Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasisitiza matumizi ya ARV hasa kwa yule ambae kinga ya mwili imeshuka katika level ya chini sana ili asiweze kuwa attacked na magonjwa nyemelezi kiurahisi vinginevyo wengine wanasisitizwa kujiepusha na maambukizi mapya pamoja na kula vizuriNa kwann awasisitizi katika kutibu magonjwa nyemelezi badala yake wanasisitiza matumizi ya ARVs? Kwan haya magonjwa nyemelezi hayatibiki?
choice s your...syo lazma humuamini mtu au umkubali mtu..ila ukiangalia utaona ushabiki ni mkibwa na siasa ni nyingi kuliko evidence...ukiangalia hapo juu kwenye post zote utaona mkuu kaulizwa maswali mengi sana ana jitetea ni theory hataki jibu bali ana andka siasa nyingi na kukwepa kwingo...angalieni msiliwe kichwa...na pia naku shauri uache maandishi ya chuki maana naona una type viti vynye chuki wakato tupo kwenye ku elimishana..ni hayo tu mkuu.
kwaiyo UKIMWI unaambukizwa kwa njia gani??
Wanasisitiza matumizi ya ARV hasa kwa yule ambae kinga ya mwili imeshuka katika level ya chini sana ili asiweze kuwa attacked na magonjwa nyemelezi kiurahisi vinginevyo wengine wanasisitizwa kujiepusha na maambukizi mapya pamoja na kula vizuri
Ni kweli umasikini wa watanzania unasababisha watu wanaugulia zaidi kuliko kawaida kwasababu mabara wengine watu wana ukimwi wanakula dawa na wazimaa..Na ukichunguza walio victims wengi ni wale wenye maisha duni.
Afya Duni na Kutozingatia Afya Bora.. Hata Ukiugua Malaria Inakulaza Una Ukimwi kwa Jinsi nilivyomuelewa Deception
Basi Kama. ni maisha Duni. Dawa ni Kula Vizuri na Wala Si Kunywa Madawa Kibao
Hilo ni chaguo la mtu binafsi warumi lakini si sawa kupotosha watu.Yeye anapotosha watu na ideology zisizoexist na refer anayosema kuwa ukimwi hauambukizwi na hakuna ugonjwa unaoitwa ukimwi come on?Hakuna ukweli wowote hapo!!
madokta wamekimbia wanaenda kupekua notes@definition kala matapish yake kaenda kulala .aiseeee we deception ni mtu mbaya sana.umenifanya adi najichekea mwenyewe.jamaa wamekuja na miterminologies ya ajabu ili sisi tutoke kapa.lakini kumbe wamedandia treni kwa mbele.wanauliza vitu ambavyo vingi vilishatolewa ufafanuzi mda tu.nashindwa kuelewa ni wavivu wa kusoma au??kama wanashindwa kupitia uzi huu wa page 40 hayo mavitabu ya maugonjwa na maresearch wanapataga mda kwelibwa kuyapitia???
Binafsi ninajua ukimwi upo na unaua sana, hakuna mtu atakayeweza kupingana na imani yangu, ndio maana kila mtu anaogopa ukimwi kwa sababu sio ugonjwa mzuri, umeua ndugu zetu na marafiki.
Tunajua tu mtu ukikutwa na virus utapewa dawa za kurefusha maisha basi, kuhusu mlo utajijua mwenyewe uko, na inavyosemekana hayo madawa ni makali sana especially usipozingatia mlo kamili, ambao watanzania wengi hatuwezi kumudu, sasa unamsaidiaje yule ambaye hawezi kujimudu na lishe bora ili dawa zisimmdhuru? Tumechoka kuona vifo vya waathirika wa UKIMWI ambao wengi wao ni maskini na wanaobaki ni wale wachache tu wenye uwezo wa kuishi maisha mazuri kwa kuzingatia mlo sahihi, kama kijana ninayejitambua, lazima tujue kiundani kuhusu UKIMWI na ARV.
Changamoto tulizoziona kuhusu ubovu wa vipimo vya VVU ni nyingi mno apa kwetu, kwa nini tuendelee kupoteza ndugu zetu kwa uzembe wa watu wachache?, kwa nini tusijue njia mbadala ya kuweza kuwaokoa ndugu zetu. Wengi wetu tunakufa kwa kukosa ELIMU juu ya afya zetu. Tunatakiwa kujua faida na hasara za ARV kwa sababu izo ndio dawa zinazoaminika na wengi kwa kupunguza virus vya ukimwi
Tatizo nyie hamtaki kabisa kuelezea ukweli watu wajue, haimaanishi watu wakijua ukweli basi ndio waache kutumia ARV, hayo ni maamuzi ya mtu binafsi atumie au asitumie. Tatizo lenu hamtoi maelezo mkaeleweka, hakuna anayewaelewa humu wala kuwaamini mnachokiandika, umejiuliza ni kwa nini?
Kumbe hata ww umeliona hili,kiukweli maswal mengi nliyoyaelewa yalishajibiwa mwanzo ukiacha hayo walouliza kwa miterminologies nisioielewa,pia kupanick kwao kunanifanya nizid kumuamini Deception nlitegemea wao Kama madoctor ndo wajibu kwa hekima Na umakini ili kama kweli mkuu Deception anatuingiza chaka watukomboe, Kama wanakosa hekima ya kutuelewesha bila jazba no wonder watu wanapotoka kuchukua majibu ya hiv wanachanganyikiwa wengine had kujiua nna wasi wasi hata na ushauri wanaopewa baada ya kupewa majibu!
