Je, inawezekanaje watu milioni 60 kuwalillia kwa machozi ya damu watu wasiozidi 20 na bado wakaleta dharau?

Je, inawezekanaje watu milioni 60 kuwalillia kwa machozi ya damu watu wasiozidi 20 na bado wakaleta dharau?

Wabinafsishe na shirika la ndege Ningewaona ni ma jini asi
 
Wabinafsishe na shirika la ndege Ningewaona ni ma jini asi
Mama ajiuzulu tu, hii aibu ni kubwa mno

786BC254-FA6C-458F-9D7C-4A757C7912C6.jpeg
 
Baadhi ya Mambo yanayosababisha upinzani wa bandari, ni Ulaji uliokithiri bandari, soma taarifa hii uone vigogo walivokuwa wanapiga MAHELA.

Na Waandishi Wetu

IMEVUJA!

Hakuna shaka kwamba, utajiri wa wale vigogo watumishi wa umma waliokuwa wakifanya kazi Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) unatisha kufuatia gazeti hili kufukunyua mali za baadhi yao, twende hatua kwa hatua.

Ijumaa iliyopita, Waziri Mkuu wa Tanzania, Majaliwa Kassim Majaliwa, alifanya ziara ya kushtukiza kwenye ofisi za Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na kubaini ukwepaji kodi mkubwa ulioikosesha serikali kiasi cha shilingi bilioni 80.

Katika kikao na viongozi wa TPA sanjari na viongozi wa TRA, akiwemo aliyekuwa Kamishina Mkuu, Rished Bade, Waziri Majaliwa aliamuru papo hapo, kusimamishwa kazi kwa baadhi ya vigogo wa bandari.

Mfano wa Toyota VX V8 inayomilikiwa na vigogo hao.

PANGA LILITUA KWA HAWA
Vigogo waliosimamishwa ni pamoja na Bade, Kamishina wa Forodha na Ushuru wa Bidhaa, Tiagi Masamaki na Habibu Mponezya wa Kituo cha Huduma kwa Wateja kisha waziri mkuu akamwagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Ernest Mangu kuhakikisha wote wanakamatwa.

Wengine waliosimamishwa ni Eliachi Mrema (Msimamizi Mkuu wa Bandari Kavu Dar es Salaam), Haruni Mpande (Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano) na Hamis Omar, Nsajigwa Mwandegele, Robert Nyoni na Anengisye Mtafya.

AGIZO ZITO
Kabla hajamaliza kikao, Waziri Majaliwa aliagiza kuwa, licha ya watu hao kukamatwa, hati zao za kusafiria kushikiliwa, pia mali zao zichunguzwe ili kubaini kama zinaweza kumilikiwa na mtumishi wa umma kwa kutumia mshahara wake!

RISASI MCHANGANYIKO LAFUKUA
Kufuatia agizo hilo la Waziri Mkuu katika kipindi hiki cha ‘hapa kazi tu’, gazeti hili liliingia mtaani kwa kufanya uchuguzi wa kina ili kubaini utajiri wa vigogo hao na wengine ambao hawajakumbwa na sakata hilo.

Juzi Jumatatu, Risasi Mchanganyiko lilifika Masaki, Mbezi na Tegeta Madale kwenye makazi ya baadhi ya watumishi hao ili kuona mazingira yao.

Ndani ya nyumba ya mtumishi mmoja, Risasi liliona magari matatu ya kifahari aina ya Toyota Land Cruiser ‘VX’, Mercedes Benz na Range Rover achilia mbali Toyota Noah ambayo majirani walisema huwa inakwenda sokoni kufanyia ‘shopping’.

Kwenye nyumba nyingine, ukuta ulikuwa mrefu kiasi cha wapigapicha wetu kushindwa kuona ndani mpaka wakapiga kengere. Lakini majirani walisema si rahisi kufunguliwa kwa siku mbili hizi kwani kumekuwa na ‘ingia toka’ ya watu wa usalama wa taifa.
“Kama hamna namba za simu za mtu yeyote aliye ndani sijui kama mtafunguliwa. Siku mbili hizi, watu wa usalama wa taifa wanaingia na kutoka,” alisema jirani mmoja.

Jirani huyo alisema jumba hilo mmiliki ni mkaaji mwenyewe ambaye ni mtumishi wa TRA na ana nyumba nyingine maeneo ya Mwenge licha ya kumiliki maduka ya nguo Kariakoo, Dar.

