Je, jina la Yesu ni kweli lina nguvu na uwezo mkubwa katika kutenda miujiza hadi leo? Wewe limekutendea makubwa gani? Karibu ushuhudie

Je, jina la Yesu ni kweli lina nguvu na uwezo mkubwa katika kutenda miujiza hadi leo? Wewe limekutendea makubwa gani? Karibu ushuhudie

Mkuu utajishusha status yako kuna ndugu zako wanakutegemea hapa kwa majibu yako na maswali yako,na hapa pia huwa mnakosea "kujifanya hamjui na kuuliza maswali yasiyo na msingi".Naamini unasoma biblia otherwise hausomi Biblia ila una access na website/Vitabu za jamaa zako walioweka maswali yenye utata au ya kuwauliza wakristo.kwa hiyo naamini unajua sura halisi ya Yesu Kristo haijulikani.Hayo mambo ya Yesu mweupe au mweusi ni for educational purpose lakini sura halisi ya Yesu haijulikani.Sanasana kama unaitaka sura yake kama alivyoonyeshwa Yohana utaipata kwenye ufunuo lakini hiyo ni sura akiwa mbinguni siyo duniani.Unashindwaje kuyajua haya masomo ya elementary katika ukristo?

Unakimbia swali? Hivi mbona makanisani mumeweka picha ya yesu Mzungu? Na masanamu ya Yesu Mzungu ?
 
Hoja1:Wewe kutokuwa na Biblia original au kutokujua ipi ni original hakufanyi isiwepo,nyie ndiyo huwa mnatabia za kuseama pesa hazipo?Usiseme pesa hazipo sema sina pesa kwa nini unajumuisha na wengine?

Hoja2:Umesema hakuna uthibitisho ya kwamba wanafunzi wa Yesu waliandika injili?Wewe tupe uthibitisho ya kwamba hawakuandik injili?Kuna tofauti ya kutokuwepo na uthitisho na uthibitisho kuwepo ila mtu anaamua kuukataa.Nyie mmeamua wenyewe kukataa uthibitisho.
Hoja 3:Umeandika Luka hakuwa mwanafunzi wa Yesu?(Hapa umeonyesha hujui kabisa sasa tulia upate shule)Kujua hamjui darasani hamtaki kuja?Tunawasaidiaje?Unatakaniedelee kutoa chakula cha watoto niwape mbwa?

Je mwanafunzi ni nani?Je Yesu alikuwa na wanafunzi wangapi?Je mitume wa Yesu na wanafunzi wa Yesu maneno haya yanamanisha kitu kimoja au tofauti?Au moja limebeba jingine?
Definition
Desciple:
one who accepts and assists in spreading the doctrines of another
Apostle: one sent on a mission:
Yesu alikuwa na wanafunzi wengi,kati ya hao wanafunzi wengi aliwaita akachagua mitume(apostles) kumi na mbili.Kwa hiyo Luka(Dr.Luka) alikuwa ni mwanafunzi wa Yesu,angali maana ya neno Desciple hapo juu,Luka alikuwa pamoja na Yesu alijifunza kutoka kwake na alishiriki kwenda kueneza injili.Kwa hiyo kusema Luka hakuwa mwanfunzi wa Yesu nashukuru umejionyesha kiasi gani hujui tofauti ya Disciples and Apostles na hujui kama kulikuwa kuna makundi katika hao wanafunzi wa Yesu.Yesu alikuwa na wanfunzi wengi lakini siyo wote waliandikwa majina yao ili wewe ujifunze.Lakini mitume walikuwa 12 na mitume aliwapata kutoka kwa wanafunzi wake.

Tena Katika wale mitume kumi na mbili,kuna watatu alikuwa nao karibu zaidi ,hao ndiyo alienda nao mlimani.Kwa hiyo yaliyotokea kule mlimani yalishuhudiwa na wale wanafunzi watatu.
Kwa hiyo wanafunzi wa Yersu walikuwa wengi,sasa Kusema Luka hakuwa mwanafunzi wa Yesu siyo sahihi .Hata kama Luka hakuwepo wakati Yesu yupo na labda alijiunga baadaye bado ni mwanafunzi wa Yesu kwani si ni Yesu aliagiza "enendeni ulimwenguni kote mkawawafanye mataifa kuwa wanafunzi wangu?Hapa nyie mnakuwa mnafail wapi kuelewa mbona mambo yako wazi?

Kwa hiyo kama ulivyoandika "vitu kama hivi vinakuwa taabu kuthibitisha " uko sahihi kwani huwezi kuthibitisha kitu ambacho hukijui,hayo tuachie sisi tutathibitisha wewe huwezi.
Kuhusu jina Theophilus soma hapo chini

Luke was written to be read aloud to a group of Jesus-followers gathered in a house to share the Lord's supper. The author assumes an educated Greek-speaking audience, but directs his attention to specifically Christian concerns rather than to the Greco-Roman world at large.He begins his gospel with a preface addressed to "Theophilus": the name means "Lover of God," and could mean any Christian though most interpreters consider it a reference to a Christian convert and Luke's literary patron.

