Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Ameandika memba mmoja huko Jamii Forum.
Nanukuu.

Dini/Imani
" Mashaka juu ya utume wa Muhammad: Naomba majibu ndugu zangu ummat wa Allah

Thread starter
Mangi Meno

Jamii Forum
JF-Expert Member

02/02/2025 at 7:22 AM

Je Muhammad ni mtume wa mwenyezi Mungu??

Kabla tujajibu swali hili ni vi zuri kujifunza historia ya mtume Muhammad,jina kamili la muhammad kwa kirefu ni ﻣﺤﻤﺪ ﺑﻦ ﻋﺒﺪ ﺍﻟﻠﻪ ﺑﻦ ﻋﺒﺪ ﺍﻟﻤﻄﻠﺐ ﺍﻟﻬﺎﺷﻤﻲ Muhammad bin 'Abd Allāh bin 'Abd al-Muţţalib al-Hāshimī )anaaminika katika dini ya Uislamu kuwa ni mtume wa mwisho wa Mungu ( Allah ) kwa binadamu.

Utoto wake
Muhammad alizaliwa yatima kwani baba yake alifariki kabla yeye hajazaliwa.Hakuishi sana na
mama yake (Amina), kwa kuwa naye alifariki dunia Muhammad akiwa na umri wa miaka sita.Baadaye akachukuliwa na babu yake Abdul Muttalib na kuishi naye kwa muda wa miaka miwili, kisha babu yake naye akafariki.Kazi ya kumlea Muhammad ilimwangukia ami yake Abu Talib ambaye ndiye aliyeishi naye mpaka ukubwa na kumuoza na kumpa himaya!!!

Baada ya kuangalia historia fupi ya Muhammad tuangalie Hoja yetu kuu yenye utata!!

Muhammadi alipataje utume;

Muhammad s.a.w alipotimiza umri wa miaka 38kutokana na maisha magumu ,alihama toka nyumbani kwake, akahamia katika mapango(JABAL HIRA) yaliyokuwa hapo karibu na mji wa
Makka. Alipofikisha umri wa miaka 40 siku moja alitokewa na kiumbe ambacho Waislamu leo wanakiita Malaika Jibril.

Wahyi (ufunuo) uliokuja kwa Muhammad alisikia makengele,uso kuwa mwekundu,jasho kumtoka. Katika Bukhar, Hadithi na 2, Juzuu na 1,Al-Lu’lu Kitabu cha 3.Uk. Na.874 Hadithi na1505 “Hadithi ya Aisha r.a mama wa waumini amesema, kuwa Al Harith ibn Hisham r.a alimuuliza mtume wa Allah s.a.w ‘ Ewe mtume wa Allah hivi wahyi (ufunuo) hukujia vipi?’
mtume wa Allah s.a.w akajibu, “ Wakati mwingine hunijia kama mlio wa kengele, na aina hiyo ndiyo ngumu zaidi kwangu, inaondolewa hali hiyo kwangu wakati tayari
nimeshapata wahyi.

Na nyakati nyengine malaika anakuja kwangu akiwa katika mfano wa mtu, kwa hiyo ananieleza na ninayazingatia aliyoyasema.” Aisha r.a alisema , Na hakika nilimwona unamshukia wahyi siku ya baridi kali na ilipomuondoka halihiyo, paji lake la uso lilichuruzika jasho.”

Qurani 53:2 – 6 Suratul Najm (Nyota) “Kwamba
mtu wenu huyu Nabii Muhamad (hakupotea kwa ujinga) na wala hakukosa (Na hali ya kuwa anajua). Wala hasemi kwa matamanio (ya nafsi yake). Hayakuwa haya (anayosema) ila ni wahyi (ufunuo) uliofunuliwa (kwake).Amemfundisha
(malaika) mwenye nguvu sana. Mwenye uweza na yeye (huyu Jibril) akalingana sawa sawa.

Ngoja tuendelee na mawaidha!!
Alipokuwa pangoni alichezewa na Shetani:Katika kitabu kiitwacho “ Wakeze Mtume Wakubwa Na Wanawe” kilichoandikwa na Sheikh Abdullah Saleh Al Farsy uk.12 tunasoma maneno haya “Basi Mtume akafanya hofu akarejea kwa mkewe akamhadithia; na pale pale homa kubwa kabisa ikampanda akataka afunikwe maguo.Mara akawa anatetemeka kwa nderema na anaweweseka na kusema “Najikhofia nafsi yangu kuchezewa na shetani na kuniharibu akili yangu na kunizuga”. Bibi Khadija palepale alimdakiza akamwambia;
“ Wacha hayo; Siyo yatakayokuwa hayo. Wewe huwezi kuchezewa na mashetani. Shetani hawezi kumchezea mtu mwenye sifa zako. Wewe unatazama vyema jamaa zako, unachukuwa mizigo ya hata watu
wasiokuwa wako, unawadhihirishia watu sifa zako nzuri ambazo hakuna mwenye nazo Unafanya hivi na unafanya hivi. Furahi ndugu yangu. Tua moyo wako, Wallahi! Mimi naona
umekwishakuwa mtume”.

Katika tukio hili lililompata Muhammad akiwa pangoni , ndipo Waislamu wote ulimwenguni wanapolieleza kuwa hapo ndipo Muhammad s.a.w alipoletewa wahyi (ufunuo) na kupewa
unabii na utume.
Lakini unapotafakari juu ya ujumbe huo utaona kuwa hata yeye mwenyewe hajui nini kilichokuwa kimemtokea kule pangoni. Ndiyo maana tunasoma kuwa alipofika nyumbani kwake mkewe Bi.Kadija akamwuliza nini kimekutokea?
Muhammad alimweleza mkewe kilichomtokea kuwa ni “Shetani” hakumsema malaika yeyote kama Waislamu wanavyotaka kutuaminisha leo.
Kwa sababu kama angekuwa ametokewa na Malaika, Huyo Malaika angejitambilisha kwake kama tunavyosoma ndani ya Biblia ,asingesita kujitambulisha kwa Muhammad kuwa yeye ni nani. Hii ni hoja ya kwanza.

Hoja ya pili, tunaona kuna mtu anaitwa Waraqah ibn Naufal, binamu yake na mke wa Muhammad s.a.w Bi Khadija. Yeye Waraqah anamwambia Muhammad huyo aliyekutokea ni malaika Jibril. Basi jibashirie kuwa wewe ni mtume umma huu huu !!!!! Je alikuweko pangoni wakati Muhammad s.a.w akitokewa na kiumbe asichokijua?.

Hoja ya tatu tunaona hata huyo mkewe Muhammad anamwambia mumewe utume huo !!!!!!! Je na yeye alikuweko pangoni?Kama hakuweko ni nani aliyemwambia kuwa yule ni
malaika Jibril ikiwa Muhammad mwenyewe aliyetokewa alisema nimetokewa na Shetani?Tafakari

Katika kitabu kiitwacho Tafsir Al-Kashif, cha Muhammad Jawad Mughniyyah, uk74 paragrafu ya 7 inasomeka“ Hakuna njia ya kumjua Iblis,Shetani na Jini, isipokuwa kwa njia ya wahyi(ufunuo) tu” Qurani Suratul Sad 38:69 Muhammad amenukuliwa akisema “Sikuwa na ilimu ya viumbe watukufu(Malaika)…

Kwa sababu ya Muhammad s.a.w kutowajua malaika kwake yeye anasema unapomwona
punda akilia basi kamwona Shetani.
Katika Kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu, Juzuu 3-4
Hadith 789 uk 38 “ Punda akilia kamwona Shatani”
Jambo hilo ni tofauti na jinsi Biblia Takatifu inavyoeleza kuhusu punda. Mungu anaweza kumtumia hata punda kuongea na wanadamu ili kuwajulisha ujumbe wake.

Katika kitabu cha Hesabu 22:22-31 tunasoma habari ya Balaamu jinsi Mungu alivyomtumia punda kumwambia. Balaamu asiendelee na safari yake , baada ya punda huyo kumwona malaika wa Bwana akiwa ameshika upanga na amesimama mbele yao akiwa amezuia njia aliyotakiwa kupita.
Punda alimwambia Balaamu ule msitari wa 30-31 “
Yule punda akamwambia Balaamu, Je mimi si punda wako, nawe umenipanda maisha yako
yote hata leo? Nimezoea kukutenda hayo? Akasema La!. Ndipo Bwana akafunua macho ya Balaamu, akamwona malaika wa BWANA
amesimama njiani, ana upanga mkononi mwake, umekwisha kufutwa; naye akainama kichwa, akaanguka kifudufudi”
Inaonekana kwa tukio hili lililomtokea Balaamu,Mungu alimfunua macho yake akamwona malaika.

Lakini kwa Muhammad yeye anachokiona ni Shetani tu. Na ndiyo maana anasema punda akilia amemwona Shetani Kwa hiyo kama ufunuo wa Muhammad unaanza na Shetani kama vitabu sahihi vya dini ya Kiislamu vinavyoeleza, kwa mujibu wa ufafanuzi wa kitabu hicho cha Tafsir Al Kashif, inaonesha kwamba ufunuo, unabii na hata utume wa Muhammad una walakini mkubwa ukilinganisha na ujumbe wa manabii na mitume waliotajwa ndani ya Biblia Takatifu. Katika Biblia shetani ametajwa kuwa anaweza kujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru.

2 Wakorintho 11:13-15 “Maana watu kama hao ni mitume wa uongo, watendao kazi kwa hila wanaojigeuza wawe mfano wa mitume wa Kristo. Wala si ajabu, maana shetani mwenyewe
hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru. Basi si neno kubwa watumishi wake nao wakajigeuza wawe mfano wa watumishi wa haki, ambao mwisho wao utakuwa sawasawa na kazi zao”.

Muhammad akiwa Medina aliulizwa na Wayahudi ikiwa ufunuo wake umetoka kwa Mungu wa Kweli kwa kumtaka atoe sifa za manabii. Akijibu swali hilo alisema:
Mkweli Mwaminifu Juzuu 3-4 Uk.63.Hadithi Na. 880. “Kasema Mtume (s.a.w):- (Mambo) manne ya sheria za mitume (Kuwa na) na haya,na kujipaka mafuta mazuri,na kuowa (wake),na
kupiga mswaki.
Hizi si sifa za Ki-Mungu kwa nabii na mtume bali ni za kibinadamu tu.
Manabii na watu mbalimbali katika Biblia hawakuona haya. Soma Isaya 50:7 “ Maana Bwana MUNGU atanisaidia; kwa sababu hiyo
sikutahayari, kwa sababu hiyo nimeukaza uso
wangu kama gumegume, nami najua ya kuwa
sitaona haya”. Zaburi 34:5 “ Wakamwelekea
macho wakatiwa nuru, Wala nyuso zao
hazitaona haya” Zab 119:46 “

Nitazinena shuhuda zako mbele ya wafalme, Wala sitaona aibu” Warumi 1:16 “ Kwa maana siionei haya Injili; kwa sababu ni uweza wa Mungu uuletao wokovu, kwa kila aaminiye kwa Myahudi kwanza , na kwa Myunani pia” 1Petro 4:16 “
Lakini ikiwa kwa sababu ni Mkristo asione haya, bali
amtukuze Mungu katika jina hilo.

Zaidi ya hayo tunaona Muhammad alirogwa. Kurogwa ni hali ya mtu kuathirika na nguvu za
giza yaani uchawi.. Je nabii au mtume wa Mwenyezi Mungu wa Kweli anaweza kurogwa?

Katika Qur’an Suratul Ban-Israel, 17:47 “Tunajua sana, sababu wanayosikiliza, nawanaponong’ona, wanaposema hao madhalimu.Nyinyi hamfuati isipokuwa mtu aliyerogwa”
Pia katika Suratul Falaq, 113:1-5 “ Ninajikinga kwa mola wa ulimwengu wote na shari ya Alivyoviumba, na shari ya giza la usiku liingiapo, na shari ya wale wanaopulizia (vivia)
mafundoni (wakavunja) mashikamano yaliyo baina ya watu yaani shari ya mafatani, Na shari ya hasidi anapohusudu” Tunasoma tukio hilo katika ufafanuzi wake
uliyomo ndani ya Qur’an chapa ya nane uk.977unaofafanua Sura ya 113-114 “Athari ya uchawi juu ya mtume (s.a.w).

Swali la pili lijitokezalo
kuhusu sura mbili hizi ni kwamba kwa mujibu wa hadithi uchawi ulifanywa dhidi ya mtume(s.a.w) naye akawa mgonjwa, na ili kuiondoa athari hiyo ya uchawi Jibril (a.s) alikuja na
kumpa maelekezo Mtume (s.a.w) ya kusoma sura mbili hizi.

Watafiti wengi zamani na wa sasa wamelifanyia upinzani jambo hilo, kwamba ikiwa hadithi zitakubaliwa, basi mfumo wote wa sharia utakuwa ni wa kutiliwa shaka, kwa sababu kama mtume (s.a.w) aliweza kuathirika kwa uchawi, na kwa mujibu wa hadithi hizi kweli uchawi huo ulionesha athari yake, basi hatuwezi kukaidi au kukana hadi kiwango gani maadui waliweza kumfanya Mtume (s.a.w)aseme na atende mambo kwa nguvu ya uchawi,na katika mafundisho yake mambo mangapi
yatoka kwa Allah na mangapi yatokana na athari ya uchawi juu yake.
Si hiyo tu, bali pia wasema kuwa baada ya kuyatambua hayo kuwa ni kweli katu haitawezekana hata kule kukaidi kuwa (s.a.w) alishawishiwa kudai utume kwa mauzauza ya kinjozi kuwa alimjia malaika.

