hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 13,628
- 20,992
Je waislam huinamia sanamu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je waislam huinamia sanamu?
Toa ushahidi kuonyesha kuwa waislam wana mfungo wa lazima ili kuwaiga ukatoliki vinginevyo ni uongo!!!
Ukatoliki wa Kirumi unaamuru waumini wake kufunga kwa lazima wakati wa Kwaresma Uislamu unahitaji waumini wake kufunga kwa lazima wakati wa Ramadani
Je hapo kuna uhusiano ganiRCC hufundisha kwamba Maria alikuwa bikira wala hakuguswa na mwanamume maisha yake yote
Uislamu hufundisha Maria alikuwa bikira wala hakuguswa na mwanamume maisha yake yote
Thibitisha hoja hiiUISLAMU NI PROJECT YA ROMAN CATHOLIC
Nimenukuu Biblia, hivyo nauliza kama kuna hilo kwenye Quran. Muhamad kwa mujibu wa Biblia ni nabii wa UONGO!!Wapi Qur’an inasema kristo ndio mwisho wa manabii
Una uhakika kuna waislam hapoWaislamu, Wahindu, na Wakatoliki wakiiomba sanamu ya Bikira Maria.
View attachment 3263945
Kama ulivyosema ni ShiaWanawake wa Kiislamu wa Shiite wakija kumwabudu Maria katika Madhabahu ya Mama maria , Lebanon huko Harissa, Lebanoni mnamo Mei 1, 2016.
View attachment 3263949View attachment 3263950
Je kuna sanamu hapo
Ni Mungu huyu au sioJe kuna sanamu hapo
Je kuna sanamu hapo
Wapi uislam unasema tunatumia salamu hii ili tuwe sawa na warumiMakundi ya Waislamu hutumia ishara ya salamu ya Kirumi kama inavyotumiwa na nazi wa Katoliki
Sanamu iko wapiNi Mungu huyu au sio
Sanamu iko wapi
Halipo hilo kwenye Qur’anNimenukuu Biblia, hivyo nauliza kama kuna hilo kwenye Quran. Muhamad kwa mujibu wa Biblia ni nabii wa UONGO!!