Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Hili ndio imani lako , kwa kuwa umeshindwa kutoa uthibitisho, kwa mantiki hiyo hakuna atakaye kulazimisha uamini kuwa hakuna Mungu.

Ulichobakiwa ni ubinafsi wa kihoja , na upotoshaji.
UTANISHAWISHI NINI NIAMINI KITABU CHA UONGO QURAN CHENYE SURA ZA MAJINI?

HEBU ONA BIBLIA ILIVYO EXACTY,JINSI MANABII WA MUNGU WA KWELI WASIVYO NA MBAMBAMBA


Unabii wa Isaya kuhusu Wayahudi kurejea kutoka uhamishoni

Andiko: Isaya 11:11-12: "Itakuwa siku hiyo ya kwamba Bwana atarejea tena kwa mkono wake wa pili, ili kuwaokoa watu wake waliobaki, kutoka Ashuru, Misri, Patros, Kushi, Elamu, Shinari, Hamat na visiwa vya bahari. Atainua bendera kwa mataifa, na kukusanya watu wa Israeli waliotawanyika, na kutawanya Wayahudi kutoka katika pembe nne za dunia."

Utimilifu: Unabii huu unahusu kurejea kwa Wayahudi kutoka uhamishoni. Huu ni utimilifu ulio wazi hasa kuhusiana na Kurudi kwa Wayahudi kwa Ardhi ya Israel baada ya karne nyingi za uhamisho na kutawanyika kwao kote ulimwenguni.

Ushahidi wa Historia: Wayahudi walirudi kutoka katika uhamisho wao wa Babiloni kwa muda wa miaka mingi, lakini kurudi kwao kama taifa tena kuliingia katika utimilifu wake hasa baada ya 1948, wakati taifa la Israel lilipotangazwa kuwa taifa huru. Hii ni baada ya zaidi ya miaka 2,000 ya kutawanyika kwao.
 
HALAFU LEO MTU KASHIBA BIRIANI ANANIAMBIA NIIAMINI QURANI😂😂

ONA MFANO HUU 👇

Unabii wa Isaya kuhusu Mtoto atakayezaliwa (Yesu Kristo)

Andiko: Isaya 7:14: "Kwa hiyo Bwana mwenyewe atawapa ishara: tazama, bikira atapata mimba, atajifungua mtoto mwanaume, na kumwita jina lake Immanuel."

Utimilifu: Unabii huu unahusu kuzaliwa kwa Yesu Kristo, ambaye alizaliwa na Bikira Maria, kama ilivyotabiriwa.

Ushahidi wa Historia: Unabii huu ulitimia katika Mathayo 1:23, ambapo Yesu alizaliwa na Maria, ambaye alikuwa bikira. Yesu alikua "Immanuel," maana yake "Mungu pamoja nasi."
Nithibitishie kuwa yesu ni mungu aliye mtoto wa mungu
 
UTANISHAWISHI NINI NIAMINI KITABU CHA UONGO QURAN CHENYE SURA ZA MAJINI?

HEBU ONA BIBLIA ILIVYO EXACTY,JINSI MANABII WA MUNGU WA KWELI WASIVYO NA MBAMBAMBA


Unabii wa Isaya kuhusu Wayahudi kurejea kutoka uhamishoni

Andiko: Isaya 11:11-12: "Itakuwa siku hiyo ya kwamba Bwana atarejea tena kwa mkono wake wa pili, ili kuwaokoa watu wake waliobaki, kutoka Ashuru, Misri, Patros, Kushi, Elamu, Shinari, Hamat na visiwa vya bahari. Atainua bendera kwa mataifa, na kukusanya watu wa Israeli waliotawanyika, na kutawanya Wayahudi kutoka katika pembe nne za dunia."

Utimilifu: Unabii huu unahusu kurejea kwa Wayahudi kutoka uhamishoni. Huu ni utimilifu ulio wazi hasa kuhusiana na Kurudi kwa Wayahudi kwa Ardhi ya Israel baada ya karne nyingi za uhamisho na kutawanyika kwao kote ulimwenguni.