We warumi toka katika uzi huu ..mbumbu hujui kaa kimya....VIRUSI VYA AIDS VIPO
kama kunywa dawa nyingi kuna side effect chunguza dozi za mtu anayeugua Tb tena ile chronic anapewa madawa mengi sana kushinda hata hizo ARV
Ndio maana nikasema kwamba kutokana na ufeki wa ugonjwa huu kuna mikanganyiko mingi sana,we mwenyewe umejionea au kusikia kama ulivyoeleza hapo juu.Maneno yako hapo juu hata wenyewe wanakubali kwamba si rahisi mtoto kuambukizwa na wametoa asilimia 98% kama mama atakula ARVs na 75% kama mama hatakula ARVs kuonesha uwezekano wa mtoto kuepuka maambukizi haya ambayo mimi kwangu ni feki.Hongera kwa kuhoji hilo,maana kujihoji ni mwanzo wa kuelewa ukweli.
Unajua mkuu,hawa jamaa wanajua hii ndio starehe ya watu wengi,na ndio maana wameng'angania kwamba unaambukizwa kwa njia hii kwa kuwa kila mtu akiambiwa anao atakuwa na uwezekano mkubwa kwamba alishawahi kufanya ngono hivyo hata mtu mwenyewe hatapinga akiambiwa kwamba anao.Mkuu wewe furahia maisha tu,wasitufanye tuwe watumwa wa asili yetu.Wanajifanya hao ndio miungu,tumeshabaini ukweli na tuko huru.
Hata ukiwa na manjonjo ya aina gani,fanya mbwembwe zote unazozijua duniani kwenye ngono,huwezi kupata ukimwi/VVU.Kuonekana kwamba una VVU ni matokeo ya vipimo feki na si kwamba kweli una VVU.VVU hayupo kiuhalisia hivyo basi ukimwi hausababishwi na VVU.Fuatilia vizuri post zangu utaelewa au watu kama mavado wanaweza kukusaidia pia.Ukijua sayansi inayotumika katika vipimo vya VVU utajua ukweli uko wapi.Na ndio maana niliwahi kusema kwamba,ukitaka ukimwi uishe,basi watu wasijitokeze kupima VVU,au wagome kabisa kupima VVU na badala yake mtu akiumwa apimwe ugonjwa wake halisi tu na kupewa tiba halisi kama zamani,hapo ukimwi utakuwa umeisha.Lakini kwa kampeni hizi feki za kutuonesha kama vile wanatupenda saaaana na wanajali saaaana maisha yetu,watu watapimwa VVU na vipimo feki,wataonekana VVU+ na hatimaye watapewa dawa za ARVs ambazo ndio hasa zinazosababisha ukimwi kwa wanaozitumia halafu tunamsingizia VVU.Ukijua mtego huu basi utakuwa umejikomboa na janga hili.Njombe wanaongoza kitakwimu kwa VVU/Ukimwi kwa sababu wanajitokeza sana kupima VVU,hawaogopi kupima na kuchukua majibu,hii ndio sababu kubwa na hamna sababu nyingine,lakini kwa mtu anayechukulia mambo kiurahisi hataelewa ninachosema,labda watu kutoka njombe waje kuthibitisha wenyewe hapa.
nimefatilia kwa uchache baadhi ya page za thread hii, na nimegundua yafuatayo.
1. asilimia 99 ya wafuatiliaji/wachangiaji ni layman wa mambo ya afya, na hasa HIV/AIDS. wanafanya kuburuzwa tu na hizo wanazoziita fact, ilihali hawaelewi foundation ya hizo "fact". and trust me, arguments za Deception haziko founded, wala haziko documented, na wala hawezi kuzi prove.
2. watu always wanatafuta the easiest way out, someone or something to put blame on. lets face the facts, ukimwi upo na unaua. hiyo iko proven beyond reasonable doubt
3. ushabiki maandazi hausaidii, tena kama unashabikia mtu kwa kuangalia volume ya maneno katika post zake, kwa concepts ambazo wewe na yeye wote hamzielewi.
4. kiasi napata picha kwanini babu wa loliondo aliweza kutushika masikio, sababu ya akili zetu mbovu. we are very easily manipulated, wala hatufikiri.
5. tusicheze na taaluma za watu, tena hasa when it comes to diseases with severe mortality and morbidity. tuwe na huruma na hawa wanaohangaikia maisha yao.
6. the subject of HIV is very broad, na sio rahisi kama wengine humu wanavyotaka kuamini. mi nawaita waganga wa kienyeji. sasa wewe nenda kavu uone kama hatukuziki. ni nani humu hajaguswa na ugonjwa wa HIV maishani? do you still think its a myth? acheni kuaibisha taaluma za watu kwa kumanipulate laymen
Kuna waathirika humu wapo wanataka kuharibu huu uzi nawashauri wa uache kama ulivyo na ikiwezekana warudi kwenye jukwaa lao..
Cc warumi nifah Diva Beyonce