Je, Israel ya sasa ni Taifa teule la Mungu au ni propaganda tu za kanisa?

Je, Israel ya sasa ni Taifa teule la Mungu au ni propaganda tu za kanisa?

Mkuu biblia imeandikwa figurative sio lateral... Yaani 80% ya maneno yana maana ya kiroho sio kimwili wanatheolojia watanielewa kwa mfano hio njaa Biblia imeeleza vzuri kabisa njaa ni ipi

Amos 8:11
11 Angalia, siku zinakuja, asema Bwana MUNGU, ambazo nitaleta njaa katika nchi; si njaa ya kukosa chakula, wala kiu ya kukosa maji, bali ya kukosa kuyasikia maneno ya BWANA.

Kwenye Biblia ARDHI sio hii ya kimwili bali Ardhi kiroho ina maana Kanisa au wakristo soma wakorintho 3:9 hata vita inayoongelewa sio ya kimwili bali vita za kiroho kati ya wakristo dhidi ya shetani kama

Waefeso 6:10-20
12 Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.
13 Kwa sababu hiyo twaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kushindana siku ya uovu, na mkiisha kuyatimiza yote, kusimama


And a lot nikipata wasaa ntaleta mada humu maana naona watu wengi sana mnafikiri Biblia inaongelea vita za kimwili mnapotoka mtashangaa Yesu wenu anarudi huku nyie mnasubiri eti vita sijui matetemeko..... World war 1 ma 2 zimeua watu zaidi ya million 50 je Yesu alirudi?? Matetemeko makubwa yamekuwepo toka karne ya 1 je Yesu alirudi??

Waisrael ndio walipotoka pia walidhani Yesu atakuja kama mfalme fulani wa kimwili ndio maana alipokuja kama mchonga mbao wakamdharau wakamuua

Amkeni wakuu

Hii tafsiri ya kiroho wengi hatuielewi. Hata tukiambiwa ufalme wa mbinguni uko ndani yetu hatuelewi tunasubiri tuuone physically, matokeo yake hatuuishi kama ilivyokusudiwa.
 
Nafikiri shida ilianzia kwa Esau alipokubali kuuza haki yake ya uzao wa kwanza ndio ikampa confidence Yakobo kuwa yeye ndio anastahili baraka za ''first born'' ikapelekea atumie ujanja mwingi ili aweze kutumia hiyo fursa aliyoachiwa na Esau.

Pili kwenye Biblia Mungu alikuwa anaheshimu sana maamuzi ya watu wake mfano Nuhu alimlaani Canaan kisa dhambi ya baba yake yaani Ham na Mungu aliitimiza laana hiyo kwa kuangamiza kizazi chote cha canaan kupitia Israel.....

So Mungu habariki wizi bali ametuachia free will ya kuamua hatma yetu yeye anasimamia tu.... Sasa Isaka ndio kambariki Yakobo hapo Mungu azuie tena ilihali ni maamuzi ya Isaka mwenyewe!!! Ila kama wamgemshirikisha Mungu kabla ya kutoa hizo baraka huenda ndio Mungu angeingilia na kumpa haki yake Esau!!

Muhimu hapa ni kumshirikisha Mungu mapema ndio hatoruhusu walaghai kama Yakobo kujipenyeza.

ILISHATABIRIWA KABLA KUWA MATAIFA MAWILI YANAPIGANA NDANI YA TUMBO LA MAMA YAONA MDOGO ATAMTAWALA MKUBWA. LABDA SWALI LIWE KWANINI TANGU TUMBONI MUNGU ALIAMUA KUTOA BARAKA KWA YAKOBO.
 
Uko vizuri kiongozi
Hicho unachokisema ndio nakiita propaganda. Wale wanabaki kama Jumba la Makumbusho tu, Wanaoption Mbili waingie Kuwa wafuasi wakristo au wanganganie Judaism wapotee kama ndugu zao waliochinjwa 70AD.

