Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Wewe si ndiye uliyeleta hoja
Qurani ni maneno ya nani???🤔🤔🤔??

Quran 2;79 aliyekuwa ni adui wa jibril ndo aliteremsha Quran huyu adui wa malaika wa Allah ni nani???

Quran 6;7 inasema kama ingekuwa kwenye mkaratasi ingekua uchawii na hii ya ssa ipo kwenye karatasi in maana ni uchawi??

Quran Mayunga 1422 muhhamad alisemeshwa kisiri na Shetani akafikiri ni Wahyi akayanakili ndani ya Quran

Maisha muhamad uk 8 inatuambia waliojifunza kuandika makkah ni
Abubakar
Omar
Uthman
Ali

hawa ndo waandishi wa Quran je hali zao zikoje???

Tusome


Mayunga (49) Abubakar anasema ana shetan(mwandishi wa Quran)

Mayunga (61)Ali alikuwa mlevi kupindukia(mwandishi wa Quran)

Quran si maneno ya Mungu abadan ni ya nani??? Quran 2;79 adui wa jibril ndo kaileta

Adui yao ni nani??? Quran 2:36 adui yao ni shetwani(iblis) kwahiyo Quran imeletwa na nani SHETANI....
 
Ni Kama vile Mungu na mungu Yani Kuna moja imetumika kwa herufi H kubwa maeneo yote wanapoitaja na nyingine kwa herufi H ndogo.
Kama Umepata Muda wa Kusoma Lugha za Zamani (Archaic Language)..

Au Semitic Language zote..
Utakubaliana na Mimi kwamba Kwenye Greek (Lugha ya Biblia Agano Jipya) na Kwenye Hebrew (Lugha ya Biblia agano la Kale) na Arabic lugha ya Quran..

Zote hizi Hazina Herufi kubwa Wala Ndogo herufi zote ni sawa..
Shida Ya Kutafsiri Herufi Ipi iwe Kubwa na Ipi iwe Ndogo Ilifanyika Baada ya Kutafsiri Maandisho Kutoka Kwenye Lugha Yake Halisia Kuwa Kwenye Lugha ya Kingereza..
Sijui kama Umenielewa..

Neno Moyo Lev (לֵב) au לֵבָב (Levav) Herufi za Kiebrania za Herufi ya Kwanza "Lamu" haionyeshi Ukubwa wala Udogo..

So Huwezi kutambua Ukubwa na Udogo wa Maandishi Zikiwa Kwenye Lugha yake ya Asili ni Watafasiri walituwekea Utifauti huo
 
Bado naendelea kuchunguza Quran

SURAT AL QAARIAH.

Hi ni Surat iliyoshuka Makkah yenye Aya 11 za ukumbusho wa wanaotenda mabaya kuhusu Moto unao wasubiri. Na walioamini kupata malipo yao mema.

Kama kawaida ya makosa ya waandishi wa Qur'an, sura hii halieleweki Aya zake. Aya ya kwanza mwandishi anasema..

الْقَارِعَةُ

(AL - QAARIA'H - 1)
Inayo gonga! 😂..

Ona ya pili mwandishi anajiuliza swali kwenye vitu anavyosema yeye mwenyewe..

مَا الْقَارِعَةُ

(AL - QAARIA'H - 2)
Nini Inayo gonga? 😂😂

Huko mbele anauliza Tena, nini kitakujulisha hio ndude inayogonga!?

Sasa ukisoma zaidi, ukarudia Tena na Tena. Hupati majibu ya malengo ya muandishi, na bado mtu akudanganye aseme Qur'an Ni kitabu kilichonyooka, 😳. Aiseeeee! Yani huko ndio kunyooka?

Ninaposema Qur'an inahitaji marekebisho huwa namaanisha kuondoa makosa Kama haya.

Sasa waislamu naombe Kama kweli nyie Ni wasema kweli nipeni majibu,.

HIO INAYOGONGA NI NINI?

