Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
My Sons Legacy ili linaweza kuwa jina bora humu jf..kwa upande wangu lakn.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si useme tuSophy nipe namba yako nikueleweshe
My Sons Legacy ili linaweza kuwa jina bora humu jf..kwa upande wangu lakn.
Huna lolote.Dah....mie langu ni la Kifilisti [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960]
Washaanza uchawi😅Acha kuniletea gundu mzee
Itapendeza tukiwa tunaongeaSi useme tu
Huna lolote.GENTAMYCINE Dawa Kabambe ya Kutibu...
1. Magonjwa Sugu na Fangasi zote tu
2. Kutibu Upumbavu Uliomtukuka Mtu
3. Kukuongezea Akili ambazo hauna
4. Kiboko ya Wanafiki na Wachokozi JF
5. Upweke kwa kukupa Furaha kila 27/4
6. Kupotea kwa Kumbukumbu Kichwani
7. Magonjwa yote yatokanayo na Zinaa
Mkuu napenda vile unavyowahi ku-jamGENTAMYCINE Dawa Kabambe ya Kutibu...
1. Magonjwa Sugu na Fangasi zote tu
2. Kutibu Upumbavu Uliomtukuka Mtu
3. Kukuongezea Akili ambazo hauna
4. Kiboko ya Wanafiki na Wachokozi JF
5. Upweke kwa kukupa Furaha kila 27/4
6. Kupotea kwa Kumbukumbu Kichwani
7. Magonjwa yote yatokanayo na Zinaa
we popoma mbona Umesahau kutaja ugonjwa wako wa akili?GENTAMYCINE Dawa Kabambe ya Kutibu...
1. Magonjwa Sugu na Fangasi zote tu
2. Kutibu Upumbavu Uliomtukuka Mtu
3. Kukuongezea Akili ambazo hauna
4. Kiboko ya Wanafiki na Wachokozi JF
5. Upweke kwa kukupa Furaha kila 27/4
6. Kupotea kwa Kumbukumbu Kichwani
7. Magonjwa yote yatokanayo na Zinaa
Nilikuwa nakutafuta sana tangu tuachane ni muda mrefu hebu njoo PM.Hili jina nilipewa na rafiki yangu nilikutana naye chuga, nikalipenda tangia siku hiyo likastick kwa kichwa.
Nilipojiunga JF nikaona ndio sehemu rasmi ya kulitumia. Kama yupo huku anaweza kuconnect dots as tumepotezana kwa muda kidogo
Haha..GENTAMYCINE Dawa Kabambe ya Kutibu...
1. Magonjwa Sugu na Fangasi zote tu
2. Kutibu Upumbavu Uliomtukuka Mtu
3. Kukuongezea Akili ambazo hauna
4. Kiboko ya Wanafiki na Wachokozi JF
5. Upweke kwa kukupa Furaha kila 27/4
6. Kupotea kwa Kumbukumbu Kichwani
7. Magonjwa yote yatokanayo na Zinaa
Hapana, yule namfahamu roho yake ni nzuri😂Nilikuwa nakutafuta sana tangu tuachane ni muda mrefu hebu njoo PM.