hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 13,628
- 20,992
Kama huamini ,unataka uthibitisho wa nini sasaNa mimi nilikujibu siamini
Haya Zaburi unayoiamini Ipo wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama huamini ,unataka uthibitisho wa nini sasaNa mimi nilikujibu siamini
Mtume wenu na iyo Quran wasema imeandikwa miaka 20 baada ya kifo chake, hat hivyo maisha ya mtume wenu hayaonyeshi kua ni ya kufundisha au ya kuyafwata. Alikua watu wengi, alioa Binti mdogo, alikabwa na majini na mengine mengi yanafundishwa kwenye Quran ambayo si ya ku utu. Upande mwingine, Biblia imejawa na mafundisho ya upendo na tofauti kabisa na mafundisho ya kiislam. Hauwezi fananisha Wala onganisha Imani hizi mbiliMuhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) na Musa wote walikuwa manabii waliopokea sheria mpya na waliongoza jamii zao kwa mwongozo wa Mungu.
MPOTISHAJI NI MUDI ,Hakuna anayekushawishi uamini, upande fulani.
Unakuwa na hoja lakini , uthibitisho hauna , kwa mantiki hiyo wewe ni mpotoshaji.
Ngoja Nimsaidie Kujibu!Je wewe unaamini ni mtu mmoja mwenye MWILI,,NAFSI NA ROHO?? KWAMBA MWILI WAKO UNAWEZA KUWEKWA PEMBENI NA NAFSI YAKO IKAWEKWA PEMBENI NA ROHO YAKO IKAWEKWA PEMBENI?? Unaamini inawezekana.??
Umeweka hii Surah Al-Ma’idah 5:93 , nimefuatilia kile kilichoandikwa ni hikiNAONA HUJUI HATA QURAN WALIOIANDIKA NI WALEVI
SIO MANENO YANGU
Ukweli ukoje kuhusu kitabu hiki.
Kitabu cha maisha ya Nabii muhammad. Kinatuelezea kuhusu waandishi wa hiyo Qur'an. Uk.8
Mtu wa awali aliyejifundisha kusoma na kuandika katika mji wa maka alikuwa Bwana Harb bin Ummayya_ babu yake Bwana Muawiya. Alijifunza kwa watu wa yamen na yeye akaja kuwafundisha waliotaka katika mji wa maka. Wakati Mtume alipopata Utme walikuwako watu 6 tu katika makka waliokuwa akijua kuandika. 4 katika hao waliingia katika Uislam, wakawa ndio waandikaji "Wahy" (Aya za Qur'an ). Watu hao alikuwa ni
Sayyidna Abubakr.
Sayyidna umar.
Sayyidna Uthman na
sayyidna Ali.
Hawa jamaa ndio maswahaba wa muhammad na nio walio andika hiyo qur'an
Lakini wandishi hawa walikuwa na hali gani?
Maidah 5:93
fafanuzi mwandishi anatupasha habari
93. Aya hizi za kukataza ulevi kwa tashidd hii zimeteremka mwaka wa sita wa Al-jra baada ya kuwa masaba wengi wamekufa na hali ya kuwa wakilewa.
Huyu jamaa naye alipoona kuna kasoro za kilevi akaisahihisha.
Na Shekh Abdullah saleh akaipitia tena tafsiri yake yote nzima kabla ya kutabiishwa chapa ya pili akaongeza ya akasafisha yakusafisha kwa mwisho wa jitihada yake ili iwe na nafuu kubwa na kusahihika kabisa. Lakini kinacho kinachofanywa na Mwanaadam hata kikitengenezwa vipi muhali kusalimika na makosa.
Kumbe quran inamakosa meng
Hiyo Aya ilishuka sababu ya hao WaleviUmeweka hii Surah Al-Ma’idah 5:93 , nimefuatilia kile kilichoandikwa ni hiki
Surah Al-Ma'idah 5:90, inayosema:
"Enyi mlioamini! Bila shaka ulevi, kamari, masanamu, na kutazamia kwa mishale ya kupigia ramli ni najisi katika kazi za Shetani. Basi jiepusheni navyo ili mpate kufanikiwa."
