu ya kuumwa na nyuki,sunburn
12.Huboresha afya ya macho
13.Huzuia kuvuja kwa damu ndani ya mwili au puani
14.Huondoa makovu kwenye ngozi

Na mengine mengi madogomadogo.

-Kisukari(Type 1 diabetes) kwa heri(angalia;4,8)
-Cancer ya utumbo mpana kwa heri(angalia; 2)
-Cancer yoyote kwa heri kama utakuwa na tabia ya kunywa maji ya limao(angalia;2,4,8)
-Kipindupindu kwa heri kama una tabia ya kunywa maji ya lima kila asubuhi(angalia;1,3)
-Soko la dawa za malaria litashuka kama watu watakuwa wanatumia maji ya limao(angalia;1,3)
-Kwa watu wenye maumivu ya magoti huweza kupata nafuu kwa kunywa maji ya limao tu na kusahau dawa za hospitalini(angalia;9)
-Kwa kina dada warembo;kwa kutumia limao tu wataepukana na vipodozi vyenye sumu ili kungarisha ngozi zao(angalia;10,14)

Yaani usiende mbali sana,chukulia cancer,kisukari na malaria pekee.Kama watu watapenda kutumia maji ya limao mara kwa mara kwenye maisha yao ina maana soko la dawa za cancer,kisukari na malaria kwisha habari yake.Limao ni tunda tulilolizoea sana lakini hatujui faida zake,tumelidharau kwa sababu ya mazoea.
Na hivi ndivyo baadhi ya vitu ambavyo viko kwenye mlolongo wa mambo ninayotaka wana JF wenzangu wajue.Ni muhimu sana hili tunda,dharau tu na mazoea ndivyo vinatuathiri.

Kwa mfano;Mtu kama anaumwa ugonjwa wa joints(magoti yanauma/yamevimba nk),ukimpa maji ya limao kila asubuhi ni tiba tosha.Ukitaka kukata mzizi wa fitina unaweza kujumlisha tiba.Limao+mafuta ya nazi/olive oil+tumeric(bizari)+tangawizi+celery,hapo utakuwa umemaliza kabisa.Lakini watu wanahangaika kwa kukosa uelewa.
Malaria,cancer,kisukari na mengineyo vivyohivyo.Hapo ndipo utakapoona kwamba vitu vingi tunavyovijua sasa tumebebeshwa/irrelevant.Waliotudanganya wasingependa tujue ukweli huu kwa kuwa hakutakuwa na soko tena.Kibaya zaidi tiba kama hizi hawawezi kuzi patent.

Faida za limao
 

Attachments

  • 1431277645071.jpg
    1431277645071.jpg
    63.6 KB · Views: 1,211
Brother Deception naweza kukubaliana na ww kwa kile ulichosema kwakuwa umenifumbua macho kuwa michezo hii ya wababe wa Dunia ipo pia kwenye kada ya afya, napebda kufuatilia siasa za Dunia hii utagundua kuwa imejaa michezo michafu na ya kutisha. Mfano mzuri ukiangalia kwa juu juu unaweza ukasema UN (United Nations) ni chombo chenye lengo la kuimarisha usawa katika Dunia but kwa jicho la tatu ni playground for those powerful states to exercise their power to achieve their interests.
 
Brother Deception naweza kukubaliana na ww kwa kile ulichosema kwakuwa umenifumbua macho kuwa michezo hii ya wababe wa Dunia ipo pia kwenye kada ya afya, napebda kufuatilia siasa za Dunia hii utagundua kuwa imejaa michezo michafu na ya kutisha. Mfano mzuri ukiangalia kwa juu juu unaweza ukasema UN (United Nations) ni chombo chenye lengo la kuimarisha usawa katika Dunia but kwa jicho la tatu ni playground for those powerful states to exercise their power to achieve their interests.

You are right,dunia ina mambo mengi sana feki ndugu yangu,hebu angalia hili hapa chini kwanza;

Kuna jambo moja liko katika uwigo wa kimataifa zaidi,linaitwa 'kulinda amani'.Kuna aina mbili ambazo sisi huambiwa kwamba majeshi yanaenda 'kulinda amani',kwa kiingereza ya kwanza ni 'Peace keeping' na aina ya pili ni 'Fighting'.Sasa jiulize swali moja,hivi majeshi ya kulinda amani huwa yanalindaje amani?Au kurahisisha tutumie mfano wa Tanzania kule DRC;
Je,jeshi la Tanzania nchini DRC linalinda amani kwa kutumia njia gani?Au Linafanya mambo gani nchini DRC ambayo ndio hasa hupelekea watu kusema linalinda amani?

