goodhearted
JF-Expert Member
- Feb 15, 2015
- 978
- 1,237
Sasa ilikuwaje kimbuga cha mzee wa msoga kikakukosa, Au na wewe ni kipenyo cha slim🤦🤦🏃🏃Unauliza Mkuyenge Mbunyeni Mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ilikuwaje kimbuga cha mzee wa msoga kikakukosa, Au na wewe ni kipenyo cha slim🤦🤦🏃🏃Unauliza Mkuyenge Mbunyeni Mkuu?
Unaishia Kijiji gani mkuu huko mkoani?Mzaramo gani anaeweza kwenda bichi kuogelea uchi au kusukumwa na maji. Hiv mnajua wazaramo wengi wasakatonge? Hela ya bichi wanaitolea wap
Kaingiza yote alafu akafanya nini?Sio tu mabinti zetu, hata watoto wetu wa kiume. Maake huu uchafu unazidi kukua siku hadi siku. Kibaya zaidi wahanga hawazungumzi
View attachment 2778112
Dunia inazidi kuchafukwa siku hadi siku. Tuweni makini
Msiseme sikuwaambia
Huu ni ujinga wa hali ya juu wa ku-promote ukahaba. Huyu binti ni kahaba anayejitangaza. Siyo kweli anayosema.Napata wasiwasi na hii interview,inaweza ikawa ni promotion pia ya uzinzi
[emoji1787][emoji1787]Kivipi mkuu? Mbona umewahi kuhukumu hivyo?huyo ni changudoa
Kivipi mkuuSass wewe uoni kama huyo ni changudoa kabisa?
Mi malaya tu hiyo. Ukifatilia interview nzima utashangaa mwishoni anatoa namba za simu ili mwenye uhitaji apige ahudumiwe.Kivipi mkuu
Hizi interview wanazifanya Hawa waaandishi uchwara Sana Ili wapate views kwenye viblog vyao na utube Huku wakiwatafuta Malaya na kuwalipa Yani tz ina watu wa hovyo balaaaSio tu mabinti zetu, hata watoto wetu wa kiume. Maake huu uchafu unazidi kukua siku hadi siku. Kibaya zaidi wahanga hawazungumzi
View attachment 2778112
Dunia inazidi kuchafukwa siku hadi siku. Tuweni makini
Msiseme sikuwaambia
Mbona kama vile tatizo lipo beach zote za waswahili bongo? Ni beach zipi tatizo ni kubwa
Genta inatakuwa na yeye ni miongoni mwa mabichi boi
Inawezekanaje Kula mzigo kwenye kina kirefu