Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Nimenunua kiwanja pembeni kina makaburi matatu, ni kipande cha mita tatu kwa tatu, sasa nawaza niyahamishie sehemu nyingine huko ili nipate nafasi kubwa zaidi ya kiwanja, nimekuja kwenu ili nijue kama kuna madhara yoyote au la.
Hakuna madhara yoyote ya kuhamisha makaburi kwa ajili ya jambo la kimaendeleo isipokuwa tu ni lazima zifanyike taratibu zote za kisheria au makubaliano ya wahusika wa hayo makaburi nk.