Pia wanasema hadithi hizi zapingana na Qur’an, na kama ilivyo katika Qur’an kuwa tuhuma hiyo batili kwa makafiri ilivyotajwa kuwa mtume s.a.w amerogwa naye ameathirika na uchawi: wanaposema hao madhalimu, ‘Ninyi hamumfuati isipokuwa mtu aliyerogwa’.” (17:47), lakini hadithi hizi zinathibitisha madai ya makafiri kuwa kwa kweli aliathirika na kuongozwa na uchawi……

Kadri historia inavyohusika,ukweli kuwa kiasi fulani cha athari ya uchawi juu ya Mtume (s.a.w) ni hakika iliyothibiti; na kama kwa ustadi wa ubishi inawezekana kuthibitisha kuwa
kweli.Limesimuliwa jambo hilo na Bukhari,Muslim, Nasai, Ibn Majah, Ahmad, ‘Abdur Razzaq, Humaid, Baihaqi, Tabarani, Ibn Sa’d,Ibn Marduyah, Ibn Abi Shaibah, Hakim, Abd bin Humaid na Muhadithina wengine toka kwa Bi.‘Aisha (r.a), Zaid bin Arqam, Ibn ‘Abbas kupitia silsila nyingi mno kiasi kwamba jambo lenyewe limefikia hali ya ufululizo kamili, isipokuwa kila Hadithi, yenyewe ni ripoti kamili.

Hii ni uthibitisho mwingine mzito unaoonesha kuwa utume wa Muhammad una utata. Ikiwa na wao Waislamu kwa mujibu wa hadithi hizi hawajui ni mambo mangapi Muhammad
aliyoyasema yanatoka kwa Allah na mangapi aliyasema akiwa ameshinikizwa na wachawi ,
Je ufunuo na utume wake utakuwa umetoka kwa Mungu wa Kweli? Tafakari !!Ndani ya Biblia Takatifu hakuna kurogwa kwa mtu wa Mungu.

3Hesabu 23:23 “ Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israel. Sasa habari za Yakobo na Israel zitasemwa , Ni mambo gani aliyoyatenda
Mungu!” Kwa mujibu wa kitabu cha Biblia Takatifu,
manabii na mitume wa kweli wa Bwana Mungu wanatoka katika taifa la Israel.

Kitabu cha Ezekiel 13:9 “ Na mkono wangu utakuwa juu ya manabii wanaoona ubatili, na
kutabiri uongo;hawatakuwa katika mashauri ya watu wangu, wala hawataandikwa katika
maandiko ya nyumba ya Israel, wala hawataingia katika nchi ya Israel; Nanyi mtajua ya kuwa mimi ndimi Bwana MUNGU” .Pia kwa mujibu wa kitabu cha Qur’an manabii na mitume ni lazima watoke kwa Yakobo ambaye ni mtoto wa Is-haqa ambaye naye ni mtoto wa Ibrahim.

Qur’an Suratul Al-Ankabuut,(Buibui), 29:27 “ Na tulimpa (kumzaa nabii) Is-haqa na (kumjukuu nabii) Yakubu na tukauweka katika kizazi chake unabii na (kupata) kitabu,na tukampa ujira wake katika dunia; naye katika akhera kwa yakini atakuwa miongoni mwa watu wema”.

Aya hii, inaendelea kusisitiza kuwa ni kupitia kizazi cha Yakobo ndiko uliko unabii na kupata kitabu. Kwa bahati mbaya Muhammad ibn Abdullah, hatoki katika kizazi hicho wala kwa
Ishmael kama wanavyodai Waislamu . Kwa sababu Ishmael ni Mwebrania kama baba yake mzee Ibrahim alivyo Mwebrania (Mwanzo 14:13)na Muhammad ni mwarabu kutoka kabila la Maqureysh.
Kwa kutambua hilo ndipo tunamwona Muhammad akiwaonya watu
wengine wajiepushe na watu wa kabila lake.
Sahih Al-Bukhari Vol.1.Hadithi Na. 801 na Al-Lu’lu Kitabu cha 3. Uk.1089.Hadithi Na.1846inasomeka“Hadithi ya Abu Huraira (r.a)amesema ,“Mtume wa Allah (s.a.w)
amesema,Kabila hili la Makuraish litawateketeza watu.’ Wakauliza, ‘Unatushauri
nini?’ Akasema, Nashauri watu wajitenge nalo.”

Kumzamisha nzi kwenye kinywaji
Bukhar vol. 4 Hadith 537 “ Narrated Abu
Huraira: The Prophet said: If a house fly falls in the drink of any one of you, he should dip it (in the drink) for one of its wings has a disease and the other has the cure for the disease”
Tafsiri: Ilisimuliwa na Abu Huraira: Nabii alisema kama nzi akiangukia ndani ya kinywaji cha mmoja wenu, anapaswa kumzamisha kabisa (ndani ya kinywaji) kwa kuwa bawa lake moja lina ugonjwa na bawa lake jingine lina dawa Mitume wa Yesu ndani ya Biblia Takatifu walikwisha kutuonya kuhusu uchafu huo. Katika 2 Kor 7:1 “Basi, wapenzi wangu, kwa kuwa tuna ahadi hizo, na tujitakase nafsi zetu na uchafu wote wa mwili na roho, huku tukitimiza utakatifu katika kumcha Mungu”

Miongoni mwa mafundisho ya Muhammad ni kwamba kuna mambo kumi yanayokamilisha Uislamu nayo tunayasoma katika kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu , Kilichoandikwa
na Sheikh Said Moosa Al-Kindy wa Muscut,Juzuu 3-4 Uk 63.Hadithi Na.880 “ Kasema Mtume (s.a.w) (Mambo) kumi ya Uislamu (yanayokamilisha Uislamu):Kukata
masharubu,na kuziweka ndevu,nakuziweka ndevu (kutozinyoa) ndevu,na kupiga mswaki,kusafisha ndani ya pua kwa maji,na kukata kucha,kuosha mikono baina ya vidole,na kung’oa (au kunyoa) nywele za kwapani,na kunyoa nywele za mbeleni (mavuzi),na upungufu wa maji. La kumi,kasema sahaba aliepokea hadithi hii kuwa nimesahau,lakini
kasema bila shaka la kumi ni “kutahiriwa.”

Kwa mujibu wa Biblia manabii na mitume
wanathibitishwa kwa njia ya miujiza.
Kutoka 14:21” Musa akanyosha mkono wake juu ya bahari,BWANA akaifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wa nguvu utokao mashariki,usiku kucha,akaifanya bahari kuwa nchi kavu”.

Matendo 19:11-12 “Mungu alifanya kwa mikono ya Paulo miujiza ya kupita kawaida . Hata wagonjwa wakaletewa leso na nguo zilizotoka mwilini mwake magonjwa yao yakawaondokea,
pepo wachafu wakawatoka”. Tazama pia Matendo 16:16-18, 20:7-12 na Matendo13:6-12.

Qur’an nayo inathibitisha kuwa manabii na
mitume ni lazima wafanye miujiza.
Qurani 40:78 Suratul Al-Muumini [Waumini]
inasomeka “Na kwa yakini tumewatuma mitume kabla yako wengime katika wao tumekusimulia(majina yao na habari zao) na wengine hatukukusimulia na haikuwa kwa mtume yoyote kuleta muujiza wowote ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu”
Muhammad hakupewa kufanya muujiza wowote ili kuthibitisha madai ya unabii na utume wake.

Qur’an 29:50 Suratul Al-Ankabuut (Buibui). “Na walisema “Mbona hakuteremshiwa miujiza kutoka kwa Mola wake? Sema miujiza iko kwa Mwenyezi Mungu tu (akitaka atakuteremshieni
na kama hataki basi),nami hakika ni mwonyaji
mbainishaji (dhahiri tu).”

(Taz.Qur,an6:35-3713:7,)Katika Qur’an iko aya ambayo tunapaswa tuitafakari wote kwa pamoja.Katika Surat An-Nisaa, (wanawake), 4:79 “Wema uliokufikia unatoka kwa Mwenyezi Mungu na ubaya uliokufikia unatoka nafsini mwako, mwenyewe umefanya mambo hata yakakufika hayo. Nasi tumekupeleka kwa watu kuwa mtume na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha (hapaitajiwi shahidi mwingine)”Aya hii inaonesha kuwa Muhammad mtume wa Waislamu, alipelekwa kwa watu kuwa mtume,huku Mwenyezi Mungu akiwa shahidi tu. Siku zote shahidi si mtendaji bali ni mwonaji tu wa
tendo lililotendeka.Hoja yetu tungependa kuwajua hao watu waliompeleka Muhammad kwa watu ni akina nani?.

Kwa sababu tumeona kule nyuma baada ya Muhammad kutoka pangoni, mkewe Bi. Khadija anamwambia
Muhammad kuwa “utume huo!!!!!!! Na Bwana Waraqah ibn Naufal akimwambia Muhammad kuwa “ basi jibashirie kuwa wewe ni mtume wa umma huu” kabla ya Qur’an .Je hao si wale
“Nasi tumekupeleka” wanaotajwa kwenye aya hiyo hapo juu? Tafakari!! .

Waislamu hudai kuwa Muhammad ametumwa
na Mwenyezi Mungu wao, ambaye ni Mfalme wa
Wafalme .KAULI HII INAUPA MOYO WANGU UKAKASI
Lakini tusomapo Biblia Takatifu katika kitabu cha Ufunuo 17:14 “ Hawa watafanya vita na Mwanakondoo, na Mwanakondoo atawashinda, kwa maana Yeye ni Bwana wa Mabwana, na Mfalme wa Wafalme;na hao walio pamoja naye ndiyo walioitwa na wateule, na waaminifu” Katika Ufunuo 19:11-16 “ Kisha nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama, farasi mweupe,na yeye aliyempanda, aitwaye Mwaminifu na Wa-kweli, naye kwa haki ahukumu na kufanya vita. Na macho yake yalikuwa kama mwali wa moto, na juu ya kichwa chake vilemba vingi; naye ana jina lililoandikwa, asilolijua mtu ila yeye mwenyewe. Naye amevikwa vazi lililochovywa katika damu, na jina lake aitwa Neno la Mungu. Na majeshi yaliyo mbinguni wakamfuata, wamepanda farasi weupe na kuvikwa kitani nzuri, nyeupe, safi. Na upanga mkali hutoka kinywani mwake ili awapige mataifa kwa huo. Naye atawachunga kwa fimbo ya chuma, naye anakanyaga shinikizo la mvinyo ya ghadhabu ya hasira ya Mungu Mwenyezi.

Naye ana jina limeandikwa katika vazi lake na
paja lake, MFALME WA WAFALME NA BWANA
WA MABWANA “Yesu Kristo ndiye Mfalme wa Wafalme na Bwana wa Mabwana.Lakini tunaposoma Hadithi sahihi za Kiislamu zinaeleza kuwa adui mkubwa wa Allah (s.w) Mungu wanayemwabudu Waislamu, ni yule anayeitwa Mfalme wa
Wafalme.

Sahih Al- Bukhari, Vol.8.Hadithi Na.225, Al-Lu’lu Wal-marjan,Juzuu ya 3,Hadithi Na.1385
“Hadithi ya Abu Huraira (r.a) amesema,Mtume wa Allah (s.a.w) amesema,”Majina yaliyo dhalili
mno na mabaya mbele za Allah ni mtu kujiita,Malikil-Amlaak (Mfalme wa Wafalme).”

Hivyo, ufunuo aliopokea Muhammad, ambao anatutaka na sisi Wakristo tuuamini haujatoka kwa Mungu tunayemwamini sisi Wakristo, yaani,Yesu Kristo.Bali kama alivyonukuliwa katika
vitabu vya Kiislamu, unatokana na kuchezewa na Shetani, na kwa sababu hiyo kwetu anakuwa nabii na mtume wa uongo’Biblia Takatifu imetuonya kuwachunguza
mitume na manabii.

Katika kitabu cha Ufunuo2:1-2 “ Kwa malaika wa kanisa lililoko Efeso andika; Haya ndiyo anenayo yeye azishikaye hizo nyota saba katika mkono wake wa kuume,yeye aendaye katikati ya vile vinara saba vya dhahabu.

Nayajua matendo yako, na taabu yako, na subira yako, na ya kuwa huwezi kuchukuliana na watu wabaya, tena umewajaribu wale wajiitao mitume, nao siyo ukawaona kuwa waongo”Kwa mujibu wa aya hizi Muhammad s.a.w hastahili kuitwa nabii na mtume wa Mungu wa Kweli, bali anaangukia katika kundi la manabii na mitume wa uongo. Hatufai.

Moyo wangu unapata ukakasi napoona waislam wanaendelea kumuamini mtume Huyu!!

Ndugu Zangu waislam bado mnaendelea kumfuataa mtume huyu ambaye Hana sifa za kitume???

Naomba kumalizia kwa kutaka kifungu toka kwenye Quran kinachosema
"Mimi allah nimempa utume Muhammad na kama kipo leo naretard na nitaitwa Shehe Ramadhani "

Mwisho wa kunukuu.
 
