Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

GENTAMYCINE Dawa Kabambe ya Kutibu...

1. Magonjwa Sugu na Fangasi zote tu

2. Kutibu Upumbavu Uliomtukuka Mtu

3. Kukuongezea Akili ambazo hauna

4. Kiboko ya Wanafiki na Wachokozi JF

5. Upweke kwa kukupa Furaha kila 27/4

6. Kupotea kwa Kumbukumbu Kichwani

7. Magonjwa yote yatokanayo na Zinaa
Huna lolote.
 
GENTAMYCINE Dawa Kabambe ya Kutibu...

1. Magonjwa Sugu na Fangasi zote tu

2. Kutibu Upumbavu Uliomtukuka Mtu

3. Kukuongezea Akili ambazo hauna

4. Kiboko ya Wanafiki na Wachokozi JF

5. Upweke kwa kukupa Furaha kila 27/4

6. Kupotea kwa Kumbukumbu Kichwani

7. Magonjwa yote yatokanayo na Zinaa
Mkuu napenda vile unavyowahi ku-jam
Huwa nacheka sn unavyowaporomoshea matusi
 
GENTAMYCINE Dawa Kabambe ya Kutibu...

1. Magonjwa Sugu na Fangasi zote tu

2. Kutibu Upumbavu Uliomtukuka Mtu

3. Kukuongezea Akili ambazo hauna

4. Kiboko ya Wanafiki na Wachokozi JF

5. Upweke kwa kukupa Furaha kila 27/4

6. Kupotea kwa Kumbukumbu Kichwani

7. Magonjwa yote yatokanayo na Zinaa
we popoma mbona Umesahau kutaja ugonjwa wako wa akili?
 
Hili jina nilipewa na rafiki yangu nilikutana naye chuga, nikalipenda tangia siku hiyo likastick kwa kichwa.

Nilipojiunga JF nikaona ndio sehemu rasmi ya kulitumia. Kama yupo huku anaweza kuconnect dots as tumepotezana kwa muda kidogo
Nilikuwa nakutafuta sana tangu tuachane ni muda mrefu hebu njoo PM.
 
GENTAMYCINE Dawa Kabambe ya Kutibu...

1. Magonjwa Sugu na Fangasi zote tu

2. Kutibu Upumbavu Uliomtukuka Mtu

3. Kukuongezea Akili ambazo hauna

4. Kiboko ya Wanafiki na Wachokozi JF

5. Upweke kwa kukupa Furaha kila 27/4

6. Kupotea kwa Kumbukumbu Kichwani

7. Magonjwa yote yatokanayo na Zinaa
Haha..
Genta kuna watu unawapaga furaha serious kabisa.??
I wonder walaqhi'..!
 
Back
Top Bottom