Ushahidi wa Historia: Wayahudi walirudi kutoka katika uhamisho wao wa Babiloni kwa muda wa miaka mingi, lakini kurudi kwao kama taifa tena kuliingia katika utimilifu wake hasa baada ya 1948, wakati taifa la Israel lilipotangazwa kuwa taifa huru. Hii ni baada ya zaidi ya miaka 2,000 ya kutawanyika kwao.
Zungumzia jinsi inavyokinzana na historia kama nilivyotaja mimi
 
Nithibitishie kuwa yesu ni mungu aliye mtoto wa mungu
NIACHE KUMSIKILIZA NABII WA MUNGU,NIKUSIKILIZE WEWE MLA BIRIANI NA NABII WA UONGO MUDI

Unabii wa Zekaria kuhusu kumwaga damu ya Yesu

Andiko: Zekaria 12:10: "Nami nitamimilia nyumba ya Daudi na wakaaji wa Yerusalemu roho ya neema na ya dua, nao watamtazama yule waliyempiga, na kumlilia kama alivyo mlilia mwana pekee, na kutokwa na machozi kama alivyo tumia mpenzi wake."

Utimilifu: Huu ni unabii kuhusu maumivu ya Yesu Kristo wakati wa kuteswa na kuuawa msalabani.

Ushahidi wa Historia: Unabii huu ulitimia wakati Yesu Kristo alikufa msalabani kwa ajili ya dhambi za ulimwengu, na alisulubiwa na Wayahudi na Waroma. Hii ilikamilika katika Yohana 19:37, ambapo Zekaria alitabiri kumwita Yesu "mteule."
 
Hi
NAONA HUJUI HATA QURAN WALIOIANDIKA NI WALEVI

SIO MANENO YANGU

Ukweli ukoje kuhusu kitabu hiki.


Kitabu cha maisha ya Nabii muhammad. Kinatuelezea kuhusu waandishi wa hiyo Qur'an. Uk.8


Mtu wa awali aliyejifundisha kusoma na kuandika katika mji wa maka alikuwa Bwana Harb bin Ummayya_ babu yake Bwana Muawiya. Alijifunza kwa watu wa yamen na yeye akaja kuwafundisha waliotaka katika mji wa maka. Wakati Mtume alipopata Utme walikuwako watu 6 tu katika makka waliokuwa akijua kuandika. 4 katika hao waliingia katika Uislam, wakawa ndio waandikaji "Wahy" (Aya za Qur'an ). Watu hao alikuwa ni

Sayyidna Abubakr.
Sayyidna umar.
Sayyidna Uthman na
sayyidna Ali.


Hawa jamaa ndio maswahaba wa muhammad na nio walio andika hiyo qur'an

Lakini wandishi hawa walikuwa na hali gani?


Maidah 5:93
fafanuzi mwandishi anatupasha habari


93. Aya hizi za kukataza ulevi kwa tashidd hii zimeteremka mwaka wa sita wa Al-jra baada ya kuwa masaba wengi wamekufa na hali ya kuwa wakilewa.
Huyu jamaa naye alipoona kuna kasoro za kilevi akaisahihisha.


Na Shekh Abdullah saleh akaipitia tena tafsiri yake yote nzima kabla ya kutabiishwa chapa ya pili akaongeza ya akasafisha yakusafisha kwa mwisho wa jitihada yake ili iwe na nafuu kubwa na kusahihika kabisa. Lakini kinacho kinachofanywa na Mwanaadam hata kikitengenezwa vipi muhali kusalimika na makosa.
Kumbe quran inamakosa meng
Hii sura gani mzee.
Ndo, maana kuna hoja inasema ikiwa mtu hajui kusoma, basi tutafute mwingine ambaye hajui kusoma kabsa, atuandalie kitabu chake mwenyewe kama itawezekana.

Na huenda hujiulizi , kwa namna gani waislamu wanakuwa wanahifadhi quran yote.
Na kama maswahaba , ndio waliandika quran je wao walijifunzia wapi?
Na kwa nini quran inaaminika , ni ya kipekee haina matabaka tabaka nikimaanisha ni kitabu ni kile kimoja , hakina tofauti yoyote.

Kwa kuokoteza mitandaoni unaweza ila ukiambiwa leta hoja , unabwabwaja tu.
 
