Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Nimefanyaje mimi babu yako mpenzi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] babu bhana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimefanyaje mimi babu yako mpenzi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] babu bhana
Aisee
Pole
Kuna uzi Kama huu ulishawahi letwa hapa jukwaani ..na katika wote waliotoa maana ya majina yao la kwako ndio nimekariri Hadi sasaNahisi kama hii topic ilishapita, sina kumbukumbu kama nilijibu kwa ID hii au zile zingine.
Ngoja nitafute kwanza nisichanganye madesa.
BTW, I hope you are okay.
Haya Basi kaendelee kubwiaPole kwani Mimi mgonjwa? Ngoja niziitikie tu haya asante
Umenifurahisha na hiyo comment kumuhusu Bibi..babu uachage vituko banaNimefanyaje mimi babu yako mpenzi?
Ila lile jingine nililielewa zaidi kuliko hili..na ile Avatar yako[emoji3][emoji3].Kaboom njoo utoe tafsiri ya hili jina langu.
[emoji1787][emoji1787] mate siaminiWewe kama mimi
Mate amini bwana, sio kwamba halina maana....lina maana ila haihusiani kivyovyote na mimi[emoji1787][emoji1787] mate siamini
Hupendi nikufurahishe?Umenifurahisha na hiyo comment kumuhusu Bibi..babu uachage vituko bana
Kuna uzi Kama huu ulishawahi letwa hapa jukwaani ..na katika wote waliotoa maana ya majina yao la kwako ndio nimekariri Hadi sasa
Na wewe rudia ile yako nibarikiwe mpaka leo nisiende msalani.Ila lile jingine nililielewa zaidi kuliko hili..na ile Avatar yako[emoji3][emoji3].
I wish ulirudie lile.
Bora uritaye uondoe msongamano kwa wachuchuYes, nakumbuka kitu hicho. Humu thread zinajirudia, wakati mwingine ni kwa faida ya wageni pia. Sema kipindi hiki nakaribia ku-retire JF.
Why wataka retire mkuu?Yes, nakumbuka kitu hicho. Humu thread zinajirudia, wakati mwingine ni kwa faida ya wageni pia. Sema kipindi hiki nakaribia ku-retire JF.
[emoji1787][emoji1787] napenda Uendelee kunifurahisha BabuHupendi nikufurahishe?
Umelipatia mkuu.Umenikumbusha avenger endgame mkuu jina lake halisi anaitwa Robert Downey Jr sjui kama nmelipatia vzr
Sawa mate..kwema lakiniMate amini bwana, sio kwamba halina maana....lina maana ila haihusiani kivyovyote na mimi