Je, jina la Yesu ni kweli lina nguvu na uwezo mkubwa katika kutenda miujiza hadi leo? Wewe limekutendea makubwa gani? Karibu ushuhudie

Kuna imani za kijinga sana jina kama jina halina maana yoyote, na kulitumia kamaa hirisi ni ujinga wa kiwango alichokizungumzia Gwnerali Ulimwengu, IMBECILE - UZUZU
Watu hawajiulizi mbwa anabadilika nini anapoitwa paka.

Lugha ni sauti nasibu tu.
 
Ndivyo 1 John3:20 inavyosema hivyo katika biblia ya kanisa lako?
Uliniuliza wapi imetamkwa hivyo nikakuletea huo mstari. Hivyonkujua huo mstari umeandikwa nini rudi kwenye msingi wa swali lako.
Usipoweza, basi nikutakie Kila LA heri Mkuu katika Imani zenu.
 
Uliniuliza wapi imetamkwa hivyo nikakuletea huo mstari. Hivyonkujua huo mstari umeandikwa nini rudi kwenye msingi wa swali lako.
Usipoweza, basi nikutakie Kila LA heri Mkuu katika Imani zenu.

1John3:20 imetamka Na maneno hayo Pia ?
 
Unahoji?huamini?unashangaa?unadadisi? Unadhihaki? Unachangamsha? Unaburudisha? Ni chemsha bongo?

Mimi huwa naongea na Mungu nikiwa ndotoni ila huwa simuoni japo majibu huwa ananipa
 
Hilo jina ukilisikia na vile lilivyo fupi unaweza ukadhani ni la kawaida kumbeee,naomba niishie hapa nisije nikajaza server
 
Kipepeo kaota manyoya
 
We Ndio huna hekima simtaji huyo Yesu na maisha yangu murua kabisaaa [emoji16][emoji16]
Sasa kama unategemea majini na shetani lazima utapata maisha murua tu ila cha moto itaja kiona siku ya hukumu kwani si hata shetani anawapa uwezo na mafanikio wanaomwabudu kuna matajiri wangapi ni wafuasi wa lucifer na wamejaa tele kutoka huko upande wenu na dini zingine kama wahindu na buddha kuna MUNGU na miungu mnapata hayo manufaa toka kwa shetani

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Kwa uzito huohuo tumia jina jingine, iwe La babu yako au mbwa wenu nyumbani, hata shetani, halafu uje utuletee matokeo hapa.


Uungu hauna mipaka ya majina. Popote unapofikiwa Ukamilifu wake unatenda. Haijalishi utaupa jina gani.
Hayo majina mengine hayana nguvu ACDs zake zipo chini.ACDs ni kipimo kipimacho nguvu ya imani.
*Jesus anayo ACDs 100%
*Shetani anayo ACDs 40%
*Majemedari sita wa shetani wanayo 3 hawa ni wasaidizi wakuu wa shetani.
*Jini anayo 2.5
*Mwanadamu yeyeto anayo ACDs 1
*Wanyama wanayo 0.5.
Mwanadamu ACDs yake inapanda kadri ya upande anaoutumikia. S

So attack yeyeto ya kiroho itategemea na nguvu uliyojiunganisha nayo.
Kwann tuna believe in Jesus sababu anayo ACDs 100 so ukijiconnect nae Hakuna cha jini, shetani, mzimu, mchawi sijui takataka gani itakuweza sababu unapokea nguvu direct toka kwa Jesus Power.
 
Injili ipi au kiswahili kinakupiga chenga?

Au injili ya kanisa lako Ina tafsiri nyengine ya kiswahili mnachoongea kanisani kwenu?
Injili ni moja mkuu toka katika Biblia takatifu usipende kukariri kamstari huwezi pata maana.
Biblia usomi kama kitabu cha hadithi.
Usomwa kwa tafakuri
 
Yesu ndio chanzo cha uzima wangu, nilishawahi kugongwa na treni, licha ya kwamba gari yangu iliharibiwa kabisa lakini mimi binafsi nilitoka nikiwa mzima kabisaaaaaaaaa
Kuna mwingine aliwahipitia hali kama yako lkn hajawahi kanyaga kanisani lbda wakat anabatizwa na kufunga ndoa kwa sasa ni mademu kwenda mbele, huyo utampeleka upande gani
 
Hivi kwann mapepo yako sehemu za mijini na nchi maskini? Vijijin watu hawana habari namambo ya mapepo labda wachungaji walazimishe yawepo.
 
Injili ni moja mkuu toka katika Biblia takatifu usipende kukariri kamstari huwezi pata maana.
Biblia usomi kama kitabu cha hadithi.
Usomwa kwa tafakuri

Injili moja kwani biblia ni moja ?
 

Hizo ACD ni vipimo vya Kanisa lenu au biblia yenu ?
 
Ni muweza wa vyote. Unataka kujua kipi asichoweza kwa Muweza wa vyote? Mpaka akuambie?

Hope unajua kuwa amejitamkia kuwa yu muweza wa yote. (Hayo yote ni pamoja na kupata mtoto)
Mungu anahitaji mtoto? Mtoto wa nini kwake?
 
Asante kwa ushuhuda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…