Ni nani kama siyo mwarabu? Ebu weka na uthibitisho.
Kaka ,ni propaganda tu za uislamu katika kujinasibisha na manabii wakiyahudi,akiwepo ibrahimu

Ukweli ni huu

Ibrahimu na Ishmaeli Si Waarabu

Ibrahimu (Abrahamu) si Mwarabu kwa sababu alizaliwa katika Ur wa Wakaldayo (Iraki ya leo) na alihamia Kanaani kabla ya baadaye kumpeleka Ishmaeli katika majangwa ya Uarabuni. Lugha aliyozungumza ilikuwa ya Kisemiti cha kale, zaidi ikihusiana na Kiebrania na Kiaramu, si Kiarabu. Waarabu walikuwepo baadaye, hasa kupitia makabila kama Wathamud na Wamidiani, hivyo Ibrahimu hakuwa sehemu ya jamii ya Kiarabu.

Vivyo hivyo, Ishmaeli (Ismail) naye si Mwarabu wa asili, kwani alizaliwa Kanaani .

Waarabu wa asili walikuwepo kabla ya Ishmaeli, na walikuwa na historia yao tofauti. Hivyo, kudai kuwa Ishmaeli ndiye baba wa Waarabu wote si sahihi kihistoria, kwani alihusiana nao tu kupitia kuhamia

Mtume Muhammad mwenyewe alikanusha uhusiano wa moja kwa moja wa nasaba kati yake na Ishmaeli. Katika hadith iliyopokewa na Muslim,

Mtume alisema:

"Hakika hatupaswi kuendelea kusema nasaba za mababu zetu kupita kwa Adnan" (Sahih Muslim, Hadith 2276).

Zipo Hadith nyingi za Muhammad Ali kana nasaba yake na Ishamael,ni matapeli tu ndio waliutengeneza hata ile family tree ya mchongo,

Kuna historia ya kutosha inaonyesha kuwa hata Waarabu wa Makka hawakuwa na uhakika wa nasaba yao kurudi moja kwa moja kwa Ishmaeli, na hivyo ni dhahiri kuwa Ibrahimu na Ishmaeli si Waarabu wa asili.
 
Kusema Muhammad ni uzao wa Ishmael ni moja ya uongo mkubwa na propaganda kubwa iliyoenezwa

Propaganda hii lengo ni kujinasibisha na manabii,mitume wa kiyahudi ili uislamu upate uhalali

Muhammad mwenyewe alikataa kuwa hatokani na nasaba ya Ishmael,

Nukuu ya Hadithi 1

“Nasaba yangu ni ya kweli hadi al-Nather bin Kinaneh. Kila mtu atakayeongeza mababu yangu zaidi ya hayo, ameongea uongo.”
(Hii nukuu inatolewa na baadhi ya waandishi wa kale kama Amru bin al-As, na inachukuliwa kama ushuhuda wa Aisha na Ibn Abbas kwamba Mtume (SAW) alihakikisha kwamba haikujaa nasaba zisizothibitishwa.)

Nukuu ya Hadithi 2

“Usitafute nasaba yangu hadi kabla ya Maʿad, maana katika hilo uko uongo. Nilifanya nasaba yangu kuwa wazi mpaka al-Nather bin Kinaneh, na si zaidi.”
(Hii inatumika kuelezea kuwa Mtume (SAW) aliruhusu tu kuandikwa kwa mababu yake hadi kiwango ambacho walijua na kuthibitishwa, na akatikisha majaribio ya kuunganisha nasaba yake hadi Ishamael au mababu ya mbali.)

UKIONA MTU ANAONGEA KWA UHAKIKA KABISA KUWA MUHAMMAD NI UZAO WA ISHAMAEL HUYO NI MZUSHI NA ANAMZUSHIA UONGO MUHAMMAD
 
NILISHAKWAMBIA WEWE ELIMU HUNA ,NA NI WAISLAMU NDIO MLIVYO, MAANA HISTORIA HUWA INAWAUMBUA

Katika maandiko ya Kiebrania ya Biblia ya Kimasora (Tanakh), jina la Mungu linaonekana kama herufi nne YHWH (Tetragrammaton). Hili ni jina takatifu ambalo Wayahudi waliheshimu sana kiasi cha kuto litamka moja kwa moja, badala yake walitumia maneno kama Adonai (Bwana) au Hashem (Jina).

Jina YHWH halina irabu katika Kiebrania cha kale, kwa sababu maandishi ya Kiebrania ya awali hayakuwa na alama za vokali. Hii ilisababisha ugumu katika kutamka jina hilo baadaye. Wakati wa maendeleo ya lugha, Wasomaji wa Kimasora waliongeza alama za vokali ili kusaidia kutamka maandiko. Walichukua vokali za Adonai na kuzichanganya na YHWH, wakipata tamko Yehovah, ambalo baadaye lilichukuliwa na Wazungu kama Jehovah. Hata hivyo, tafiti nyingi zinaonyesha kuwa Yahweh linaweza kuwa tamko la awali zaidi la jina la Mungu katika Kiebrania.

Kuhusu neno Eloah, ni umoja wa neno Elohim, ambalo linamaanisha Mungu au miungu kulingana na muktadha. Ni kweli kuwa lugha zilivyoendelea, tafsiri mbalimbali zilikuja, lakini hakuna ushahidi wa moja kwa moja kuwa Wagiriki walibadilisha Eloah kuwa Jehovah, bali kilichotokea ni uingiliaji wa wasomi wa Kilatini katika kuandika jina hilo kwa njia wanayoweza kutamka.

Jina la Yesu pia limepitia mabadiliko ya lugha. Yehoshua lilikuwa jina la kawaida la Kiebrania, likimaanisha "YHWH anaokoa". Katika Kiyunani, Kiebrania kilipobadilishwa, walitumia Iēsous kwa sababu Kiyunani hakina sauti ya "sh". Baadaye, jina hilo lilipoingia katika Kilatini, likawa Jesus, na kutoka hapo likawa Yesu katika Kiswahili.

Kwa hiyo, hoja kwamba Mungu hajawahi kujiita Jehovah au Yahweh ni ufinyu wako wa elimu ya lugha na historia ,

Eti sababu ya historia ya majina haya kubadilika kutokana na lugha ,historia basi yameshakuwa ni ya kipagani, huo ni ufinyu wa elimu .

Ni tafsiri tofauti za neno lilelile katika lugha mbalimbali. Kwa hivyo, tofauti za matamshi ya majina ya Mungu zinatokana na mabadiliko ya lugha na historia .
Wewe itakuwa una mtindio wa ubongo


Yesu jina lake ni YEHOSHUA
Kuna herufi hapo wagiriki hawana ndio wakachakachua wakapata Jesus

YEHOSHUA
YE........S...U..
JE........S....U

Kilichofanyika hapo hakina tofauti na walichofanya katika

ELOAH wakapata JEHOVAH

HASHEM wakapata YAHWEH

Jibu haya maswali
1) Wewe unakubali kuwa neno JEHOVAH, YAHAWEH na JESUS ni Maneno ya Kigiriki na sio kiebrania?

2) Leo hii Yesu akija ukimuita Kwa hilo
jina Jesus atakuelewa na kupitia?

3) kama wagiriki walishindwa kupata pronounce ya kweli ya jina la Yesu Kwa Nini wewe unalazimisha kuwa wagiriki walipata pronounce za kweli za majina ya Miungu ?
 
Wewe itakuwa una mtindio wa ubongo


Yesu jina lake ni YEHOSHUA
Kuna herufi hapo wagiriki hawana ndio wakachakachua wakapata Jesus

YEHOSHUA
YE........S...U..
JE........S....U

Kilichofanyika hapo hakina tofauti na walichofanya katika

ELOAH wakapata JEHOVAH

HASHEM wakapata YAHWEH

Jibu haya maswali
1) Wewe unakubali kuwa neno JEHOVAH, YAHAWEH na JESUS ni Maneno ya Kigiriki na sio kiebrania?

2) Leo hii Yesu akija ukimuita Kwa hilo
jina Jesus atakuelewa na kupitia?

3) kama wagiriki walishindwa kupata pronounce ya kweli ya jina la Yesu Kwa Nini wewe unalazimisha kuwa wagiriki walipata pronounce za kweli za majina ya Miungu ?
UNAUTAFSIRI UKRISTO KWA MTAZAMO WA KIARABU NA KIISLAMU ,

Unaulizia kuwa maneno JEHOVAH, YAHWEH na JESUS ni maneno ya Kigiriki na si Kiebrania?

Jibu ni Hapana Tena KUBWA KABISA, HAPANA SIO YA KIGIRIKI,

NITAKUPA ELIMU MAANA UMEDANGANYWA UKADANGANYIKA

majina haya yana asili katika Kiebrania lakini yamepitia mabadiliko ya lugha kadri yalivyoenea katika mataifa mengine.

NITAANZA NA 👇

"Yehoshua" (יְהוֹשֻׁעַ) ni jina la Kiebrania ambalo limefupishwa kuwa Yeshua (יֵשׁוּעַ), ambalo katika Kigiriki lilihamishwa kuwa Ἰησοῦς (Iēsous) na baadaye kuwa Jesus katika Kiingereza.

NAKUJA KWA YHWH

YHWH (יהוה) ndilo jina la Mungu katika Kiebrania. Kwa kuwa Wayahudi waliheshimu jina hili sana kiasi cha kutoitamka, waliweka badala yake neno Adonai (Bwana). Baadaye, neno hilo liliandikwa kwa matamshi yaliyokaribiana na Yahweh na kisha likachanganywa na vokali za Adonai, likazalisha jina Jehovah, ambalo ni tafsiri katika baadhi ya lugha za Magharibi.


Kwa hiyo, majina haya si Kigiriki, bali ni Kiebrania kilichohamishwa kwa lugha zingine.,Hii ni elimu ndogo tu ,


Unaulizia leo hii Yesu akija, ukimuita kwa jina "Jesus", atakuelewa na kukuitikia?



NAKUJIBU NDIYO TENA KWA HERUFI KUBWA NDIYO ATAITIKIA,YESU SIO Allah mungu wa kiarabu anayejua lugha moja,Yesu ataitikia kwa sababu Yesu si mdogo kwa lugha moja. Yeye ni Bwana wa mataifa yote, na anajua kuwa katika kila lugha jina lake linatamkwa tofauti, lakini linarejelea mtu yuleyule "ATAKAYE WAOKOA NA DHAMBI ZAO" Na hapa ndipo msingi wa kukataa Issa sio Yesu sababu maana ya jina ni tofauti .

Yesu ukimuita ISA atakulamba makofi ,maana halina maana halisia ,Isa ni wekundu au zeruzeru .

Ni sawa na mtu anayeitwa John kwa Kiingereza, lakini kwa Kifaransa anaitwa Jean, kwa Kijerumani Johann, kwa Kiebrania Yochanan, na kwa Kiswahili Yohana. Jina linabadilika kulingana na lugha, lakini mtu ni yuleyule na maana ya jina ni ile ile ,hii elimu ya bure nakupa chukua.

Biblia inasema kuwa

“Kila mtu atakayeliitia jina la Bwana ataokoka” (Warumi 10:13).

Haisemi kuwa lazima litamkwe kwa lafudhi fulani au lugha Fulani ili liwe na nguvu., mungu wa kiarabu allah ndiye anasikia kiarabu tu.


Unauliza kama Wagiriki walishindwa kutamka jina la Yesu sawasawa, kwa nini ulazimishe kuwa walipata pronounce za kweli za majina ya miungu?

Unajaribu kulinganisha jambo lisilo na msingi wowote, Wagiriki hawakupotosha jina la Yesu kwa makusudi, bali walilitafsiri kwa jinsi lilivyoeleweka katika lugha yao.,sawa na sisi waswahili tunavyoliita Yesu ,kutoka Yehoshua.

Lugha zote zina mapungufu ya kutamka maneno ya lugha nyingine, lakini hiyo haimaanishi kuwa maana inapotea., HII ELIMU YA BURE NAKUPA

Zaidi ya hayo, jina la Yesu halina nguvu kwa sababu ya matamshi yake, bali kwa sababu ya mamlaka yake.

Filipo alipomwambia Yesu,


"Bwana, tuonyeshe Baba" Yesu alijibu, "Aliyeniona mimi amemwona Baba" (Yohana 14:8-9).

Hii ina maana kuwa Yesu mwenyewe ndiye ufunuo wa Mungu, si lafudhi ya jina lake.

Kwa hiyo, suala si je, tunatumia jina lake katika lafudhi gani, bali je, tunamwamini na kumfuata kama Bwana na Mwokozi wetu?


UNAPOISOMA BIBLIA ,USIISOME KIMSIKITISIKITI UTAPOTEA
 
UNAUTAFSIRI UKRISTO KWA MTAZAMO WA KIARABU NA KIISLAMU ,

Unaulizia kuwa maneno JEHOVAH, YAHWEH na JESUS ni maneno ya Kigiriki na si Kiebrania?

Jibu ni Hapana Tena KUBWA KABISA, HAPANA SIO YA KIGIRIKI,

NITAKUPA ELIMU MAANA UMEDANGANYWA UKADANGANYIKA

majina haya yana asili katika Kiebrania lakini yamepitia mabadiliko ya lugha kadri yalivyoenea katika mataifa mengine.