Ukikosa majibu we Ni kafiri tu.

Mtafuteni Bwana Yesu maadamu anapatikana.
 
WAANDISHI WA QURAN WAPISHANA

Quran 62 : 2 yeye ndiye aliye mpeleka mtume kwenye watu wasio jua kusoma awasomee aya zake na awatakase na awafunze kitabu na hikima ijapokuwa kabla ya haya walikuwa katika upotofu ulio dhaifu

WATU WENYEWE SASA 👇👇

Quran 21 :5 lakin wao walisema hizo ni ndoto za ovyo ovyo tu Bali amezizua tu Bali huyo ni mtunga mashairi basi atuletee miujiza Kama walivyotumwa wale wa mwanzo 🔔

Aya ya Kwanza inasema alitumwa kwa watu wasio jua kusoma yaan hawaelewi chochote kuhusu Mambo ya dini🔔

Lakin aya ya pili inatufumbua macho 👀 kuwa kumbe majamaa yalikuwa yanaelewa mwanzo mwisho kwamba Kumbe Kuna manabii walitumwa na wakafanya miujiza mingi

Kwamaana hiyo Hawa jamaa walikuwa na vitabu ambavyo wanavisoma vinaelezea history ya mitume na manabii wa mwanzo ✔️

WAANDISHI WAMETUPIGA CHANGA 😅😅
Nimefuatilia hizi aya ni kweli
1. Surah Al-Jumu’ah 62:2

"Yeye ndiye aliyempeleka Mtume kwa watu wasiojua kusoma awasomee aya zake, na awatakase, na awafunze Kitabu na hekima, ijapokuwa kabla ya haya walikuwa katika upotofu ulio dhaifu."


2. Surah Al-Anbiya 21:5
"Lakini walisema: Hizo ni ndoto za ovyo ovyo tu. Bali amezizua tu. Bali huyo ni mtunga mashairi. Basi na atuletee miujiza kama walivyotumwa wale wa mwanzo."

Katika aya ya pili inaonesha kuwa, alikutana na upinzani .
Katika zama mtume yule, watu walisoma kwa kukaririshwa kile ambacho mtume amefuniliwa.

Kama ilivyo yesu alivyokutana na upinzani wa wayahudi , ndivyo upinzani aliokutana nao mtume yule , kwa mantiki hii hakuna cha ajabu . Hata mfano wako wewe Jackwillpower , ukishasema kitu fulani sio wote watakao kuamini wengine watakuona wewe ni muongo.

Kwa hizi aya mbili , zimedhihirisha ni namna gani unaokoteza maelezo machache yasiyo na mantiki, kwa hiyo huu ni kama upotoshaji.
Rudi tena ukasome acha ujuaji wewe na mwenzako mnaleta ujuaji kwa mambo ambayo hamna ufahamu nayo.

Hizi sio zama za kumdanganya mtu.
 
Quran 2;79 aliyekuwa ni adui wa jibril ndo aliteremsha Quran huyu adui wa malaika wa Allah ni nani???
فَوَيْلٌ لِّلَّذِينَ يَكْتُبُونَ الْكِتَابَ بِأَيْدِيهِمْ ثُمَّ يَقُولُونَ هَـٰذَا مِنْ عِندِ اللَّـهِ لِيَشْتَرُوا بِهِ ثَمَنًا قَلِيلًا ۖ فَوَيْلٌ لَّهُم مِّمَّا كَتَبَتْ أَيْدِيهِمْ وَوَيْلٌ لَّهُم مِّمَّا يَكْسِبُونَ ﴿٧٩﴾

79. Basi ole kwa wale wenye kuandika kitabu kwa mikono yao kisha wakasema: Hiki ni kutoka kwa Allaah ili wabadilishe kwa thamani ndogo. Basi ole wao kwa yale yaliyoandikwa na mikono yao, na ole wao kwa yale wanayoyachuma!

Hii ndiyo ndiyo Qur’an 2:79 uliyoitaja wewe sio
 
Bado naendelea kuchunguza Quran

SURAT AL QAARIAH.

