Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Hii mada ni nzuri kwa sisi wagonjwa watarajiwa (ofcourse kila mtu anaugua), sema mmeingiza ubishi wa kitaalamu mpaka mnatupoteza sasa.

Binafsi natumia dawa zote, za asili na hizi za Western, na zote zinanisaidiaga sana tu. Za kiasili nazitumia zaidi kama kinga, mfano ukitumia limao kama kinga kama Deception anavyosema ni kweli malaria unaweza usiisikie kabisa. Mi naweza kukaa zaidi ya miaka 2 bila kuugua malaria, naaminiga ni kwa sababu natumia sana limau pamoja na madawa mengine ya asili. Ikitokea nina malaria huwa natumia kwanza dawa za hospitali, nikimaliza dozi ndo naendelea na mambo yangu ya limau n.k.

Huwa naamini dawa za hospitali zinafanya kazi fasta, wakati hizi za asili ni slow, so za asili nazitumiaga kama kinga tu. Hivyo mimi kama mtumiaji naelewa vizuri anachozungumza Deception na pia naelewa vizuri wanachoongea kina georgeousmimi na madaktari wengine.

Kwahiyo badala ya kubishana mi ningewaomba chonde chonde mjikite kwenye kutoa uzoefu wenu ktk kutibu haya magonjwa ili mtusaidie sisi wagonjwa. Otherwise, mtakuwa mnatuchanganya zaidi na hayo maneno yenu ya kitabibu ndo kabisaa, mwishowe uzi utabaki wenu tu maprofessionals

Safi sana mito;Wewe sasa umenielewa ,na umenielewa kwa kuwa umeshajijengea attitude ya kutaka kuelewa,hongera kwa hilo.Huwa najisikia raha sana kupata watu kama ninyi.Kama umenifuatilia sawasawa utaona kwamba mimi sipingani na kila tiba za magharibi,bali hupingana na baadhi ya tiba fulani tu za magonjwa fulani na si zote.Hata mimi huwa natumia tiba za magharibi wakati fulani kuwa dawa zake ziko katika concentrated form ambapo huleta majibu kwa haraka zaidi.
Na ndio maana nilitoa angalizo kwa mwana JF mmoja kwamba anatakiwa atumie limao kama kinga kwa sasa na si tiba,sikutaka kueleza mambo yote kwa nini nimemwambia hivyo,ila kama hata limao utalifanyia extract likawa kwenye concentrated form pia linaweza kutumika kama tiba kama zilivyo dawa nyingine za malaria.Ni kasumba za kimagharibi tu ndizo zimetuharibu.

Sasa madaktari wanakuja hapa wanakimbilia kupinga tu bila kuhoji,mimi nilitegemea nimepata watu waelewa wa kwenda nao sambamba kwenye uzi huu kumbe hawana tofauti na wale wengine wanaopenda kupinga bila kuhoji.Sisi inatuwia vigumu kutengeneza extract zetu wenyewe kwa sababu nyingi sana ambazo nikianza kueleza sitamaliza,unaweza kuandika kitabu.

Wachina wana dawa zao za kutibu magonjwa mbalimbali kama malaria nk kwa kuwa wana uwezo wa kutengeneza hizo extracts,hivyo wachina wengi hawatumii dawa za magharibi.Watu wanakurupuka na kuja kupinga tu bila kuhoji,mbona mimi sikupinga tiba za magharibi zaidi ya hizi za magonjwa ya ki-propaganda?

Mimi niliona yule jamaa kafanya jambo jema kuwaita madaktari humu kumbe ndio wamekuja kuharibu tu,hawajui hata pa kuanzia kuhoji na badala yake hukimbilia kupinga mambo wasioyajua.Kweli wasomi ni wengi lakini waelimika ni wachache sana.
 
Mkuu Deception usife moyo ukipata wasaa njoo utupe unachokijua

HAOO WANAOPINGA WATUMIE KAMA UBAO SISI ILI SISI TUNAOPENDA KUJUA PANDE ZOTE TOSOME

maana habali ya watu kupona ipo na ya watu kuishi navyo na hawatumii dawa ipo vilevile

Karibu

Kama unakumbuka,niliwahi kusema kwamba,kuna watu wanakuomba utoe ushahidi/evidence/scientific paper si kwamba wanataka kuelewa,la hasha,bali wanataka ukwame,na ukiwapa evidence,wanasema hiyo sio evidence bali ni speculations,zile wanazotoa wao ndio evidence za kweli.Na ndio maana nikaelemea kwenye real life experience zaidi na si scientific paper,lakini hawakunielewa nilikuwa na maana gani.

Sasa angalia,wametaka scientific paper nimewapa,walivyoina,kabla hata hawajaisoma wanasema ni speculations,unaona hapo?Lakini haya yote niliyajua kabla na ndio maana nilitahadharisha mapema kwa lengo la kutaka wengine waelewe kiurahisi.

Mkuu hapo kwenye nyekundu nilishawahi kusema kwamba,ni ukosefu wa elimu sahihi ndio unafanya tusielewe nini kinaendelea kuhusu vipimo vya HIV,kuna sayansi nzito sana kuhusu vipimo vya HIV.

