😆😆😆😆ila hakikisha unatuma salamu saaana ili hata mkiachana akukumbuke😘Nimetulizwa tuliii😋....ngoja niachwe sasa....mbona mtajuta wanajf wote utadhani nyie ndo mliniambia mpee hicho kitumbua🤭🤣🤣🤣🤣🙌
Unataka myajengeUko penzini huba hubani
🤣🤣🤣We acha kunipanga bhana🤒kuna mtu nilisoma naye ana ubini wa Yeyeye
Ni kweli wema hudumu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]ila hakikisha unatuma salamu saaana ili hata mkiachana akukumbuke
Ifyouknowyouknow
🤭Nitalia mie sikuhiyo maana kaniweza....🥴🙆🤸🤸🤸🤸🤣🤣🙌😆😆😆😆ila hakikisha unatuma salamu saaana ili hata mkiachana akukumbuke
Ifyouknowyouknow
😳Wema upi mkuu?Ni kweli wema hudumu
Sikupangi ila YEYEYE ilikuwa sir name yake sina maana kuwa ni ww[emoji1787][emoji1787][emoji1787]We acha kunipanga bhana[emoji855]
Yaa ni kweli ukitumia jina ambalo tyr limesajiliwa JF halikubali mpaka liwe jipyaMimi kila nikusain in google kwa jina langu ikawa inakataa, nikaamua first name niandike alu halafu last name bati ,nilipokuja kujiunga jf ikaja neno alubati basi nikatumia hilo,halina maana yoyote.
🤣🤣Sawa chaupole...maana ulivyonijibu...so calmlySikupangi ila YEYEYE ilikuwa sir name yake sina maana kuwa ni ww
ID yako ya mwanzo ilikua ipi hiyo?Langu ni langu la ukooo kwa ya lugha ya watu
Nimeconvert Id yangu ya nwanzo ndo nikapata hili 😀😀😀
Majina humu yanachekesha na kufikirisha sanaUnalilia majina ya jf umekuwa mpwayungu village?
mahindi hayaoti mjiniMajina humu yanachekesha na kufikirisha sana
Huyo Shimba ya Buyenze atakuwa kakuingia moyoni tayari amekaa zake huko ndani kwako tulii, we hujui,haiwezekani awe anapop kichwani mwako😁😁😁Shimba ya Buyenze what the meaning ya hilo jina kuna muda huwa linapop kichwan kwangu 🤣🤣🤣