Hi ni Surat iliyoshuka Makkah yenye Aya 11 za ukumbusho wa wanaotenda mabaya kuhusu Moto unao wasubiri. Na walioamini kupata malipo yao mema.

Kama kawaida ya makosa ya waandishi wa Qur'an, sura hii halieleweki Aya zake. Aya ya kwanza mwandishi anasema..

الْقَارِعَةُ

(AL - QAARIA'H - 1)
Inayo gonga! 😂..

Ona ya pili mwandishi anajiuliza swali kwenye vitu anavyosema yeye mwenyewe..

مَا الْقَارِعَةُ

(AL - QAARIA'H - 2)
Nini Inayo gonga? 😂😂

Huko mbele anauliza Tena, nini kitakujulisha hio ndude inayogonga!?

Sasa ukisoma zaidi, ukarudia Tena na Tena. Hupati majibu ya malengo ya muandishi, na bado mtu akudanganye aseme Qur'an Ni kitabu kilichonyooka, 😳. Aiseeeee! Yani huko ndio kunyooka?

Ninaposema Qur'an inahitaji marekebisho huwa namaanisha kuondoa makosa Kama haya.

Sasa waislamu naombe Kama kweli nyie Ni wasema kweli nipeni majibu,.

HIO INAYOGONGA NI NINI?

Ukikosa majibu we Ni kafiri tu.

Mtafuteni Bwana Yesu maadamu anapatikana.
Neno Qariah Linatokana na mzizi wa Kiarabu ق ر ع (Q-R-‘A), linalomaanisha kupiga, kugonga kama Ulivyosema, au kutoa sauti ya kishindo kikali kikali yaani Kimbunga au Kama Kitu Kimeanguka Kikatoa Mtetemo au Sauti yaani Kama Unavyosikia Radi yaani Mlio kama Mtetemo kwamba Kitu Kimegongwa Yaani Kimepigwa

kifupi ni kwamba "Qaari’ah" inamaanisha jambo linalopiga kwa nguvu sana, likileta taharuki na mshtuko mkubwa...

Hiyo Aya Inaweza Kutafisiriawa kama Ifuatavyo..

ٱلْقَارِعَةُ ١ مَا ٱلْقَارِعَةُ ٢ وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا ٱلْقَارِعَةُ ٣

"Mtetemeko mkubwa! Ni nini huo mtetemeko mkubwa? Na ni nini kitakachokufanya ujue ni nini huo mtetemeko mkubwa?"
 
Quran 6;7 inasema kama ingekuwa kwenye mkaratasi ingekua uchawii na hii ya ssa ipo kwenye karatasi in maana ni uchawi??

وَلَوْ نَزَّلْنَا عَلَيْكَ كِتَابًا فِي قِرْطَاسٍ فَلَمَسُوهُ بِأَيْدِيهِمْ لَقَالَ الَّذِينَ كَفَرُوا إِنْ هَـٰذَا إِلَّا سِحْرٌ مُّبِينٌ ﴿٧﴾

7. Na lau Tungelikuteremshia (ee Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم) maneno yaliyoandikwa katika karatasi, kisha wakaigusa kwa mikono yao, bila shaka wale waliokufuru wangelisema: Hii si chochote isipokuwa ni sihiri (uchawi) bayana.


Elewa! Pamesemwa kama yangeteremshwa maneno yaliyo kwenye Karatasi makafiri wangesema uchawi

Sio kuwa ikiwa kwenye karatasi ni uchawi.
 
Nimefuatilia hizi aya ni kweli
1. Surah Al-Jumu’ah 62:2

"Yeye ndiye aliyempeleka Mtume kwa watu wasiojua kusoma awasomee aya zake, na awatakase, na awafunze Kitabu na hekima, ijapokuwa kabla ya haya walikuwa katika upotofu ulio dhaifu."