Nadhani umewahi kuona au kusikia michezo ya kitapeli inayoitwa kanyaboya,karata tatu nk,basi hivi ndivyo vipimo vya HIV vilivyo.Wameweka sayansi nzito ndani yake ili kurubuni akili zetu,na kweli wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana.Nisingependa kurudia tena hapa kwa kuwa nilishazungumzia hili la vipimo kwamba ni feki pia.HIV ni feki,vipimo vya HIV ni feki,Hypothesis ya HIV/AIDS ni feki na madawa ya HIV(yaani ARVs) nayo ni feki.

Hawa jamaa wametumia ukweli wa magonjwa mengine ambayo yapo kiuhalisia na yanatibika ili kutudanganya.

Ni vigumu sana kwa mtu wa kawaida kung'amua ukweli kama mtu aliyekudanganya ametumia ukweli kusema uongo.Unahitaji elimu ya ziada hapa.Hawa jamaa wametumia ukweli kusema uongo,halafu ule uongo wakaurudiarudia mara nyingi sana kwenye vichwa vyetu mpaka imefikia wakati umekuwa IMANI.

Hivyo kile unachokiona kwa watu ambao umeambiwa wana HIV ni kiini macho ndugu yangu.Unachokiona na uhalisia ulivyo ni tofauti kabisa ndugu yangu.Mambo yote yapo humu,ni juhudi zako tu.
Karibu.
 
Mkuu Deception ni kweli kabisa siyo wote watakuelewa na siyo wote watafuata kile unachosema. Sababu ni kwamba watu wengi hatuna kasumba ya kusoma zaidi ya kile tulichofundishwa, pia hatuna kasumba ya kuuliza nje ya kile tunachofundishwa. Mimi sina hata chembe ya udaktari, lakini haya matibabu ya asili nimeanza kuyafuatilia baada ya kuanza kujiuliza maswali mengi bila kupata majibu ya maana, nikawa na interest ya kusoma zaidi habari zake ndo nikagundua ni kinga nzuri tu.

Hizi dawa au kinga asili zinatumika pia hata kwenye mifugo. Kule jukwa la biashara kuna uzi umegusia tiba za asili. Sasa mimi kwa vile tayari nazitumia, sikupata tabu kuamini kuwa zinafaa kwa mifugo pia. Kifupi mi nafuga kuku, wachache tu kama mia hivi wa kienyeji kwa matumizi ya familia. Hawa kuku natumia sana kinga asili na wako poa, magonjwa ya mlipuko yanaibuka kuku wajirani wanakufa wangu wapo tu, nikiwaambia nachotumia hawaamini wanabaki kunishangaa tu. Ila napo inapotokea ugonjwa fulani naanza na hizi za madukani zinazofanya kazi fasta then naendelea na asilia zangu kama kawaida. Tena hata hivyo nimekunja kugundua magonjwa yanaibuka pale ninapozembea kuwapa kinga za asili au ninapokuwa nimesafiri kwa muda mrefu waliopo wakazembea kuwapa. Lakini ukiifanya kama sehemu ya diet mbona magonjwa utayasikia kwa jirani tu.
 
Last edited by a moderator:
I thank God,kweli tumepotezana sana. Maisha yanakimbiza mno.

Hii kitu inachanganya sana na bahati mbaya wanasayansi hamtuelezi vizuri zaidi ya kutuongezea misamiati migumu migumu. Mbona std kama symphilis gono herpes na hata fungus inakuwa ni kama sheria mmoja akipata na mwingine anapata?

Ndugu yangu,hao uliowategemea watoe changamoto hawana uwezo huo kwa kuwa ugonjwa huu wa HIV haujaegemea kwenye science bali umeegemea kwenye pseudo-science.

Kama ungeegemea kwenye science basi I bet kwa uelewa walionao hawa madaktari ningekuwa nimeshanyoosha mikono.Lakini haujaegemea kwenye science na ndio maana kuna mikanganyiko mingi sana na kila kukicha kunaibuka mikanganyiko mipya ambayo hawawezi kuielezea.

Kwa bahati mbaya watu nao wanapoona mikanganyiko hiyo husema "tumwachie mungu",amakweli ugonjwa huu feki ni IMANI.
Mungu amekupa akili ili uifanyie nini kama sio kuhoji na kupambanua na kugundua?Sidhani kama mungu tunayemlilia amekosea kutoa kipaji cha akili kinachotuwezesha kuhoji,tutakuwa hatutendei haki akili zetu.Kama tunashindwa kuhoji suala lenye utata kama hili je,tutahoji jambo gani?

Ninakuhakikishia kwamba ninayosema mimi ni ukweli mtupu na ndio maana hao madaktari hawana ubavu wa kupinga kwa kutoa hoja zenye mashiko ili kujibu masuala tata ambayo tunayaona kila kukicha kuhusu ugonjwa huu feki katika kila nyanja.Kama wana ubavu waambie waje tena halafu ujionee mwenyewe.

