Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Nimejaribu kuvumilia nimeshindwa! Kuna majina huwa yananitafakarisha sana! Kila ninaposoma nyuzi za baadhi ya watu huwa najikuta nalitazama jina la muhusika na kuzama katika lindi la mawazo nikitafakari lina maana gani?

Hivi kwa mfano wewe Imeloa, una maana gani kujipa hilo jina? Ni nini hiyo iliyoloa? Kuna huyu Bwana Utamu nk. Majina yenu kwa kweli huwa yananifanya niwaze na kuwazua. Naomba mtushirikishe maana hasa ya kujiita mlivyoamua kujiita.

Jina lako lina maana yoyote? Tushirikishe tafadhali kwa nini umejipa jina hilo?

Kwangu mimi Elisha ni jina la meanangu. Wewe je? Hebu twende kazi! Kwa nini umejiita ulivyojiita? Hii ni kwa wote tafadhali siyo tu kwa ndugu Imeloa!

Ahsante
GENTAMYCINE Dawa Kabambe ya Kutibu...

1. Magonjwa Sugu na Fangasi zote tu

2. Kutibu Upumbavu Uliomtukuka Mtu

3. Kukuongezea Akili ambazo hauna

4. Kiboko ya Wanafiki na Wachokozi JF

5. Upweke kwa kukupa Furaha kila 27/4

6. Kupotea kwa Kumbukumbu Kichwani

7. Magonjwa yote yatokanayo na Zinaa
 
Mbna zero Zero IQ Alisha let's Uzi wa namna[emoji41] hi

Mim Langu nilikua nakazia Jambo lakipuuzi kutokufanyika bas jamaa yule akasema huyu jamaa Ni goroko kweli yaani

Yaaan mtu mtata kiarachuga zaid
 
Thankyu but i would like to know lenie?
Hili jina nilipewa na rafiki yangu nilikutana naye chuga, nikalipenda tangia siku hiyo likastick kwa kichwa.

Nilipojiunga JF nikaona ndio sehemu rasmi ya kulitumia. Kama yupo huku anaweza kuconnect dots as tumepotezana kwa muda kidogo
 
Back
Top Bottom