Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Mkuu nashukuru kwa majibu mazuri, naomba kuuliza swali dogo la nyongeza;

Nahisi kuna sehemu nimechanganya, post zako kule nyuma nimeelewa kuwa kinachoreact kwenye kipimo ni aina flani ya protein tu ambazo mtu yeyote anaweza akawa nazo, hii virus yenyewe inaonekanaje mwilini ikiwa kinachoreact ni kuwepo kwa aina flani ya protein na wala sio HIV?
Ndio kipo,kirusi kinachoitwa HIV kipo,ila hakuna kirusi chenye sifa ya kuitwa HIV.Ila historia ya ugunduzi wake ni very tricky na ina mikanganyiko mingi sana,sitaki kwenda huko sasa kwa kuwa wewe bado ni mchanga kwenye mambo haya,ukikomaa sawasawa labda.
Ndio,hakisababishi AIDS.



Retrovirus aliyepachikwa jina feki la HIV alikuwapo tangu enzi na enzi na aliishi na anaendelea kuishi kwenye host wengi akiwemo binadamu na hajawahi kusababisha ukimwi enzi zote hizo.Kutokana na probability ya kumpata huyu virus kwenye damu ni vigumu sana kuambukizwa kwa njia nyingine kama vile sex(inakaribia kutowezekana),njia ambayo ni typical ni ile ya kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto nayo pia ni ndogo sana.CDC report inasema mtoto ana uwezekano wa kupata huyu kirusi kutoka kwa mama kwa 25% tu,ambayo bado sio significant.Na hata ukiwa na huyu kirusi si jambo la ajabu au kutisha kwa kuwa hana uwezo wa kusababisha AIDS,na pia awali ya yote hudhibitiwa na kinga ya mwili.
Sisi tumekuwa brainwashed kuaminishwa kwamba huyu kirusi ndiye anayesababisha AIDS,kitu ambacho si kweli na kuna scientific proofs nying sana kuthibitisha hilo.Sisi kwenye miili yetu kuna bifidus bacteria ambao husaidia digestion,lakini siku Obama akisema kwenye TV fulani kwamba bifidus bacteria ndiye anayesababisha cancer ya utumbo wote tutaamini bila kuhoji kwa kuwa Obama kasema,siku nikitokea mimi kajamba nani nikipinga kwa vielelezo watu watasema napotosha.Hivi ndivyo ilivyokuwa kwa huyu HIV feki.Yupo maisha yote,lakini tumeanza kumwogopa mwaka 1984 alipotangazwa kwamba ndiye "probable cause of AIDS",aliyekuwa probable cause na watu wakaamini kwamba ni probable cause sasa hivi amekuwa real cause of AIDS.Kwa kweli inahitaji jitihada na upeo wa hali ya juu sana wa kuelewa ukweli wa jambo hili.
 
Kwa mujibu wa Deception huyu kirusi yupo tangu zamani sana na nimeshasoma mahojiano kibao sana ya madaktari wakithibitisha hili

Huyu kirusi haambukizwi kutoka binadamu mmoja kwenda mwingine bali kwa njia nyingine tu ndio anaambukizwa

Huyu kirusi hana madhara kwa binadamu jwa sababu kwanza mwili una uwezo wa kumuangamiza huyu kirusi bila kunywa kidonge chochote kile

Kama una maradhi ya.mara kwa mara kula lishe bora na pia pima maradhi kama malaria,pumu,TB n.k na kama utakutwa na maradhi haya yatibu yenyewe na afya yako itarejea bila kujali kama mwili wako una retrovirus (HIV?) Wa aina yoyote ile na utaishi hadi uzee

Kwa kifupi ni hayo kwa mujibu wa mkuu Deception

Mambo.mengine kwakweli naweza kusema tumelishwa uongo na hawa watu tunaowaamini kama watu wa magharibi

Kinachotikea huku mitaani ni tofauti ba wanachotuambia

Mpaka sasa nakubaliana na mkuu Deception...

