Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Hivo vitabu sio vya Allah hivo ni vitabu vya wayahudi havina uhusiano wowote na Allah
 
Huo ubao upo wapi Kwasasa
Al-Lawh Al-Mahfuwdhw ni Ubao Uliohifadhiwa mbinguni. Umehifadhika kutokana na mabadiliko, kuongozeka na kupunguka na umehifadhiwa na mashaytwaan. Nao ni Ubao ambao Allaah (سبحانه وتعالى) Amethibitisha kila kitu ndani yake.
 
Hivo vitabu sio vya Allah hivo ni vitabu vya wayahudi havina uhusiano wowote na Allah
Hivyo ni vitabu vya Allah alivyoviteremsha kwa wayahudi kama yeye mwenyewe anavyokiri kwenye Qur’an
نَزَّلَ عَلَيْكَ الْكِتَابَ بِالْحَقِّ مُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ وَأَنزَلَ التَّوْرَاةَ وَالْإِنجِيلَ ﴿٣﴾
3. Amekuteremshia Kitabu (ee Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم) kwa haki kinachosadikisha yaliyo kabla yake na Akateremsha Tawraat na Injiyl.(Qur’an 3:3)

وَقَفَّيْنَا عَلَىٰ آثَارِهِم بِعِيسَى ابْنِ مَرْيَمَ مُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ مِنَ التَّوْرَاةِ ۖ وَآتَيْنَاهُ الْإِنجِيلَ فِيهِ هُدًى وَنُورٌ وَمُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ مِنَ التَّوْرَاةِ وَهُدًى وَمَوْعِظَةً لِّلْمُتَّقِينَ ﴿٤٦﴾
46. Na Tukamfuatishia katika njia yao (Manabii hao), ‘Iysaa mwana wa Maryam akisadikisha yale yaliyoko kabla yake katika Tawraat. Na Tukampa Injiyl yenye mwongozo na nuru ndani yake, inasadikisha yale yaliyokuwa kabla yake katika Tawraat, na Tumeifanya mwongozo na mawaidha kwa wenye taqwa.(Qur'an 5:46)

حَيْنَا إِلَيْكَ كَمَا أَوْحَيْنَا إِلَىٰ نُوحٍ وَالنَّبِيِّينَ مِن بَعْدِهِ ۚ وَأَوْحَيْنَا إِلَىٰ إِبْرَاهِيمَ وَإِسْمَاعِيلَ وَإِسْحَاقَ وَيَعْقُوبَ وَالْأَسْبَاطِ وَعِيسَىٰ وَأَيُّوبَ وَيُونُسَ وَهَارُونَ وَسُلَيْمَانَ ۚ وَآتَيْنَا دَاوُودَ زَبُورًا ﴿١٦٣﴾
163. Hakika Tumekufunulia Wahy (ee Muhammadصلى الله عليه وآله وسلم) kama Tulivyomfunulia Wahy Nuwh na Manabii baada yake. Na Tumemfunulia Wahy Ibraahiym na Ismaa’iyl na Is-haaq na Ya’quwb na Al-Asbaatw,[55] (kizazi chake) na ‘Iysaa na Ayyuwb na Yuwnus na Haaruwn, na Sulaymaan. Na Tumempa Daawuwd Zabuwr.(Qur’an 4:163)
 
Mbona hakuna mahusiono Wala kumbukumbu yoyote inayowahusisha wayahudi na Allah ndo maana tukisema uislam ni dini ya kubumba bumba tu ambayo ilijaribu kujinasibisha na uyahudi ili ionekane Ipo relevant
 
Ikiwa Waisraeli wanahusiana na Isaka, basi ndugu zao wa karibu ni kizazi cha Ismaili, ambacho kilizaa Waarabu.

Mkuu Kwa kuzingatia maandiko na ulichonukuu ni wazi kuwa ndugu wa karibu wa Israel ni esau
 
Mbona hakuna mahusiono Wala kumbukumbu yoyote inayowahusisha wayahudi na Allah ndo maana tukisema uislam ni dini ya kubumba bumba tu ambayo ilijaribu kujinasibisha na uyahudi ili ionekane Ipo relevant
Allah aliteremsha Zabur, Taurat na Injil kwa Mitume wake ili wawafikishie ujumbe wana wa Israel(wayahudi).
 
Allah aliteremsha Zabur, Taurat na Injil kwa Mitume wake ili wawafikishie ujumbe wana wa Israel(wayahudi).
Sawa ikawaje ghafla vikakopiwa kwenye Quran Kisha uongo ukatengenezwa kuwa vimeshushwa.

Na kwanini mnaeneza uzushi kuwa mitume walikuwa waarabu.

Na kwanini mnamnasibisha Allah na Imani ya kiyahudi wakati hawana mahusiano?
 
Muongo mkubwa wewe unaandika vipande vipande yohana 14:16 umeifupisha endelea Hadi mstari wa 17 utajua Kama aliongelewa roho mtakatifu.

Kuna gape kubwa Sana Kati ya uislam na ukristo. Mohamed Yule Ni muhuni mmoja tu aliyokuwa anachukua kwenye biblia anachanganya na yake.
 
Sawa ikawaje ghafla vikakopiwa kwenye Quran Kisha uongo ukatengenezwa kuwa vimeshushwa.
Hivyo vitabu havijakopiwa kwenye Qur’an bali biblia ndio ilitungwa kwa kuvikopi vitabu hivyo vya Allah wakati Qur’an iliteremshwa kwa Mtume Muhammadﷺ .
 
Na kwanini mnaeneza uzushi kuwa mitume walikuwa waarabu.
Nani kasema haya? Sio Mitume wote walikuwa waarabu kwa mfano Musaعَلَیهِ‌السَّلام na Isaعَلَیهِ‌السَّلام walikuwa ni wana wa Israel(waisrael)
Labda wewe useme wapi uliuona uzushi huo
 
Muongo mkubwa wewe unaandika vipande vipande yohana 14:16 umeifupisha endelea Hadi mstari wa 17 utajua Kama aliongelewa roho mtakatifu.
Huyo roho mtakatifu ndiye ambaye mnasema ni mmoja katika waungu watatu?
 
huyu sio Yule YEsu aliesulubiwa na Warumi. huyu anaezungumziwa kwenye hii haya 157: Ni yesu mwingine mana Original YEsu alisulubiwa,akazikwa na akafufuka na akapaa Mbinguni na atarudi tena
Una maanisha mungu alisurubiwa na alio waumba

Na biblia ina sema nini kuhusu mtu kusurubiwa msalanani?
 
Hawa jamaa wa upande ule wanahangaika sana na ukristo halafu cha ajabu wakristo hawajihangaishi nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…