NITAANZA NA 👇

"Yehoshua" (יְהוֹשֻׁעַ) ni jina la Kiebrania ambalo limefupishwa kuwa Yeshua (יֵשׁוּעַ), ambalo katika Kigiriki lilihamishwa kuwa Ἰησοῦς (Iēsous) na baadaye kuwa Jesus katika Kiingereza.

NAKUJA KWA YHWH

YHWH (יהוה) ndilo jina la Mungu katika Kiebrania. Kwa kuwa Wayahudi waliheshimu jina hili sana kiasi cha kutoitamka, waliweka badala yake neno Adonai (Bwana). Baadaye, neno hilo liliandikwa kwa matamshi yaliyokaribiana na Yahweh na kisha likachanganywa na vokali za Adonai, likazalisha jina Jehovah, ambalo ni tafsiri katika baadhi ya lugha za Magharibi.


Kwa hiyo, majina haya si Kigiriki, bali ni Kiebrania kilichohamishwa kwa lugha zingine.,Hii ni elimu ndogo tu ,


Unaulizia leo hii Yesu akija, ukimuita kwa jina "Jesus", atakuelewa na kukuitikia?



NAKUJIBU NDIYO TENA KWA HERUFI KUBWA NDIYO ATAITIKIA,YESU SIO Allah mungu wa kiarabu anayejua lugha moja,Yesu ataitikia kwa sababu Yesu si mdogo kwa lugha moja. Yeye ni Bwana wa mataifa yote, na anajua kuwa katika kila lugha jina lake linatamkwa tofauti, lakini linarejelea mtu yuleyule "ATAKAYE WAOKOA NA DHAMBI ZAO" Na hapa ndipo msingi wa kukataa Issa sio Yesu sababu maana ya jina ni tofauti .

Yesu ukimuita ISA atakulamba makofi ,maana halina maana halisia ,Isa ni wekundu au zeruzeru .

Ni sawa na mtu anayeitwa John kwa Kiingereza, lakini kwa Kifaransa anaitwa Jean, kwa Kijerumani Johann, kwa Kiebrania Yochanan, na kwa Kiswahili Yohana. Jina linabadilika kulingana na lugha, lakini mtu ni yuleyule na maana ya jina ni ile ile ,hii elimu ya bure nakupa chukua.

Biblia inasema kuwa

“Kila mtu atakayeliitia jina la Bwana ataokoka” (Warumi 10:13).

Haisemi kuwa lazima litamkwe kwa lafudhi fulani au lugha Fulani ili liwe na nguvu., mungu wa kiarabu allah ndiye anasikia kiarabu tu.


Unauliza kama Wagiriki walishindwa kutamka jina la Yesu sawasawa, kwa nini ulazimishe kuwa walipata pronounce za kweli za majina ya miungu?

Unajaribu kulinganisha jambo lisilo na msingi wowote, Wagiriki hawakupotosha jina la Yesu kwa makusudi, bali walilitafsiri kwa jinsi lilivyoeleweka katika lugha yao.,sawa na sisi waswahili tunavyoliita Yesu ,kutoka Yehoshua.

Lugha zote zina mapungufu ya kutamka maneno ya lugha nyingine, lakini hiyo haimaanishi kuwa maana inapotea., HII ELIMU YA BURE NAKUPA

Zaidi ya hayo, jina la Yesu halina nguvu kwa sababu ya matamshi yake, bali kwa sababu ya mamlaka yake.

Filipo alipomwambia Yesu,


"Bwana, tuonyeshe Baba" Yesu alijibu, "Aliyeniona mimi amemwona Baba" (Yohana 14:8-9).

Hii ina maana kuwa Yesu mwenyewe ndiye ufunuo wa Mungu, si lafudhi ya jina lake.

Kwa hiyo, suala si je, tunatumia jina lake katika lafudhi gani, bali je, tunamwamini na kumfuata kama Bwana na Mwokozi wetu?


UNAPOISOMA BIBLIA ,USIISOME KIMSIKITISIKITI UTAPOTEA

Kitendo Cha kupinga kuwa neno JEHOVAH na neno JESUS sio Maneno ya lugha ya kigiriki hi inaonyesha ni jinasi gani ulivyo mbumbu


Jehovah is a Latinization of the Hebrew יְהֹוָה‎ Yəhōwā, one vocalization of the Tetragrammaton יהוה‎ (YHWH),


Jesus is a masculine given name derived from Iēsous the Ancient Greek form of the Hebrew name Yeshua (ישוע).


Hiyo nimeitoa katika website ya Cambridge university wanasema neno JEHOVAH na JESUS ni Maneno ya Kigiriki
Sasa kama wewe unapingana Hadi na maprophesa wa Cambridge university hivi haujioni kuwa wewe ni kilaza
Nenda ukawadanganye vilaza wenzanko maana mmezoea kudanganyana
 
Kitendo Cha kupinga kuwa neno JEHOVAH na neno JESUS sio Maneno ya lugha ya kigiriki hi inaonyesha ni jinasi gani ulivyo mbumbu


Jehovah is a Latinization of the Hebrew יְהֹוָה‎ Yəhōwā, one vocalization of the Tetragrammaton יהוה‎ (YHWH),


Jesus is a masculine given name derived from Iēsous the Ancient Greek form of the Hebrew name Yeshua (ישוע).


Hiyo nimeitoa katika website ya Cambridge university wanasema neno JEHOVAH na JESUS ni Maneno ya Kigiriki
Sasa kama wewe unapingana Hadi na maprophesa wa Cambridge university hivi haujioni kuwa wewe ni kilaza
Nenda ukawadanganye vilaza wenzanko maana mmezoea kudanganyana
HUNA UNACHOJUA BANA,

CAMBRIDGE NDIO NANI? MIMI NAONGEA KUTIKANA NA VYANZO VYA KIYAHUDI

Neno "Jehovah" si la Kigiriki, bali ni tafsiri ya Kilatini ya YHWH, jina la Kiebrania la Mungu. Inatokana na mchanganyiko wa herufi za YHWH na vokali za "Adonai" au "Elohim." Wataalamu wengi sasa wanapendelea kutamka Yahweh kama jina la Mungu, si "Jehovah." Hivyo, kusema "Jehovah" ni la Kigiriki ni makosa, kwani lina asili ya Kilatini na siyo ya Kigiriki.
 
Lengo la Muhamadi ni kutaka dunia nzima, yaani Allah na Malaika zake, watu na Majini yamswalie yeye.
Ili yeye awe Mungu wa kuabudiwa katika dunia nzima.
Hebu mjiulize enyi amanu, Kama Allah na malaika zake wanamswalia Muhamadi,

Yeye Muhamadi anamswalia nani?
Kila kukicha ni mswalie mtume mswalie mtume.
Yeye Muhamadi anamswalia nani?

Muhamadi alianzisha Dini ya Kiislamu ili aswaliwe yaani aa budiwe kama mungu.

Mbona hatuoni maandiko ya Mswalie Allah?
Ila tunaona Allah na Malaika zake wanamswalia muhamadi.

Hivi ni kweli hamja gundua kitu chochoze hapo kweli?
Labda muwe madoli.
 
Lengo la Muhamadi ni kutaka dunia nzima, yaani Allah na Malaika zake, watu na Majini yamswalie yeye.
Ili yeye awe Mungu wa kuabudiwa katika dunia nzima.
Hebu mjiulize enyi amanu, Kama Allaha na malaika zake wanamswalia Muhamadi,

Yeye Muhamadi anamswalia nani?
Kila kukicha ni mswalie mtume mswalie mtume.
Yeye Muhamadi anamswalia nani?

Muhamadi alianzisha Dini ya Kiislamu ili aswaliwe yaani aa budiwe kama mungu.

Mbona hatuoni maandiko ya Mswalie Allah?
Ila tunaona Allah na Malaika zake wanamswalia muhamadi.

Hivi ni kweli hamja gundua kitu hapo.
Labda muwe madoli.
Sasa unataka watu wamtakie rehma Allah?
Unaelewa kinachoendelea lakini?
 
Sasa unataka watu wamtakie rehma Allah?
Unaelewa kinachoendelea lakini?
Unaweza kuijibu hii habari?
Umewahi kuisikia ?
Au ni chuki tu za Mayahudi na Makristo ?
Hebu soma tena na fuatilia maandiko.

Dini/Imani

Mashaka juu ya utume wa Muhammad: Naomba majibu ndugu zangu ummat wa Allah

Thread starter
Mangi Meno

Jamii Forum
JF-Expert Member

02/02/2025 at 7:22 AM

Je Muhammad ni mtume wa mwenyezi Mungu??

Kabla tujajibu swali hili ni vi zuri kujifunza historia ya mtume Muhammad,jina kamili la muhammad kwa kirefu ni ﻣﺤﻤﺪ ﺑﻦ ﻋﺒﺪ ﺍﻟﻠﻪ ﺑﻦ ﻋﺒﺪ ﺍﻟﻤﻄﻠﺐ ﺍﻟﻬﺎﺷﻤﻲ Muhammad bin 'Abd Allāh bin 'Abd al-Muţţalib al-Hāshimī )anaaminika katika dini ya Uislamu kuwa ni mtume wa mwisho wa Mungu ( Allah ) kwa binadamu.

Utoto wake
Muhammad alizaliwa yatima kwani baba yake alifariki kabla yeye hajazaliwa.Hakuishi sana na
mama yake (Amina), kwa kuwa naye alifariki dunia Muhammad akiwa na umri wa miaka sita.Baadaye akachukuliwa na babu yake Abdul Muttalib na kuishi naye kwa muda wa miaka miwili, kisha babu yake naye akafariki.Kazi ya kumlea Muhammad ilimwangukia ami yake Abu Talib ambaye ndiye aliyeishi naye mpaka ukubwa na kumuoza na kumpa himaya!!!

Baada ya kuangalia historia fupi ya Muhammad tuangalie Hoja yetu kuu yenye utata!!

Muhammadi alipataje utume;

Muhammad s.a.w alipotimiza umri wa miaka 38kutokana na maisha magumu ,alihama toka nyumbani kwake, akahamia katika mapango(JABAL HIRA) yaliyokuwa hapo karibu na mji wa
Makka. Alipofikisha umri wa miaka 40 siku moja alitokewa na kiumbe ambacho Waislamu leo wanakiita Malaika Jibril.

Wahyi (ufunuo) uliokuja kwa Muhammad alisikia makengele,uso kuwa mwekundu,jasho kumtoka. Katika Bukhar, Hadithi na 2, Juzuu na 1,Al-Lu’lu Kitabu cha 3.Uk. Na.874 Hadithi na1505 “Hadithi ya Aisha r.a mama wa waumini amesema, kuwa Al Harith ibn Hisham r.a alimuuliza mtume wa Allah s.a.w ‘ Ewe mtume wa Allah hivi wahyi (ufunuo) hukujia vipi?’
mtume wa Allah s.a.w akajibu, “ Wakati mwingine hunijia kama mlio wa kengele, na aina hiyo ndiyo ngumu zaidi kwangu, inaondolewa hali hiyo kwangu wakati tayari
nimeshapata wahyi.

Na nyakati nyengine malaika anakuja kwangu akiwa katika mfano wa mtu, kwa hiyo ananieleza na ninayazingatia aliyoyasema.” Aisha r.a alisema , Na hakika nilimwona unamshukia wahyi siku ya baridi kali na ilipomuondoka halihiyo, paji lake la uso lilichuruzika jasho.”

Qurani 53:2 – 6 Suratul Najm (Nyota) “Kwamba
mtu wenu huyu Nabii Muhamad (hakupotea kwa ujinga) na wala hakukosa (Na hali ya kuwa anajua). Wala hasemi kwa matamanio (ya nafsi yake). Hayakuwa haya (anayosema) ila ni wahyi (ufunuo) uliofunuliwa (kwake).Amemfundisha
(malaika) mwenye nguvu sana. Mwenye uweza na yeye (huyu Jibril) akalingana sawa sawa.

Ngoja tuendelee na mawaidha!!
Alipokuwa pangoni alichezewa na Shetani:Katika kitabu kiitwacho “ Wakeze Mtume Wakubwa Na Wanawe” kilichoandikwa na Sheikh Abdullah Saleh Al Farsy uk.12 tunasoma maneno haya “Basi Mtume akafanya hofu akarejea kwa mkewe akamhadithia; na pale pale homa kubwa kabisa ikampanda akataka afunikwe maguo.Mara akawa anatetemeka kwa nderema na anaweweseka na kusema “Najikhofia nafsi yangu kuchezewa na shetani na kuniharibu akili yangu na kunizuga”. Bibi Khadija palepale alimdakiza akamwambia;
“ Wacha hayo; Siyo yatakayokuwa hayo. Wewe huwezi kuchezewa na mashetani. Shetani hawezi kumchezea mtu mwenye sifa zako. Wewe unatazama vyema jamaa zako, unachukuwa mizigo ya hata watu
wasiokuwa wako, unawadhihirishia watu sifa zako nzuri ambazo hakuna mwenye nazo Unafanya hivi na unafanya hivi. Furahi ndugu yangu. Tua moyo wako, Wallahi! Mimi naona
umekwishakuwa mtume”.

