Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Israel hata hawajui mateka walikoNaona nguvu kubwa inaendelea kutumika kuua raia na kubomoa majengo huko Gaza lkn hakuna taarifa za kupatikana kwa mateka. Je Mossad na IDF wameshindwa kuwaokoa ndugu zao? Au hakukuwa na mateka kama dunia ilivyoelezwa mwanzoni?
Pole yako huku ukitokwa na kamasi baada ya kuiona bikira ya kigori mmoja na sio 72Mayahud na makafiri mtachomeka siku ya kiyamma inshallah
Allah tujalie zile rehema za peponi 😋
Vijana wa Mudi bana. Licheki kama hili kwenye picha hapo chin yani mabishi kupindukia.Mayahud na makafiri mtachomeka siku ya kiyamma inshallah
Allah tujalie zile rehema za peponi 😋
hivi toka vita ianze Hamas hawajauawa hata mmoja mbona sioni Hamas wakitangaza vifo vya Hamas tunaona inatangazwa vifo vya wanawake na watotoNaona nguvu kubwa inaendelea kutumika kuua raia na kubomoa majengo huko Gaza lkn hakuna taarifa za kupatikana kwa mateka. Je Mossad na IDF wameshindwa kuwaokoa ndugu zao? Au hakukuwa na mateka kama dunia ilivyoelezwa mwanzoni?
Hawafahamu mateka wamefichwa wapi..Mossad na IDF wameshindwa kuwaokoa ndugu zao?
akiwaua mateka sindio Bro Netanyahuu anapata kisingizio cha kuendeleza kipondo kisicho na ukomo kwa gazaHamas atakuwa mpumbavu kuwaachia mateka, bora awaue kuliko kukombolewa , ukizingatia watu wengi wameshakufa
kwa hiyo nyie kobazi mnajionaga wasafi mlivyoua wayahudi October 7 na kuwateka Allah atawapa Pepo ila wayahudi hawaruhusiwi kujilinda watakumbwa na kiamaMayahud na makafiri mtachomeka siku ya kiyamma inshallah
Allah tujalie zile rehema za peponi [emoji39]
Wapo sawa wanatakiwa wauwe raia kwasababu hawo raia wakikua wanakuwa magaidi na vile vile hamasi iliteka raia hawoNaona nguvu kubwa inaendelea kutumika kuua raia na kubomoa majengo huko Gaza lkn hakuna taarifa za kupatikana kwa mateka. Je Mossad na IDF wameshindwa kuwaokoa ndugu zao? Au hakukuwa na mateka kama dunia ilivyoelezwa mwanzoni?
Mazoefu ya kufa yale; yanakuambia ni ibada! Wacha yauliwe kama kuku.Mtu kapata kisingizio cha kumchapa adui yake Acha akitumie
Kama kuandika tu shida sizani kama tutakua timamu upstairWapo sawa wanatakiwa wauwe raia kwasababu hawo raia wakikua wanakuwa magaidi na vile vile hamasi iliteka raia hawo
Wameua mateka wengine Kama 7 hivi pamoja na walinzi wao waliwatwanga mabomu baada ya kupata location. Zayuni ni mwehuNaona nguvu kubwa inaendelea kutumika kuua raia na kubomoa majengo huko Gaza lkn hakuna taarifa za kupatikana kwa mateka. Je Mossad na IDF wameshindwa kuwaokoa ndugu zao? Au hakukuwa na mateka kama dunia ilivyoelezwa mwanzoni?