Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Kwa mujibu wa biblia ishimaili hakuwa mwana wa pekee na mteule na mridhi wa ahadi za Ibrahimu,Bali ni Isaka na uzao wake.

Acha kuchanganya mafaili na kujinasibisha na Uyahudi mana uyahudi ni mbingu na ardhi na uislamu.
 
Inawezekana umekaa siku nzima ukiandika huu utumbo
 
Kama unamzungumzia yesu ambaye alifia msalabani na ambaye yeye mwenyewe ni mungu basi ni kweli ulichokisema.
Lakini tukimzungumzia Yesu ambaye hakufa msalabani na wala yeye si mungu basi uliyosema si sahihi
Yesu alikufa na kufufka kama ilivyotabiliwa,na akapaambingunu..point of collection
 
Mungu Yehovah
1. Ni Mungu katika Utatu Mtakatifu (Baba, Mwana na Roho Mtajatifu)
2. Anasamehe dhambi na amezuia kuua, wala visas, anasisitiza kumpwnda hata adui yako maana
3.
Utatu huo wa nini ilhali Mungu ni mmoja tu.
Ns
Kama unamzungumzia yesu ambaye alifia msalabani na ambaye yeye mwenyewe ni mungu basi ni kweli ulichokisema.
Lakini tukimzungumzia Yesu ambaye hakufa msalabani na wala yeye si mungu basi uliyosema si sahihi


Hapo ndo ujue tunaongelea vitu viwili tofauti. Kwa Mkristo ilikuwa ni lazima Yesu AFE ili awe sadaka kwa watu wote. Ndiyo huo UKOMBOZI tunaojivunia sasa. Yesu ambaye hakufa siyo yule aliyetumwa na Baba kuja kuukomboa ulimwengu, maana ukombozi ulimpasa afe na kufufuka.

Kwahiyo next time usisahau tunazungumzia beings 2 tofauti kabisa, hiyo yako siyo ya Wakristo. Na hiyo ndiyo kazi ya shetani, kuipotosha kweli, yaani kuwaaminisha waliopotea kuwa Yesu hakufa wala kufufuka.

My dear You, tukio hilo lilikuwa ni the most important single event ever katika wokovu wa mwanadamu dhidi ya Shetani. Ndiyo maana baada ya Agano la kale Wakristo leo hawatoi kafara, hawachinji, kafara wetu ni Yesu na alishakamilisha kila kitu pale msalabani.
 
Yohana 14:16
Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele;
Yohana 14:17
ndiye Roho wa kweli; ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa kuwa haumwoni wala haumtambui; bali ninyi mnamtambua, maana anakaa kwenu, naye atakuwa ndani yenu.

Andiko linasema roho wa kweli na Wala sio roho mtakatifu
 
Nabii alieyesubiriwa atatoka kati ya Ndugu wa Wayahudi

Aya tunayoongelea ni wazi kwa kusema kwamba Nabii atatokea miongoni mwa Ndugu wa wayahudi

Ibrahim alikuwa na wana wawili Ishmaeli na Isaka, wayahudi ni wazao wa mwana Isaka, Yakobo

Waarab ni Ndugu wa taifa la kiyahudi Biblia inasema

"Naye(Ishmael) atakaa mbele ya uso wa ndugu zake wote ( Mwanzo 16:12)

" Naye ( Ishmael) akakata pumzi akafa akakusanywa kwa watu wake (Mwanzo 25:18)
 
Yepi maandishi yamepotoshwa na yepi maandishi ya ukweli tuanzie kwanza hapo ndugu mjukuu wa mudi.
MAANDIKO SAHIHI
1. Imani kwa Mungu Mmoja (Tawhid) – Yesu alifundisha kuwa Mungu ni Mmoja, jambo linalothibitishwa katika Biblia (Marko 12:29): "Sikia, Ee Israeli; Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja." Hii inafanana na Qur’an (112:1): "Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa Pekee."


2. Yesu Alikuwa Nabii wa Mungu – Yesu (Isa, amani iwe juu yake) alikuwa Mtume wa Mungu, si Mungu mwenyewe. Qur'an (5:75) inasema: "Masihi mwana wa Mariamu si chochote ila ni Mtume; wamekwisha pita Mitume kabla yake..."


