Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Una injili original tufananishe na hii unayosema imeharibiwa?
 
ACHA UPOTOSHAJI

1. Taurati ilipewa Israeli, lakini mpango wa Mungu ulikuwa wa mataifa yote kupitia Yesu.
2. Quran si mwongozo wa mwisho kwa wanadamu wote; wokovu uko kwa Yesu Kristo pekee.
3. Mungu wa Biblia na Mungu wa Quran ni tofauti, kwani mafundisho yao juu ya Yesu na wokovu yanapi
ngana.
 
Ni kweli Mtume Muhammad ﷺ amefariki na hajafufuka na hatofufuka mpaka siku ya kiama na atakayemfufua ni Allah na si yesu ambaye ni binadamu kama yeye.
kwa mujibu wa Biblia, Yesu atamfufua Muhammad na watu wote siku ya mwisho. Hili linaungwa mkono pia na Quran, ambayo inakiri kwamba Yesu alikuwa na uwezo wa kufufua wafu kwa idhini ya Mungu. Katika Ukristo, Yesu si binadamu wa kawaida tu, bali ni Mwana wa Mungu mwenye mamlaka ya uzima na mauti (Ufunuo 1:18).
 
Kwahiyo Zaburi aliteremshiwa nabii Daudi? Daa jamani mie niishie hapa.

Daudi alikuwa nabii? Mbona nyie waongo mpaka shetani anakuna kichwa nakujiuliza mmeyapata wapi haya!😭😭😭😭, Nàkuombea Mungu akuguse ili utoke kwenye hilo giza Totoro.
 
Una Zaburi ,Torati na injili original tufananishe na hizi unazosema zimechakachuliwa?au umekaririshwa na MASHEIKH ubwabwa kina Mazinge wauza maji na mafuta
 
Mudy kila aliyesimuliwa kuhusu wayahudi anamuita nabii
 
Tena Mungu tunaye msoma katika biblia na huyo Allah ni vitu viwili tofauti, hata huyo Allah atakuwa anawashangaa😅😅😅😅
 
Tena Mungu tunaye msoma katika biblia na huyo Allah ni vitu viwili tofauti, hata huyo Allah atakuwa anawashangaa😅😅😅😅
Jamaa wanapenda kujibebisha na kujinasibisha na Uyahudi na ukristo
 
Onyesha Ushahidi Kwa kupinga Hoja Sio Kuitoa Hoja Mashiko.iliyoletwa
Waislamu kazi Yao ni kupigania dini tu😂 hapo anatetewa mtume,unatetewa uislam, wakati mtume aliwaandikia waislam kwamba Yesu ni roho wa MUNGU.

Hadithi ya mtume BUKHARI 3435 Kuna verse huwa hawaisomi. Hawa wafia dini wa kiislamu ni vichaa sana.
 
Yaani wanachekeshaga hawa jamaa maana hata ukichukia utaumia moyo na roho, ngoja tuwaombee tu siku moja watatembelewa na nguvu ya YESU.
Yah Yesu atafanya kitu, Mimi nilikuwa huko, na nawafahamu wengi tu Yesu amewatoa huko
 
kwa mujibu wa Biblia, Yesu atamfufua Muhammad na watu wote siku ya mwisho. Hili linaungwa mkono pia na Quran, ambayo inakiri kwamba Yesu alikuwa na uwezo wa kufufua wafu kwa idhini ya Mungu.
Wapi katika Qur’an imesemwa kuwa Yesu atafufua watu.
Umesema yesu alipewa uwezo wa kufufua watu kwa idhini ya Mungu kwa hiyo unakiri yesu sio mungu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…