Sina ugomvi na madaktari,lakini nina hasira na hii system ya kiafya ya magharibi especially katika magonjwa haya ya ki-propaganda,na ninazidi kupata uchungu nikiwakumbuka ndugu zangu waliopoteza maisha kwa kula dawa hizi zenye sumu kali kabla sijafahamu ukweli huu.

Kuna watu wanasema mimi napotosha jamii,Ok,waje waseme ni wapi nimepotosha.Nitaendelea na kampeni hizi kuokoa wengine mpaka siku ya kuingia kaburini,hakuna mwenye uwezo wa kunizuia.Kama kufa walishakufa wengi kupigania haki na usawa,mimi sitakuwa wa kwanza.
 
Mkuu Deception naomba kujua ni kwanini hata watu wenye uwezo wa kupata mlo kamili na kujitibu vizuri wanakufa wakipata maambukizi?

-Ni kweli ulifanya controlled reaserch kama hiyo au umesikia kwa wengine?
-Hapo kwenye nyekundu,unazungumzia maambukizi gani?Kama unazungumzia HIV,basi hukufanya controlled research.Kama ungefanya controlled research lazima ungeona tofauti na yale unayoyaleza hapa.Soma vizuri reply zangu utaelewa yote hayo.Ukosefu wa uelewa/elimu sahihi unawafanya watu wengi wafanye wrong observation kuhusu ugonjwa huu feki.

Unajua mkuu,ngoja nikwambie kitu;
Kama ulivyokuwa shuleni ulifundishwa kama 2+2=4 halafu 2*2=4,basi kila namba itafuata utaratibu huo na ukaamini hivyo,basi kila mlinganganyo kama huo utautolea hoja zinazoegemea kwenye mlinganyo huo na hutaweza kwenda nje ya hiyo sheria mama.Hivyo utakuwa kila unapokwenda ukijua kwamba ukijumlisha namba zinazofanana ni sawa na kuzidisha namba hizohizo.Hata 3+3=6 utasema 3*3=6,hata mtu akikwambia kwamba umekosea hutamwamini kwa kuwa umeegemea kwenye ile sheria mama ya kwanza ambayo ipo ki-coincidence zaidi.Hivi ndivyo ulivyo ugonjwa huu feki.Nadhani utakuwa umenielewa.

....Hata matajiri wengi tunaona wanakufa na kuacha pesa zap nyingi tu ilhali wanapata mlo kamili!!? Nisaidie bila kunirefer.

Suala la msingi sio kufa,bali ni sababu inayowaua.Na ndio maana niko humu kuelezea haya yote,we jitahidi kuwa mvumilivu kufuatilia.
 
Amepotea kidogo bila shaka majukum
Ila kwa nilivo muelewa kutojua chanzo na kuamini tulivo aminishwa yaweza kua sababu kwa kuna mtu katoa ushahidi kwa rafiki yake kabisa na kwamaelezo yake hata waliompima mwanzo walishangaa wakizani amekuja kuongeza dozi kwa mimi sikatai mojakwamoja maana taalifa kama hizi zipo na wanapona kweli


Kuna mtu hapo amehoji ni kwa nini magonjwa mengine ya zinaa nikama shiria mmoja akiwa nao mwenzie lazima apate? kitu ambacho ni tofauti na hili janga kiukweli ingekua kama gono tungekufa karibia wote hawa wenzetu ni binaadam kwa nje lakin hawana tofaut na ibilisi maana hupanga mipango ya myaka mia na kuifanikisha baada ya kutimia

Hapo kwenye nyekundu soma kwa makini ninachoeleza hapa chini;
Kuna link moja nilimpa daktari mmoja humu afuatilie lakini akasema kwamba ile link haitoshi kuwa evidence.Mojawapo ya mambo yalikuwemo kwenye ile link ni sababu za kisayansi zinazothibitisha kwamba HIV hasababishi AIDS.Kuna sababu 10 za kisayansi ndani ya ile link zinazothibitisha kwamba HIV hasababishi AIDS.

Sababu namba 7 inasema kwamba HIV hasababishi AIDS kwa kuwa anashindwa kukidhi haja za Sheria za Koch(Koch's Postulates).Sheria za Koch zipo 4.Hapa nitazungumzia ile ya 1 na ya 3.
1.Virus au bacteria anayesababisha ugonjwa fulani,lazima awepo katika maeneo yote(hosts) ambayo ugonjwa huo upo/unaonekana.
3.Virus au bacteria/germ lazima asababishe ugonjwa huohuo kama atadungwa kwenye host mwingine mwenye afya.

Hizi ni sheria za kisayansi kabisa na endapo ugonjwa hautakidhi sheria zote nne basi ugonjwa huo utakuwa hausababishwi na germ(virus au bacteria).Hata madaktari wenyewe hawawezi kupinga hili,kama huamini waulize.