NIACHE KUMSIKILIZA NABII WA MUNGU,NIKUSIKILIZE WEWE MLA BIRIANI NA NABII WA UONGO MUDI

Unabii wa Zekaria kuhusu kumwaga damu ya Yesu

Andiko: Zekaria 12:10: "Nami nitamimilia nyumba ya Daudi na wakaaji wa Yerusalemu roho ya neema na ya dua, nao watamtazama yule waliyempiga, na kumlilia kama alivyo mlilia mwana pekee, na kutokwa na machozi kama alivyo tumia mpenzi wake."

Utimilifu: Huu ni unabii kuhusu maumivu ya Yesu Kristo wakati wa kuteswa na kuuawa msalabani.

Ushahidi wa Historia: Unabii huu ulitimia wakati Yesu Kristo alikufa msalabani kwa ajili ya dhambi za ulimwengu, na alisulubiwa na Wayahudi na Waroma. Hii ilikamilika katika Yohana 19:37, ambapo Zekaria alitabiri kumwita Yesu "mteule.
Ndio ulichobakiwa, unachoamini wewe kuna mwingine anaamini , vingine.
Kwa ufupi umeshindwa vibaya mzee, bakia na imani lako , waislamu wabakie na imani lao, na kutoamini uwepo wa Mungu nayo ni sawa pia.
 
Msaidizi aliyetabiriwa na Yesu si mtume muhammad bali ni Roho Mtakatifu.
Propaganda Yao ili kujinasibisha na Uyahudi na Ukristo wakasingizia ni mudi

Yaani nabii wa uongo asiyeweza hata kufanya muujiza wowote eti ndiye alitabiriwa na Yesu 😂
 
NIACHE KUMSIKILIZA NABII WA MUNGU,NIKUSIKILIZE WEWE MLA BIRIANI NA NABII WA UONGO MUDI

Unabii wa Zekaria kuhusu kumwaga damu ya Yesu

Andiko: Zekaria 12:10: "Nami nitamimilia nyumba ya Daudi na wakaaji wa Yerusalemu roho ya neema na ya dua, nao watamtazama yule waliyempiga, na kumlilia kama alivyo mlilia mwana pekee, na kutokwa na machozi kama alivyo tumia mpenzi wake."

Utimilifu: Huu ni unabii kuhusu maumivu ya Yesu Kristo wakati wa kuteswa na kuuawa msalabani.

Ushahidi wa Historia: Unabii huu ulitimia wakati Yesu Kristo alikufa msalabani kwa ajili ya dhambi za ulimwengu, na alisulubiwa na Wayahudi na Waroma. Hii ilikamilika katika Yohana 19:37, ambapo Zekaria alitabiri kumwita Yesu "mteule."
Nimekwambia thibitisha kuwa alikuwa ni mungu aliye mtoto wa mungu
 
Uli

Ndio ulichobakiwa, unachoamini wewe kuna mwingine anaamini , vingine.
Kwa ufupi umeshindwa vibaya mzee, bakia na imani lako , waislamu wabakie na imani lao, na kutoamini uwepo wa Mungu nayo ni sawa pia.
HUNA HOJA BANA ,UTAMSHAWISHI NANI AMUAMINI NABII WA UONGO MUDI?


ONA MANABII WA MUNGU WA KWELI WANAVYOJIPAMBANUA

Unabii kuhusu Uharibifu wa Ninawi

Andiko: Nahumu 3:7: "Na wewe utakuwa aibu kwa watu wote, na yote watakuwa wa kushangilia, kwa sababu ya uovu wako; na watu watasema, hakutakuwa tena na wengine kama wewe."

Utimilifu / Historia: Ninawi, mji mkuu wa Ashuru, ulipokea hukumu ya uharibifu kutokana na uovu wake. Nahumu alitabiri kwamba Ninawi itaharibiwa, na kwa kweli, mji wa Ninawi ulitekwa na kuharibiwa kabisa na Wababuloni, Waemezi, na Wamakedi mwaka wa 612 KK. Mji haukurejeshwa tena kama mji mkuu wa Ashuru na haijawahi kuwa na hadhi tena.
images (1).jpeg
 
Inakinzana wapi ,sema huna historia ufundishwe
Umri wa Dunia – Mwanzo 1:1-31

Biblia: Kitabu cha Mwanzo kinaeleza kuwa dunia na viumbe vyote viliumbwa ndani ya siku sita, na binadamu waliumbwa siku ya sita.