Kitu ambacho umekosa ni kwamba nyakati zile barua ilitumwa kwa mtu na kama ilitakiwa isomwe kwa jamii husika au kanisa basi ilisomwa.Kwa hiyo kitabu cha Luka kwa kuwa kimeanza na kutaja hilo jina Theophilus ambalo linamanisha Mtu wa Mungu au Mtumishi wa Mungu hii haimanishi kilikusudiwa kwa ajili ya huyo mtu mmoja.Chochote unachokiona kimeandikwa kwenye biblia maana yake siyo siri kinafaa kwa ajili ya waamini kukifahamu au kujifunza.Kwa hiyo kama kitabu cha Luka kilimhusu mtu mmoja tu na hakutakiwa kuisoma barua hiyo kwa kanisa basi isinge andikwa .Lakini hata kama barua hiyo ilikusudiwa kwa mtu mmoja na baada ya kuisoma akaona yaliyomo yanafaa na wengine wayafahamu au yatawasaidia katika imani,shida iko wapi wengine wakijua mpaka iwe ni topic inawasumbua mpaka mnasema kitabu hicho ni barua ilikuwa inaenda kwa mtu mmoja?Shida hapo ni nini?Hoja yenu hapa haina nguvu kama ambavyo nimekuwa nasema.
Regards
Aqua


Hujaleta ushahidi wowote kuthibitisha kuwa Luka alikuwa ni mwanafunzi wa Yesu. Hizo ngonjera ulizoandika ndizo mbinu Za mwachungaji makanisani Za kuwadanganya watu.

Luka 1 1 Kasema mwenyewe kuwa baada kuona watu wengi wameandika Na yeye akaona ni bora Na yeye aandike baada ya kufanya uchunguzi

1Kwa kuwa watu wengi wamekaa ili kuandika habari za mambo yaliyotukia katikati yetu,

2kama vile yalivyokabidhiwa kwetu na wale waliokuwa mashahidi walioyaona na watumishi wa Bwana,

3mimi nami baada ya kuchunguza kila kitu kwa uangalifu kuanzia mwanzo, niliamua kukuandikia habari za mambo hayo, ewe mtukufu Theofilo,

4ili upate kujua ukweli kuhusu yale uliyofundishwa.

Soma bila jaziba
 
Hujaleta ushahidi wowote kuthibitisha kuwa Luka alikuwa ni mwanafunzi wa Yesu. Hizo ngonjera ulizoandika ndizo mbinu Za mwachungaji makanisani Za kuwadanganya watu.

Luka 1 1 Kasema mwenyewe kuwa baada kuona watu wengi wameandika Na yeye akaona ni bora Na yeye aandike baada ya kufanya uchunguzi

1Kwa kuwa watu wengi wamekaa ili kuandika habari za mambo yaliyotukia katikati yetu,

2kama vile yalivyokabidhiwa kwetu na wale waliokuwa mashahidi walioyaona na watumishi wa Bwana,

3mimi nami baada ya kuchunguza kila kitu kwa uangalifu kuanzia mwanzo, niliamua kukuandikia habari za mambo hayo, ewe mtukufu Theofilo,

4ili upate kujua ukweli kuhusu yale uliyofundishwa.

Soma bila jaziba
Hafs aliewandikia Koran mnayosoma leo aliwahi ata kumuona Muhammad?
 
Sorry thread inasema nini? Fungua uzi tutakujibu
Punguza ku copy na ku paste
Wewe umehoji uhalali wa Luka kuandika ,

Nimekupa swali rahisi sana
Hafs aliewandikia Koran mnayosoma soma leo , aliwahi kumuona Muhammad , jibu kirahisi tu ndio au hapana acha kuleta janjajanja
 
Punguza ku copy na ku paste
Wewe umehoji uhalali wa Luka kuandika ,

Nimekupa swali rahisi sana
Hafs aliewandikia Koran mnayosoma soma leo , aliwahi kumuona Muhammad , jibu kirahisi tu ndio au hapana acha kuleta janjajanja
kwani aliyeandika quran ndiye kaandika biblia ??? lete wewe hayo maandiko kutoka vitabu vya kanisa lako hajakukataza mtu, ndiyo kupeana elimu
 
Limenitendea mengi.
Itoshe kusema jina la Yesu , Yesu jina lenye nguvu[emoji120]
 
Kama nilivyosema mwanzo w a l e j a m a a (Yahaya mpe MIC) wamewapoteza sana,na inaonekana mna program maalum yakufanya upotoshaji.Nimegundua uwezo wenu sasa naomba uniruhusu nikufundishe kama mtoto wa darasa la kwanza,nimeona jinsi ninavyokuelezea huelewi una lengo lako,najua kabisa unajua unachokifanya na unawajua na ndugu zako mnaoshirikiana nao kuweka sumu,ndiyo sababu,huna vitu vyako wewe kama wewe,mambo mengi unayoyaandika tukiyatafuta tunayakuta mitandaoni yanafanana.Hii inaonyesha umekalilishwa au umepewa maswali fulani ndiyo sababu hutoki na haujibu maswali yangu ila unaendelea kuleta maswali yako.Unashindwa kujibu maswali yangu kwa sababu haya ninayoukuuliza huna desa.