HIV amefeli postulate/sheria zote hizi bila kipingamizi.Na ndio maana hapo kwenye nyekundu kuna mkanganyiko.Huyo aliyeleta mkanganyiko huu inawezekana hajui hizi sheria za Koch,sasa mimi nimemsaidia kisayansi zaidi kujibu swali lake.Kama kuna daktari anapinga hili alete ushahidi wa kisayansi pamoja na ushahidi wa kiuhalisia kama ulivyoletwa kwenye post hii.
 
Safi sana mito;Wewe sasa umenielewa ,na umenielewa kwa kuwa umeshajijengea attitude ya kutaka kuelewa,hongera kwa hilo.Huwa najisikia raha sana kupata watu kama ninyi.Kama umenifuatilia sawasawa utaona kwamba mimi sipingani na kila tiba za magharibi,bali hupingana na baadhi ya tiba fulani tu za magonjwa fulani na si zote.Hata mimi huwa natumia tiba za magharibi wakati fulani kuwa dawa zake ziko katika concentrated form ambapo huleta majibu kwa haraka zaidi.
Na ndio maana nilitoa angalizo kwa mwana JF mmoja kwamba anatakiwa atumie limao kama kinga kwa sasa na si tiba,sikutaka kueleza mambo yote kwa nini nimemwambia hivyo,ila kama hata limao utalifanyia extract likawa kwenye concentrated form pia linaweza kutumika kama tiba kama zilivyo dawa nyingine za malaria.Ni kasumba za kimagharibi tu ndizo zimetuharibu.
Sasa madaktari wanakuja hapa wanakimbilia kupinga tu bila kuhoji,mimi nilitegemea nimepata watu waelewa wa kwenda nao sambamba kwenye uzi huu kumbe hawana tofauti na wale wengine wanaopenda kupinga bila kuhoji.Sisi inatuwia vigumu kutengeneza extract zetu wenyewe kwa sababu nyingi sana ambazo nikianza kueleza sitamaliza,unaweza kuandika kitabu.Wachina wana dawa zao za kutibu magonjwa mbalimbali kama malaria nk kwa kuwa wana uwezo wa kutengeneza hizo extracts,hivyo wachina wengi hawatumii dawa za magharibi.Watu wanakurupuka na kuja kupinga tu bila kuhoji,mbona mimi sikupinga tiba za magharibi zaidi ya hizi za magonjwa ya ki-propaganda?
Mimi niliona yule jamaa kafanya jambo jema kuwaita madaktari humu kumbe ndio wamekuja kuharibu tu,hawajui hata pa kuanzia kuhoji na badala yake hukimbilia kupinga mambo wasioyajua.Kweli wasomi ni wengi lakini waelimika ni wachache sana.

Naomba kuuliza jamani,nimeona post moja humu inasema juisi ya mboga za majani kama matembele na sipinachi ni nzuri sana katika mwili.hii juisi inaandaliwa vipi hadi kuitumia? Mkuu deception pamoja na wengine msikatishwe tamaa na watu wachache endeleeni kutuelimisha.na katika ile ishu ya limao nashukuru sana deception ulilielewa vizuri sana swali langu.sikumaanisha tiba unapokuwa na malaria ila ukishatumia dawa za malaria then utumie nini ili malaria isiwe yenye kurudia rudia.mkuu deception nashukuru kwa kunielewa na kunielekeza vizuri kabisa.usikatishwe tamaa na watu wachache.endelea kutufungua fahamu hao wataalamu sio rahisi kuongea ukweli kama unavyoongea wewe kwani wanalinda vibarua vyao.
 
mbona literature nyingine zinasema mtu anaweza kuambukizwa vvu kutokana na maji maji (fluids) kutokakwa mwili wa mwathirika hii imekaaje ?
 
mkuu nashukuru kwa elimu.Swali:inamaana vipimo vikionyesha HIV neg,nikaanza kutumia ARV'S baadaye nikipima ntakutwa na HIV+ au AIDS?Usaidizi tafadhali.
 
Naomba kuuliza jamani,nimeona post moja humu inasema juisi ya mboga za majani kama matembele na sipinachi ni nzuri sana katika mwili.hii juisi inaandaliwa vipi hadi kuitumia? Mkuu deception pamoja na wengine msikatishwe tamaa na watu wachache endeleeni kutuelimisha.na katika ile ishu ya limao nashukuru sana deception ulilielewa vizuri sana swali langu.sikumaanisha tiba unapokuwa na malaria ila ukishatumia dawa za malaria then utumie nini ili malaria isiwe yenye kurudia rudia.mkuu deception nashukuru kwa kunielewa na kunielekeza vizuri kabisa.usikatishwe tamaa na watu wachache.endelea kutufungua fahamu hao wataalamu sio rahisi kuongea ukweli kama unavyoongea wewe kwani wanalinda vibarua vyao.