Katika tukio hili lililompata Muhammad akiwa pangoni , ndipo Waislamu wote ulimwenguni wanapolieleza kuwa hapo ndipo Muhammad s.a.w alipoletewa wahyi (ufunuo) na kupewa
unabii na utume.
Lakini unapotafakari juu ya ujumbe huo utaona kuwa hata yeye mwenyewe hajui nini kilichokuwa kimemtokea kule pangoni. Ndiyo maana tunasoma kuwa alipofika nyumbani kwake mkewe Bi.Kadija akamwuliza nini kimekutokea?
Muhammad alimweleza mkewe kilichomtokea kuwa ni “Shetani” hakumsema malaika yeyote kama Waislamu wanavyotaka kutuaminisha leo.
Kwa sababu kama angekuwa ametokewa na Malaika, Huyo Malaika angejitambilisha kwake kama tunavyosoma ndani ya Biblia ,asingesita kujitambulisha kwa Muhammad kuwa yeye ni nani. Hii ni hoja ya kwanza.

Hoja ya pili, tunaona kuna mtu anaitwa Waraqah ibn Naufal, binamu yake na mke wa Muhammad s.a.w Bi Khadija. Yeye Waraqah anamwambia Muhammad huyo aliyekutokea ni malaika Jibril. Basi jibashirie kuwa wewe ni mtume umma huu huu !!!!! Je alikuweko pangoni wakati Muhammad s.a.w akitokewa na kiumbe asichokijua?.

Hoja ya tatu tunaona hata huyo mkewe Muhammad anamwambia mumewe utume huo !!!!!!! Je na yeye alikuweko pangoni?Kama hakuweko ni nani aliyemwambia kuwa yule ni
malaika Jibril ikiwa Muhammad mwenyewe aliyetokewa alisema nimetokewa na Shetani?Tafakari

Katika kitabu kiitwacho Tafsir Al-Kashif, cha Muhammad Jawad Mughniyyah, uk74 paragrafu ya 7 inasomeka“ Hakuna njia ya kumjua Iblis,Shetani na Jini, isipokuwa kwa njia ya wahyi(ufunuo) tu” Qurani Suratul Sad 38:69 Muhammad amenukuliwa akisema “Sikuwa na ilimu ya viumbe watukufu(Malaika)…

Kwa sababu ya Muhammad s.a.w kutowajua malaika kwake yeye anasema unapomwona
punda akilia basi kamwona Shetani.
Katika Kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu, Juzuu 3-4
Hadith 789 uk 38 “ Punda akilia kamwona Shatani”
Jambo hilo ni tofauti na jinsi Biblia Takatifu inavyoeleza kuhusu punda. Mungu anaweza kumtumia hata punda kuongea na wanadamu ili kuwajulisha ujumbe wake.

Katika kitabu cha Hesabu 22:22-31 tunasoma habari ya Balaamu jinsi Mungu alivyomtumia punda kumwambia. Balaamu asiendelee na safari yake , baada ya punda huyo kumwona malaika wa Bwana akiwa ameshika upanga na amesimama mbele yao akiwa amezuia njia aliyotakiwa kupita.
Punda alimwambia Balaamu ule msitari wa 30-31 “
Yule punda akamwambia Balaamu, Je mimi si punda wako, nawe umenipanda maisha yako
yote hata leo? Nimezoea kukutenda hayo? Akasema La!. Ndipo Bwana akafunua macho ya Balaamu, akamwona malaika wa BWANA
amesimama njiani, ana upanga mkononi mwake, umekwisha kufutwa; naye akainama kichwa, akaanguka kifudufudi”
Inaonekana kwa tukio hili lililomtokea Balaamu,Mungu alimfunua macho yake akamwona malaika.

Lakini kwa Muhammad yeye anachokiona ni Shetani tu. Na ndiyo maana anasema punda akilia amemwona Shetani Kwa hiyo kama ufunuo wa Muhammad unaanza na Shetani kama vitabu sahihi vya dini ya Kiislamu vinavyoeleza, kwa mujibu wa ufafanuzi wa kitabu hicho cha Tafsir Al Kashif, inaonesha kwamba ufunuo, unabii na hata utume wa Muhammad una walakini mkubwa ukilinganisha na ujumbe wa manabii na mitume waliotajwa ndani ya Biblia Takatifu. Katika Biblia shetani ametajwa kuwa anaweza kujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru.

2 Wakorintho 11:13-15 “Maana watu kama hao ni mitume wa uongo, watendao kazi kwa hila wanaojigeuza wawe mfano wa mitume wa Kristo. Wala si ajabu, maana shetani mwenyewe
hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru. Basi si neno kubwa watumishi wake nao wakajigeuza wawe mfano wa watumishi wa haki, ambao mwisho wao utakuwa sawasawa na kazi zao”.

Muhammad akiwa Medina aliulizwa na Wayahudi ikiwa ufunuo wake umetoka kwa Mungu wa Kweli kwa kumtaka atoe sifa za manabii. Akijibu swali hilo alisema:
Mkweli Mwaminifu Juzuu 3-4 Uk.63.Hadithi Na. 880. “Kasema Mtume (s.a.w):- (Mambo) manne ya sheria za mitume (Kuwa na) na haya,na kujipaka mafuta mazuri,na kuowa (wake),na
kupiga mswaki.
Hizi si sifa za Ki-Mungu kwa nabii na mtume bali ni za kibinadamu tu.
Manabii na watu mbalimbali katika Biblia hawakuona haya. Soma Isaya 50:7 “ Maana Bwana MUNGU atanisaidia; kwa sababu hiyo
sikutahayari, kwa sababu hiyo nimeukaza uso
wangu kama gumegume, nami najua ya kuwa
sitaona haya”. Zaburi 34:5 “ Wakamwelekea
macho wakatiwa nuru, Wala nyuso zao
hazitaona haya” Zab 119:46 “

Nitazinena shuhuda zako mbele ya wafalme, Wala sitaona aibu” Warumi 1:16 “ Kwa maana siionei haya Injili; kwa sababu ni uweza wa Mungu uuletao wokovu, kwa kila aaminiye kwa Myahudi kwanza , na kwa Myunani pia” 1Petro 4:16 “
Lakini ikiwa kwa sababu ni Mkristo asione haya, bali
amtukuze Mungu katika jina hilo.

Zaidi ya hayo tunaona Muhammad alirogwa. Kurogwa ni hali ya mtu kuathirika na nguvu za
giza yaani uchawi.. Je nabii au mtume wa Mwenyezi Mungu wa Kweli anaweza kurogwa?

Katika Qur’an Suratul Ban-Israel, 17:47 “Tunajua sana, sababu wanayosikiliza, nawanaponong’ona, wanaposema hao madhalimu.Nyinyi hamfuati isipokuwa mtu aliyerogwa”
Pia katika Suratul Falaq, 113:1-5 “ Ninajikinga kwa mola wa ulimwengu wote na shari ya Alivyoviumba, na shari ya giza la usiku liingiapo, na shari ya wale wanaopulizia (vivia)
mafundoni (wakavunja) mashikamano yaliyo baina ya watu yaani shari ya mafatani, Na shari ya hasidi anapohusudu” Tunasoma tukio hilo katika ufafanuzi wake
uliyomo ndani ya Qur’an chapa ya nane uk.977unaofafanua Sura ya 113-114 “Athari ya uchawi juu ya mtume (s.a.w).

Swali la pili lijitokezalo
kuhusu sura mbili hizi ni kwamba kwa mujibu wa hadithi uchawi ulifanywa dhidi ya mtume(s.a.w) naye akawa mgonjwa, na ili kuiondoa athari hiyo ya uchawi Jibril (a.s) alikuja na
kumpa maelekezo Mtume (s.a.w) ya kusoma sura mbili hizi.

Watafiti wengi zamani na wa sasa wamelifanyia upinzani jambo hilo, kwamba ikiwa hadithi zitakubaliwa, basi mfumo wote wa sharia utakuwa ni wa kutiliwa shaka, kwa sababu kama mtume (s.a.w) aliweza kuathirika kwa uchawi, na kwa mujibu wa hadithi hizi kweli uchawi huo ulionesha athari yake, basi hatuwezi kukaidi au kukana hadi kiwango gani maadui waliweza kumfanya Mtume (s.a.w)aseme na atende mambo kwa nguvu ya uchawi,na katika mafundisho yake mambo mangapi
yatoka kwa Allah na mangapi yatokana na athari ya uchawi juu yake.
Si hiyo tu, bali pia wasema kuwa baada ya kuyatambua hayo kuwa ni kweli katu haitawezekana hata kule kukaidi kuwa (s.a.w) alishawishiwa kudai utume kwa mauzauza ya kinjozi kuwa alimjia malaika.

Pia wanasema hadithi hizi zapingana na Qur’an, na kama ilivyo katika Qur’an kuwa tuhuma hiyo batili kwa makafiri ilivyotajwa kuwa mtume s.a.w amerogwa naye ameathirika na uchawi: wanaposema hao madhalimu, ‘Ninyi hamumfuati isipokuwa mtu aliyerogwa’.” (17:47), lakini hadithi hizi zinathibitisha madai ya makafiri kuwa kwa kweli aliathirika na kuongozwa na uchawi……

Kadri historia inavyohusika,ukweli kuwa kiasi fulani cha athari ya uchawi juu ya Mtume (s.a.w) ni hakika iliyothibiti; na kama kwa ustadi wa ubishi inawezekana kuthibitisha kuwa
kweli.Limesimuliwa jambo hilo na Bukhari,Muslim, Nasai, Ibn Majah, Ahmad, ‘Abdur Razzaq, Humaid, Baihaqi, Tabarani, Ibn Sa’d,Ibn Marduyah, Ibn Abi Shaibah, Hakim, Abd bin Humaid na Muhadithina wengine toka kwa Bi.‘Aisha (r.a), Zaid bin Arqam, Ibn ‘Abbas kupitia silsila nyingi mno kiasi kwamba jambo lenyewe limefikia hali ya ufululizo kamili, isipokuwa kila Hadithi, yenyewe ni ripoti kamili.

Hii ni uthibitisho mwingine mzito unaoonesha kuwa utume wa Muhammad una utata. Ikiwa na wao Waislamu kwa mujibu wa hadithi hizi hawajui ni mambo mangapi Muhammad
aliyoyasema yanatoka kwa Allah na mangapi aliyasema akiwa ameshinikizwa na wachawi ,
Je ufunuo na utume wake utakuwa umetoka kwa Mungu wa Kweli? Tafakari !!Ndani ya Biblia Takatifu hakuna kurogwa kwa mtu wa Mungu.

3Hesabu 23:23 “ Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israel. Sasa habari za Yakobo na Israel zitasemwa , Ni mambo gani aliyoyatenda
Mungu!” Kwa mujibu wa kitabu cha Biblia Takatifu,
manabii na mitume wa kweli wa Bwana Mungu wanatoka katika taifa la Israel.

Kitabu cha Ezekiel 13:9 “ Na mkono wangu utakuwa juu ya manabii wanaoona ubatili, na
kutabiri uongo;hawatakuwa katika mashauri ya watu wangu, wala hawataandikwa katika
maandiko ya nyumba ya Israel, wala hawataingia katika nchi ya Israel; Nanyi mtajua ya kuwa mimi ndimi Bwana MUNGU” .Pia kwa mujibu wa kitabu cha Qur’an manabii na mitume ni lazima watoke kwa Yakobo ambaye ni mtoto wa Is-haqa ambaye naye ni mtoto wa Ibrahim.

Qur’an Suratul Al-Ankabuut,(Buibui), 29:27 “ Na tulimpa (kumzaa nabii) Is-haqa na (kumjukuu nabii) Yakubu na tukauweka katika kizazi chake unabii na (kupata) kitabu,na tukampa ujira wake katika dunia; naye katika akhera kwa yakini atakuwa miongoni mwa watu wema”.

Aya hii, inaendelea kusisitiza kuwa ni kupitia kizazi cha Yakobo ndiko uliko unabii na kupata kitabu. Kwa bahati mbaya Muhammad ibn Abdullah, hatoki katika kizazi hicho wala kwa
Ishmael kama wanavyodai Waislamu . Kwa sababu Ishmael ni Mwebrania kama baba yake mzee Ibrahim alivyo Mwebrania (Mwanzo 14:13)na Muhammad ni mwarabu kutoka kabila la Maqureysh.
Kwa kutambua hilo ndipo tunamwona Muhammad akiwaonya watu
wengine wajiepushe na watu wa kabila lake.
Sahih Al-Bukhari Vol.1.Hadithi Na. 801 na Al-Lu’lu Kitabu cha 3. Uk.1089.Hadithi Na.1846inasomeka“Hadithi ya Abu Huraira (r.a)amesema ,“Mtume wa Allah (s.a.w)
amesema,Kabila hili la Makuraish litawateketeza watu.’ Wakauliza, ‘Unatushauri
nini?’ Akasema, Nashauri watu wajitenge nalo.”

