Je, inawezekana pager kuwa chanzo cha kifo cha rais wa Iran?

Je, inawezekana pager kuwa chanzo cha kifo cha rais wa Iran?

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Rais wa Iran, Raisi na yeye alionekana kuwa anatumia pager kabla ya kifo chake.

20240919_222013.jpg
Sasa umezuka uvumi kuwa inawezekana hata kifo chake cha ajali ya ndege kinaweza kuwa kilisababishwa na mlipuko wa pager iyo.

Waisrael ni wajanja mno? Ni kama popobawa ambaye anakukula usiku kisha anapiga kimya, kazi kwako uliyekwanguliwa tako upige mayowe na kelele mitaani kuwa amekutafuna wakati yeye yupo kimyaaa.

Haya yanayoendelea Lebanon ni wazi Israel wapo mbele sana kiteknolojia. Vyombo vyote vya electronic vinavyopokea signal kuanzia decoder, Smart devices na kadhalika vinaweza kugeuka silaha ya maangamizi.

Soma Pia: Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran
 
Rais wa Iran, Raisi na yeye alionekana kuwa anatumia pager kabla ya kifo chake.

Sasa umezuka uvumi kuwa inawezekana hata kifo chake cha ajali ya ndege kinaweza kuwa kilisababishwa na mlipuko wa pager iyo.

Waisrael ni wajanja mno? Ni kama popobawa ambaye anakukula usiku kisha anapiga kimya, kazi kwako uliyekwanguliwa tako upige mayowe na kelele mitaani kuwa amekutafuna wakati yeye yupo kimyaaa.

Haya yanayoendelea Lebanon ni wazi Israel wapo mbele sana kiteknolojia. Vyombo vyote vya electronic vinavyopokea signal kuanzia decoder, Smart devices na kadhalika vinaweza kugeuka silaha ya maangamizi.

Soma Pia: Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran
Inawezekana hakika.
 
Ulimwengu unaenda kwa kasi kubwa sana,zamani tulikuwa tunakariri kuwa vita ni uchumi lakini muda unatuambia teknolojia ni inatumika kwa kiasi kikubwa katika vita, simu na laptop zimetufanya tuwe karibu(interchanging and interconnected) lakini ubaya wa teknolojia unaweza kutoa roho kwa sekunde chache tu,tumeng'ang'ania teknolojia za watu ila tunasahau kuwa sisi ni ngozi nyeusi hatuna mfanano wowote na wazungu wao hawawezi kuwa sisi hata siku moja ila tunawaita washirika wetu.

Ubunifu wao unamadhara zaidi kuliko faida kwetu,siwezi kushangaa wanaweza kumuondoa yeyote wamtakae kwa muda wowote,dunia imekuwa siyo salama.

Teknolojia inaweza kutupa funzo na kutuuumiza wakati huo huo.
 
Mkuu kila kitu ni artificial hivo ondoa hofu juu ya dunia yenyeyewe kua salama kwakua dunia yenyewe kiuhalisia haipo nindoto tuu.
Ndio maana sio vyakudumu leo unaviona kesho hutaviona.
Leo utauliwa kwasumu ya atomic kesho alie kuua atakufa kwa gharika ya maji au tetemeko.
 
Huna akili ya kutengeneza vya kwako kutwa tunawaza amapiano na kutafuta AZUMA
Anyway acha kujipasha joto kichwa chako MWAFRIKA hajawahi kuwa tishio/threat kwa mzungu tunakuwa tishio kwa sababu ya kuzaliana wanaamini kuwa wao wanawajibika kutuongoza sisi vichwa vibovu
 
Back
Top Bottom