Nimekupata mkuu;
-Kuandaa juisi hizi ni rahisi sana,kuna mashine maalum zenye uwezo wa kukamua juisi kutoka kwenye mboga hizo,ukienda maeneo ya mjini ukiuliza ni rahisi kuzipata,zinakamua vizuri sana.Ukishakamua hamna complications nyingine,ni unakunywa tu moja kwa moja hiyo juisi bila kuchanganya na chochote.Ila unaweza kuchanganya juisi za aina mbili au tatu zinazoendana,mfano,unaweza kuchanganya juisi ya matembele na spinachi kwa pamoja kwenye glasi halafu unakunywa tu.Ila inahitaji moyo kama ndio mara yako ya kwanza,lakini haina tatizo.Ukifanya hivyo cancer utaisikia kwenye vyombo vya habari tu au kwa jirani.Najua madaktari watapinga hili,nawasubiri,maana hapa nimeanzisha vita nyingine.

-Ndio,si rahisi hawa madaktari kuukubali ukweli huu kwa kuwa wamekula kiapo kwenye kazi zao.Na hili la kula kiapo si la hiari kwao ni la lazima na limetoka mbali sana tangu mwaka 1910 ila wao hawajui tu historia yao halisi.Hawawezi kukubali kwa kuwa watapoteza ajira zao na pia si tu watapoteza ajira pekee bali wengine hawajui kabisa sayansi hii.
 
mbona literature nyingine zinasema mtu anaweza kuambukizwa vvu kutokana na maji maji (fluids) kutokakwa mwili wa mwathirika hii imekaaje ?

Hizo literature ni za mainstream medicine ambazo ndizo mimi ninazipinga kwa hoja za kisayansi.Hazina ukweli wowote,tumedanganywa.Wewe umeanzia mbali sana kwenye uzi huu,hii ni page ya 13 ya uzi.Fuatilia reply zangu kuanzia mwanzo wa uzi utajua tu ukweli uko wapi kama una nia ya kweli ya kutaka kuujua huo ukweli.

Hakuna kitu kinachoitwa VVU kiuhalisia,VVU ni kiini macho tu ambacho kinasingiziwa kusababisha magonjwa zaidi ya 30 ilihali sababu halisi zinazosababisha magonjwa hayo zipo lakini wametufichwa.Ili tuwaamini zaidi wakaleta na vipimo feki vya kupimia huyo VVU feki,wameweka trick zao kwenye hivyo vipimo ili vitoe majibu ambayo wewe umeamishwa kwamba ndio HIV+,halafu kwa kuwa umeshaambiwa kwamba yeye ndiye chanzo cha magonjwa hayo basi wewe ni vigumu kupinga kwa kuwa tayari wameshakujenga kisaikolojia kuamini.

HIV anasadikika kusababisha magonjwa zaidi ya 30 kama yupo ndani ya mwili,lakini kama hayupo,sababu halisi zinazosababisha magonjwa hayo ndipo zinapotiliwa mkazo.Kama HIV yupo mwilini basi sababu halisi zitasahaulika kabisa.Hapo ndipo utakapojua kwamba ugonjwa huu ambao umepewa jina la ukimwi si mgeni katika maisha yetu na sababu zake zinafahamika tangu zamani sana na si ugonjwa hatari kwa kuwa una tiba rahisi sana na unapona kabisa.Lakini walipokuja hawa jamaa kuingiza elimu yao feki ndani ya vichwa vyetu,tumewaamini kama miungu bila kuhoji, hata kama tunaona mikanganyiko inatokea kila kukicha hatuwezi kuhoji,akili zetu zimeganda,zina ganzi.Tumeshindwa kabisa kutumia kipaji cha akili tulichopewa,wenzetu wametumia kipaji cha akili kama silaha ya kutuangamiza sisi ambao tunaona uvivu wa kutumia akili zetu.

Kama tutatumia akili zetu,basi wao na sisi hamna wa kumzidi mwenzie,wote tuna uwezo mkubwa.Leo hii kutokana na uelewa nilionao,kama Obama atazungumza jambo fulani,nina uwezo wa kujua ana maana gani tofauti na kile ambacho watu wanakisikia kwa muda huo kutoka mdomoni mwake,uwezo huo ninao.
 
mkuu nashukuru kwa elimu.Swali:inamaana vipimo vikionyesha HIV neg,nikaanza kutumia ARV'S baadaye nikipima ntakutwa na HIV+ au AIDS?Usaidizi tafadhali.

Kupimwa HIV+ is just a matter of chance,haijalishi kama unatumia ARVs au la,bikira au la.Protein zinazosababisha vipimo kuleta majibu ya HIV+ zinatolewa na seli za mwili kwa sababu mbalimbali,lakini wao wanamsingizia HIV.Sisi tumeshaaminishwa hivyo kwamba kama vipimo vitaonesha HIV+ basi anayepimwa atakuwa na HIV,wameendelea zaidi kutudanganya kwa kusema,kama aliyekutwa HIV+ anaumwa,basi HIV ndiye atakuwa anahusika na kuumwa kwake.