3. Sheria ya Musa (Taurati) Ilikuwa Sahihi – Yesu alisisitiza kufuata Taurati (Mathayo 5:17): "Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua torati au manabii; la! Sikuja kutangua, bali kutimiliza."


4. Adhabu ya Mwenyezi Mungu kwa Wakosefu – Yesu alifundisha kuwa kila mtu atahukumiwa kwa matendo yake, jambo linalolingana na Uislamu (Mathayo 12:36): "Basi, nawaambia, kila neno lisilo na maana watakalolinena watu, watatoa hesabu yake siku ya hukumu."


5. Unyenyekevu na Ibada kwa Mungu Pekee – Yesu alisali kwa Mungu na kufundisha wengine kumsujudia Mungu peke yake (Luka 6:12): "Siku moja Yesu alikwenda mlimani kusali, akakesha huko anasali kwa Mungu."


6. Kufufuliwa kwa Wafu na Siku ya Mwisho – Yesu alifundisha kuhusu Siku ya Kiyama na malipo ya waumini na makafiri, jambo linalothibitishwa pia na Uislamu (Yohana 5:28-29): "Msistaajabu kwa hili; kwa kuwa saa inakuja ambayo wote waliomo makaburini wataisikia sauti yake, nao watatoka..."

MAANDIKO YALIYOPOTOSHWA
1. Dhana ya Upatanisho wa Dhambi (Atonement) – Ukristo unafundisha kuwa Yesu alisulubiwa ili kufuta dhambi za wanadamu. Uislamu unapinga dhana hii na kusisitiza kuwa kila mtu atawajibika kwa dhambi zake (Qur'an 53:38-39): "Kwamba hapana mbebaji wa mzigo atakayebeba mzigo wa mwengine."


2. Yesu ni Mungu (Uungu wa Kristo) – Wakristo wanadai kuwa Yesu ni Mungu au sehemu ya Mungu, jambo ambalo linapingwa na Uislamu. Qur'an (5:116) inasema kuwa Yesu atakataa kudai uungu: "Sikuwambia lolote ila yale uliyoniamrisha..."


3. Dhana ya Roho Mtakatifu Kama Sehemu ya Mungu – Wakristo wanaamini katika Utatu Mtakatifu (Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu). Qur'an (4:171) inasema: "Msiseme utatu, acheni! Itakuwa bora kwenu. Mwenyezi Mungu ni Mungu Mmoja tu."


4. Mtazamo wa Dhambi ya Asili – Ukristo unafundisha kuwa kila mtu amerithi dhambi ya Adamu na Hawa, jambo ambalo Uislamu unalipinga. Qur'an (2:286) inasema: "Mwenyezi Mungu hamkalifishi mtu ila kwa kadiri ya uwezo wake..."


5. Kusema Yesu ni Mwana wa Mungu kwa Maana ya Kiungu – Wakristo wanamuita Yesu Mwana wa Mungu kwa maana ya kiungu, lakini Uislamu unasema kuwa Allah hana mwana (Qur'an 19:35): "Haiwi kwa Mwenyezi Mungu kuwa na mwana, Ametakasika!"

Hayo ni baadhi tu!
 
Ukweli Mchungu uko hapa.
 
Kwa ivo vitabu vya kumbukumbu la torati na isaya ni Vitabu vya Injili tangu lini.

Umepuyanga braza
 
Uislam lazima ulazimishe kwa hali yoyote kwamba unauhusiano na biblia. Lakini ukweli wa mambo ni kuwa huo uhusiano haupo.

Kwa nini Wakristu na Wayahudi hawagombei miji ya Makkah na Maddinah alikozaliwa na kuzikwa mtume wa Allah?
 
Swali nje ya mada.
Kila pande inavutia kwake kwa kumsikitikia mwenzake na kumuona kapotea na kumuombea kwa Muumba amsaidie afahamu ukweli.

Je Lengo la Muumba kuruhusu uwepo wa dini tofauti ambazo watu wa miaka ya mbele wanakuja kupata mkanganyiko ni nini?
cc DR Mambo Jambo
 


Na bahati mbaya alikuwa hajui hata kusoma.
 
Yesu alikufa na kufufka kama ilivyotabiliwa,na akapaambingunu..point of collection

Kwani yesu ni mungu ama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…