Kumzamisha nzi kwenye kinywaji
Bukhar vol. 4 Hadith 537 “ Narrated Abu
Huraira: The Prophet said: If a house fly falls in the drink of any one of you, he should dip it (in the drink) for one of its wings has a disease and the other has the cure for the disease”
Tafsiri: Ilisimuliwa na Abu Huraira: Nabii alisema kama nzi akiangukia ndani ya kinywaji cha mmoja wenu, anapaswa kumzamisha kabisa (ndani ya kinywaji) kwa kuwa bawa lake moja lina ugonjwa na bawa lake jingine lina dawa Mitume wa Yesu ndani ya Biblia Takatifu walikwisha kutuonya kuhusu uchafu huo. Katika 2 Kor 7:1 “Basi, wapenzi wangu, kwa kuwa tuna ahadi hizo, na tujitakase nafsi zetu na uchafu wote wa mwili na roho, huku tukitimiza utakatifu katika kumcha Mungu”

Miongoni mwa mafundisho ya Muhammad ni kwamba kuna mambo kumi yanayokamilisha Uislamu nayo tunayasoma katika kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu , Kilichoandikwa
na Sheikh Said Moosa Al-Kindy wa Muscut,Juzuu 3-4 Uk 63.Hadithi Na.880 “ Kasema Mtume (s.a.w) (Mambo) kumi ya Uislamu (yanayokamilisha Uislamu):Kukata
masharubu,na kuziweka ndevu,nakuziweka ndevu (kutozinyoa) ndevu,na kupiga mswaki,kusafisha ndani ya pua kwa maji,na kukata kucha,kuosha mikono baina ya vidole,na kung’oa (au kunyoa) nywele za kwapani,na kunyoa nywele za mbeleni (mavuzi),na upungufu wa maji. La kumi,kasema sahaba aliepokea hadithi hii kuwa nimesahau,lakini
kasema bila shaka la kumi ni “kutahiriwa.”

Kwa mujibu wa Biblia manabii na mitume
wanathibitishwa kwa njia ya miujiza.
Kutoka 14:21” Musa akanyosha mkono wake juu ya bahari,BWANA akaifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wa nguvu utokao mashariki,usiku kucha,akaifanya bahari kuwa nchi kavu”.

Matendo 19:11-12 “Mungu alifanya kwa mikono ya Paulo miujiza ya kupita kawaida . Hata wagonjwa wakaletewa leso na nguo zilizotoka mwilini mwake magonjwa yao yakawaondokea,
pepo wachafu wakawatoka”. Tazama pia Matendo 16:16-18, 20:7-12 na Matendo13:6-12.

Qur’an nayo inathibitisha kuwa manabii na
mitume ni lazima wafanye miujiza.
Qurani 40:78 Suratul Al-Muumini [Waumini]
inasomeka “Na kwa yakini tumewatuma mitume kabla yako wengime katika wao tumekusimulia(majina yao na habari zao) na wengine hatukukusimulia na haikuwa kwa mtume yoyote kuleta muujiza wowote ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu”
Muhammad hakupewa kufanya muujiza wowote ili kuthibitisha madai ya unabii na utume wake.

Qur’an 29:50 Suratul Al-Ankabuut (Buibui). “Na walisema “Mbona hakuteremshiwa miujiza kutoka kwa Mola wake? Sema miujiza iko kwa Mwenyezi Mungu tu (akitaka atakuteremshieni
na kama hataki basi),nami hakika ni mwonyaji
mbainishaji (dhahiri tu).”

(Taz.Qur,an6:35-3713:7,)Katika Qur’an iko aya ambayo tunapaswa tuitafakari wote kwa pamoja.Katika Surat An-Nisaa, (wanawake), 4:79 “Wema uliokufikia unatoka kwa Mwenyezi Mungu na ubaya uliokufikia unatoka nafsini mwako, mwenyewe umefanya mambo hata yakakufika hayo. Nasi tumekupeleka kwa watu kuwa mtume na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha (hapaitajiwi shahidi mwingine)”Aya hii inaonesha kuwa Muhammad mtume wa Waislamu, alipelekwa kwa watu kuwa mtume,huku Mwenyezi Mungu akiwa shahidi tu. Siku zote shahidi si mtendaji bali ni mwonaji tu wa
tendo lililotendeka.Hoja yetu tungependa kuwajua hao watu waliompeleka Muhammad kwa watu ni akina nani?.

Kwa sababu tumeona kule nyuma baada ya Muhammad kutoka pangoni, mkewe Bi. Khadija anamwambia
Muhammad kuwa “utume huo!!!!!!! Na Bwana Waraqah ibn Naufal akimwambia Muhammad kuwa “ basi jibashirie kuwa wewe ni mtume wa umma huu” kabla ya Qur’an .Je hao si wale
“Nasi tumekupeleka” wanaotajwa kwenye aya hiyo hapo juu? Tafakari!! .

Waislamu hudai kuwa Muhammad ametumwa
na Mwenyezi Mungu wao, ambaye ni Mfalme wa
Wafalme .KAULI HII INAUPA MOYO WANGU UKAKASI
Lakini tusomapo Biblia Takatifu katika kitabu cha Ufunuo 17:14 “ Hawa watafanya vita na Mwanakondoo, na Mwanakondoo atawashinda, kwa maana Yeye ni Bwana wa Mabwana, na Mfalme wa Wafalme;na hao walio pamoja naye ndiyo walioitwa na wateule, na waaminifu” Katika Ufunuo 19:11-16 “ Kisha nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama, farasi mweupe,na yeye aliyempanda, aitwaye Mwaminifu na Wa-kweli, naye kwa haki ahukumu na kufanya vita. Na macho yake yalikuwa kama mwali wa moto, na juu ya kichwa chake vilemba vingi; naye ana jina lililoandikwa, asilolijua mtu ila yeye mwenyewe. Naye amevikwa vazi lililochovywa katika damu, na jina lake aitwa Neno la Mungu. Na majeshi yaliyo mbinguni wakamfuata, wamepanda farasi weupe na kuvikwa kitani nzuri, nyeupe, safi. Na upanga mkali hutoka kinywani mwake ili awapige mataifa kwa huo. Naye atawachunga kwa fimbo ya chuma, naye anakanyaga shinikizo la mvinyo ya ghadhabu ya hasira ya Mungu Mwenyezi.

Naye ana jina limeandikwa katika vazi lake na
paja lake, MFALME WA WAFALME NA BWANA
WA MABWANA “Yesu Kristo ndiye Mfalme wa Wafalme na Bwana wa Mabwana.Lakini tunaposoma Hadithi sahihi za Kiislamu zinaeleza kuwa adui mkubwa wa Allah (s.w) Mungu wanayemwabudu Waislamu, ni yule anayeitwa Mfalme wa
Wafalme.

Sahih Al- Bukhari, Vol.8.Hadithi Na.225, Al-Lu’lu Wal-marjan,Juzuu ya 3,Hadithi Na.1385
“Hadithi ya Abu Huraira (r.a) amesema,Mtume wa Allah (s.a.w) amesema,”Majina yaliyo dhalili
mno na mabaya mbele za Allah ni mtu kujiita,Malikil-Amlaak (Mfalme wa Wafalme).”

Hivyo, ufunuo aliopokea Muhammad, ambao anatutaka na sisi Wakristo tuuamini haujatoka kwa Mungu tunayemwamini sisi Wakristo, yaani,Yesu Kristo.Bali kama alivyonukuliwa katika
vitabu vya Kiislamu, unatokana na kuchezewa na Shetani, na kwa sababu hiyo kwetu anakuwa nabii na mtume wa uongo’Biblia Takatifu imetuonya kuwachunguza
mitume na manabii.

Katika kitabu cha Ufunuo2:1-2 “ Kwa malaika wa kanisa lililoko Efeso andika; Haya ndiyo anenayo yeye azishikaye hizo nyota saba katika mkono wake wa kuume,yeye aendaye katikati ya vile vinara saba vya dhahabu.

Nayajua matendo yako, na taabu yako, na subira yako, na ya kuwa huwezi kuchukuliana na watu wabaya, tena umewajaribu wale wajiitao mitume, nao siyo ukawaona kuwa waongo”Kwa mujibu wa aya hizi Muhammad s.a.w hastahili kuitwa nabii na mtume wa Mungu wa Kweli, bali anaangukia katika kundi la manabii na mitume wa uongo. Hatufai.

Moyo wangu unapata ukakasi napoona waislam wanaendelea kumuamini mtume Huyu!!

Ndugu Zangu waislam bado mnaendelea kumfuataa mtume huyu ambaye Hana sifa za kitume???

Naomba kumalizia kwa kutaka kifungu toka kwenye Quran kinachosema "Mimi allah nimempa utume Muhammad na kama kipo leo naretard na nitaitwa Shehe Ramadhani
 
Wewe nimekusoma sana na najua una akili nyingi.
Hivi hujaelewa tu hadi hii leo kuwa Muhamadi alikuwa anapokea Aya za Shetani ?

Au ndio mambo ya kumtetea Muhamadi na Allah na Dini ?

Au Waarabu ni Babu zako walio kuamrisha useme tu ndio ndio ndio ?
Nani kakwambia ni aya za shetani
Una ushahidi gani kuwa ni aya za shetani
Aya za shetani zinakuwaje
 
Unaweza kuijibu hii habari?
Umewahi kuisikia ?
Au ni chuki tu za Mayahudi na Makristo ?
Hebu soma tena na fuatilia maandiko.

Dini/Imani

Mashaka juu ya utume wa Muhammad: Naomba majibu ndugu zangu ummat wa Allah

Thread starter
Mangi Meno

Jamii Forum
JF-Expert Member

02/02/2025 at 7:22 AM

Je Muhammad ni mtume wa mwenyezi Mungu??

Kabla tujajibu swali hili ni vi zuri kujifunza historia ya mtume Muhammad,jina kamili la muhammad kwa kirefu ni ﻣﺤﻤﺪ ﺑﻦ ﻋﺒﺪ ﺍﻟﻠﻪ ﺑﻦ ﻋﺒﺪ ﺍﻟﻤﻄﻠﺐ ﺍﻟﻬﺎﺷﻤﻲ Muhammad bin 'Abd Allāh bin 'Abd al-Muţţalib al-Hāshimī )anaaminika katika dini ya Uislamu kuwa ni mtume wa mwisho wa Mungu ( Allah ) kwa binadamu.

Utoto wake
Muhammad alizaliwa yatima kwani baba yake alifariki kabla yeye hajazaliwa.Hakuishi sana na
mama yake (Amina), kwa kuwa naye alifariki dunia Muhammad akiwa na umri wa miaka sita.Baadaye akachukuliwa na babu yake Abdul Muttalib na kuishi naye kwa muda wa miaka miwili, kisha babu yake naye akafariki.Kazi ya kumlea Muhammad ilimwangukia ami yake Abu Talib ambaye ndiye aliyeishi naye mpaka ukubwa na kumuoza na kumpa himaya!!!

Baada ya kuangalia historia fupi ya Muhammad tuangalie Hoja yetu kuu yenye utata!!

Muhammadi alipataje utume;

Muhammad s.a.w alipotimiza umri wa miaka 38kutokana na maisha magumu ,alihama toka nyumbani kwake, akahamia katika mapango(JABAL HIRA) yaliyokuwa hapo karibu na mji wa
Makka. Alipofikisha umri wa miaka 40 siku moja alitokewa na kiumbe ambacho Waislamu leo wanakiita Malaika Jibril.

Wahyi (ufunuo) uliokuja kwa Muhammad alisikia makengele,uso kuwa mwekundu,jasho kumtoka. Katika Bukhar, Hadithi na 2, Juzuu na 1,Al-Lu’lu Kitabu cha 3.Uk. Na.874 Hadithi na1505 “Hadithi ya Aisha r.a mama wa waumini amesema, kuwa Al Harith ibn Hisham r.a alimuuliza mtume wa Allah s.a.w ‘ Ewe mtume wa Allah hivi wahyi (ufunuo) hukujia vipi?’
mtume wa Allah s.a.w akajibu, “ Wakati mwingine hunijia kama mlio wa kengele, na aina hiyo ndiyo ngumu zaidi kwangu, inaondolewa hali hiyo kwangu wakati tayari
nimeshapata wahyi.

Na nyakati nyengine malaika anakuja kwangu akiwa katika mfano wa mtu, kwa hiyo ananieleza na ninayazingatia aliyoyasema.” Aisha r.a alisema , Na hakika nilimwona unamshukia wahyi siku ya baridi kali na ilipomuondoka halihiyo, paji lake la uso lilichuruzika jasho.”

Qurani 53:2 – 6 Suratul Najm (Nyota) “Kwamba
mtu wenu huyu Nabii Muhamad (hakupotea kwa ujinga) na wala hakukosa (Na hali ya kuwa anajua). Wala hasemi kwa matamanio (ya nafsi yake). Hayakuwa haya (anayosema) ila ni wahyi (ufunuo) uliofunuliwa (kwake).Amemfundisha
(malaika) mwenye nguvu sana. Mwenye uweza na yeye (huyu Jibril) akalingana sawa sawa.

Ngoja tuendelee na mawaidha!!
Alipokuwa pangoni alichezewa na Shetani:Katika kitabu kiitwacho “ Wakeze Mtume Wakubwa Na Wanawe” kilichoandikwa na Sheikh Abdullah Saleh Al Farsy uk.12 tunasoma maneno haya “Basi Mtume akafanya hofu akarejea kwa mkewe akamhadithia; na pale pale homa kubwa kabisa ikampanda akataka afunikwe maguo.Mara akawa anatetemeka kwa nderema na anaweweseka na kusema “Najikhofia nafsi yangu kuchezewa na shetani na kuniharibu akili yangu na kunizuga”. Bibi Khadija palepale alimdakiza akamwambia;
“ Wacha hayo; Siyo yatakayokuwa hayo. Wewe huwezi kuchezewa na mashetani. Shetani hawezi kumchezea mtu mwenye sifa zako. Wewe unatazama vyema jamaa zako, unachukuwa mizigo ya hata watu
wasiokuwa wako, unawadhihirishia watu sifa zako nzuri ambazo hakuna mwenye nazo Unafanya hivi na unafanya hivi. Furahi ndugu yangu. Tua moyo wako, Wallahi! Mimi naona
umekwishakuwa mtume”.