Ila hilo la kutumia ARVs halafu baadaye(haijalishi muda) ukapata AIDS halina ubishi kabisa.Hata kama sasa hivi wewe ni HIV- halafu ukaanza kutumia ARVs,lazima baada ya muda fulani utapata matatizo kwenye kinga yako,yaani AIDS.Namtaka daktari yeyote aje kupinga hoja hii kama yupo.Na ndio maana kampeni hizi ninazozisimamia ninalenga kuwataka watu wasithubutu kutumia ARVs,kwa maana ndio chanzo cha matatizo ambayo tunayaona kwa macho yetu kwa wale ambao tunaambiwa wameathirika.Kama mtu anaumwa sana lakini hatumii ARVs,ukimpima kwa uaminifu kabisa,lazima utamkuta na ugonjwa wowote maalum ambao upo kiuhalisia na una tiba yake na ukimpa tiba anapona kabisa.
 
Dinazarde njoo uku usikie habari njema, zile ARV hazifai tena njoo tupate ushauri apa ooh tusije kufa kabla ya wakat sijui nani atawapa umbea humu

Hhaaaaa...binamu naona upo huku..huu Uzi mtamu nimeufuatilia toka unaanza ..
 
Last edited by a moderator:
mito hawa watu wa humu I mean kina [MENTION=228495] gorgeousmimi na Deception kila mtu anavutia kwake na hawataki kudebate. Ilibidi jana nifanye kazi ya kugoogle. Deception anatumia zaudi taarifa za Peter alizochapisha over 20 years ago na argument hizo hizo. Kuna watu wameshacriticize hizo argument za Peter hasa ile ya Koch test. Wanasema sasa hivi wanaweza kuisolate huyo HIV na anaweza ambukiza mwingine. Shida ni hawa madaktari hawana mood ya kumcrush kwa point deception ndio maana anaonekana kushinda argument. I understand that they are busy lkn kule mmu huwa wana spare enough time huenda kwa ajili ya kurefresh mind after a long day of work, kingine naelewa kuna specialisation kwa madaktari hivyo sio wote wana ulewa wa kina juu ya HIV. Generally wanapatiwa symptoms, vipimo na dosages and they are okay to go. So I excuse them.
Kuhusu deception na Peter na Thabo Mbeki, sisi watu wakawaida we have this simple but ugly realite ndugu na wapendwa wetu na pengine sisi wenyewe tunaugua tunapimwa na kuambiwa tuko positive na tunakufa.
Kukataa kuwa hakuna HIV haiondoi ukweli kuwa kuna kitu (bila kujali jina) kinanyong'oneza (to put it in a light word) afya za watu ni sawa na Kiranga et el anavyodai hakuna ushahidi wa uwepo wa Mungu; lakini haiondoi ukweli kwamba Mungu YUPO
 
Last edited by a moderator:
mito hawa watu wa humu I mean kina gorgeousmimi na Deception kila mtu anavutia kwake na hawataki kudebate.....

Wewe utakuwa huelewi.Nani hataki ku debate?Kwa nini unashindwa kusema wao hawataki ku debate?Kati ya mimi na wao ni nani haonekani humu kwenye hii thread?Kitu gani kimekufanya uone kwamba mimi ninavutia kwangu?Nilidhani umeanza kunielewa kumbe bado sana ndugu yangu.

....... Kuna watu wameshacriticize hizo argument za Peter hasa ile ya Koch test...

Usifikiri kwamba mimi silijui hilo.Nitajie hao walio criticize argument za Peter na Koch.Sayansi ni sayansi,haiwezi kubadilika,ukiona imebadilika kuwa uongo basi ujue hiyo sio sayansi.Hata kama Peter na Koch waliyasema haya muda mrefu,muda si kigezo cha kufanya sheria za sayansi zibadilike kutoka kwenye ukweli kwenda kwenye uongo/ubatili.Wewe utakuwa hujui sayansi na ndio maana unahangaika,huelewi wapi pa kushika.Kwa mtu yeyote anayejua sayansi vizuri ni rahisi sana kung'amua haya ninayosema.

.....Wanasema sasa hivi wanaweza kuisolate huyo HIV na anaweza ambukiza mwingine...

Niletee hapa evidence ya ELECTRONICS MICROGRAPHS za HIV baada ya kumu isolate na ku purify.Nitakushangaa sana ukileta hizo photo maana hata hao unaowaamini hawana hizo photos.Labda photoshop.
Halafu angalia jinsi usivyoelewa.Yaani huyo HIV kipindi cha nyuma hakuweza kuambukizwa kwa njia wanazosisema,imekuwaje ashindwe kipindi kile na aweze sasa hivi.Bado una kazi ndefu sana ndugu.

Sasa unasema sasa hivi wanaweza kumu isolate,kama kipindi kile mwaka 1984 wameshindwa kumu isolate na wameweza sasa,hebu niambie zile picha za HIV kipindi kile kabla ya kumu isolate/purify,walizipata wapi?Sijui kama umeelewa maana yangu hapo.

.....Shida ni hawa madaktari hawana mood ya kumcrush kwa point deception ndio maana anaonekana kushinda argument....