2. Surah Al-Anbiya 21:5
"Lakini walisema: Hizo ni ndoto za ovyo ovyo tu. Bali amezizua tu. Bali huyo ni mtunga mashairi. Basi na atuletee miujiza kama walivyotumwa wale wa mwanzo."

Katika aya ya pili inaonesha kuwa, alikutana na upinzani .
Katika zama mtume yule, watu walisoma kwa kukaririshwa kile ambacho mtume amefuniliwa.

Kama ilivyo yesu alivyokutana na upinzani wa wayahudi , ndivyo upinzani aliokutana nao mtume yule , kwa mantiki hii hakuna cha ajabu . Hata mfano wako wewe Jackwillpower , ukishasema kitu fulani sio wote watakao kuamini wengine watakuona wewe ni muongo.

Kwa hizi aya mbili , zimedhihirisha ni namna gani unaokoteza maelezo machache yasiyo na mantiki, kwa hiyo huu ni kama upotoshaji.
Rudi tena ukasome acha ujuaji wewe na mwenzako mnaleta ujuaji kwa mambo ambayo hamna ufahamu nayo.

Hizi sio zama za kumdanganya mtu.
Muhammad usifananishe na Yesu, muhamad huyu ambaye hajawahi hata kufanya muujiza mmoja wa uongo na kweli

Muhammad ni nabii wa uongo
 
Quran si maneno ya Mungu abadan ni ya nani??? Quran 2;79 adui wa jibril ndo kaileta
Al-Baqarah Aayah: 97 - 101: Sema: “Yeyote aliyekuwa adui wa Jibriyl, basi hakika





قُلْ مَن كَانَ عَدُوًّا لِّجِبْرِيلَ فَإِنَّهُ نَزَّلَهُ عَلَىٰ قَلْبِكَ بِإِذْنِ اللَّـهِ مُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ وَهُدًى وَبُشْرَىٰ لِلْمُؤْمِنِينَ ﴿٩٧﴾

97. Sema: “Yeyote aliyekuwa adui wa Jibriyl, basi hakika yeye ameiteremsha Qur-aan katika moyo wako (ee Nabiy صلى الله عليه وآله وسلم) kwa idhini ya Allaah inayosadikisha yaliyo kabla yake, na mwongozo na bishara kwa Waumini

Acha kupotosha!
Hapo "yeye" inamrejea Jibril kuwa yeye ndiye ameiteremsha Qur’an kwenye moyo wa Mtume Muhammad kwa idhini ya Allah
 
NI MOJA WAPO KATI YA WALE WAANDISHI WA QURAN ALL-WALIID ALIKUWA MLEVI ALIKUWA ANAONGOZA SALA UKU KALEWA USHAIDI HU HAPA!!

View attachment 3261652
Karudi kusoma ndugu acha kuokoteza vipicha facebook.
Historia ya waarabu mwanzoni inasemekana walikuwa walevi , kabla ya yakatazo kuwekwa.

Na miongoni mwa walevi alikuwepo huyo Al Walid bin uqhab, wakati mafundisho ya uislamu katika enzi za mtume , swahaba huyu alikuwa ni mpinga uislamu kama ilivyokuwa waarabu wengine.

Kwa hiyo historia inaonesha suala la ulevi lilikuwepo muda na wakati mtume yupo , na historia inasema ulevi wake , ulikuwepo kabla ya Katazo linalohusu ulevi.

Na quran kuteremka kwake imekuja nusu nusu , kwa hiyo aya inayohusu ulevi , imekuja kama Katazo la ulevi na tabia zingine.

Hapa ndugu , umefeli vibaya mno, toa uthibitisho unaosema alikuwa mlevi baada ya Katazo.

Na hii inadhihirisha ni namna gani kuokoteza mafundisho, kunaonesha wewe mpiga porojo tuuh

Hizi sio zama za kumdanganya mtu
 
Muhammad usifananishe na Yesu, muhamad huyu ambaye hajawahi hata kufanya muujiza mmoja wa uongo na kweli

Muhammad ni nabii wa uongo
Sasa hapa umejibu nini , au umetuletea porojo tupu , hoja inajibiwa kwa hoja , suala ni kuwa alikutana na upinzani wa watu wasioamini.
 