Baada ya hapo, gazeti hili lilifunga safari hadi Pugu ambako kuna makazi mengine ya mmoja wa vigogo hao lakini nyumba ilionekana kuwa kimya na kutokuwepo kwa gari hata moja kwenye eneo la maegesho.

Akizungumza na Risasi Mchanganyiko, Mjumbe wa Nyumba Kumi Mtaa wa Pugu Bombani, Abdallah Shaban alisema huwa kunakuwa na magari mengi kwenye nyumba hiyo, lakini kwa siku mbili zilizopita (Jumamosi na Jumapili) hajayaona.

“Hapa ‘panakuwaga’ na magari mengi sana. Unaweza kusema ni yadi ya kuuza magari, lakini siku mbili hizi sijayaona,” alisema mjumbe huyo.

land-rover-sport-hse-10

MAGARI HAYANA KAZI
Mjumbe huyo alikwenda mbele zaidi kwa kusema kuwa, kutokana na magari kuwa mengi pasipo watumiaji, mara nyingi asubuhi mmiliki huyo humwagiza mtu mmoja kuyawasha na kuunguruma kwa muda kisha kuyazima kwa lengo la kuyapasha moto.

NYUMBA KAMA KIJIJI
Mjumbe huyo alilionesha Risasi Mchanganyiko eneo kubwa la mtumishi huyo ambapo amejenga nyumba za familia zisizopungua 20 sehemu moja (kama kijiji) na moja tu ndiyo imepangishwa.

UCHUNGUZI WA JUMLA
Uchunguzi wa jumla uliofanywa na Risasi Mchanganyiko ulibaini kuwa, watumishi wengi wa TRA na TPA wanamiliki nyumba na magari licha ya kulipwa mshahara wa ngazi ya serikali ambao wasingeweza hata kununulia gari moja la kifahari kama ilivyo sasa.

#Globalpublishers
#bandariibinafsishwe
#kataawalajiwamalizauma

Unatokwa na mishipa ya shingo kutetea Bandari kumbe unatetea muendelezo wa kujiliavigogo.
#amkamtanzania
Hao majizi ya mali za umma wafilisiwe kabisa.
 
Kuliko kuwauzia waarabu bandari baada ya kukiri kushindwa KAZI,

Ni Afadhali wangekabidhi Nchi Kwa CDM idhibiti wezi na kuziba mianya ya wizi na kuongeza mapato ya nchi.

Hii Nchi Si Mali ya CCCm pekee 🙏🙏
HIVI KWA AKILI ZAKO UNAWACHUKULIA CHADEMA KIPOAPOA 😂😂 KALAGHA BAO JITIHADA ZOTE ZA CHADOMO NI ILI NA WAO WAPATE NAFASI YA KUKWIBA ZAIDI, OFISI TU, ZIMEWASHINDA ILA MAJUMBA DUBAI WAMENUNUA HAWAKO KIPOAPOA HAWA JAMAA.
 
Hivi hii mifumo ya kiutawala hapa duniani na nchini kwetu huwa ina siri gani ndani yake? Mfano kwa hapa Tanganyika, watu milioni 60 wanalia na kusaga meno, tena huku wakiwapigia magoti Watu wasiozidi 20, kuwaomba wasiingize nchi utumwani kwa kugawa bure rasilimali za taifa, lakini kwa dharau na kejeli kubwa ndio wanazidisha.

Au ni ule Mwenge unaozungushwa nchini kila mwaka ndio unapumbaza watu akili, what is the mechanism? Watu milioni 60 vs watu 20, where is the logic?
KWA VIONGOZI WA TANGANYIKA INAWEZEKANA KABISA km Katiba iliyopo alifungwa na Watu 20 lakini leo INAWATESA Watu zaidi ya MILIONI 60
 
Hivi hii mifumo ya kiutawala hapa duniani na nchini kwetu huwa ina siri gani ndani yake? Mfano kwa hapa Tanganyika, watu milioni 60 wanalia na kusaga meno, tena huku wakiwapigia magoti Watu wasiozidi 20, kuwaomba wasiingize nchi utumwani kwa kugawa bure rasilimali za taifa, lakini kwa dharau na kejeli kubwa ndio wanazidisha.

Au ni ule Mwenge unaozungushwa nchini kila mwaka ndio unapumbaza watu akili, what is the mechanism? Watu milioni 60 vs watu 20, where is the logic?
Utakuwa umekosea sana ukidhani ni watu 20 tu.Umewahi kufikiria wale walio nyuma yao?Umewahi kufikiria silaha zote zilizoingia nchini kihalali zinawalinda wao?
 