Wewe lazima utakuwa na uhusiano fulani na hao madakktari.Si kwamba hawana mood bali hawana hoja za kupinga kile nilisema,wewe unawatetea kivipi?Mimi sikuja humu kutafuta ushindi,bali nimekuja kuokoa jahazi linazidi kuzamishwa na uongo huu wa karne.Hakuna mtu aliyeuguza watu walioathirika na ARVs kama mimi humu.Niliuguza huku nikifanya tafiti kwa makini sana wakati huohuo,hivyo ninaelewa ninachokisema,ndio maana hakuna daktari yeyote humu mwenye uwezo wa kupinga kwa hoja kile ninachosema,si kwamba wako incompetent,la hasha,bali hoja ninazotoa hazipingiki kwa kuwa ndio ukweli wa kisayansi ulivyo,wanachosema wao ni speculations tu.HIV/AIDS is not based on causation but is based on correlation.Umenielewa?

....wapendwa wetu na pengine sisi wenyewe tunaugua tunapimwa na kuambiwa tuko positive na tunakufa...

Uko positive na kitu gani?
Kufa si tatizo,na si suala la msingi hapa,suala la msingi ni je,unakufa kwa kitu gani hasa?Jitahidi ku stretch ubongo wako kidogo tu utaelewa maana ya hoja ninazotoa.

...Kukataa kuwa hakuna HIV haiondoi ukweli kuwa kuna kitu (bila kujali jina) kinanyong'oneza (to put it in a light word) afya za watu ni sawa na Kiranga et el anavyodai hakuna ushahidi wa uwepo wa Mungu; lakini haiondoi ukweli kwamba Mungu YUPO

Sasa hapo ndipo kwenye suala la msingi.Unaposema kukataa kuwa hakuna HIV haiondoi ukweli kuwa kuna KITU(bila kujali JINA) kinanyong'onyeza afya za watu.

Sasa mimi niko humu kukujuza hiko KITU kinachonyong'onyeza afya za watu kina JINA gani.HIV kweli hayupo,kazi ambayo tumedanganywa kwamba inafanywa na HIV(feki) kiuhalisia haifanywi na HIV bali hufanywa na ARVs.Infact ukweli ni kwamba ugonjwa huu ulitakiwa uitwe ARVs/AIDS na si HIV/AIDS kama tulivyokuwa brainwashed miaka 30 iliyopita.
Ukiachilia mbali baadhi ya scientific papers/proof ambazo nimezitoa humu kuthibitisha hilo,kuna real life experiences mitaani zinazothibitisha ukweli huu.Hao madaktari hawawezi kuthibitisha kwa kutumia real life experience kwamba HIV ndiye anasababisha magonjwa zaidi ya 30,mimi ninaweza kuthibitisha kwa kutumia real life experience kwamba ARVs ndizo zinazosababisha magonjwa hayo kwa wale wanaozitumia.
Wewe unasema hawana mood ya kujadili,kama hawana mood kwa nini walikuja humu kuanza kujadili in the first place baada ya kuitwa na wewe?Kwa nini unashindwa kusema kwamba hawana hoja za kujadili zaidi ya speculations?Waite tena waje humu kama kweli wana hoja za msingi.

Wanawake,kina dada zetu wanakufa sana kwa cervical cancer inayosababishwa na ARVs,halafu ninyi mnaendelea kutetea ukatili huu,watu hamjui ukweli,mkiambiwa ukweli mnapinga kwa hoja nyepesi nyepesi zisizo namashiko,kwa nini mko hivyo?Kwa nini hamtaki kusikiliza na kudadisi upande wa pili.Ukitaka kuamini kama dada/mama zetu wengi wanakufa kwa cancer zinazosababishwa na ARVs,nenda hospitali ya Ocean Road kafanye utafiti.Au nenda kwenye NGO nyingi tu za mambo ya HIV/AIDS sasa hivi wameanzisha kitengo cha cervical cancer kwa wanawake wanaotumia ARVs.

Msichukulie mambo haya juu juu tu.Watu tuna miaka kwenye tafiti hizi.
 
Hii mada ni nzuri kwa sisi wagonjwa watarajiwa (ofcourse kila mtu anaugua), sema mmeingiza ubishi wa kitaalamu mpaka mnatupoteza sasa.

Binafsi natumia dawa zote, za asili na hizi za Western, na zote zinanisaidiaga sana tu. Za kiasili nazitumia zaidi kama kinga, mfano ukitumia limao kama kinga kama Deception anavyosema ni kweli malaria unaweza usiisikie kabisa. Mi naweza kukaa zaidi ya miaka 2 bila kuugua malaria, naaminiga ni kwa sababu natumia sana limau pamoja na madawa mengine ya asili. Ikitokea nina malaria huwa natumia kwanza dawa za hospitali, nikimaliza dozi ndo naendelea na mambo yangu ya limau n.k.

Huwa naamini dawa za hospitali zinafanya kazi fasta, wakati hizi za asili ni slow, so za asili nazitumiaga kama kinga tu. Hivyo mimi kama mtumiaji naelewa vizuri anachozungumza Deception na pia naelewa vizuri wanachoongea kina georgeousmimi na madaktari wengine.