Kuhusu sacrament, ubatizo, mara kikundi flani kinachodhani ni kanisa halisi la kristo hiyo ni mada nyingine maana, Wakristo wanatambuliwa kwa kufuata maagizo ya Kristo sio '' Kujiita wakristo''.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Israel aliyo iacha yesu sio hi ambayo ipo sasa na pia sio ile ambayo mungu alileta ufunuo aliposema
Ewe bethrehemu katika nchi ya Yuda hu mdogo kamwe kitika majumbe wa Yuda kwa kuwa kwako atatoka mtawala atakae wachunga watu wangu Israel
Pia yesu akathibitisha ufunuo huu alipo
Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea kwa wana wa Israel
Hi Israel ya sasa ni Israel iliyotengenezwa na Marekani
Israel aliyo iacha Yesu ndani yake mlikuwa mna mji wa Jerusalem
Kwa hiyo iliuipate Israel ile inabidi ukusanye pamoja yani hiyo inayojiita Israel pamoja na Palestrina
Ila haziwezi kuchanganyika kwa sababu tayari kuna mgawanyiko wa kiimani
Na huu ugomvi upo kwa sababu walitaka kuifanya Israel kuwa ionekane kuwa ndio chimbuko la ukristo ila ikashindikana wakaona wazitenganishe iwepo Israel na Palestine
Wakaja kustuka kuwa Palestine ambako hakuna kabisa ukiristo wakati Palestine ndiko inapatikana Jerusalem ambapo ndio mji aliozaliwa Yesu
Na ndio maana sasa wazungu wenye dini yao wanataka kuirudisha tena Palestine ndani ya Israel ya sasa walioitengeneza wazungu na dini yao
Laki mwisho wa siku ile nchi haitakuwa Salama hadi dunia inaisha kwa sababu Yesu aliwani na Mungu pia aliwani kwa sababu ya jeuli yao kama mungu anavyosema katika Qurani kuwa

Kwa sababu ya jeuri yao wana wa Israel nimetia chuki na uadui ndani yao mpaka siku ya kiama
Sasa sijui tukufuate wewe,au tuifuate biblia?Maana ukisema Israel hi sio ukoo wa Ibrahimu,wakati maandiko yako wazi kabisa;Math 1:1-17 inaeleza wazi ukoo wa Yesu kuanzia kwa Ibrahim, wewe unasema hawa waisrael si uzao wa Ibrahim!!Paulo mwenyewe anasema yeye ni muisrael wa kabila la Benjamin (Rumi 11:1,Filemon 3:5).Sasa wewe hayo umeyatoa ktk chanzo kipi?Ukweli ni kuwa;hawa waisrael wa Tel Aviv ni wale wale wa uzao wa Ibrahim kama walivyo waarabu wa Saudia.Ila ahadi haipo kwao,ahadi ni kwa binaadamu wote wanaomkiri Kristo na sheria yake(Ufunuo 14:12)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mataifa ya kiteule kwanini yasiwe kutoka afrika?
Mbona katika list za nchi zenye amani duniani izerand ni ya pili kwanini isipewe iteule kwa sifa yake ya amani?

Huyo anaeteua mataifa kua ni teule anatumia vigezo gani haswa? Mbona israel wabaguzi sana na ni wagomvi sana dhidi ya palestina je inamaana jambo hili linachukuliwaje na huyo mteuzi?

Sent using unknown device
 
Sasa sijui tukufuate wewe,au tuifuate biblia?Maana ukisema Israel hi sio ukoo wa Ibrahimu,wakati maandiko yako wazi kabisa;Math 1:1-17 inaeleza wazi ukoo wa Yesu kuanzia kwa Ibrahim, wewe unasema hawa waisrael si uzao wa Ibrahim!!Paulo mwenyewe anasema yeye ni muisrael wa kabila la Benjamin (Rumi 11:1,Filemon 3:5).Sasa wewe hayo umeyatoa ktk chanzo kipi?Ukweli ni kuwa;hawa waisrael wa Tel Aviv ni wale wale wa uzao wa Ibrahim kama walivyo waarabu wa Saudia.Ila ahadi haipo kwao,ahadi ni kwa binaadamu wote wanaomkiri Kristo na sheria yake(Ufunuo 14:12)

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nahisi hujamuelewa huyo mtoa hoja.... Anachosema Ni kweli Israel ya kipindi cha Yesu walikua uzao wa Ibrahim lakini kumbuka makabila 10 yaliyotengeneza kingdom of Israel yalipelekwa utumwani na kuchangamana na mataifa mengine na kupotelea na wachache waliorudi ndio makao makuu yao Samaria.