-Kupigana na 'waasi', mfano, wa M23 sio kulinda amani,kwa maana hata Kabila alikuwa 'muasi' kabla hajaingia madarakani.Hivyo huwezi kujua kati ya anayeitwa 'muasi' na aliye madarakani ni nani hasa ndiye mzalendo halisi wa nchi husika,na ndio maana kuna baadhi ya nchi 'waasi' hupigwa na 'majeshi ya kulinda amani' wakati nchi nyingine serikali ndio hupigwa na majeshi yanayoitwa ya 'kulinda amani'.Bado swali hili linanitatiza,'majeshi ya kulinda amani' yanalindaje amani?
Fuatilia suala la majeshi ya Tanzania kulinda amani DRC kwa tiketi ya UN,ninakuhakikishia utagundua kwamba ni biashara kubwa sana ambayo wananchi hawaijui kabisa,watu wananufaika sana na biashara hii.Ukijua vizuri suala hili peke yake ndipo utakapojithibitishia kwamba bara la Afrika limeoza.Wewe ni mfuatiliaji,fuatilia na hili pia.
Utagundua kwamba majeshi ya Tanzania DRC ni kama Group4 security guards wanavyolinda watu wenye pesa zao,pia utagundua kwamba kuna sayansi ya mmarekani ndani yake ili kuhakikisha EAC haiundwi,na hata ikiundwa inakuwa kama joka lisilo na meno kama vile ilivyo AU sasa.
 
You are right,dunia ina mambo mengi sana feki ndugu yangu,hebu angalia hili hapa chini kwanza;

Kuna jambo moja liko katika uwigo wa kimataifa zaidi,linaitwa 'kulinda amani'.Kuna aina mbili ambazo sisi huambiwa kwamba majeshi yanaenda 'kulinda amani',kwa kiingereza ya kwanza ni 'Peace keeping' na aina ya pili ni 'Fighting'.Sasa jiulize swali moja,hivi majeshi ya kulinda amani huwa yanalindaje amani?Au kurahisisha tutumie mfano wa Tanzania kule DRC;
Je,jeshi la Tanzania nchini DRC linalinda amani kwa kutumia njia gani?Au Linafanya mambo gani nchini DRC ambayo ndio hasa hupelekea watu kusema linalinda amani?

-Kupigana na 'waasi', mfano, wa M23 sio kulinda amani,kwa maana hata Kabila alikuwa 'muasi' kabla hajaingia madarakani.Hivyo huwezi kujua kati ya anayeitwa 'muasi' na aliye madarakani ni nani hasa ndiye mzalendo halisi wa nchi husika,na ndio maana kuna baadhi ya nchi 'waasi' hupigwa na 'majeshi ya kulinda amani' wakati nchi nyingine serikali ndio hupigwa na majeshi yanayoitwa ya 'kulinda amani'.Bado swali hili linanitatiza,'majeshi ya kulinda amani' yanalindaje amani?
Fuatilia suala la majeshi ya Tanzania kulinda amani DRC kwa tiketi ya UN,ninakuhakikishia utagundua kwamba ni biashara kubwa sana ambayo wananchi hawaijui kabisa,watu wananufaika sana na biashara hii.Ukijua vizuri suala hili peke yake ndipo utakapojithibitishia kwamba bara la Afrika limeoza.Wewe ni mfuatiliaji,fuatilia na hili pia.
Utagundua kwamba majeshi ya Tanzania DRC ni kama Group4 security guards wanavyolinda watu wenye pesa zao,pia utagundua kwamba kuna sayansi ya mmarekani ndani yake ili kuhakikisha EAC haiundwi,na hata ikiundwa inakuwa kama joka lisilo na meno kama vile ilivyo AU sasa.

Ua very right, swali LA kujiuliza ni, hawa waasi wanapata wapi silaha nzito, tena made in Europe, kama kweli Un wako for peace or selling weapons. It's a good business, like boko haram in Nigeria where do they get power to do all that if not business??? African we are so stupid thus we this f**ers, are playing with our mind.
 
