Je Iran iko serious?

Kwani taleban walikua na nini ambacho us alikua hana

Iran haharibu uchumi wake sababu hana mpango wa kuingia vitani na mtu ila akiingizwa atajibu vikali sanaaa

Acha kufananisha Ira na mambo ya kijinga kijana
 
dora ni kitu gani ?
 
Hivi huko shule mlikuwa mnaenda kusoma ujinga?

Iran ni muarabu?
Hao ni wenzetu katika imani. Ni Ndugu zetu. So ni waarabu wenzetu hata kama ni wa Persia.
 
Hao ni wenzetu katika imani. Ni Ndugu zetu. So ni waarabu wenzetu hata kama ni wa Persia.
Kua wenzenu katika imani hakuwaondolei kua wao sio waarabu

Yaani hata wazaramo wakiwa ndugu zenu katika imani ndio watakua waarabu kisa imani sawa

Iran sio waarabu
 
Kua wenzenu katika imani hakuwaondolei kua wao sio waarabu

Yaani hata wazaramo wakiwa ndugu zenu katika imani ndio watakua waarabu kisa imani sawa

Iran sio waarabu
Naelewa vyema. Kwa kifupi hao ni wenzetu.
 
Acheni unafiki nyie mazombi wa kidini Hamas wameweza lini kutengeneza RPG zile ni za kirusi mnawapaisha sana
 
Kumbeeeeee! Sasa nimegundua hata sisi tunaweza kuwapiga Marekani ( donor country)
 
hii mbona hatukuambiana ili tuanzishe uzi sheikh.... ngoja nikawahi kuanzisha uzi...ingawa najua hawa mayahudi watataka ushahidi sisi tuwe tu tuna supportiana hivi hivi. nami nimeona nisikuache hivi hivi nikutie moyo
 
BREAKING: Commander in Iran-affiliated Iraqi militia has been killed in a drone strike east of Baghdad
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…