Na hao waisrael pure walibakia Judah ambayo ni makabila ya Benjamin + Yuda.... Mbaya zaidi baada ya 70 AD hadi hao Judah waliobaki pure walifurumushwa walienda uhamishoni wakachangamana.

So as it stands makabila zaidi ya 10 hayajulikani yakwapi.... Kuna nadharia ipo kuwa Ashkenazi jews ambao ndio 80% ya Wayahudi waliopo duniani walitokea Khazaria na sio Jerusalem!! Hivyo wakawa termed kma Fake jews kwa mujibu wa kitabu cha 13th tribe......

Hivyo hoja yake anajengea hapo, sasa ukimjibu usiweke hoja za Biblia sababu by the time wayahudi wanapotea uhamishoni bible ilishaandikwa kitambo sana. So usitumie Bible kwenye hii hoja

Shukrani
 
Mkuu unatuthibitishia kuwa Mungu anaweza kucheza rafu ili mradi tu Mipango yake itimie ?
Yes mkuu.

kama akiingiliwa vibaya . unakumbuka kichapo cha Lucifer kule mbinguni? Malaika watiifu walimsihi Lucifer atubu bado ana wakati mzuri akagoma. hata kule carnesh banea Kora mwana wa Lawi na wenzake waliyoyapata unajua? walikuwa wanampinga Musa eti kwamba anajiinua hajatumwa na Mungu. Harun na dadake Musa, yaani Miriam walipata kichapo cha mbwa mwizi wakatubu wakawa salama kumbuka huyu dadake ndo yulee alimpeleka Musa akiwa bado kichanga mtoni alipokuwa akioga Binti Pharaoh.na huu ni mto Nile unaotiririsha maji toka ziwa Victoria paleeee Musoma mpaka leo iko ivo. Jude escaritote mtunza hazina na msomi katika lile kundi la Jesus ministry alijinyonga badala ya kutubu. that means hata nafasi ya kutubu hakupewa.

Tukirudi nyuma kidogo wakati Enock anazomewa na watoto waso adabu kilichowapata ni rafu za Mungu zile ndo ziliwa subdjugate wale watoto.kuna mifano mingi tu mkuu humu ila ukitubu kwa dhati aaah! hana shida.
 
Mun
Mungu hana ubaguzi, yeyote anayekubalika nae ni wake.... (nimesahau andiko)
Kwa sasa Mungu Israeli haina agano lolote na Mungu, mana waliwakataa manabii wote waliotumwa kwake. Ukitaka uhusiano wako na Mungu ww mkaribiee tu nae atakukaribia (Yak 4:8)
Ni mbaguzi hata kule mbinguni leo hii wazee 24 wamekizunguka kiti chake cha enzi. na malaika wana msujudia wakiimba mtakatifu mtakatifu. je kwa nini wazee hawa wachache hivo aliwachukua karibu na kiti chake cha enzi? na wala siyo wazee wengine wa imani? kwa nini malaika wengine watumwe tumwe Duniani kupambana na shetani pia kusikiliza shida za watu na kutoa ulinzi kwa binadamu na wengine wafaidi joto la uwepo wake kwa karibu sana katika kiti chake cha Enzi?
soma kitabu cha ufunuo kwa mrejeo zaidi,

Je kwa nini alimchukia Esau ambae ni mkubwa na akampenda yakobo ambaye ni mdogo kwa Esau? pia mjue kuwa Esau alikuwa na njaa kali siku ile baada ya mawindo yaso kuwa na tija, siku ile ile nyumbani mwa Babae aliye kuwa haoni tena sababu ya uzee kulikuwa hakuna kitu cha kutia kwa kinywa. mnajua njaa , kiu vinavouma jamani waweza ku fwaa!

