Je Iran iko serious?

Je Iran iko serious?

Nyie pro Iran huwa mnajitoa ufahamu kweli, Iran inaweza kupambana na USA kwa lipi? Kitu gani Iran anacho ambacho anaweza kumtishia USA? Kiburi cha Iran ni sawa na enzi za Sadam Husein , kila siku alikuwa anasema USA akiivamia Iraq askari wote wa USA watachinjwa na kurudisha majeneza, leo yak wapi? Iran anataka kuharibu uchumi wa nchi yake na kusambaratisha taifa lake
Kwani taleban walikua na nini ambacho us alikua hana

Iran haharibu uchumi wake sababu hana mpango wa kuingia vitani na mtu ila akiingizwa atajibu vikali sanaaa

Acha kufananisha Ira na mambo ya kijinga kijana
 
Mbona Ant tank ndogo za dora 1000 zimeweza kuteketeza vifaa 850 vya kijeshi vya Israel vikiwemo vile vifaru vikubwa kama nyumba mliyo mnatuambiaga havipigiki vyenye thamani ya mabilion ?
Alafu mbona hakuna sehemu ambayo Iran alisema anapeleka meli kupambana na Marekani?
dora ni kitu gani ?
 
Hivi huko shule mlikuwa mnaenda kusoma ujinga?

Iran ni muarabu?
Hao ni wenzetu katika imani. Ni Ndugu zetu. So ni waarabu wenzetu hata kama ni wa Persia.
 
Hao ni wenzetu katika imani. Ni Ndugu zetu. So ni waarabu wenzetu hata kama ni wa Persia.
Kua wenzenu katika imani hakuwaondolei kua wao sio waarabu

Yaani hata wazaramo wakiwa ndugu zenu katika imani ndio watakua waarabu kisa imani sawa

Iran sio waarabu
 
Kua wenzenu katika imani hakuwaondolei kua wao sio waarabu

Yaani hata wazaramo wakiwa ndugu zenu katika imani ndio watakua waarabu kisa imani sawa

Iran sio waarabu
Naelewa vyema. Kwa kifupi hao ni wenzetu.
 
Si bora vya Urusi vilichakazwa na javelin ambayo ni moja wapo ya ant tank bora duniani na iliyo tegemezwa kwa teknolojia ya hali ya juu , kuliko vya Israel vinavyo chakazwa na vi ant tank vilivyo tengenezwa kienyeji na wahuni walio zungukwa kila sehemu.
Alafu hakuna sehemu ambayo Urusi alisha sema kuwa vifaru vya havipigiki.
Acheni unafiki nyie mazombi wa kidini Hamas wameweza lini kutengeneza RPG zile ni za kirusi mnawapaisha sana
 
Kama Hamas wangekuwa wanatishika na mavifaa ya kijeshi basi wasingeanzisha mtiti na kama mavifaa makubwa makubwa ndio ushindi usa anageshinda vietnam hii mavifaa mengi tishia watu wenye inferiority mind ila kwa watu wenye kujitambua wanajua hayana maana sana sana ni target ya kubutuliwa hayo madude hiyo ndio doctrine ya asymetrical warfare dont dare kujaribu kumatch level zako ziwe sawa na adui yako hutapambana nae ila angalia ni namna gani kidogo kile kidogo chako kinaweza kuleta madhara makuu mpaka adui asitamani kukudhuru .
Kumbeeeeee! Sasa nimegundua hata sisi tunaweza kuwapiga Marekani ( donor country)
 
Mbona Ant tank ndogo za dora 1000 zimeweza kuteketeza vifaa 850 vya kijeshi vya Israel vikiwemo vile vifaru vikubwa kama nyumba mliyo mnatuambiaga havipigiki vyenye thamani ya mabilion ?
Alafu mbona hakuna sehemu ambayo Iran alisema anapeleka meli kupambana na Marekani?
hii mbona hatukuambiana ili tuanzishe uzi sheikh.... ngoja nikawahi kuanzisha uzi...ingawa najua hawa mayahudi watataka ushahidi sisi tuwe tu tuna supportiana hivi hivi. nami nimeona nisikuache hivi hivi nikutie moyo
 
BREAKING: Commander in Iran-affiliated Iraqi militia has been killed in a drone strike east of Baghdad
 
Back
Top Bottom