Yaani very short and tight summary,kama watu wakiangaziwa kidogo tu ubongo wao na kuyafuata haya basi sina haja ya kujaza page nyingi hivi na bado watu hawaelewi sawasawa.
 
Mkuu nashukuru kwa majibu mazuri, naomba kuuliza swali dogo la nyongeza;

Nahisi kuna sehemu nimechanganya, post zako kule nyuma nimeelewa kuwa kinachoreact kwenye kipimo ni aina flani ya protein tu ambazo mtu yeyote anaweza akawa nazo, hii virus yenyewe inaonekanaje mwilini ikiwa kinachoreact ni kuwepo kwa aina flani ya protein na wala sio HIV?

Huu utata ndio mojawapo ya maeneo tuliyodanganywa na ndio maana mimi niko humu kujadili na wengine ili waujue ukweli.
Ukiendelea kusoma taratibu utaelewa tu,kuna mahali nimeelezea hayo mambo.Najua hata wewe ingekuingia akilini kama wangepima muonekano wa HIV(feki) mwenyewe na sio protini zake,hivyo electronic microscopes ndio kingekuwa kipimo kizuri zaidi kuliko kile cha kuangalia antibodies dhidi ya protini kutoka kwa HIV(feki) ambapo protini hizi sio specific kwa HIV(feki).
Na ndio maana hata wewe uliwahi kusikia watu kupewa majibu ya uongo mara nyingi tu.Na ndio maana hawataki kutumia electronics microscope kwa kuwa hii ndio inadhihirisha kwelikweli kama virus yupo,na kama wangetumia hii kungekuwa na uwezekano mdogo mno wa kupata watu ambao wana huyu kirusi na hivyo maana nzima ya biashara ya ARVs ingepotea.
Kwa hiyo hawajakosea kutumia hivi vipimo vya sasa,wanajua na ndio mpango wao,hawajakosea.Kwa kuwa vipimo hivi vina tricks ambazo zinawasaidia kupata wateja wengi zaidi wa ARVs.
 
nimeifuatilia sna huu uzi.naomba kuuliza je kusex na mtu mwenye ukimwi haupati ukimwi?ningeshukuru ningepata majibu
 
Usijali mkuu.Mimi mwenyewe kama vile nipo likizo, ndio maana na pop mara kwa mara,ila soon nitaanza kupoteapotea.
Majukumu ni muhimu sana kiongozi

Tuendelee kuwasiliana ......
 
nimeifuatilia sna huu uzi.naomba kuuliza je kusex na mtu mwenye ukimwi haupati ukimwi?ningeshukuru ningepata majibu

Usijaribu ndugu, endelea kujitunza na kuijali afya yako, tumia kinga kila wakati
 
Usijaribu ndugu, endelea kujitunza na kuijali afya yako, tumia kinga kila wakati
Mpaka kufikia hapa Deception katoa ushahidi kuwa ugonjwa wa ukimwi watu wanaweza kuupata bila sex na wala hautishi kwani dawa yake ni lishe bora

Ushahidi huo hakuna ambae ameweza kuupinga hadi sasa kwa hoja na ushahidi,lakini pia ushahidi huu wa Deception uko back up na kile ambacho kinatokea huku mitaani kwetu kuhusu wanaodaiwa wana ugonjwa uliosababishwa na kijidudu cha HIV,Hakuna maelezo ya kutosha kuelezea huu mgongano ....

Kufikia hapa naweza kusema ukimwi hautishi na wala hauambukizwi kwa ngono kwasababu hakuna ushahidi wa hili

Sasa ya nini tuogope kitu ambacho hakina madhara kwetu?
 
Last edited by a moderator:
Mpaka kufikia hapa Deception katoa ushahidi kuwa ugonjwa wa ukimwi watu wanaweza kuupata bila sex na wala hautishi kwani dawa yake ni lishe bora

Ushahidi huo hakuna ambae ameweza kuupinga hadi sasa kwa hoja na ushahidi,lakini pia ushahidi huu wa Deception uko back up na kile ambacho kinatokea huku mitaani kwetu kuhusu wanaodaiwa wana ugonjwa uliosababishwa na kijidudu cha HIV,Hakuna maelezo ya kutosha kuelezea huu mgongano ....