sehemu pekee iliyo kuwa na chakula ni kwa mdogo wake machachari, ambaye pia alitaka cha juu. Tena huyu Yakobo (mtoto wa mama) alijilengesha kabisaa, alijua anachotaka kwa kaka yake ina maana aliziandaa njama hizi kwa muda mrefu bila mafanikio, hapo inafanya niamini kuwa huenda alificha chakula choote pale nyumbani sababu alikuwa ni mtu wakushinda saana Home.vilevile yakobo na mama yake hawaachani kama alitaka kumpiku baba yake mke vile. ni km unavo muona Diamond na mama yake,


OK! tuje hapa kwa nini alifanya ndugu zake yusufu kama kina Reuben,Simon, Lawi nk. wamsujudie mtoto mdogo vile yamkini hata Israel mwenyewe (babae) alimuangukia pale alipokutana naye Misri kwa mara ya kwanza je huo siyo ubaguzi ? walinyanyasika sana hawa jamaa kuomba omba msamaha mara mbilimbili. nauliza ndugu zangu wana jamvi
 
Ni mbaguzi hata kule mbinguni leo hii wazee 24 wamekizunguka kiti chake cha enzi. na malaika wana msujudia wakiimba mtakatifu mtakatifu. je kwa nini wazee hawa wachache hivo aliwachukua karibu na kiti chake cha enzi? na wala siyo wazee wengine wa imani? kwa nini malaika wengine watumwe tumwe Duniani kupambana na shetani pia kusikiliza shida za watu na kutoa ulinzi kwa binadamu na wengine wafaidi joto la uwepo wake kwa karibu sana katika kiti chake cha Enzi?
soma kitabu cha ufunuo kwa mrejeo zaidi,

Je kwa nini alimchukia Esau ambae ni mkubwa na akampenda yakobo ambaye ni mdogo kwa Esau? pia mjue kuwa Esau alikuwa na njaa kali siku ile baada ya mawindo yaso kuwa na tija, siku ile ile nyumbani mwa Babae aliye kuwa haoni tena sababu ya uzee kulikuwa hakuna kitu cha kutia kwa kinywa. mnajua njaa , kiu vinavouma jamani waweza ku fwaa!

sehemu pekee iliyo kuwa na chakula ni kwa mdogo wake machachari, ambaye pia alitaka cha juu. Tena huyu Yakobo (mtoto wa mama) alijilengesha kabisaa, alijua anachotaka kwa kaka yake ina maana aliziandaa njama hizi kwa muda mrefu bila mafanikio, hapo inafanya niamini kuwa huenda alificha chakula choote pale nyumbani sababu alikuwa ni mtu wakushinda saana Home.vilevile yakobo na mama yake hawaachani kama alitaka kumpiku baba yake mke vile. ni km unavo muona Diamond na mama yake,


OK! tuje hapa kwa nini alifanya ndugu zake yusufu kama kina Reuben,Simon, Lawi nk. wamsujudie mtoto mdogo vile yamkini hata Israel mwenyewe (babae) alimuangukia pale alipokutana naye Misri kwa mara ya kwanza je huo siyo ubaguzi ? walinyanyasika sana hawa jamaa kuomba omba msamaha mara mbilimbili. nauliza ndugu zangu wana jamvi
Nipe swali 1 nikujib, umeandika hoja, kukujibu ni kirefu mpaka tuzame kwenye Biblia zaidi

Sent using smatskills group on telegram
 
propaganda...
Mkuu binafsi naunga mkono hoja Yako Yote na huo ndio ukweli.
Propaganda za kuwahusudu waisraeli wa tel aviv kudhani kuwa wanakitu cha ziada katika mpango wa wokovu wa mwanadamu baada ya Yesu ni Utovu wa uelewa wa maandiko na ni propaganda za kikristo.

Propaganda hizo waliendelea kuwa nao hadi wakristo wa kanisa la awali wenye asili ya kiyahudi. Ila Bibilia iko wazi Yesu alikuja kwa ajili Ya ulimwengu wote. Na Waefeso ikaweka wazi alikujq kuondoa kiambaza kilichotutenga, na warumi ikasema sisi tulio mzabibu mwitu tumenyiwa artificial grafting kwenyenmzabibu mkuu.