Sasa nirudi nikufundishe kwa technique nyingine kama hii nayo hautailewe basi tutaendelea kukuombea

Mfano wa kwanza:Wewe ni mfanya kazi, mnafanya kazi ya kusambaza mboga mikoa ya Tanzania,boss anatoa maelekezo mwezi huu wa nne,tutapeleka mboga Arusha peke yake ,msipeleke maeneo mengine.Sawa ?Sawa boss.Maagizo haya yanarekodiwa kwenye vitabu ya kwamba boss alisema tutapeleka mboga Arusha peke yake.
Mnafanya kazi ya kupelaka mboga Arusha,baadaye siku za mbele boss anawaagiza pelekeni mboga miko yote ya Tanzania.Taarifa hii pia inarekodiwa ya kwamba boss aliagiza tupeleke mboga Tanzania yote.
Hapa shida yenu kwa kuwa boss alisema mwanzoni tutapeleka Arusha tu,mnapinga maagizo yake ya kuepeleka mikoa mingine.Pia hamtaki kukubali kwamba katika kujifunza kuna formal way na informal.Hamuwaamini wanafunzi wa Yesu ya kwamba walichokiandika ni kweli Yesu alisema?Kwa lugha zingine mimi leo nije nikubishia wewe juu ya somo mlilofundishwa Ijumma iliyopita pale ulipoenda kuswali.Nikatae ya kwamba mlichofundishwa siyo hicho,yaani mtu amabaye hakuwepo anabisha na na watu waliokuwepo?Huyu mtu akili yake iko sawa?
Biblia huwa haijipingi isipokuwa sisi ndiyo tunashindwa kuelewa ,sasa ukisema Paulo ameleta mafundisho mapya?
Nokusaidie katika ukristo wa kweli hatufanynhudumamkwa akili zeti wenyewe yupo anayetuonhgoza katika huduma hiyo.Paulo alichaguliwa na Mungu kwa kazi maalum,kwa hiyo hakuna sehemu alienda kufanya kazi kwa matakwa yake mwenyewe.

Mfano wa pili:Baba yako ametoa maelekezo kwamba nataka mfanye usafi wa ndani ya nyumba tu ndicho nilichopanga,sawa?Sawa baba.Alichokisema kikaandikwa kwenye vitabu vya kumbukumbu.Baada ya mwezi anawaagiza enendeni mtaani,mpite kila nyumba mfanye usafi nje ya nyumba hizo.Hili agizo la pili linachelewa kutekelezwa,linakuja kufanyiwa kazi baadaye.Je ni sahihi mtu akikubishia akakuambia wewe Baba alisema tufanye usafi nyumbani kwetu na siyo kwingine?Mtu huyu anyebisha pasipo kuwa na hoja za msingi ni wewe na hao ndugu zako.Hoja zenu ni dhaifu sana hazina ushadhidi zaidi ya kutumia technique za ujanjaujanja kuwachanganya watu,kisha unawafanya waone unachosema wewe ni sahihi.

Soma Matendo 13:2
"Walipokuwa wakimwabudu Bwana na kufunga, Roho Mtakatifu aliwaambia, “Nitengeeni Sauli na Barnaba kwa kazi maalumu niliyowaitia.”
Sasa Mungu mwenyewe anasema atengewe Sauli(Paulo) amemwita kwa kazi maalum,wewe huna hata umri wa miaka 120 unabisha kwa sababu ya document na vitabu vilivyojaa mawazo ya wanadamu vinavyopotosha kweli?
Mathayo 28:19 Yesu anawaagiza waende wakawafundishe mataifa wote...Wewe na wenzako mnataka wabaki na maelekezo ya mwanzo ya kufanya kazi kwa Wayahudi?Unachokifanya ni kama mfanyakazi anakataa maagizo mapya anayopewa na boss wake na kung'ang'ania alichoambiwa jana?Samahani umeajiliwa au umejiajili?Nisije niaka naongea na kukupa mifano ambayo ni giza kwako?Amacho hamjuini kwamba Yesu alikuwa na kazi anaifanya hivyo alikuwa anatoa maelekezo,leo atatoa maelekezo haya na kesho mengine ili lengo la kuja kwake litimie.Sasa kitendo chenu cha kung'ang'ania tu amelekezo fulani ili mtimize agenda yenu ya siri hatuwezi kunyamaza,taratibu watu wataujua ukweli na nitaendelea kuweka wazi technique zenu mpaka ndugu zako watampokea Yesu awe Bwana na mwokozi wao.
Kitu kingine nikusaidia ukawaambie na jamaa zako wale wanafunzi hawakujiita wao Wakristo bali waliitwa kwa mara ya kwanza kwenye mji unaitwa Antiokia(uko Uturuki ya sasa) kwa hiyo jamaa walipeleka injili mpaka Turkey wewe unasema kwa Wayahudi peke yao?Unapingana na Biblia na unapingana na historia.Hivi na Damscas ni Isarel?Jamaa walifika huko,tatizo humjui Mungu wetu na jinsi anavyofanya kazi.Kama ingekuwa siyo mapango wake injili iende kwa watu wengine angewazuia.Na kama ulikuwa hujui hata hayo makanisa 7 ya kwenye ufunuo yako Uturuki ,sasa mnapojadili muwe na hoja zenye nguvu.