Hivi hii mifumo ya kiutawala hapa duniani na nchini kwetu huwa ina siri gani ndani yake? Mfano kwa hapa Tanganyika, watu milioni 60 wanalia na kusaga meno, tena huku wakiwapigia magoti Watu wasiozidi 20, kuwaomba wasiingize nchi utumwani kwa kugawa bure rasilimali za taifa, lakini kwa dharau na kejeli kubwa ndio wanazidisha.

Au ni ule Mwenge unaozungushwa nchini kila mwaka ndio unapumbaza watu akili, what is the mechanism? Watu milioni 60 vs watu 20, where is the logic?
Ndo washaamua sasa na hamna mnaloweza kuwafanya zaidi ya kulialia humu
 
Utakuwa umekosea sana ukidhani ni watu 20 tu.Umewahi kufikiria wale walio nyuma yao?Umewahi kufikiria silaha zote zilizoingia nchini kihalali zinawalinda wao?
Silaha hizo hizo zinaweza kuwageukia wao katia muda na saa wasioijua, hivi unagawaje nchi bure?! Si bora angeiuza tugawane pesa?!

5A2EC11A-997E-4E82-9A14-6931EC08F93C.jpeg
 
Baadhi ya Mambo yanayosababisha upinzani wa bandari, ni Ulaji uliokithiri bandari, soma taarifa hii uone vigogo walivokuwa wanapiga MAHELA.

Na Waandishi Wetu

IMEVUJA!

Hakuna shaka kwamba, utajiri wa wale vigogo watumishi wa umma waliokuwa wakifanya kazi Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) unatisha kufuatia gazeti hili kufukunyua mali za baadhi yao, twende hatua kwa hatua.

Ijumaa iliyopita, Waziri Mkuu wa Tanzania, Majaliwa Kassim Majaliwa, alifanya ziara ya kushtukiza kwenye ofisi za Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na kubaini ukwepaji kodi mkubwa ulioikosesha serikali kiasi cha shilingi bilioni 80.

Katika kikao na viongozi wa TPA sanjari na viongozi wa TRA, akiwemo aliyekuwa Kamishina Mkuu, Rished Bade, Waziri Majaliwa aliamuru papo hapo, kusimamishwa kazi kwa baadhi ya vigogo wa bandari.

Mfano wa Toyota VX V8 inayomilikiwa na vigogo hao.

PANGA LILITUA KWA HAWA
Vigogo waliosimamishwa ni pamoja na Bade, Kamishina wa Forodha na Ushuru wa Bidhaa, Tiagi Masamaki na Habibu Mponezya wa Kituo cha Huduma kwa Wateja kisha waziri mkuu akamwagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Ernest Mangu kuhakikisha wote wanakamatwa.

Wengine waliosimamishwa ni Eliachi Mrema (Msimamizi Mkuu wa Bandari Kavu Dar es Salaam), Haruni Mpande (Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano) na Hamis Omar, Nsajigwa Mwandegele, Robert Nyoni na Anengisye Mtafya.

AGIZO ZITO
Kabla hajamaliza kikao, Waziri Majaliwa aliagiza kuwa, licha ya watu hao kukamatwa, hati zao za kusafiria kushikiliwa, pia mali zao zichunguzwe ili kubaini kama zinaweza kumilikiwa na mtumishi wa umma kwa kutumia mshahara wake!

RISASI MCHANGANYIKO LAFUKUA
Kufuatia agizo hilo la Waziri Mkuu katika kipindi hiki cha ‘hapa kazi tu’, gazeti hili liliingia mtaani kwa kufanya uchuguzi wa kina ili kubaini utajiri wa vigogo hao na wengine ambao hawajakumbwa na sakata hilo.

Juzi Jumatatu, Risasi Mchanganyiko lilifika Masaki, Mbezi na Tegeta Madale kwenye makazi ya baadhi ya watumishi hao ili kuona mazingira yao.

Ndani ya nyumba ya mtumishi mmoja, Risasi liliona magari matatu ya kifahari aina ya Toyota Land Cruiser ‘VX’, Mercedes Benz na Range Rover achilia mbali Toyota Noah ambayo majirani walisema huwa inakwenda sokoni kufanyia ‘shopping’.

