Ukristo sio wa juzi, Ukristo umeanzishwa na Yesu kristo, una miaka 2000Sasa mbona ukristo ni wa juzi kama ulivyokiri wewe kuwa ulitokana na dini ya kiyahudi
Naona hiyo mada yako uliileta kwa kutumia porojo tu!
Mmeliandika kwenye maandiko yenu hilo jina la yesu na mnalitumia kila sikuKuna shida gani kwani ?
Haya Yesu jina lake limekatishwa
Yesu jina lake Ni YEHOSHUA
Ushahidi wa maandiko unakosaKama ni msomaji sitegemei kuuliza hilo swali
Kasome historia ya Roman empire Hadi inaanguka mwaka 476AD , na inaibuka Roma ya kidini, hapo hakuna hata dini au chembe ya Uislamu au MSIKITI duniani
Na ulisema utatu hauamini na mbona bado unajinasibisha na mafunzo ya utatu??Dogma ya utatu inasema Yesu ndiye huyo huyo Mungu baba ,tofauti na maandiko ambayo yanasema YHWH ni Mungu baba na Yesu ni Mungu ,maana wa Mungu
Hata Zaburi inasema hivi
1. Zaburi 45:7 (SUV)
"Umependa haki, umechukia uovu; kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekutia mafuta Kwa mafuta ya furaha kupita wenzio."
2. Waebrania 1:8-9 (SUV)
8 "Lakini kwa habari za Mwana asema, Kiti chako cha enzi, Mungu, ni cha milele na milele; Na fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya adili."
9 "Umeipenda haki, umechukia maasi; Kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekutia mafuta Kwa mafuta ya furaha kupita wenzio."
Hapa, maandiko yanaonyesha kwamba:
Yesu ni Mungu, lakini pia anamtambua Baba kama Mungu wake.
Baba amemtia Yesu mafuta (kumtenga na kumtukuza) zaidi ya wenzake, akimpa utukufu wa kipekee.
Hili linathibitisha nafasi ya Yesu kama Mfalme wa milele, aliye juu ya wote.
Huu ni uthibitisho wa Uungu wa Kristo na pia uhusiano wake wa kipekee na Mungu Baba, akionyesha nafasi yake kama Masihi na Mwokozi wa ulimwengu
Mafunzo ya utatu ni yapi?N
Na ulisema utatu hauamini na mbona bado unajinasibisha na mafunzo ya utatu??
Thibitisha kuwa yesu kaanzisha ukristoUkristo sio wa juzi, Ukristo umeanzishwa na Yesu kristo, una miaka 2000
Yaani haelewekiN
Na ulisema utatu hauamini na mbona bado unajinasibisha na mafunzo ya utatu??
Uislamu wa juzi,unataka maandiko kutoka wapi?Ushahidi wa maandiko unakosa
Kaanzisha nini?Thibitisha kuwa yesu kaanzisha ukristo
Hata kwenye biblia yenu ikiwezekanaUislamu wa juzi,unataka maandiko kutoka wapi?
Mudi ni KIFUPI ,halafu halina utukufu ,unachoogopa nini ,Mmeliandika kwenye maandiko yenu hilo jina la yesu na mnalitumia kila siku
Je sisi wenyewe tunalitumia hilo jina
Biblia ipo kabla ya Uislamu,Hata kwenye biblia yenu ikiwezekana
Sawa endelea sikukatazi maamuzi ni yakoMudi ni KIFUPI ,halafu halina utukufu ,unachoogopa nini ,
Tatizo umeegemea upande mmoja , bila ya kuangalia upande wa pili, je kuna mtu amekuficha kuhusu kitabu cha upande wa pili?Kama ni msomaji sitegemei kuuliza hilo swali
Kasome historia ya Roman empire Hadi inaanguka mwaka 476AD , na inaibuka Roma ya kidini, hapo hakuna hata dini au chembe ya Uislamu au MSIKITI duniani
Kajifunze kwanza dogma ya utatu inasemaje ile ya RomaN
Na ulisema utatu hauamini na mbona bado unajinasibisha na mafunzo ya utatu??
Naona umekosa ushahidiBiblia ipo kabla ya Uislamu,
Uislamu unakuja juzi juzi, Biblia tayari ipo duniani Ina miaka zaidi ya 2000
Wapi nimeegemea ?Tatizo umeegemea upande mmoja , bila ya kuangalia upande wa pili, je kuna mtu amekuficha kuhusu kitabu cha upande wa pili?
Huu ni muendelezo wa uoga wako na porojo tupu.
Bila ya kuwa na uthibitisho.
Naona umefika sasa hivi lete hoja tujadiliUji ulioukoroga hapa huwezi kunywewa na mtu, hujui ulichokiandika, usiharibu maandiko ya biblia
Biblia yenyewe anasema haiamini ,lakini anazitumia Aya za biblia kutaka kusambaza propaganda kuwa Muhammad alitabiriwa humoUji ulioukoroga hapa huwezi kunywewa na mtu, hujui ulichokiandika, usiharibu maandiko ya biblia