,kama ambavyo mnang'ang'ani tuwape ushahidi wa wapi Yesu alijiita mwenyewe mwana wa Mungu?Mmekuwa kama mmejitoa ufahamu,unajua watu wana majina ,mara nyingi mtu anaitwa jina lake na watu wengine mara chache anajiita mwenyewe.
Biblia ni kitabu kizuri ,naamini unajua maana ya a.k.a (inawezekana hujui,nikifupi cha "also known as") ingekuwa leo yamkini Yesu angeiwa Mwana wa Mungu ak.a Mwana wa Adam.ak.a Mwana wa Daudi, kumbe kwa lugha nyingine a.k.a ilianza siku nyingi Sauli a.ka. Paulo.Sasa nyie shida yenu siielewi inaonekana kuna kitu mnataka mkifikie lakini ni kuambie hamtaweza kwa sababu Mungu wa Israel ni mkuu.Kama ambavyo taifa la Israel limeendelea kuwepo( pamoja na Iran kusem ni uvimbee ambao unaweza ukatumbuka muda wowote )ili uwe ushahidi wa habari zake zilizojaa kwenye biblia pamoja na chuki za mataifa wanayomzunguka ingawa siku hizi wamegundua wanaanza kushirikiana naye ,wewe tu bado umekomaa na madesa yako.
Je Yesu ni kigeugeu?Yesu siyo ,hajawahi na hatawahi ,shida ni nyie mnaolazimisha mambo yawe mnavyotaka nyie kwa makusudi yenu ambayo hamuwezi kuyaweka hadhalani,lakini najua unayajua au unatumiwa ila huyajui .
Nikuulize kitu,wewe unaamini nini katika Biblia ?Kipi kiko sahihi ambacho kiko ndani ya Biblia?
Naomba pia urudi shule ujifunze nini maana ya "passive na active speech" inaonekana katika Biblia hamtaki kutambua "passive speech".Ila mnaposoma magazeti yanaandika "mwanzo wa kunukuuu..." mwisho wa kunuuu" au mkiangalia TV mtangazaji akisema "namnukuu" hayo mnayakubali ila ya Kwenye biblia yamepotoshwa.Waandishi wakiandika Rais alisema "......." Mnakubali ila Biblia ikiandika "Yesu alisema..."Mnakataa.Kazi kwelikweli

Kuna maswali niliuliza usidhani nimesaahau nahitaji jibu,
1.Je huwa mnavaa pete za ndoa?Na kama huwa mnavaa,mnavaa zaidi ya pete moja?Kama huwa hamvai zile pete wanavaa wakubwa wenu zinakazi gani?
2.Ulisema Yesu siyo mwana wa Mungu yeye mwenyewe alijiita mwana wa Adam,nilikuuliza Yesu anakuwaje ni mwana wa Adam wakati tunajua alizaliwa na bikra Maria kwa uwezo wa Roho Mtakatifu?Naamini mnaijua Biblia vizuri kuliko sisi ndiyo sababu nataka jibu kutoka kwako mwananzuoni.lakini pia pita Mathayo moja,juu ya ukooo wa Yesu ameitwa tena Yesu mwana wa Daudi,mwana wa Abraham,tusaidie majibu mwananzuoni wetu ila usikimbie,taratibu tutaelewana.

Busara ya Mwenyezi Mungu kukataza mafunzo ya Yesu yasikiuke mipaka ya Israili ni kuwa isije dini ya haki ikaharibiwa na ushirikina wa makafiri ulioenea pande zote katika zama zile. Ulimwengu ulikuwa bado haujawa tayari kupokea ujumbe wa ulimwengu mzima, na huyo mwenye kuweza kubeba ujumbe ule hajazaliwa, na umma wa kutimiza jambo hilo na kulieneza bado haujapikika ukawa tayari. Yaliyotokea tumeyaona.

Ukristo tuuonao na ulioenea ulimwenguni sio Ukristo aliofundisha Yesu. Wa Yesu ulitoweka na mwenyewe na wafuasi wake wa mwanzo wa kabila la Kiyahudi. Paulo kaufuja Ukristo.

Kauli zinazonukuliwa kwa kudai kuwa ni ushahidi kuwa Yesu mwenyewe alitaka mafunzo yake yakafundishwe kwa ulimwengu wote yamo katika Injili ya Mathayo 28.19-20, Injili ya Luka 24.46-49 na Marko 16.15. Mathayo inasema:


Basi, enendeni, mkwafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.
Mathayo 28.19-20

Luka anatwambia:

(Yesu) akwaambia, Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na kufufuka siku ya tatu; na kwamba mataifa yote watahubiriwa kwa jina lake habari ya toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu Yerusalemu. Nanyi ndinyi mashahidi wa mambo haya. Na tazama, naweletea juu yenu ahadi ya Baba yangu; lakini kueni humu mjini, hata mvikwe uwezo utokao juu.
Luka 24.46-49

Na Injili ya Marko inasema:

(Yesu) akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.
Marko 16.15

Je, imekuwaje?
Yesu ni kigeugeu?