Sasa uache upotoshaji , hizi sio zama za kumdanganya watu.
Lete UthibitishoUislamu ni dini ya uongo
Sasa wewe una aminije biblia?MPOTISHAJI NI MUDI ,
HIVI UNANZAJE KUIAMINI QURANI ?
HEBU ONA BIBLIA ILIVYO EXACTY KUHUSU MJI WA NINAWI HAUTAJENGWA TENA ,
Uharibifu wa Ninawi (612 KK)
Andiko: Nahumu 3:7
"Na wewe utakuwa aibu kwa watu wote, na yote watakuwa wa kushangilia, kwa sababu ya uovu wako; na watu watasema, hakutakuwa tena na wengine kama wewe."
Utimilifu / Historia: Ninawi, mji mkuu wa Ashuru, uliteketezwa na mashambulizi ya Babuloni, Waemezi, na Wamakedi mwaka wa 612 KK. Mji huo ulielezwa kuwa haujangwa tena, na hii inathibitishwa na historia.
View attachment 3261608
Hawa watu wa namna ya hamis77 , huwezi jifunza chochote zaidi kuletewa nadharia , kejeli bila uthibitisho.Lete Uthibitisho
Heart na heart kwenye biblia zinaongelea vitu gani ?Ngoja Nimsaidie Kujibu!
Kwa Mujibu wa Biblia..
Ukitoa Roho Ukaweka Pembeni Unabaki Mwili Peke Yake na Nafsi Huondoka..
Kwa Mujibu wa Mwanzo 2:7,
Mungu alipomuumba Adamu:
"Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai (Roho); mtu akawa nafsi hai."
Katika Mhubiri 12:7, Biblia inasema:
"Ndipo mavumbi (Mwili) hurudi katika nchi kama yalivyokuwa, naye roho humrudia Mungu aliyewapa."
so Ukitoa Roho Hakuna Nafsi tena Bali Kuna Mwili na Roho
Well saidHawa watu wa namna ya hamis77 , huwezi jifunza chochote zaidi kuletewa nadharia , kejeli bila uthibitisho.
Jambo rahisi ni mtu kuamini anachokiamini.
Ndio , na sio ulevi tu imeelezea mambo kadhaa , lakini huyu mwenzetu ananakili aya ya surah fulani ukienda , kuangalia unaona kabisa anavyopotosha .Hiyo Aya ilishuka sababu ya hao Walevi
Naamini kabisa Sijakuelewa!Heart na heart kwenye biblia zinaongelea vitu gani ?
Hamis 77 Huja kwa Nia Ya Mabishano Na Sio Kujifunza Ila Akipata Muda akaja kwa Njia Ya kujifunza Ni mtu mmoja mzuri sanaHawa watu wa namna ya hamis77 , huwezi jifunza chochote zaidi kuletewa nadharia , kejeli bila uthibitisho.
Jambo rahisi ni mtu kuamini anachokiamini.
Ni Kama vile Mungu na mungu Yani Kuna moja imetumika kwa herufi H kubwa maeneo yote wanapoitaja na nyingine kwa herufi H ndogo.Naamini kabisa Sijakuelewa!
Heart na Heart 🤔
Kasome utaelewa waliandika walikuwa Walevi piaNdio , na sio ulevi tu imeelezea mambo kadhaa , lakini huyu mwenzetu ananakili aya ya surah fulani ukienda , kuangalia unaona kabisa anavyopotosha .
Tumwambie tuuh hizi sio zama za kumdanganya mtu, kwenye biblia analeta vitu kama vilivyo , upande wa pili anaokoteza tu. propaganda zake zimeshindwa vibaya.