Katika tukio hili lililompata Muhammad akiwa pangoni , ndipo Waislamu wote ulimwenguni wanapolieleza kuwa hapo ndipo Muhammad s.a.w alipoletewa wahyi (ufunuo) na kupewa
unabii na utume.
Lakini unapotafakari juu ya ujumbe huo utaona kuwa hata yeye mwenyewe hajui nini kilichokuwa kimemtokea kule pangoni. Ndiyo maana tunasoma kuwa alipofika nyumbani kwake mkewe Bi.Kadija akamwuliza nini kimekutokea?
Muhammad alimweleza mkewe kilichomtokea kuwa ni “Shetani” hakumsema malaika yeyote kama Waislamu wanavyotaka kutuaminisha leo.
Kwa sababu kama angekuwa ametokewa na Malaika, Huyo Malaika angejitambilisha kwake kama tunavyosoma ndani ya Biblia ,asingesita kujitambulisha kwa Muhammad kuwa yeye ni nani. Hii ni hoja ya kwanza.

Hoja ya pili, tunaona kuna mtu anaitwa Waraqah ibn Naufal, binamu yake na mke wa Muhammad s.a.w Bi Khadija. Yeye Waraqah anamwambia Muhammad huyo aliyekutokea ni malaika Jibril. Basi jibashirie kuwa wewe ni mtume umma huu huu !!!!! Je alikuweko pangoni wakati Muhammad s.a.w akitokewa na kiumbe asichokijua?.

Hoja ya tatu tunaona hata huyo mkewe Muhammad anamwambia mumewe utume huo !!!!!!! Je na yeye alikuweko pangoni?Kama hakuweko ni nani aliyemwambia kuwa yule ni
malaika Jibril ikiwa Muhammad mwenyewe aliyetokewa alisema nimetokewa na Shetani?Tafakari

Katika kitabu kiitwacho Tafsir Al-Kashif, cha Muhammad Jawad Mughniyyah, uk74 paragrafu ya 7 inasomeka“ Hakuna njia ya kumjua Iblis,Shetani na Jini, isipokuwa kwa njia ya wahyi(ufunuo) tu” Qurani Suratul Sad 38:69 Muhammad amenukuliwa akisema “Sikuwa na ilimu ya viumbe watukufu(Malaika)…

Kwa sababu ya Muhammad s.a.w kutowajua malaika kwake yeye anasema unapomwona
punda akilia basi kamwona Shetani.
Katika Kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu, Juzuu 3-4
Hadith 789 uk 38 “ Punda akilia kamwona Shatani”
Jambo hilo ni tofauti na jinsi Biblia Takatifu inavyoeleza kuhusu punda. Mungu anaweza kumtumia hata punda kuongea na wanadamu ili kuwajulisha ujumbe wake.

Katika kitabu cha Hesabu 22:22-31 tunasoma habari ya Balaamu jinsi Mungu alivyomtumia punda kumwambia. Balaamu asiendelee na safari yake , baada ya punda huyo kumwona malaika wa Bwana akiwa ameshika upanga na amesimama mbele yao akiwa amezuia njia aliyotakiwa kupita.
Punda alimwambia Balaamu ule msitari wa 30-31 “
Yule punda akamwambia Balaamu, Je mimi si punda wako, nawe umenipanda maisha yako
yote hata leo? Nimezoea kukutenda hayo? Akasema La!. Ndipo Bwana akafunua macho ya Balaamu, akamwona malaika wa BWANA
amesimama njiani, ana upanga mkononi mwake, umekwisha kufutwa; naye akainama kichwa, akaanguka kifudufudi”
Inaonekana kwa tukio hili lililomtokea Balaamu,Mungu alimfunua macho yake akamwona malaika.

Lakini kwa Muhammad yeye anachokiona ni Shetani tu. Na ndiyo maana anasema punda akilia amemwona Shetani Kwa hiyo kama ufunuo wa Muhammad unaanza na Shetani kama vitabu sahihi vya dini ya Kiislamu vinavyoeleza, kwa mujibu wa ufafanuzi wa kitabu hicho cha Tafsir Al Kashif, inaonesha kwamba ufunuo, unabii na hata utume wa Muhammad una walakini mkubwa ukilinganisha na ujumbe wa manabii na mitume waliotajwa ndani ya Biblia Takatifu. Katika Biblia shetani ametajwa kuwa anaweza kujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru.

2 Wakorintho 11:13-15 “Maana watu kama hao ni mitume wa uongo, watendao kazi kwa hila wanaojigeuza wawe mfano wa mitume wa Kristo. Wala si ajabu, maana shetani mwenyewe
hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru. Basi si neno kubwa watumishi wake nao wakajigeuza wawe mfano wa watumishi wa haki, ambao mwisho wao utakuwa sawasawa na kazi zao”.

Muhammad akiwa Medina aliulizwa na Wayahudi ikiwa ufunuo wake umetoka kwa Mungu wa Kweli kwa kumtaka atoe sifa za manabii. Akijibu swali hilo alisema:
Mkweli Mwaminifu Juzuu 3-4 Uk.63.Hadithi Na. 880. “Kasema Mtume (s.a.w):- (Mambo) manne ya sheria za mitume (Kuwa na) na haya,na kujipaka mafuta mazuri,na kuowa (wake),na
kupiga mswaki.
Hizi si sifa za Ki-Mungu kwa nabii na mtume bali ni za kibinadamu tu.
Manabii na watu mbalimbali katika Biblia hawakuona haya. Soma Isaya 50:7 “ Maana Bwana MUNGU atanisaidia; kwa sababu hiyo
sikutahayari, kwa sababu hiyo nimeukaza uso
wangu kama gumegume, nami najua ya kuwa
sitaona haya”. Zaburi 34:5 “ Wakamwelekea
macho wakatiwa nuru, Wala nyuso zao
hazitaona haya” Zab 119:46 “

Nitazinena shuhuda zako mbele ya wafalme, Wala sitaona aibu” Warumi 1:16 “ Kwa maana siionei haya Injili; kwa sababu ni uweza wa Mungu uuletao wokovu, kwa kila aaminiye kwa Myahudi kwanza , na kwa Myunani pia” 1Petro 4:16 “
Lakini ikiwa kwa sababu ni Mkristo asione haya, bali
amtukuze Mungu katika jina hilo.

Zaidi ya hayo tunaona Muhammad alirogwa. Kurogwa ni hali ya mtu kuathirika na nguvu za
giza yaani uchawi.. Je nabii au mtume wa Mwenyezi Mungu wa Kweli anaweza kurogwa?

Katika Qur’an Suratul Ban-Israel, 17:47 “Tunajua sana, sababu wanayosikiliza, nawanaponong’ona, wanaposema hao madhalimu.Nyinyi hamfuati isipokuwa mtu aliyerogwa”
Pia katika Suratul Falaq, 113:1-5 “ Ninajikinga kwa mola wa ulimwengu wote na shari ya Alivyoviumba, na shari ya giza la usiku liingiapo, na shari ya wale wanaopulizia (vivia)
mafundoni (wakavunja) mashikamano yaliyo baina ya watu yaani shari ya mafatani, Na shari ya hasidi anapohusudu” Tunasoma tukio hilo katika ufafanuzi wake
uliyomo ndani ya Qur’an chapa ya nane uk.977unaofafanua Sura ya 113-114 “Athari ya uchawi juu ya mtume (s.a.w).

Swali la pili lijitokezalo
kuhusu sura mbili hizi ni kwamba kwa mujibu wa hadithi uchawi ulifanywa dhidi ya mtume(s.a.w) naye akawa mgonjwa, na ili kuiondoa athari hiyo ya uchawi Jibril (a.s) alikuja na
kumpa maelekezo Mtume (s.a.w) ya kusoma sura mbili hizi.

Watafiti wengi zamani na wa sasa wamelifanyia upinzani jambo hilo, kwamba ikiwa hadithi zitakubaliwa, basi mfumo wote wa sharia utakuwa ni wa kutiliwa shaka, kwa sababu kama mtume (s.a.w) aliweza kuathirika kwa uchawi, na kwa mujibu wa hadithi hizi kweli uchawi huo ulionesha athari yake, basi hatuwezi kukaidi au kukana hadi kiwango gani maadui waliweza kumfanya Mtume (s.a.w)aseme na atende mambo kwa nguvu ya uchawi,na katika mafundisho yake mambo mangapi
yatoka kwa Allah na mangapi yatokana na athari ya uchawi juu yake.
Si hiyo tu, bali pia wasema kuwa baada ya kuyatambua hayo kuwa ni kweli katu haitawezekana hata kule kukaidi kuwa (s.a.w) alishawishiwa kudai utume kwa mauzauza ya kinjozi kuwa alimjia malaika.

Pia wanasema hadithi hizi zapingana na Qur’an, na kama ilivyo katika Qur’an kuwa tuhuma hiyo batili kwa makafiri ilivyotajwa kuwa mtume s.a.w amerogwa naye ameathirika na uchawi: wanaposema hao madhalimu, ‘Ninyi hamumfuati isipokuwa mtu aliyerogwa’.” (17:47), lakini hadithi hizi zinathibitisha madai ya makafiri kuwa kwa kweli aliathirika na kuongozwa na uchawi……

Kadri historia inavyohusika,ukweli kuwa kiasi fulani cha athari ya uchawi juu ya Mtume (s.a.w) ni hakika iliyothibiti; na kama kwa ustadi wa ubishi inawezekana kuthibitisha kuwa
kweli.Limesimuliwa jambo hilo na Bukhari,Muslim, Nasai, Ibn Majah, Ahmad, ‘Abdur Razzaq, Humaid, Baihaqi, Tabarani, Ibn Sa’d,Ibn Marduyah, Ibn Abi Shaibah, Hakim, Abd bin Humaid na Muhadithina wengine toka kwa Bi.‘Aisha (r.a), Zaid bin Arqam, Ibn ‘Abbas kupitia silsila nyingi mno kiasi kwamba jambo lenyewe limefikia hali ya ufululizo kamili, isipokuwa kila Hadithi, yenyewe ni ripoti kamili.

Hii ni uthibitisho mwingine mzito unaoonesha kuwa utume wa Muhammad una utata. Ikiwa na wao Waislamu kwa mujibu wa hadithi hizi hawajui ni mambo mangapi Muhammad
aliyoyasema yanatoka kwa Allah na mangapi aliyasema akiwa ameshinikizwa na wachawi ,
Je ufunuo na utume wake utakuwa umetoka kwa Mungu wa Kweli? Tafakari !!Ndani ya Biblia Takatifu hakuna kurogwa kwa mtu wa Mungu.

3Hesabu 23:23 “ Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israel. Sasa habari za Yakobo na Israel zitasemwa , Ni mambo gani aliyoyatenda
Mungu!” Kwa mujibu wa kitabu cha Biblia Takatifu,
manabii na mitume wa kweli wa Bwana Mungu wanatoka katika taifa la Israel.

Kitabu cha Ezekiel 13:9 “ Na mkono wangu utakuwa juu ya manabii wanaoona ubatili, na
kutabiri uongo;hawatakuwa katika mashauri ya watu wangu, wala hawataandikwa katika
maandiko ya nyumba ya Israel, wala hawataingia katika nchi ya Israel; Nanyi mtajua ya kuwa mimi ndimi Bwana MUNGU” .Pia kwa mujibu wa kitabu cha Qur’an manabii na mitume ni lazima watoke kwa Yakobo ambaye ni mtoto wa Is-haqa ambaye naye ni mtoto wa Ibrahim.

Qur’an Suratul Al-Ankabuut,(Buibui), 29:27 “ Na tulimpa (kumzaa nabii) Is-haqa na (kumjukuu nabii) Yakubu na tukauweka katika kizazi chake unabii na (kupata) kitabu,na tukampa ujira wake katika dunia; naye katika akhera kwa yakini atakuwa miongoni mwa watu wema”.

Aya hii, inaendelea kusisitiza kuwa ni kupitia kizazi cha Yakobo ndiko uliko unabii na kupata kitabu. Kwa bahati mbaya Muhammad ibn Abdullah, hatoki katika kizazi hicho wala kwa
Ishmael kama wanavyodai Waislamu . Kwa sababu Ishmael ni Mwebrania kama baba yake mzee Ibrahim alivyo Mwebrania (Mwanzo 14:13)na Muhammad ni mwarabu kutoka kabila la Maqureysh.
Kwa kutambua hilo ndipo tunamwona Muhammad akiwaonya watu
wengine wajiepushe na watu wa kabila lake.
Sahih Al-Bukhari Vol.1.Hadithi Na. 801 na Al-Lu’lu Kitabu cha 3. Uk.1089.Hadithi Na.1846inasomeka“Hadithi ya Abu Huraira (r.a)amesema ,“Mtume wa Allah (s.a.w)
amesema,Kabila hili la Makuraish litawateketeza watu.’ Wakauliza, ‘Unatushauri
nini?’ Akasema, Nashauri watu wajitenge nalo.”

