Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Jina la Yesu lina nguvu sana kuliko unavyoweza kufikiri,Mimi Yesu amenitendea makuu kuna nyakati nimepitia changamoto kubwa Sana kiasi Cha kutaka kukata tamaa, hakukuwa na yeyote wa kunisaidia hata Marafiki zangu walikuwa mbali nami, Tumaini pekee nililobaki nalo ni Yesu Kristo MUNGU na mwokozi wangu, hakika alinisaidia ktk hali isiyoweza kuelezeka kibinadamu.
Ndugu yangu mtoa uzi na wana JF wote mnaosoma comment hizi,mwaminini Yesu Kristo,Ukimwamini atakutendea mambo mengi mema, huwezi kujua ukuu wa Yesu km hujapitia ktk changamoto za maisha ambazo ktk hali ya kawaida ni vigumu kutatulika na unapokaribia kukata tamaa unatokea msaada ambao hukuutegemea kabisa na ktk hali isiyoweza kuelezeka kibinadamu.
Ndugu yangu mtoa uzi na wana JF wote mnaosoma comment hizi,mwaminini Yesu Kristo,Ukimwamini atakutendea mambo mengi mema, huwezi kujua ukuu wa Yesu km hujapitia ktk changamoto za maisha ambazo ktk hali ya kawaida ni vigumu kutatulika na unapokaribia kukata tamaa unatokea msaada ambao hukuutegemea kabisa na ktk hali isiyoweza kuelezeka kibinadamu.