Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Kwani taleban walikua na nini ambacho us alikua hanaNyie pro Iran huwa mnajitoa ufahamu kweli, Iran inaweza kupambana na USA kwa lipi? Kitu gani Iran anacho ambacho anaweza kumtishia USA? Kiburi cha Iran ni sawa na enzi za Sadam Husein , kila siku alikuwa anasema USA akiivamia Iraq askari wote wa USA watachinjwa na kurudisha majeneza, leo yak wapi? Iran anataka kuharibu uchumi wa nchi yake na kusambaratisha taifa lake
Iran si Warabu lknοΏΌοΏΌ
Eti wamedeploy kimeli hicho hapo juu Mediterranean kukabiliana na dude hilo la USA
Waarabu mbona wana utani mwingi. Vitu vingine tusilete utani
View attachment 2861118View attachment 2861119
Hio meli mboni ni 1 hio meli ya Iran IPO wapi ? Maana hio umeweka picha 2 za meli za marekani Namba 72οΏΌοΏΌ
Eti wamedeploy kimeli hicho hapo juu Mediterranean kukabiliana na dude hilo la USA
Waarabu mbona wana utani mwingi. Vitu vingine tusilete utani
View attachment 2861118View attachment 2861119
Hakuna meli ya Iran hapo hio ni meli moja Namba 72 angalia vizuri, huyo Chizi maarifa kawauzaIran si Warabu lkn
Iran siyo Waarabu bali ni Waajemi ila dini yako kubwa ni Waislamu wa madhehebu ya ShiaοΏΌοΏΌ
Eti wamedeploy kimeli hicho hapo juu Mediterranean kukabiliana na dude hilo la USA
Waarabu mbona wana utani mwingi. Vitu vingine tusilete utani
View attachment 2861118View attachment 2861119
dora ni kitu gani ?Mbona Ant tank ndogo za dora 1000 zimeweza kuteketeza vifaa 850 vya kijeshi vya Israel vikiwemo vile vifaru vikubwa kama nyumba mliyo mnatuambiaga havipigiki vyenye thamani ya mabilion ?
Alafu mbona hakuna sehemu ambayo Iran alisema anapeleka meli kupambana na Marekani?
Hao ni wenzetu katika imani. Ni Ndugu zetu. So ni waarabu wenzetu hata kama ni wa Persia.Hivi huko shule mlikuwa mnaenda kusoma ujinga?
Iran ni muarabu?
Kua wenzenu katika imani hakuwaondolei kua wao sio waarabuHao ni wenzetu katika imani. Ni Ndugu zetu. So ni waarabu wenzetu hata kama ni wa Persia.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]οΏΌοΏΌ
Eti wamedeploy kimeli hicho hapo juu Mediterranean kukabiliana na dude hilo la USA
Waarabu mbona wana utani mwingi. Vitu vingine tusilete utani
View attachment 2861118View attachment 2861119
Naelewa vyema. Kwa kifupi hao ni wenzetu.Kua wenzenu katika imani hakuwaondolei kua wao sio waarabu
Yaani hata wazaramo wakiwa ndugu zenu katika imani ndio watakua waarabu kisa imani sawa
Iran sio waarabu
Hoja hapo haikua wenzetu hoja iran sio waarabuNaelewa vyema. Kwa kifupi hao ni wenzetu.
Umekurupuka kujibu hufahamu huu mjadala ulipoanzia.Hao ni wenzetu katika imani. Ni Ndugu zetu. So ni waarabu wenzetu hata kama ni wa Persia.
Acheni unafiki nyie mazombi wa kidini Hamas wameweza lini kutengeneza RPG zile ni za kirusi mnawapaisha sanaSi bora vya Urusi vilichakazwa na javelin ambayo ni moja wapo ya ant tank bora duniani na iliyo tegemezwa kwa teknolojia ya hali ya juu , kuliko vya Israel vinavyo chakazwa na vi ant tank vilivyo tengenezwa kienyeji na wahuni walio zungukwa kila sehemu.
Alafu hakuna sehemu ambayo Urusi alisha sema kuwa vifaru vya havipigiki.
Kwani Iran wakiwa sio waarabu ndio nini hata wangekuwa mashwetani wanapasuliwa tuIran siyo waarabu bwana mwenye IQ na elimu kubwa
Kwa hiyo wakiwa sio waarabu ndio nini au wana nini?Iran siyo Waarabu bali ni Waajemi ila dini yako kubwa ni Waislamu wa madhehebu ya Shia
MuislamuHivi huko shule mlikuwa mnaenda kusoma ujinga?
Iran ni muarabu?
Mama Yao mnene! Eti Allahu Akbar (bikira 72)Aliyewaroga aliisha kufa na akawaachia ahadi kwamba wasiwe na hofu maana mabikra 72 wanawasubilia huko akhera hivyo wasiogope kufa...πππ...Hawana la kupoteza....View attachment 2861164
Kumbeeeeee! Sasa nimegundua hata sisi tunaweza kuwapiga Marekani ( donor country)Kama Hamas wangekuwa wanatishika na mavifaa ya kijeshi basi wasingeanzisha mtiti na kama mavifaa makubwa makubwa ndio ushindi usa anageshinda vietnam hii mavifaa mengi tishia watu wenye inferiority mind ila kwa watu wenye kujitambua wanajua hayana maana sana sana ni target ya kubutuliwa hayo madude hiyo ndio doctrine ya asymetrical warfare dont dare kujaribu kumatch level zako ziwe sawa na adui yako hutapambana nae ila angalia ni namna gani kidogo kile kidogo chako kinaweza kuleta madhara makuu mpaka adui asitamani kukudhuru .
hii mbona hatukuambiana ili tuanzishe uzi sheikh.... ngoja nikawahi kuanzisha uzi...ingawa najua hawa mayahudi watataka ushahidi sisi tuwe tu tuna supportiana hivi hivi. nami nimeona nisikuache hivi hivi nikutie moyoMbona Ant tank ndogo za dora 1000 zimeweza kuteketeza vifaa 850 vya kijeshi vya Israel vikiwemo vile vifaru vikubwa kama nyumba mliyo mnatuambiaga havipigiki vyenye thamani ya mabilion ?
Alafu mbona hakuna sehemu ambayo Iran alisema anapeleka meli kupambana na Marekani?