Kufikia hapa naweza kusema ukimwi hautishi na wala hauambukizwi kwa ngono kwasababu hakuna ushahidi wa hili

Sasa ya nini tuogope kitu ambacho hakina madhara kwetu?

ukiachilia mbali ukimwi ,bado kuna magonjwa mengi ya zinaa yanayotokana na ngono zembe, bado kujikinga ni muhimu
 
Last edited by a moderator:
ukiachilia mbali ukimwi ,bado kuna magonjwa mengi ya zinaa yanayotokana na ngono zembe, bado kujikinga ni muhimu
Safi sana mkuu ....

Hii ni sawa sawa na watu wajue umuhimu wa kunywa maji ya kutosha na kula matunda kwa usahihi wake pamoja na kuuweka mwili fiti kwa kufanya mazoezi ......

Kwa kufanya hivi hawa majamaa watajikuta wanaingia kwenye umaskini maana moja kati ya mambo yanayowapa utajiri ni kuuza madawa hasa huku Afrika

Bill Gates aligharamia pesa nyingi sana ile sijui ni "chanjo" ya ebola,nadhani ni kama dola mil 40,huyu jamaa ni mfanya biashara,hivi anawapenda kwa kiasi gani wananchi wa nchi zilizokuwa na ebola? [Fake]

Kuna mambo ni rahisi sana kuona uongo kama watu tutaamua kuuona ....

1;Mwaka 1990 Watanzania tulikuwa mil 25
2;Mwaka 2015 Watanzania tupo almost mil 50

Ugonjwa wa Ukimwi wanasema unaenezwa kwa ngono zembe au kwa ligha nyingine kufanya ngono bila kinga,wakati huu ugonjwa unadaiwa kuingia nchini ni miaka ya 80 hatukuwa na "elimu" ya kutosha kuuhusu na namna ya maambukizi yake tofauti na ngono

Unapoona watu wanazaliana sana basi watu hao wanafanya ngonoi zembe au wanafanya ngono bila kinga,sasa hebu tafakari tu,kutoka mwaka 1990 hadi 2015 watu walipaswa waongezeke au wapungue?

Tunaambiwa maambukizi yanazidi kuongezeka,kwanini watu wanazidi tu?

Hawa watu walipoona kuwa wanaumbuka walilazimika kuleta madawa ya kutumaliza kama ARVs na madawa ya uzazi wa mpango pamoja na kuwalazimisha wamama wajawazito wapimwe kwa lazima ili wawarundikie madawa......

Hawa ni zaidi ya mashetani ........!!
 
Mpaka kufikia hapa Deception katoa ushahidi kuwa ugonjwa wa ukimwi watu wanaweza kuupata bila sex na wala hautishi kwani dawa yake ni lishe bora

Ushahidi huo hakuna ambae ameweza kuupinga hadi sasa kwa hoja na ushahidi,lakini pia ushahidi huu wa Deception uko back up na kile ambacho kinatokea huku mitaani kwetu kuhusu wanaodaiwa wana ugonjwa uliosababishwa na kijidudu cha HIV,Hakuna maelezo ya kutosha kuelezea huu mgongano ....

Kufikia hapa naweza kusema ukimwi hautishi na wala hauambukizwi kwa ngono kwasababu hakuna ushahidi wa hili

Sasa ya nini tuogope kitu ambacho hakina madhara kwetu?

