Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Hakika, kusubiri hoja kutoka kwa mtu asiyekuwa na hoja ni sawa na kusubiri meli Airport 😃Endelea kusubiri meli airport
Ushahidi wa maandiko uko wapiUislamu unamuabudu maria huko Fatima URENO kama wakatoliki
View: https://youtu.be/PWYvp8oq5N8?si=_SIPQ_UnmzHumvsK
Umebaki huna hoja ,leta andiko ndio umeona kichakaHakika, kusubiri hoja kutoka kwa mtu asiyekuwa na hoja ni sawa na kusubiri meli Airport
Thibitisha kwa maandiko na sio porojo tu
Sasa wewe unataka tuamini maneno matupu tu!Umebaki huna hoja ,leta andiko ndio umeona kichaka
Je ni waislam wote wanatumia hizo shanga?
RCC wanatumia rozari na shanga za maombi Uislamu hutumia shanga za maombi
Je waislam huinamia sanamu?
RCC hufundisha kundi lao kuinamia sanamu na mabango katika ibada Uislamu huwafundisha kundi lao kuinama mara 5 kwa siku wakiuelekea mwamba mweusi ambao hukaa Makka