Kumzamisha nzi kwenye kinywaji
Bukhar vol. 4 Hadith 537 “ Narrated Abu
Huraira: The Prophet said: If a house fly falls in the drink of any one of you, he should dip it (in the drink) for one of its wings has a disease and the other has the cure for the disease”
Tafsiri: Ilisimuliwa na Abu Huraira: Nabii alisema kama nzi akiangukia ndani ya kinywaji cha mmoja wenu, anapaswa kumzamisha kabisa (ndani ya kinywaji) kwa kuwa bawa lake moja lina ugonjwa na bawa lake jingine lina dawa Mitume wa Yesu ndani ya Biblia Takatifu walikwisha kutuonya kuhusu uchafu huo. Katika 2 Kor 7:1 “Basi, wapenzi wangu, kwa kuwa tuna ahadi hizo, na tujitakase nafsi zetu na uchafu wote wa mwili na roho, huku tukitimiza utakatifu katika kumcha Mungu”

Miongoni mwa mafundisho ya Muhammad ni kwamba kuna mambo kumi yanayokamilisha Uislamu nayo tunayasoma katika kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu , Kilichoandikwa
na Sheikh Said Moosa Al-Kindy wa Muscut,Juzuu 3-4 Uk 63.Hadithi Na.880 “ Kasema Mtume (s.a.w) (Mambo) kumi ya Uislamu (yanayokamilisha Uislamu):Kukata
masharubu,na kuziweka ndevu,nakuziweka ndevu (kutozinyoa) ndevu,na kupiga mswaki,kusafisha ndani ya pua kwa maji,na kukata kucha,kuosha mikono baina ya vidole,na kung’oa (au kunyoa) nywele za kwapani,na kunyoa nywele za mbeleni (mavuzi),na upungufu wa maji. La kumi,kasema sahaba aliepokea hadithi hii kuwa nimesahau,lakini
kasema bila shaka la kumi ni “kutahiriwa.”

Kwa mujibu wa Biblia manabii na mitume
wanathibitishwa kwa njia ya miujiza.
Kutoka 14:21” Musa akanyosha mkono wake juu ya bahari,BWANA akaifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wa nguvu utokao mashariki,usiku kucha,akaifanya bahari kuwa nchi kavu”.

Matendo 19:11-12 “Mungu alifanya kwa mikono ya Paulo miujiza ya kupita kawaida . Hata wagonjwa wakaletewa leso na nguo zilizotoka mwilini mwake magonjwa yao yakawaondokea,
pepo wachafu wakawatoka”. Tazama pia Matendo 16:16-18, 20:7-12 na Matendo13:6-12.

Qur’an nayo inathibitisha kuwa manabii na
mitume ni lazima wafanye miujiza.
Qurani 40:78 Suratul Al-Muumini [Waumini]
inasomeka “Na kwa yakini tumewatuma mitume kabla yako wengime katika wao tumekusimulia(majina yao na habari zao) na wengine hatukukusimulia na haikuwa kwa mtume yoyote kuleta muujiza wowote ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu”
Muhammad hakupewa kufanya muujiza wowote ili kuthibitisha madai ya unabii na utume wake.

Qur’an 29:50 Suratul Al-Ankabuut (Buibui). “Na walisema “Mbona hakuteremshiwa miujiza kutoka kwa Mola wake? Sema miujiza iko kwa Mwenyezi Mungu tu (akitaka atakuteremshieni
na kama hataki basi),nami hakika ni mwonyaji
mbainishaji (dhahiri tu).”

(Taz.Qur,an6:35-3713:7,)Katika Qur’an iko aya ambayo tunapaswa tuitafakari wote kwa pamoja.Katika Surat An-Nisaa, (wanawake), 4:79 “Wema uliokufikia unatoka kwa Mwenyezi Mungu na ubaya uliokufikia unatoka nafsini mwako, mwenyewe umefanya mambo hata yakakufika hayo. Nasi tumekupeleka kwa watu kuwa mtume na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha (hapaitajiwi shahidi mwingine)”Aya hii inaonesha kuwa Muhammad mtume wa Waislamu, alipelekwa kwa watu kuwa mtume,huku Mwenyezi Mungu akiwa shahidi tu. Siku zote shahidi si mtendaji bali ni mwonaji tu wa
tendo lililotendeka.Hoja yetu tungependa kuwajua hao watu waliompeleka Muhammad kwa watu ni akina nani?.

Kwa sababu tumeona kule nyuma baada ya Muhammad kutoka pangoni, mkewe Bi. Khadija anamwambia
Muhammad kuwa “utume huo!!!!!!! Na Bwana Waraqah ibn Naufal akimwambia Muhammad kuwa “ basi jibashirie kuwa wewe ni mtume wa umma huu” kabla ya Qur’an .Je hao si wale
“Nasi tumekupeleka” wanaotajwa kwenye aya hiyo hapo juu? Tafakari!! .

Waislamu hudai kuwa Muhammad ametumwa
na Mwenyezi Mungu wao, ambaye ni Mfalme wa
Wafalme .KAULI HII INAUPA MOYO WANGU UKAKASI
Lakini tusomapo Biblia Takatifu katika kitabu cha Ufunuo 17:14 “ Hawa watafanya vita na Mwanakondoo, na Mwanakondoo atawashinda, kwa maana Yeye ni Bwana wa Mabwana, na Mfalme wa Wafalme;na hao walio pamoja naye ndiyo walioitwa na wateule, na waaminifu” Katika Ufunuo 19:11-16 “ Kisha nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama, farasi mweupe,na yeye aliyempanda, aitwaye Mwaminifu na Wa-kweli, naye kwa haki ahukumu na kufanya vita. Na macho yake yalikuwa kama mwali wa moto, na juu ya kichwa chake vilemba vingi; naye ana jina lililoandikwa, asilolijua mtu ila yeye mwenyewe. Naye amevikwa vazi lililochovywa katika damu, na jina lake aitwa Neno la Mungu. Na majeshi yaliyo mbinguni wakamfuata, wamepanda farasi weupe na kuvikwa kitani nzuri, nyeupe, safi. Na upanga mkali hutoka kinywani mwake ili awapige mataifa kwa huo. Naye atawachunga kwa fimbo ya chuma, naye anakanyaga shinikizo la mvinyo ya ghadhabu ya hasira ya Mungu Mwenyezi.

Naye ana jina limeandikwa katika vazi lake na
paja lake, MFALME WA WAFALME NA BWANA
WA MABWANA “Yesu Kristo ndiye Mfalme wa Wafalme na Bwana wa Mabwana.Lakini tunaposoma Hadithi sahihi za Kiislamu zinaeleza kuwa adui mkubwa wa Allah (s.w) Mungu wanayemwabudu Waislamu, ni yule anayeitwa Mfalme wa
Wafalme.

Sahih Al- Bukhari, Vol.8.Hadithi Na.225, Al-Lu’lu Wal-marjan,Juzuu ya 3,Hadithi Na.1385
“Hadithi ya Abu Huraira (r.a) amesema,Mtume wa Allah (s.a.w) amesema,”Majina yaliyo dhalili
mno na mabaya mbele za Allah ni mtu kujiita,Malikil-Amlaak (Mfalme wa Wafalme).”

Hivyo, ufunuo aliopokea Muhammad, ambao anatutaka na sisi Wakristo tuuamini haujatoka kwa Mungu tunayemwamini sisi Wakristo, yaani,Yesu Kristo.Bali kama alivyonukuliwa katika
vitabu vya Kiislamu, unatokana na kuchezewa na Shetani, na kwa sababu hiyo kwetu anakuwa nabii na mtume wa uongo’Biblia Takatifu imetuonya kuwachunguza
mitume na manabii.

Katika kitabu cha Ufunuo2:1-2 “ Kwa malaika wa kanisa lililoko Efeso andika; Haya ndiyo anenayo yeye azishikaye hizo nyota saba katika mkono wake wa kuume,yeye aendaye katikati ya vile vinara saba vya dhahabu.

Nayajua matendo yako, na taabu yako, na subira yako, na ya kuwa huwezi kuchukuliana na watu wabaya, tena umewajaribu wale wajiitao mitume, nao siyo ukawaona kuwa waongo”Kwa mujibu wa aya hizi Muhammad s.a.w hastahili kuitwa nabii na mtume wa Mungu wa Kweli, bali anaangukia katika kundi la manabii na mitume wa uongo. Hatufai.

Moyo wangu unapata ukakasi napoona waislam wanaendelea kumuamini mtume Huyu!!

Ndugu Zangu waislam bado mnaendelea kumfuataa mtume huyu ambaye Hana sifa za kitume???

Naomba kumalizia kwa kutaka kifungu toka kwenye Quran kinachosema "Mimi allah nimempa utume Muhammad na kama kipo leo naretard na nitaitwa Shehe Ramadhani
Sijaisoma yote ni ndefu lakini,bado hujatoa ushahidi kuwa alikuwa anapata wahyi kutoka kwa shetani.
Pia,Unashangaaje kurogwa kwa Mtume wa Allah wakati wewe "mungu wako" alitembezewa kichapo na wanadamu mnaodai kuwa aliwaumba yeye mwenyewe,wakamtembeza uchi na wakamuua,wakamfanyia kila dhihaka na wakamuua kifo kibaya.
Kuhusu aya inayoonyesha kuwa Muhammad ni Mtume wa Allah ni ;
مَّا كَانَ مُحَمَّدٌ أَبَآ أَحَدٍۢ مِّن رِّجَالِكُمْ وَلَٰكِن رَّسُولَ ٱللَّهِ وَخَاتَمَ ٱلنَّبِيِّۦنَ
"Muhammad si baba wa yeyote miongoni mwa wanaume wenu, bali ni Mtume wa Allaah na mwisho wa Manabii."

Pia,wewe nipatie mstari wa biblia ambao yesu anasema yeye ni mungu.
 
Kusema Muhammad ni uzao wa Ishmael ni moja ya uongo mkubwa na propaganda kubwa iliyoenezwa

Propaganda hii lengo ni kujinasibisha na manabii,mitume wa kiyahudi ili uislamu upate uhalali

Muhammad mwenyewe alikataa kuwa hatokani na nasaba ya Ishmael,

Nukuu ya Hadithi 1

“Nasaba yangu ni ya kweli hadi al-Nather bin Kinaneh. Kila mtu atakayeongeza mababu yangu zaidi ya hayo, ameongea uongo.”
(Hii nukuu inatolewa na baadhi ya waandishi wa kale kama Amru bin al-As, na inachukuliwa kama ushuhuda wa Aisha na Ibn Abbas kwamba Mtume (SAW) alihakikisha kwamba haikujaa nasaba zisizothibitishwa.)

Nukuu ya Hadithi 2

“Usitafute nasaba yangu hadi kabla ya Maʿad, maana katika hilo uko uongo. Nilifanya nasaba yangu kuwa wazi mpaka al-Nather bin Kinaneh, na si zaidi.”
(Hii inatumika kuelezea kuwa Mtume (SAW) aliruhusu tu kuandikwa kwa mababu yake hadi kiwango ambacho walijua na kuthibitishwa, na akatikisha majaribio ya kuunganisha nasaba yake hadi Ishamael au mababu ya mbali.)

UKIONA MTU ANAONGEA KWA UHAKIKA KABISA KUWA MUHAMMAD NI UZAO WA ISHAMAEL HUYO NI MZUSHI NA ANAMZUSHIA UONGO MUHAMMAD
Kama kawaida na hadithi zako za uongo.
Halafu ni za Shia hizo.
 
Kumbe ndo maana!
Shia sio Waislamu ni kama wewe tu
Wewe una mandate ipi ya kuwaita Shia sio waislamu?

Uislamu una madhehebu zaidi ya 70

Wewe aliyekwambia sunni ni WAKWELI wengine waongo nani?
 
Kumbe ndo maana!
Shia sio Waislamu ni kama wewe tu
SHIA SUNNI NA IBADHI SOMENI LOGIC (منطق)ITAWASAIDIA:

Mashia wanafuata na Kuamini Vitabu vyao walivoandikiwa na Wanachuoni wao na kwa kupitia Vitabu hivyo wanavyoviamini wameambiwa kuwa Abubakar Umar na Uthman ni Watu wabaya sana.

Masunni nao wanafuata na Kuamini Vitabu vya Wanachuoni wao na kupitia Vitabu hivyo wanavoviamini wameambiwa kuwa Abubakar Umar na Uthman ni Watu watukufu Sana mpaka wamebashiriwa pepo wakiwa Hai.

Kwahivo hapa kuna Kauli Mbili zenye Kugongana hapa.

1:Abubakar Umar na Uthman ni Watu
waovu sana.
2:Abubakar Umar na Uthman ni Watu Watukufu sana.

KWAHIYO USISEME MWENZAKO KAPOTEA ,NA YEYE ANAKUONA HIVO HIVO
 
Wewe una mandate ipi ya kuwaita Shia sio waislamu?

Uislamu una madhehebu zaidi ya 70

Wewe aliyekwambia sunni ni WAKWELI wengine waongo nani?
Sasa wewe unataka kujua kina nani ni wa kweli wakati we unaamini dini yote si ya kweli
 
Back
Top Bottom