Mbona huku anawakataza wanafunzi wake wasende kuwahubiria ila kabila kumi na mbili za Israili, na huku anawaambia nendeni kuwahubiria Injili ulimwengu mzima. La, Yesu si mbabaishi, wala si kigeugeu. Hebu natuziangalie vilivyo hizo amri mbili, moja ya kuwa mafunzo yake wasifunzwe ila wana wa Israili tu, na ya pili ni hii ya kuwa watu wote wafunzwe dini.

Vipande vyote vitatu tulivyonukulu mwishoni havitaji mambo ya Yesu alipokuwa na maisha yake ya uhai wa kidunia, lakini vyaeleza mambo yaliyotukia baada ya "kufufuka kutoka wafu" kama inavyosimuliwa na Injili zote tatu. Yajuulikana kuwa Injili ya mwanzo kuandikwa ni Injili ya Marko. Hizo nyingine ziliandikwa baadae, na labda ujuzi wao ulitegemea hiyo hiyo Injili ya Marko.

Yajuulikana vile vile kuwa maneno yote yaliyohusu kufufuka Yesu kutokana na wafu, pamoja na hayo maamrisho ya kwenda kuihubiri Injili "kwa kila kiumbe", kinyume na maamrisho yake yote ya kuwa asihubiriwe ila Muisraeli tu - maneno hayo yote hayakuwamo katik Marko ya asli, bali yaliongezwa baadae.
Encyclopaedia Brittanica, nakla ya 11, jalada 17, sahifa 730, yasema ya kuwa kipande chote hicho kiliongezwa baadae, yamkini mwanzo mwanzo wa karne ya pili, kuchukua maneno yaliyopotea, au yaliyoonekana kuwa ni mapungufu.

William Neil akiandika katika tafsiri ya Biblia iitwayo Harper's Bible Commentary anasema:

"Kama lipo jambo lolote katika uchunguzi wa Injili ambalo juu yake wataalamu wamekubaliana, ni kuwa kufika hapa (yaani Marko 16.8) Injili ya Marko inakoma. Sehemu iliyobaki ya sura (yaani 16.9-20) ndio hiyo iitwayo "Kimalizio kirefu" cha Injili.

Kimalizio hicho hakionekani katika nakla za miswada ya zamani, na ambacho ni nyongeza iliyopachikwa katika karne ya pili kutokana na maongezo ya Mathayo, Luka na Matendo...

ushahidi wa kale kabisa ulioandikwa juu ya Kufufuka (Yesu) haumo katika Injili bali katika barua ya kwanza ya Paulo kuwapelekea Wakorintho 15.3-8."
 
Busara ya Mwenyezi Mungu kukataza mafunzo ya Yesu yasikiuke mipaka ya Israili ni kuwa isije dini ya haki ikaharibiwa na ushirikina wa makafiri ulioenea pande zote katika zama zile. Ulimwengu ulikuwa bado haujawa tayari kupokea ujumbe wa ulimwengu mzima, na huyo mwenye kuweza kubeba ujumbe ule hajazaliwa, na umma wa kutimiza jambo hilo na kulieneza bado haujapikika ukawa tayari. Yaliyotokea tumeyaona.

Ukristo tuuonao na ulioenea ulimwenguni sio Ukristo aliofundisha Yesu. Wa Yesu ulitoweka na mwenyewe na wafuasi wake wa mwanzo wa kabila la Kiyahudi. Paulo kaufuja Ukristo.

Kauli zinazonukuliwa kwa kudai kuwa ni ushahidi kuwa Yesu mwenyewe alitaka mafunzo yake yakafundishwe kwa ulimwengu wote yamo katika Injili ya Mathayo 28.19-20, Injili ya Luka 24.46-49 na Marko 16.15. Mathayo inasema:


Basi, enendeni, mkwafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.
Mathayo 28.19-20

Luka anatwambia:

(Yesu) akwaambia, Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na kufufuka siku ya tatu; na kwamba mataifa yote watahubiriwa kwa jina lake habari ya toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu Yerusalemu. Nanyi ndinyi mashahidi wa mambo haya. Na tazama, naweletea juu yenu ahadi ya Baba yangu; lakini kueni humu mjini, hata mvikwe uwezo utokao juu.
Luka 24.46-49

Na Injili ya Marko inasema:

(Yesu) akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.
Marko 16.15

Je, imekuwaje?
Yesu ni kigeugeu?

Mbona huku anawakataza wanafunzi wake wasende kuwahubiria ila kabila kumi na mbili za Israili, na huku anawaambia nendeni kuwahubiria Injili ulimwengu mzima. La, Yesu si mbabaishi, wala si kigeugeu. Hebu natuziangalie vilivyo hizo amri mbili, moja ya kuwa mafunzo yake wasifunzwe ila wana wa Israili tu, na ya pili ni hii ya kuwa watu wote wafunzwe dini.