Yaani mkuu kama wengine wangeelewa kama wewe, nisingepata shida yote hii.Wapo wachache wengine wameelewa vizuri sana,lakini ni wachache.Mimi nachotaka ni watu waelewe kile ninachowasilisha tu basi,suala la kukubaliana au kutokukubaliana na yale niliyowasilisha ni uamuzi wa mpokeaji mwenyewe.
Lakini kama mtu ameelewa tu kile nilichosema inatosha.Maana yangu ni kwamba,kama ameelewa lakini hakubaliani na yale niliyoeleza,nina uhakika knowledge hiyo itabaki kichwani kwake na lazima ipo siku itajidhihirisha na atakubaliana nayo bila hata kushawishiwa na mtu mwingine.Shida ya watu wengi ipo kwenye kuelewa nilicho present.Na kizuizi kikubwa kinachofanya watu wengi wasielewe ni UVIVU WA KUSOMA,KASUMBA na HISIA.
 
Yaani mkuu kama wengine wangeelewa kama wewe, nisingepata shida yote hii.Wapo wachache wengine wameelewa vizuri sana,lakini ni wachache.Mimi nachotaka ni watu waelewe kile ninachowasilisha tu basi,suala la kukubaliana au kutokukubaliana na yale niliyowasilisha ni uamuzi wa mpokeaji mwenyewe.
Lakini kama mtu ameelewa tu kile nilichosema inatosha.Maana yangu ni kwamba,kama ameelewa lakini hakubaliani na yale niliyoeleza,nina uhakika knowledge hiyo itabaki kichwani kwake na lazima ipo siku itajidhihirisha na atakubaliana nayo bila hata kushawishiwa na mtu mwingine.Shida ya watu wengi ipo kwenye kuelewa nilicho present.Na kizuizi kikubwa kinachofanya watu wengi wasielewe ni UVIVU WA KUSOMA,KASUMBA na HISIA.
Mkuu ongezea na hofu .....

Hofu ni mbaya sana mkuu...

Hili suala la ukimwi nilikuwa nalishtukia tangu siku nyingi sana kuanzia sinema ya Magic Jonson hadi kufikia kwa Thabo Mbeki kuamua kusema ukweli

Hakika Yesu hakukosea aliposema "hakuna lililofichika ambalo halitafunuliwa"....!!
 
ukiachilia mbali ukimwi ,bado kuna magonjwa mengi ya zinaa yanayotokana na ngono zembe, bado kujikinga ni muhimu

Umetoa ushauri mzuri sana warumi;

Kwa upande wangu huwa ninawashauri watu wawe makini kwenye sex kwa kuwa kuna magonjwa halisi kabisa ambayo ni kweli huambukizwa kwa njia ya ngono kama vile kisonono/kaswende lakini yanatibika.Ila kuhusu VVU/Ukimwi si kweli kabisa kwamba huambukizwa kwa njia ya ngono kwa kuwa kuna ushahidi wa kutosha kabisa kuhusu hili,ushahidi wa kisayansi na ushahidi wa mazingira/mtaani unaoonekana.Na pale mtu anapofanya sex na mtu anayesadikika kuwa na HIV halafu na yeye akapimwa HIV+ bado kuna maeleze ya kisayansi kuelezea tukio kama hilo.
Na jambo lingine la msingi ni kwamba,sio mpaka ufanye sex tu ndio kigezo cha wewe kupimwa HIV+ na hivi vipimo,hata kama wewe ni bikira na hujawahi pata ajali au jambo lingine lolote lililoweza kukufanya damu yako ichanganyike na ya mtu mwingine mwenye huyo HIV,bado vipimo hivi vinaweza kukupima HIV+.Mtu kuwa HIV+ ni tricks za vipimo tu,jambo hili watu wengi sana wanali bypass.Na ndio maana mwanzoni kabisa nililazimika kuorodhesha mambo manne ambayo hawa jamaa waliotudanganya ndio wameyatumia ili kuturubuni akili zetu,mambo hayo ni;
1.Historia ya HIV/AIDS ambayo ni feki,
2.Hypothesis ya HIV/AIDS ambayo ni feki,
3.Vipimo vya HIV ambavyo ni feki,
4.Dawa za HIV/AIDS(ARVs) ambazo ni feki na very toxic na hazina faida yoyote mwilini zaidi ya hasara.Dawa hizi hazina target.Sasa utatumiaje dawa isiyo na target?Kinachofikiriwa kwamba ni target hakipo,sasa una target nini?