Kwenye nyumba nyingine, ukuta ulikuwa mrefu kiasi cha wapigapicha wetu kushindwa kuona ndani mpaka wakapiga kengere. Lakini majirani walisema si rahisi kufunguliwa kwa siku mbili hizi kwani kumekuwa na ‘ingia toka’ ya watu wa usalama wa taifa.
“Kama hamna namba za simu za mtu yeyote aliye ndani sijui kama mtafunguliwa. Siku mbili hizi, watu wa usalama wa taifa wanaingia na kutoka,” alisema jirani mmoja.

Jirani huyo alisema jumba hilo mmiliki ni mkaaji mwenyewe ambaye ni mtumishi wa TRA na ana nyumba nyingine maeneo ya Mwenge licha ya kumiliki maduka ya nguo Kariakoo, Dar.

Baada ya hapo, gazeti hili lilifunga safari hadi Pugu ambako kuna makazi mengine ya mmoja wa vigogo hao lakini nyumba ilionekana kuwa kimya na kutokuwepo kwa gari hata moja kwenye eneo la maegesho.

Akizungumza na Risasi Mchanganyiko, Mjumbe wa Nyumba Kumi Mtaa wa Pugu Bombani, Abdallah Shaban alisema huwa kunakuwa na magari mengi kwenye nyumba hiyo, lakini kwa siku mbili zilizopita (Jumamosi na Jumapili) hajayaona.

“Hapa ‘panakuwaga’ na magari mengi sana. Unaweza kusema ni yadi ya kuuza magari, lakini siku mbili hizi sijayaona,” alisema mjumbe huyo.

land-rover-sport-hse-10

MAGARI HAYANA KAZI
Mjumbe huyo alikwenda mbele zaidi kwa kusema kuwa, kutokana na magari kuwa mengi pasipo watumiaji, mara nyingi asubuhi mmiliki huyo humwagiza mtu mmoja kuyawasha na kuunguruma kwa muda kisha kuyazima kwa lengo la kuyapasha moto.

NYUMBA KAMA KIJIJI
Mjumbe huyo alilionesha Risasi Mchanganyiko eneo kubwa la mtumishi huyo ambapo amejenga nyumba za familia zisizopungua 20 sehemu moja (kama kijiji) na moja tu ndiyo imepangishwa.

UCHUNGUZI WA JUMLA
Uchunguzi wa jumla uliofanywa na Risasi Mchanganyiko ulibaini kuwa, watumishi wengi wa TRA na TPA wanamiliki nyumba na magari licha ya kulipwa mshahara wa ngazi ya serikali ambao wasingeweza hata kununulia gari moja la kifahari kama ilivyo sasa.

#Globalpublishers
#bandariibinafsishwe
#kataawalajiwamalizauma

Unatokwa na mishipa ya shingo kutetea Bandari kumbe unatetea muendelezo wa kujiliavigogo.
#amkamtanzania
Sasa kama ukiwa Rais wa Nchi inashindwaje kusimami rushwa?,hivi kweli kabisa hata kwa MTU tahira unawwza ukamweleza na binafsisha jambo X kwa kuwa rushwa imekithiri tena ukiwa wewe ndio mwenye mpini wa kuweka order.

Jamani teteeni vitu vyenye mantiki basis,hata kama ukiwa chawa wa MTU sometime ruhusu akili kuwaza kidogo
 
Sasa kama ukiwa Rais wa Nchi inashindwaje kusimami rushwa?,hivi kweli kabisa hata kwa MTU tahira unawwza ukamweleza na binafsisha jambo X kwa kuwa rushwa imekithiri tena ukiwa wewe ndio mwenye mpini wa kuweka order.

Jamani teteeni vitu vyenye mantiki basis,hata kama ukiwa chawa wa MTU sometime ruhusu akili kuwaza kidogo
Yule mungu wenu pamoja na mbwembwe zoote hufahamu palimshinda pia? Au unajitoa ufahamu?
Hufahamu yule DC wa kigamboni alivyongamua wizi wa mafuta nyakati zile za mungu wenu na akaishia kufukuzwa kazi yeye na mungu wenu akakaa kimyaaa kana kwamba hamna lolote!
 
Yule mungu wenu pamoja na mbwembwe zoote hufahamu palimshinda pia? Au unajitoa ufahamu?
Hufahamu yule DC wa kigamboni alivyongamua wizi wa mafuta nyakati zile za mungu wenu na akaishia kufukuzwa kazi yeye na mungu wenu akakaa kimyaaa kana kwamba hamna lolote!
Wanajua sana tu.
Yule aliwaanisha kabisa kama ndiye Mungu wao.
 
Back
Top Bottom