Vipande vyote vitatu tulivyonukulu mwishoni havitaji mambo ya Yesu alipokuwa na maisha yake ya uhai wa kidunia, lakini vyaeleza mambo yaliyotukia baada ya "kufufuka kutoka wafu" kama inavyosimuliwa na Injili zote tatu. Yajuulikana kuwa Injili ya mwanzo kuandikwa ni Injili ya Marko. Hizo nyingine ziliandikwa baadae, na labda ujuzi wao ulitegemea hiyo hiyo Injili ya Marko.

Yajuulikana vile vile kuwa maneno yote yaliyohusu kufufuka Yesu kutokana na wafu, pamoja na hayo maamrisho ya kwenda kuihubiri Injili "kwa kila kiumbe", kinyume na maamrisho yake yote ya kuwa asihubiriwe ila Muisraeli tu - maneno hayo yote hayakuwamo katik Marko ya asli, bali yaliongezwa baadae.
Encyclopaedia Brittanica, nakla ya 11, jalada 17, sahifa 730, yasema ya kuwa kipande chote hicho kiliongezwa baadae, yamkini mwanzo mwanzo wa karne ya pili, kuchukua maneno yaliyopotea, au yaliyoonekana kuwa ni mapungufu.

William Neil akiandika katika tafsiri ya Biblia iitwayo Harper's Bible Commentary anasema:

"Kama lipo jambo lolote katika uchunguzi wa Injili ambalo juu yake wataalamu wamekubaliana, ni kuwa kufika hapa (yaani Marko 16.8) Injili ya Marko inakoma. Sehemu iliyobaki ya sura (yaani 16.9-20) ndio hiyo iitwayo "Kimalizio kirefu" cha Injili.

Kimalizio hicho hakionekani katika nakla za miswada ya zamani, na ambacho ni nyongeza iliyopachikwa katika karne ya pili kutokana na maongezo ya Mathayo, Luka na Matendo...

ushahidi wa kale kabisa ulioandikwa juu ya Kufufuka (Yesu) haumo katika Injili bali katika barua ya kwanza ya Paulo kuwapelekea Wakorintho 15.3-8."
Punguza copy paste , soma unaposoma andika kwa ufupi sio unachukua desa kama lilivyo unapachika humu
 
jibu hoja kuwa sio , au copy vitabu vya mchungaji wako utupe elimu usilalamike
Koran iliyonayo imeandikwa kutoka kwa hafs na hafs alikuwepo miaka zaidi ya 200 baada ya Muhammad , hajawahi kumuona Muhammad , hafs na yeye anasema aliadithiwa Koran na mjomba ake, Yani ni mlolongo wente utata na janja janja nyingi

Hafs waislamu pia wanamuita ni muongo na aaminiki kabisa , ni mwizi wa kazi za kiuandishi za watu
 
Koran iliyonayo imeandikwa kutoka kwa hafs na hafs alikuwepo miaka zaidi ya 200 baada ya Muhammad , hajawahi kumuona Muhammad , hafs na yeye anasema aliadithiwa Koran na mjomba ake, Yani ni mlolongo wente utata na janja janja nyingi

Petro akasimama pamoja na wale wanafunzi kumi na moja, akawaambia umati:

“Enyi watu wa Israeli, sikilizeni neno hili: Yesu wa Nazareti alikuwa mtu aliyethibitishwa kwenu na Mungu kwa miujiza, maajabu na ishara, ambazo Mungu alizifanya kati yenu kwa yeye, kama ninyi wenyewe mjuavyo.” (Matendo 2:22).

Kwa hiyo, Mungu ndiye aliyefanya miujiza hiyo kupitia Yesu ili kuwasadikisha watu kwamba Yesu aliungwa mkono na Mungu. Petro hakuona miujiza hiyo kuwa uthibitisho wa kwamba Yesu ni Mungu.

Kwa kweli, jinsi Petro anavyomtaja Mungu na Yesu huonyesha wazi kwamba Yesu sio Mungu. Kwa maana daima anageuza jina la Mungu kutoka kwa Yesu. Chukua marejeleo yafuatayo kwa mfano:

“Mungu amemfufua huyu Yesu…” (Matendo 2:32).

"Mungu amemfanya huyu Yesu mliyemsulibisha kuwa Bwana na Kristo." (Matendo 2:36)

Katika vifungu vyote viwili, jina la Mungu limegeuzwa kutoka kwa Yesu. Basi kwa nini alifanya hivi, ikiwa Yesu alikuwa Mungu?
Kwa Petro, Yesu alikuwa mtumishi wa Mungu. Petro alisema:

“Mungu alimfufua mtumishi wake…” (Matendo 3:26).

Cheo cha mtumishi kinarejelea Yesu. Hili liko wazi kutokana na kifungu kilichotangulia ambapo Petro alisema:

"Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo, Mungu wa baba zetu, amemtukuza mtumishi wake Yesu." (Matendo 3:13).

Lazima Petro alijua kwamba Ibrahimu, Isaka, na Yakobo hawakuzungumza kamwe juu ya Mungu wa Utatu. Siku zote walizungumza juu ya Mungu kama Mungu pekee. Hapa, kama katika Mathayo 12:18, Yesu ni mtumishi wa Mungu.