"Na Yehova wa majeshi atafanya kwa milima hii chakula cha sherehe kwa ajili ya watu wote, chakula cha mafuta, chakula cha divai ya kitalii, chakula kilicho na mafuta na divai safi iliyochanganywa." (Isaya 25:6)

"Lakini nawaambia, sitakunywa tena matunda ya mzabibu hivi karibuni, mpaka nitakapo kunywa pamoja nanyi divai mpya katika Ufalme wa Baba yangu." (Mathayo 26:29)
Iliyoahidiwa na Muhammad si divai ni mito ya pombe.
Divai ilikuwa ni sehemu ya meal kwenye menu za mayahudi na hii ipo hadi leo.
Usitumie vifungu vya biblia kuhalalisha uhuni wa mudi.
Haya ni Wapi Yesu Kahaidi kuhusu bikra 72
 
Karudi kusoma ndugu acha kuokoteza vipicha facebook.
Historia ya waarabu mwanzoni inasemekana walikuwa walevi , kabla ya yakatazo kuwekwa.

Na miongoni mwa walevi alikuwepo huyo Al Walid bin uqhab, wakati mafundisho ya uislamu katika enzi za mtume , swahaba huyu alikuwa ni mpinga uislamu kama ilivyokuwa waarabu wengine.

Kwa hiyo historia inaonesha suala la ulevi lilikuwepo muda na wakati mtume yupo , na historia inasema ulevi wake , ulikuwepo kabla ya Katazo linalohusu ulevi.

Na quran kuteremka kwake imekuja nusu nusu , kwa hiyo aya inayohusu ulevi , imekuja kama Katazo la ulevi na tabia zingine.

Hapa ndugu , umefeli vibaya mno, toa uthibitisho unaosema alikuwa mlevi baada ya Katazo.

Na hii inadhihirisha ni namna gani kuokoteza mafundisho, kunaonesha wewe mpiga porojo tuuh

Hizi sio zama za kumdanganya mtu
Well said
 
Iliyoahidiwa na Muhammad si divai ni mito ya pombe.
Divai ilikuwa ni sehemu ya meal kwenye menu za mayahudi na hii ipo hadi leo.
Usitumie vifungu vya biblia kuhalalisha uhuni wa mudi.
Haya ni Wapi Yesu Kahaidi kuhusu bikra 72
Divai ni nini?
 
WAANDISHI WA QURAN WAPISHANA

Quran 62 : 2 yeye ndiye aliye mpeleka mtume kwenye watu wasio jua kusoma awasomee aya zake na awatakase na awafunze kitabu na hikima ijapokuwa kabla ya haya walikuwa katika upotofu ulio dhaifu

WATU WENYEWE SASA 👇👇

Quran 21 :5 lakin wao walisema hizo ni ndoto za ovyo ovyo tu Bali amezizua tu Bali huyo ni mtunga mashairi basi atuletee miujiza Kama walivyotumwa wale wa mwanzo 🔔

Aya ya Kwanza inasema alitumwa kwa watu wasio jua kusoma yaan hawaelewi chochote kuhusu Mambo ya dini🔔

Lakin aya ya pili inatufumbua macho 👀 kuwa kumbe majamaa yalikuwa yanaelewa mwanzo mwisho kwamba Kumbe Kuna manabii walitumwa na wakafanya miujiza mingi

Kwamaana hiyo Hawa jamaa walikuwa na vitabu ambavyo wanavisoma vinaelezea history ya mitume na manabii wa mwanzo ✔️

WAANDISHI WAMETUPIGA CHANGA 😅😅
Hakuna kupishana ila porojo zako , na maelezo ya kujitungia na yalivyokuongoza
 
Back
Top Bottom