Jamani naomba maelekezo jinsi ya kuandaa maji haya ya limao hadi yawe dawa,kwani mtoto wangu anasumbuliwa sana na malaria.natanguliza shukrani

Chemsha maji kiasi cha glasi moja ili kuuwa vijidudu.Ukishaipua,mimina kwenye glasi halafu kamulia humo limao moja wakati maji yangali ya moto.Subiri maji yapungue joto kidogo kiasi cha mtu kuweza kuyanywa bila shida(vuguvugu).Mpe mtoto wako glasi moja kila siku asubuhi.
Sijui mtoto ana umri gani,lakini utakadiria kiwango cha maji kulingana na umri wa mtoto wako kwa kuwa tiba hiyo haina sumu, bali yenyewe ndio huondoa sumu.
 
Nashukuru kwa kuwaita hapa,kama hao ni madaktari, ndio nilikuwa nawahitaji hasa ili twende sawa,evidence kwa evidence.

Nimepoteza ndugu kibao hadi sijui nini cha kuamini. Wa mwisho ni mtoto ambaye hakufika hata darasa la 3 roho inauma sana. Mama yake hadi niligombana naye kwa kukataa kumuanzishia dawa hadi kafariki. Sasa wewe unasema arv ndizo zinaua mbona huyu mtoto wetu hakuanzishiwa dawa? gfsonwin anaijua hii case
 
Last edited by a moderator:
Chemsha maji kiasi cha glasi moja ili kuuwa vijidudu.Ukishaipua,mimina kwenye glasi halafu kamulia humo limao moja wakati maji yangali ya moto.Subiri maji yapungue joto kidogo kiasi cha mtu kuweza kuyanywa bila shida(vuguvugu).Mpe mtoto wako glasi moja kila siku asubuhi.
Sijui mtoto ana umri gani,lakini utakadiria kiwango cha maji kulingana na umri wa mtoto wako kwa kuwa tiba hiyo haina sumu, bali yenyewe ndio huondoa sumu.

Mkuu unasemaje kuhusu watu wa ulaya na marekani wanaougua Ukimwi? Au ni mazimgaombwe? Au ndo wazungu wameleta propaganda inawaua hadi wao wenyewe?
 
Last edited by a moderator:
Chemsha maji kiasi cha glasi moja ili kuuwa vijidudu.Ukishaipua,mimina kwenye glasi halafu kamulia humo limao moja wakati maji yangali ya moto.Subiri maji yapungue joto kidogo kiasi cha mtu kuweza kuyanywa bila shida(vuguvugu).Mpe mtoto wako glasi moja kila siku asubuhi.
Sijui mtoto ana umri gani,lakini utakadiria kiwango cha maji kulingana na umri wa mtoto wako kwa kuwa tiba hiyo haina sumu, bali yenyewe ndio huondoa sumu.

Mtoto ana umri wa miaka minne,kwahiyo hiyo glasi moja anakunywa asubuhi kabla ya kula kitu kingine chochote na anakunywa kwa mara moja? Na je anatakiwa anywe kwa muda gani ili apone kabisa malaria? Nashukuru sana deception kwa majibu yako na mwenyezi mungu akujaalie maisha mema na marefu ila usichoke kutupatia elimu uliyonayo.
 
MziziMkavu sio kuhusu limao. Deception anasema
1.hakuna HIV kwasababu huyo virus hajawahi kuwa isolated
2.ukimwi upo lkn hausababishwi na hiv bali malnutrition, tb, genetically inherited upungufu wa kinga, cancer, antibiotic, drugs kwa maana madawa ya kulevya na arv
3. Ukimwi una dawa ambayo ni pamoja na lishe antioxidants etc
4. Anasema nyie waganga wa tiba asili mnaijua hiyo siri ndio maana mnajitangaza kutibu HIV ilhali hayupo in the first place
5. Watu wa maombi pia wanajua hiyo issue ndio maana wanatake advantage
6. Vipimo vya HIV including viral loads haviaminiki na havisemi kweli
7. Uwepo wa antigens zinazoonesha HIV+ maana yake hao HIV weshauwawa na kinga

Sasa unakubaliana naye kwa yote hayo au limao tu?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom