Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,467
- 3,687
Qurani ni maneno ya nani???🤔🤔🤔??Wewe si ndiye uliyeleta hoja
Quran 2;79 aliyekuwa ni adui wa jibril ndo aliteremsha Quran huyu adui wa malaika wa Allah ni nani???
Quran 6;7 inasema kama ingekuwa kwenye mkaratasi ingekua uchawii na hii ya ssa ipo kwenye karatasi in maana ni uchawi??
Quran Mayunga 1422 muhhamad alisemeshwa kisiri na Shetani akafikiri ni Wahyi akayanakili ndani ya Quran
Maisha muhamad uk 8 inatuambia waliojifunza kuandika makkah ni
Abubakar
Omar
Uthman
Ali
hawa ndo waandishi wa Quran je hali zao zikoje???
Tusome
Mayunga (49) Abubakar anasema ana shetan(mwandishi wa Quran)
Mayunga (61)Ali alikuwa mlevi kupindukia(mwandishi wa Quran)
Quran si maneno ya Mungu abadan ni ya nani??? Quran 2;79 adui wa jibril ndo kaileta
Adui yao ni nani??? Quran 2:36 adui yao ni shetwani(iblis) kwahiyo Quran imeletwa na nani SHETANI....