Mathayo anatuambia kwamba Yesu alikuwa mtumishi yule yule wa Mungu aliyetajwa katika Isaya 42:1. Kwa hiyo, kulingana na Mathayo na Petro, Yesu sio Mungu, bali mtumishi wa Mungu. Agano la Kale linasema tena na tena kwamba Mungu yuko peke yake (kama vile Isaya 45:5).
Wanafunzi wote wa Yesu walikuwa na maoni haya. Katika Matendo 4:24 tunaambiwa kwamba waumini walimwomba Mungu wakisema:
“...wakapaza sauti zao pamoja katika kumwomba Mungu. Wakasema, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu, wewe ndiye uliyeziumba mbingu na dunia na bahari na vyote vilivyomo.’”
Ni wazi kwamba yule waliyekuwa wakimuomba hakuwa Yesu, kwa sababu, mistari miwili baadaye, walimtaja Yesu kuwa
"...mtumishi wako mtakatifu Yesu, uliyemtia mafuta." (Matendo 4:27).
Ikiwa Yesu alikuwa Mungu, wanafunzi wake walipaswa kusema hivyo waziwazi. Badala yake, waliendelea kuhubiri kwamba Yesu alikuwa Kristo wa Mungu. Tunaambiwa katika Matendo::
“Siku baada ya siku, katika hekalu kutoka nyumba kwa nyumba, hawakuacha kamwe kufundisha na kutangaza habari njema kwamba Yesu ndiye Kristo.” (Matendo 5:42).

Neno la Kigiriki “Kristo” ni cheo cha kibinadamu. Inamaanisha “Mtiwa-Mafuta.” Ikiwa Yesu alikuwa Mungu, kwa nini daima wanafunzi wangemrejelea kwa vyeo vya kibinadamu kama vile mtumishi na Kristo wa Mungu, na mara kwa mara watumie jina la cheo Mungu kwa yule aliyemfufua Yesu?

Je, waliogopa wanadamu? Hapana! Walihubiri kweli kwa ujasiri bila kuogopa kufungwa au kuuawa. Walipokabiliwa na upinzani kutoka kwa wenye mamlaka, Petro alisema:

“Imetupasa kumtii Mungu kuliko wanadamu! Mungu wa baba zetu alimfufua Yesu...” (Matendo 5:29-30).

Je, walikuwa wamepungukiwa na Roho Mtakatifu? Hapana! Waliungwa mkono na Roho Mtakatifu (angalia Matendo 2:3, 4:8, na 5:32).

Walikuwa wakifundisha tu yale waliyokuwa wamejifunza kutoka kwa Yesu—kwamba Yesu hakuwa Mungu bali, mtumishi wa Mungu na Kristo.

Quran inathibitisha kwamba Yesu alikuwa Masihi (Kristo), na kwamba alikuwa mtumishi wa Mungu (angalia Quran Tukufu 3:45 na 19:30).















 
Petro akasimama pamoja na wale wanafunzi kumi na moja, akawaambia umati:

“Enyi watu wa Israeli, sikilizeni neno hili: Yesu wa Nazareti alikuwa mtu aliyethibitishwa kwenu na Mungu kwa miujiza, maajabu na ishara, ambazo Mungu alizifanya kati yenu kwa yeye, kama ninyi wenyewe mjuavyo.” (Matendo 2:22).

Kwa hiyo, Mungu ndiye aliyefanya miujiza hiyo kupitia Yesu ili kuwasadikisha watu kwamba Yesu aliungwa mkono na Mungu. Petro hakuona miujiza hiyo kuwa uthibitisho wa kwamba Yesu ni Mungu.

Kwa kweli, jinsi Petro anavyomtaja Mungu na Yesu huonyesha wazi kwamba Yesu sio Mungu. Kwa maana daima anageuza jina la Mungu kutoka kwa Yesu. Chukua marejeleo yafuatayo kwa mfano:

“Mungu amemfufua huyu Yesu…” (Matendo 2:32).

"Mungu amemfanya huyu Yesu mliyemsulibisha kuwa Bwana na Kristo." (Matendo 2:36)

Katika vifungu vyote viwili, jina la Mungu limegeuzwa kutoka kwa Yesu. Basi kwa nini alifanya hivi, ikiwa Yesu alikuwa Mungu?
Kwa Petro, Yesu alikuwa mtumishi wa Mungu. Petro alisema:

“Mungu alimfufua mtumishi wake…” (Matendo 3:26).

Cheo cha mtumishi kinarejelea Yesu. Hili liko wazi kutokana na kifungu kilichotangulia ambapo Petro alisema:

"Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo, Mungu wa baba zetu, amemtukuza mtumishi wake Yesu." (Matendo 3:13).

Lazima Petro alijua kwamba Ibrahimu, Isaka, na Yakobo hawakuzungumza kamwe juu ya Mungu wa Utatu. Siku zote walizungumza juu ya Mungu kama Mungu pekee. Hapa, kama katika Mathayo 12:18, Yesu ni mtumishi wa Mungu.

