Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Kutokana na kuipenda sana club iliokuwa inatesa ligi kuu ya German a.k.a Bundesliga club ya Borrusia Dortmund (BvB) wadhamini wao wakubwa ndio jina nalotumia, ila now sifuatilii tena ligi ya German baada ya Bayern kutawala ligi zaidi misimu 7 mfululizo.
 
Hujakosea kabisa. Bibi yake alikuwa girlfriend wangu. Tulimtimua mama yake mwaka 1989 alipopata ujauzito akiwa sekondari.
So ni binti ako ?

Hivi kwa nini ulijiita aspirini

Dawa ya warembo sio ? [emoji1][emoji28][emoji16]
 
So ni binti ako ?

Hivi kwa nini ulijiita aspirini

Dawa ya warembo sio ? [emoji1][emoji28][emoji16]
Dawa ya kutuliza maumivu ya warembo... nyie waumizeni kina mama Swalehe mimi nawaondolea maumivu. Maumivu yakizidi wanamwona daktari mkuu aliye juu
 
Mimi langu lilitokana na yale mapanga boy yetu yenye mabenchi ndani[emoji2089]
 
So ni binti ako ?

Hivi kwa nini ulijiita aspirini

Dawa ya warembo sio ? [emoji1][emoji28][emoji16]
Dawa ya kutuliza maumivu ya warembo... nyie waumizeni kina mama Swalehe mimi nawaondolea maumivu. Maumivu yakizidi wanamwona daktari mkuu aliye juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…