Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
I like itDebora Paul Laswai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I like itDebora Paul Laswai
Mzee wa ban😊Pmoja sana mkuu
Acha kuniletea gundu mzeeMzee wa ban😊
Njoo Pm nikuelekeze maana yake vizuri.Hiv mbususu ni nini?? Sijui maana pia nimeiona Mara kadhaa
GENTAMYCINE Dawa Kabambe ya Kutibu...Nimejaribu kuvumilia nimeshindwa! Kuna majina huwa yananitafakarisha sana! Kila ninaposoma nyuzi za baadhi ya watu huwa najikuta nalitazama jina la muhusika na kuzama katika lindi la mawazo nikitafakari lina maana gani?
Hivi kwa mfano wewe Imeloa, una maana gani kujipa hilo jina? Ni nini hiyo iliyoloa? Kuna huyu Bwana Utamu nk. Majina yenu kwa kweli huwa yananifanya niwaze na kuwazua. Naomba mtushirikishe maana hasa ya kujiita mlivyoamua kujiita.
Jina lako lina maana yoyote? Tushirikishe tafadhali kwa nini umejipa jina hilo?
Kwangu mimi Elisha ni jina la meanangu. Wewe je? Hebu twende kazi! Kwa nini umejiita ulivyojiita? Hii ni kwa wote tafadhali siyo tu kwa ndugu Imeloa!
Ahsante
Naambiwaga nina tabia nzuri kila napoishi nimeona nijiite tu roho mtakatifu
🤣🤣🤣🤣Unahakikisha unafanya kila kitu ili muda ukukute tvt..😂😂Pangako sayo 🤣🤣 kitambo sanaa
Hili jina nilipewa na rafiki yangu nilikutana naye chuga, nikalipenda tangia siku hiyo likastick kwa kichwa.Thankyu but i would like to know lenie?
Pm Tena jamnNjoo Pm nikuelekeze maana yake vizuri.
Sophy nipe namba yako nikuelewesheHiv mbususu ni nini?? Sijui maana pia nimeiona Mara kadhaa
jina langu ni scientific name ya mbwa mwitu. kuna huyu miminimkulimaakachekasana