Kwa Sababu naunga mkono hoja, Nisinene Mengi labda kama kuna mawazo kinzani ya kujadilisha huko mbele ya mjadala.

Barikiwa
zitto junior
Toa uthibitisho unaosema yesu alikuja Kwa ajili ya ulimwengu wote
 
Yes mkuu.

kama akiingiliwa vibaya . unakumbuka kichapo cha Lucifer kule mbinguni? Malaika watiifu walimsihi Lucifer atubu bado ana wakati mzuri akagoma. hata kule carnesh banea Kora mwana wa Lawi na wenzake waliyoyapata unajua? walikuwa wanampinga Musa eti kwamba anajiinua hajatumwa na Mungu. Harun na dadake Musa, yaani Miriam walipata kichapo cha mbwa mwizi wakatubu wakawa salama kumbuka huyu dadake ndo yulee alimpeleka Musa akiwa bado kichanga mtoni alipokuwa akioga Binti Pharaoh.na huu ni mto Nile unaotiririsha maji toka ziwa Victoria paleeee Musoma mpaka leo iko ivo. Jude escaritote mtunza hazina na msomi katika lile kundi la Jesus ministry alijinyonga badala ya kutubu. that means hata nafasi ya kutubu hakupewa.

Tukirudi nyuma kidogo wakati Enock anazomewa na watoto waso adabu kilichowapata ni rafu za Mungu zile ndo ziliwa subdjugate wale watoto.kuna mifano mingi tu mkuu humu ila ukitubu kwa dhati aaah! hana shida.
Sawa mkuu sasa kama Mungu anaweza kucheza rafu , kuna ubaya wowote sisi binadamu kucheza rafu?
 
Hivi biblia imeandikwa na nani na maneno yake yamesemwa na nani?
Mkuu baki kwenye hoja usitoke nje ya mada itageuka ya kidini wakati haikuwa nia yangu.... Kiufupi tu kwa mujibu wa wanatheolojia Biblia imeandikwa na watu kwa kuvuviwa na Roho mtakatifu mfano huyu hapa muandishi wa kitabu cha ufunuo yaani Yohana aliekuwa mwanafunzi wa Yesu.

Ufunuo wa Yohana 1
1 Ufunuo wa Yesu Kristo, aliopewa na Mungu awaonyeshe watumwa wake mambo ambayo kwamba hayana budi kuwako upesi; naye akatuma kwa mkono wa malaika akamwonyesha mtumwa wake Yohana;
2 aliyelishuhudia Neno la Mungu, na ushuhuda wa Yesu Kristo, yaani, mambo yote aliyoyaona.
3 Heri asomaye na wao wayasikiao maneno ya unabii huu, na kuyashika yaliyoandikwa humo; kwa maana wakati u karibu.


Kwa mfumo huu ndio biblia iliandikwa yaani unapewa maono alafu ndio unayaandika kama tu mtume Muhammad SAW alivyopewa maono akayatengenezea maandiko.
 
Toa uthibitisho unaosema yesu alikuja Kwa ajili ya ulimwengu wote
Yesu alikuja kwa ajili ya wayahudi tu according to Yohana sura ya kwanza maana wao ndio pekee waliomuabudu huyo Mungu YAHWEH mataifa mengine yalikuwa na miungu wao pia... Ila walivyomkataa ndio akageukia mataifa mengine

Soma Yohana 1:12

Kwa mujibu wa muandishi wa injili ya Yohana inaelezea Yohana mbatizaji alimtambua Yesu kama mkombozi wa Ulimwengu.

Yohana 1:29
29 Siku ya pili yake amwona Yesu anakuja kwake, akasema, Tazama, Mwana-kondoo wa Mungu, aichukuaye dhambi ya ulimwengu!

Yesu hapa ana confirm hili
Yohana 8:12
12 Basi Yesu akawaambia tena akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu, yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.

Kwahiyo conclusion kwenye Biblia ni kwamba Yesu ni mkombozi wa ulimwengu wote ila vitabu vya wayahudi wenyewe havimtambui hivo.
 
Back
Top Bottom