Mathayo anatuambia kwamba Yesu alikuwa mtumishi yule yule wa Mungu aliyetajwa katika Isaya 42:1. Kwa hiyo, kulingana na Mathayo na Petro, Yesu sio Mungu, bali mtumishi wa Mungu. Agano la Kale linasema tena na tena kwamba Mungu yuko peke yake (kama vile Isaya 45:5).
Wanafunzi wote wa Yesu walikuwa na maoni haya. Katika Matendo 4:24 tunaambiwa kwamba waumini walimwomba Mungu wakisema:
“...wakapaza sauti zao pamoja katika kumwomba Mungu. Wakasema, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu, wewe ndiye uliyeziumba mbingu na dunia na bahari na vyote vilivyomo.’”
Ni wazi kwamba yule waliyekuwa wakimuomba hakuwa Yesu, kwa sababu, mistari miwili baadaye, walimtaja Yesu kuwa
"...mtumishi wako mtakatifu Yesu, uliyemtia mafuta." (Matendo 4:27).
Ikiwa Yesu alikuwa Mungu, wanafunzi wake walipaswa kusema hivyo waziwazi. Badala yake, waliendelea kuhubiri kwamba Yesu alikuwa Kristo wa Mungu. Tunaambiwa katika Matendo::
“Siku baada ya siku, katika hekalu kutoka nyumba kwa nyumba, hawakuacha kamwe kufundisha na kutangaza habari njema kwamba Yesu ndiye Kristo.” (Matendo 5:42).

Neno la Kigiriki “Kristo” ni cheo cha kibinadamu. Inamaanisha “Mtiwa-Mafuta.” Ikiwa Yesu alikuwa Mungu, kwa nini daima wanafunzi wangemrejelea kwa vyeo vya kibinadamu kama vile mtumishi na Kristo wa Mungu, na mara kwa mara watumie jina la cheo Mungu kwa yule aliyemfufua Yesu?

Je, waliogopa wanadamu? Hapana! Walihubiri kweli kwa ujasiri bila kuogopa kufungwa au kuuawa. Walipokabiliwa na upinzani kutoka kwa wenye mamlaka, Petro alisema:

“Imetupasa kumtii Mungu kuliko wanadamu! Mungu wa baba zetu alimfufua Yesu...” (Matendo 5:29-30).

Je, walikuwa wamepungukiwa na Roho Mtakatifu? Hapana! Waliungwa mkono na Roho Mtakatifu (angalia Matendo 2:3, 4:8, na 5:32).

Walikuwa wakifundisha tu yale waliyokuwa wamejifunza kutoka kwa Yesu—kwamba Yesu hakuwa Mungu bali, mtumishi wa Mungu na Kristo.

Quran inathibitisha kwamba Yesu alikuwa Masihi (Kristo), na kwamba alikuwa mtumishi wa Mungu (angalia Quran Tukufu 3:45 na 19:30).















Waislamu huwa mnachekesha , Yani hafs mnamuita muongo alafu Koran mnasema ndio kasema kweli ,ila Hadith zake zote mmezikataa
 
Punguza copy paste , soma unaposoma andika kwa ufupi sio unachukua desa kama lilivyo unapachika humu

ndiyo ushahidi wako huo wa kuruhusiwa ukristo kuenea ulimwenguni ???
 
Wacheni kudanganyana, someni Biblia...

Mathayo 7:
21 Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.
22 Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi?
23 Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.
takbiriii allah wakubhal ,faidha ameokoka anampenda Yesu
 
Waislamu huwa mnachekesha , Yani hafs mnamuita muongo alafu Koran mnasema ndio kasema kweli ,ila Hadith zake zote mmezikataa
Ushahidi wako huo kuwa luka ni mwanafunzi wa Yesu ??
 
Katika hali ya kustaajabisha mwanzoni mwa mwaka 2012, nyumbani kwetu tuliingia vita ya kiroho kati yetu sisi na jirani aliye kua mganga wa kienyeji (R.I.P)

Yule mganga ilifika kipindi akamtupia pepo la uchizi dada angu awali katika kustaajabu hali kama ile tulianza kwenda hospital kujua hali yake ki afya kama amepatwa na maralia kali au kuna kingine, tulimkuta ana maralia ringi 15 akatumia sindano ya dozi lakini hakutengemaa.

Tuliona ile vita si ugonjwa wa maralia ikabidi tumfanyie maombi maarumu kanisani alikaa siku tatu pale kanisani yale mapepo machafu yalimtoka na kawa safi mpaka leo.

Baada ya mwaka mmoja vita ikarud kwa mama hii haikudumu sana. Naye pia alirushiwa pepo la uchizi akawa anacheka cheka tu kwakua tayari iliwahi kutokea kwa sister tuliingia moja kwa moja kwenye maombi tukitumia mamlaka tuliyo pewa na Mungu kupitia jina la Yesu kristo tukafurumisha mapepo wachafu wakatajana mpka walio watuma wakaondoka.


Miezi michache mbele yule mganga alianza kuugua ugonjwa ambao ulisababisha kifo chake.

Hakika Yesu ni Mkuu alitutendea Makuu bila gharama yoyote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hallelujah
 
Back
Top Bottom