Pingamizi la kihistoria:

Tafiti za kisayansi (kama theory of evolution na uchunguzi wa umri wa dunia kwa njia ya radiometric dating) zinaonyesha kuwa dunia ina umri wa takribani bilioni 4.5, na viumbe waliibuka taratibu kwa muda wa mamilioni ya miaka.

Ushahidi wa akiolojia unaonyesha kuwepo kwa binadamu wa kale waliokuwa hai zaidi ya miaka 200,000 iliyopita, kinyume na tafsiri ya Biblia inayosema binadamu waliumbwa hivi karibuni.

Gharika ya Nuhu – Mwanzo 6:9 – 8:22

Biblia: Inasema kuwa gharika ilifunika dunia nzima, na Nuhu aliingiza kila aina ya mnyama kwenye safina yake.

Pingamizi la kihistoria:

Hakuna ushahidi wa mafuriko yaliyofunika dunia nzima kwa wakati mmoja.

Ushahidi wa kijiolojia unaonyesha kuwa hakujawahi kutokea mafuriko ya ulimwengu wote

Ndege Walioumbwa Kabla ya Wanyama wa Ardhi – Mwanzo 1:20-25

Biblia: Inasema kuwa ndege waliumbwa kabla ya wanyama wa ardhini.

Pingamizi la kihistoria:

Tafiti za kisayansi zinaonyesha kuwa wanyama wa ardhini walikuja kabla ya ndege kulingana na rekodi za visukuku.

Ndege walitokana na dinosaur wa theropod, ambao waliishi baada ya wanyama wa ardhini.

Nyota Ziliumbwa Baada ya Dunia – Mwanzo 1:14-19

Biblia: Inasema kuwa dunia iliumbwa kabla ya nyota na jua.

Pingamizi la kihistoria:

Sayansi inaonyesha kuwa nyota na jua vilikuwepo mabilioni ya miaka kabla ya dunia kuundwa.

Dunia ni sehemu ya mfumo wa jua, kwa hiyo haiwezekani jua kuumbwa baadaye.
 
HUNA HOJA BANA ,UTAMSHAWISHI NANI AMUAMINI NABII WA UONGO MUDI?


ONA MANABII WA MUNGU WA KWELI WANAVYOJIPAMBANUA

Unabii kuhusu Uharibifu wa Ninawi

Andiko: Nahumu 3:7: "Na wewe utakuwa aibu kwa watu wote, na yote watakuwa wa kushangilia, kwa sababu ya uovu wako; na watu watasema, hakutakuwa tena na wengine kama wewe."

Utimilifu / Historia: Ninawi, mji mkuu wa Ashuru, ulipokea hukumu ya uharibifu kutokana na uovu wake. Nahumu alitabiri kwamba Ninawi itaharibiwa, na kwa kweli, mji wa Ninawi ulitekwa na kuharibiwa kabisa na Wababuloni, Waemezi, na Wamakedi mwaka wa 612 KK. Mji haukurejeshwa tena kama mji mkuu wa Ashuru na haijawahi kuwa na hadhi tena.View attachment 3261599
Hakuna anayekushawishi uamini, upande fulani.
Unakuwa na hoja lakini , uthibitisho hauna , kwa mantiki hiyo wewe ni mpotoshaji.
 
Propaganda Yao ili kujinasibisha na Uyahudi na Ukristo wakasingizia ni mudi

Yaani nabii wa uongo asiyeweza hata kufanya muujiza wowote eti ndiye alitabiriwa na Yesu 😂
na nilichogundua wanachukua kipande kidogo ili kupumbaza watu.
Msaidizi aliyetajwa na Yesu ambaye ni Roho Mtakatifu anasifa nyingi ambazo mtume wao hana hata moja.🤣 majanga sana.
 
Nitawainulia nabii kutoka miongoni mwa ndugu zao,
Hapa Biblia inazumgumzia Joshua, alikaimu nafasi ya Musa. Kuna manabii wengi sana walipita na hata hivyo Mohammed si ndugu wa Wana wa Israel. Biblia imesema muongoni mwa ndugu zao
 
Back
Top Bottom