Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Kwa hiyo kumbe sio neno la Mungu ni la manabii na mitume
 
Ulichojibu ni tofauti ndio shida ya kutumia Ai ikusaidie

Kwanza Aya ULIYOILETA ni tofauti na tulichokuuliza
 
Unaishia kunitukana tu lakini ukweli yesu sio wa milele
 
Kwahiyo Yesu msaidizi wake ni Muhammadi ?
Imekaaje hii wakati Muhamadi ndiye m'bora wa Mitume ?

Inayumnikanaje Muhammadi awe msaidizi wa Yesu aliye tumwa kwa Waisraeli tu ?
Kwani Muhamadi naye ni Mwisraeli ?

Jamaa wanatapatapata sana ili kumnusuru Allah, Muhammadi na Dini.
Tusha washitukia kitambo sana.
 
Unaishia kunitukana tu lakini ukweli yesu sio wa milele
Kuna tusi hapa???

NARUDIA TENA

TUKUSIKILIZE WEWE MLA UGALI NA MAHARAGE AU TUWASIKILIZE MANABII WA MUNGU?

Mika 5:2 – "Lakini wewe, Efrata, ingawa u mdogo kati ya maelfu ya Yuda, kwako atatoka yeye atakayekuwa mtawala katika Israeli, ambaye asili yake ni tangu milele, tangu zamani za kale."

Isaya 9:6 – "Maana kwa ajili yetu Mtoto amezaliwa, Tumepewa mwanaume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani."
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Hilo swali hujanijibu ,kama kweli umejibu kopi hapa hayo majibu yaweke hapa
Nimekwambia walioviharibu wakaficha original ya vitabu hivyo so havipo kwa sasa.
Ila kesho utaniuliza tena πŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜„
 
UISLAMU NI DINI YA KUTENGENEZWA NDIO MAANA INA LOOPHOLES NYINGI SANA ,NA ILI ISIMAME IMEBIDI WAJILAZIMISHIE KWA WAYAHUDI NA WAKRISTO


HUWEZ KUKUTA MKRISTO AU MYAHUDI ANAJIHUSISHA NA QURAN ILI KUTHIBITISHA DINI YA KIKKRISTO AU KIYAHUDI


UISLAMU NI DINI ILIYOKUWA MANUFACTURED NA UROMA
 
Sasa mla maharage ni nini 🀣🀣🀣
 
Nimekwambia walioviharibu wakaficha original ya vitabu hivyo so havipo kwa sasa.
Ila kesho utaniuliza tena πŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜„
Waliviharibu lini na kina nani ,ilikuwa mwaka gani

Ushahidi gani unathibitisha waliharibi


Mbona unajibu huku UNAKIMBIA
 
Sasa mla maharage ni nini 🀣🀣🀣
Hilo ni tusi ? Mla MAHARAGE ni mtu tu wakwaida

Yaani unataka TUKUSIKILIZE WEWE na kina Mazinge wanauza mafuta na maji na kina Sharifu majini


Ila manabii wa Mungu tuwapuuze?
 
**** kitu gani kinachofanana na uroma
Uislamu ni dini ILIYOKUWA MANUFACTURED na UROMA ,

Padre Waraq na Sista Khadija mkatoliki ndio waliotumwa kuhakikisha mission inafanikiwa ,

Roma waliuunda uislamu kwa malengo ya kuiteka Yerusalemu,ila hawakujua uislamu utakuwa mkubwa hivi

Nakujuza uislamu ni dini ya Wakatoliki
 
**** kitu gani kinachofanana na uroma

Rizali kwa Tasbihi
Jumapili kwa ijumaa
Bikira Maria kwa Lutta Uzza na Manata
Kumbuka mama wa Yesu anaitwa Mariam.
Kuungama kwa Padre na kusujudia sanamu kwa kuungama na kulisujudia Jiwe Jeusi la Maka.
Kusali Novena na Kutufu

Kengere kwa Azana.
Kanzu kwa Joho

Baraghashia kwa Kofia

Kufunga ramadhani kwa kufunga Kwaresma.
Katekisimu kwa Qurani

Unataka nikupe mengine ?
 
Nimeshakujibu kuhusu kuwa muislam tena ni maamuz yako hainihusu
Hili swali unaliogopa ,yaani hapo unaona umejibu ?

Sasa Mimi nimekuuliza waliviharibu lini ,nyie mlijuaje na kipi kiliwafanya mjue Original ziliharibiwa na hizi zilizopo ni fake ,

Hizo Original mliziona wapi
 
Waliviharibu lini na kina nani ,ilikuwa mwaka gani

Ushahidi gani unathibitisha waliharibi


Mbona unajibu huku UNAKIMBIA
Walioviharibu ni wayahudi taurat baada ya Nabii Musa kufa na Injil ni baada ya Nabii Isa kufa
 
Yapo mengi sana akitaka Mimi nitamletea Tena kwa ushahidi

Akasome historia ,Rumi iliitaka sana Yerusalemu ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…