Kwahiyo badala ya kubishana mi ningewaomba chonde chonde mjikite kwenye kutoa uzoefu wenu ktk kutibu haya magonjwa ili mtusaidie sisi wagonjwa. Otherwise, mtakuwa mnatuchanganya zaidi na hayo maneno yenu ya kitabibu ndo kabisaa, mwishowe uzi utabaki wenu tu maprofessionals


Kaunga njoo bwana, we ndo umesababisha jana nije kuutafuta huu uzi pale ulipomstua Asprin kule MMU

Mimi hiyo marelia hata panadol sili ni mwendo wa ndim na dafu nnacho amini dawa za hospital zina dhoofisha kwanza kabla ya kupona ukinywa kama ulikua watembea lazima ulale lakin za asili hudhoofiki kabsaa waendelea na pilika zako
 
mito hawa watu wa humu I mean kina gorgeousmimi na Deception kila mtu anavutia kwake na hawataki kudebate. Ilibidi jana nifanye kazi ya kugoogle. Deception anatumia zaudi taarifa za Peter alizochapisha over 20 years ago na argument hizo hizo. Kuna watu wameshacriticize hizo argument za Peter hasa ile ya Koch test. Wanasema sasa hivi wanaweza kuisolate huyo HIV na anaweza ambukiza mwingine. Shida ni hawa madaktari hawana mood ya kumcrush kwa point deception ndio maana anaonekana kushinda argument. I understand that they are busy lkn kule mmu huwa wana spare enough time huenda kwa ajili ya kurefresh mind after a long day of work, kingine naelewa kuna specialisation kwa madaktari hivyo sio wote wana ulewa wa kina juu ya HIV. Generally wanapatiwa symptoms, vipimo na dosages and they are okay to go. So I excuse them.
Kuhusu deception na Peter na Thabo Mbeki, sisi watu wakawaida we have this simple but ugly realite ndugu na wapendwa wetu na pengine sisi wenyewe tunaugua tunapimwa na kuambiwa tuko positive na tunakufa.
Kukataa kuwa hakuna HIV haiondoi ukweli kuwa kuna kitu (bila kujali jina) kinanyong'oneza (to put it in a light word) afya za watu ni sawa na Kiranga et el anavyodai hakuna ushahidi wa uwepo wa Mungu; lakini haiondoi ukweli kwamba Mungu YUPO

Haswaa. Hata mimi nilikua na wazo kama hili la thread hii kuhamishiwa katika jukwaa la MMU. Tutapata mawazo ya watu wengi na tutaweza kuchanganua zaidi.
Mods please tunaomba tuhamishieni uzi wetu huu tafadhali
 
Mkuu Deception ni kweli kabisa siyo wote watakuelewa na siyo wote watafuata kile unachosema. Sababu ni kwamba watu wengi hatuna kasumba ya kusoma zaidi ya kile tulichofundishwa, pia hatuna kasumba ya kuuliza nje ya kile tunachofundishwa. Mimi sina hata chembe ya udaktari, lakini haya matibabu ya asili nimeanza kuyafuatilia baada ya kuanza kujiuliza maswali mengi bila kupata majibu ya maana, nikawa na interest ya kusoma zaidi habari zake ndo nikagundua ni kinga nzuri tu.

Hizi dawa au kinga asili zinatumika pia hata kwenye mifugo. Kule jukwa la biashara kuna uzi umegusia tiba za asili. Sasa mimi kwa vile tayari nazitumia, sikupata tabu kuamini kuwa zinafaa kwa mifugo pia. Kifupi mi nafuga kuku, wachache tu kama mia hivi wa kienyeji kwa matumizi ya familia. Hawa kuku natumia sana kinga asili na wako poa, magonjwa ya mlipuko yanaibuka kuku wajirani wanakufa wangu wapo tu, nikiwaambia nachotumia hawaamini wanabaki kunishangaa tu. Ila napo inapotokea ugonjwa fulani naanza na hizi za madukani zinazofanya kazi fasta then naendelea na asilia zangu kama kawaida. Tena hata hivyo nimekunja kugundua magonjwa yanaibuka pale ninapozembea kuwapa kinga za asili au ninapokuwa nimesafiri kwa muda mrefu waliopo wakazembea kuwapa. Lakini ukiifanya kama sehemu ya diet mbona magonjwa utayasikia kwa jirani tu.

Ha ha ha kuna mmoja kasema hicho alicho soma kinamtosha na hataki kujiongezea tabu inavo onekana tunaamini sana wenzetu mpaka tunajizarau wakati sivyo kuna mtu alipewa dawa ya marelia na rafikiake wa kizungu iliponya kabsaaa na hakusumbuka tena hii inaonyesha watumiazo wao sio wanazo tuuzia yani wapo kibiashara zaidi
 
Last edited by a moderator:
Naomba niulize swali kutokana na kusema umefanya utafiti muda mrefu . Je katika utafiti wako vipi watu walioathirika na hiv katika nchi za ulaya, america, asia.....nao wanatumia arv.......na kama hawatumii je wanatumia dawa gani naomba unijibu kwa utafiti wako na uelewa wako.
maana ukimwi sio africa ni dunia nzima.
 
Back
Top Bottom