King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Navyo vinaweka vipini puani?Aiseeee ni Kazeze ,Ni Kazeze ,Ni kazeze.
-Vitoto vya 2000 kweli aisee vingi vina grid.
-Utapata Ukimwi endapo umepata michubuko na damu iiyoathirika ikaingiliana na wewe ambaye haujaathirika haijalishia dakika 2 au sekunde ,kama hakuna michubuko hata uende dakika 100 hautopata na kama kuna michubuko hata sekunde tu imoooooo.
Ilikuwaje ukapiga kwa dakika 2Amn sina uhakika maan hat sex yenyew ni chin ya dakik 2, sidhan kam nlichubuk ila pep pia nmeanz mda mzur
Unasoma la ngapi mbona uandishi wa kitoto huuNo nlikua na mda san bila sex lkn pia ilikua mida ya kuingia kazin kam dakik 2 nmezidish ili niondok, na ndo maan nlivowek nkawah
Shida sio umeandika nini ni umeandikajeSitak niandike matus ndo maan najarib kutumia lugha kdog isio na ukakasi, jaribun tu kunielew
USingeach wanasem dawa zinasaidia san, maan kun nes aliniambia yy alikua kwa wale wanaokusany dam ukiend kutoa na aliwah kujichom kwa sindan ya mdau ambae alikua anachanga dam na dam ilikua chaf ila alianza dawa baada ya kujichom, ko kweny kupim zile dam ile ikawa chaf.. alitumia na akaw saw ila kikubwa ni matumiz sahihMimi niliingiza mara mbili nikavaa ndom nkapiga kidogo nkavua,nkachapa kavu dk 5 hazikuisha kukamilisha action 3 yaani kuingiza mara 2 yaan ile ingiza toa ingiza toa nkavaa mpira nkachapa ka dk 1-2 nkavua nkamaliza kwa dk ka mbili tenna,ile nmeachana na demu nkataka nipate abc zake make alkua mgeni kitaani haa nilihaha..naambiwa mtu wake kawaka na hapo katoka town kupigwa..ilkua samoja sa3:30 usiku nlienda hosp nkapewa kidonge kimoja "pep"kesho asubui nkaenda kupima na nkapewa dozi kamili nilipiga siku 20 nkaacha...toka tar 31/2-19/3..
nMeacha sabu sina uhakika kam nlichubuka lkn nilitumia tu kujikinga
.ndoto za kupaa
.njaa
.homa/mafua
.head ache
.mwili kukosa nguvu
Nilichagua kutumia sa4 au 5 usiku.
Hadi saivi kila nikiumwa napatwa na mawazo mengi sana,leo nmejaribu kwenda kupima wameniambia hadi ipite miezi 3 nikarudi..
Thats why nakushauri umelizie ikikupendezaHuu ni mtind tu kak nakua simaliz heruf ni namn ya uandish tu ila sio kua haielewek