Hizi ni hisia ndani ya vichwa vya watu ambazo zimejengeka miaka na miaka.Uongo ukiurudia mara kwa mara mwishowe hugeuka kuwa ukweli(ukweli wa uongo).Wame advertise sana kwenye vyombo vyao vya habari huku wakitumia picha na video za kutisha ili kuwaogopesha watu mpaka watu wameamini.

Ama kweli "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"
 
Mkuu ongezea na hofu .....

Hofu ni mbaya sana mkuu...

Hili suala la ukimwi nilikuwa nalishtukia tangu siku nyingi sana kuanzia sinema ya Magic Jonson hadi kufikia kwa Thabo Mbeki kuamua kusema ukweli

Hakika Yesu hakukosea aliposema "hakuna lililofichika ambalo halitafunuliwa"....!!

Yesu pia alisema "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"
 
Mkuu ongezea na hofu .....

Hofu ni mbaya sana mkuu...

Hili suala la ukimwi nilikuwa nalishtukia tangu siku nyingi sana kuanzia sinema ya Magic Jonson hadi kufikia kwa Thabo Mbeki kuamua kusema ukweli

Hakika Yesu hakukosea aliposema "hakuna lililofichika ambalo halitafunuliwa"....!!

Yaa nilii bypass hofu mkuu.Hofu ni shauri nyingine.Kwa mfano unaweza kumchukua mtu yeyote aliyekubali mambo yote niliyosema na akaamini kabisa.Lakini mwambie njoo tukudunge damu ya mtu mwenye HIV uone balaa lake,ha ha haaa kweli hofu ni balaa.

Halafu kuna mtu ali pop up na stori yake ya Magic Johnson hapa halafu katoweka,anaweza kuja tena kuchafua uzi baadaye sana wakati watu wameshafika mbali.Yaani ana pop anakimbia,ana pop anakimbia,inachekesha sana,lakini pia inahuzunisha kuona watu ni wazito sana kusikiliza au kusoma mambo tofauti na yale waliyoyazoea.

Kama ulivyosema,watu kama hawa kwa kusoma vitabu vya hadithi hawajambo,siku 7 anamaliza vitabu 7,si mbaya ni burudani,kila mtu ana burudani yake,lakini ni muhimu pia kufuatilia masuala ya msingi katika afya zetu.
 
Yaa nilii bypass hofu mkuu.Hofu ni shauri nyingine.Kwa mfano unaweza kumchukua mtu yeyote aliyekubali mambo yote niliyosema na akaamini kabisa.Lakini mwambie njoo tukudunge damu ya mtu mwenye HIV uone balaa lake,ha ha haaa kweli hofu ni balaa.

Halafu kuna mtu ali pop up na stori yake ya Magic Johnson hapa halafu katoweka,anaweza kuja tena kuchafua uzi baadaye sana wakati watu wameshafika mbali.Yaani ana pop anakimbia,ana pop anakimbia,inachekesha sana,lakini pia inahuzunisha kuona watu ni wazito sana kusikiliza au kusoma mambo tofauti na yale waliyoyazoea.

Kama ulivyosema,watu kama hawa kwa kusoma vitabu vya hadithi hawajambo,siku 7 anamaliza vitabu 7,si mbaya ni burudani,kila mtu ana burudani yake,lakini ni muhimu pia kufuatilia masuala ya msingi katika afya zetu.

Kwa thread hii naanza kukubaliana na wewe kama HIV inaambukizwa kwa damu iweje mtoto aliyetumboni kwa mama asipate wakati damu anayozaliwa nayo kaitoa kwa mama mwenye HIV ? Naanza kuelewa sasa naendelea kusoma kwa makini hii mada kama imenigusa sana na kunifundisha nisivovijua
 
Back
Top Bottom