Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

[emoji23] halafu unajua jina la kwanza la putin sijui kulitamka ,,hebu niandikie vile hutamkwa utasaidia wengi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] asee usinambie km ulishafanya zoezi lakutamka nabado ukashindwa !!!.

Vladi-mirovich =Vlu-dee-meerovich aya jaribu kutamka uku ukirekod usikilize ,utaituma Wasap nikusahihishe !!.
 
Wanabodi,
Samahani kama nitakuwa nimechelewa kutoa jibu ila hakuna haraka Afrika,
Maana ya ID yangu ni jina la Jemedari wa vita mmoja anayejulikana zaidi kwa jina la Joshua Mwana wa Nuni,
Kiufupi amenipa hamasa pindi nilipomsoma na kufahamu ushupavu wake thabiti katika uwanja wa vita na pia katika kumtumaini Muumba.
 
Ileje ni jina la mlima mrefu maarufu unaoitambulisha Wilaya iliyoko Mkoani Songwe! Moja ya sifa ya wilaya hii ni kuwa ni wilaya pekee nchini Tanzania inayopakana na nchi mbili; Malawi na Zambia na kwa mipaka aina mbili tofauti yaani mto Songwe na safu ya milima.

Mto Songwe unafanya sehemu moja ya mpaka baina ya Tanzania na Malawi na sehemu nyingine ya mpaka ni safu ya milima ambayo pia inafanya mpaka baina ya Tanzania na Zambia.

Ileje pamoja na udogo wake wa eneo ni makutano ya makabila matano; Walambya, Wanyiha, Wamalila, Wandali na Wanyakyusa. Hivyo Ileje ni wilaya iliyo na tamaduni tofauti.
 
Ileje ni jina la mlima mrefu maarufu unaoitambulisha Wilaya iliyoko Mkoani Songwe! Moja ya sifa ya wilaya hii ni kuwa ni wilaya pekee nchini Tanzania inayopakana na nchi mbili; Malawi na Zambia na kwa mipaka aina mbili totauti yaani mto Songwe na safu ya milima.

Mto Songwe unafanya sehemu moja ya mpaka baina ya Tanzania na Malawi na sehemu nyingine ya mpaka ni safu ya milima ambayo pia inafanya mpaka baina ya Tanzania na Zambia.

Ileje pamoja na udogo wake wa eneo ni makutano ya makabila matano; Walambya, Wanyiha, Wamalila, Wandali na Wanyakyusa. Hivyo Ileje ni wilaya iliyo na tamaduni tofauti.
Mkuu chukua kinywaji nakuja kulipa
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Ofkozi mm Davinci nimelitoa kwa most genius of all times Leonardo da Vinci coz napenda niwe mjuzi wa vitu vingi kama yeye...He is my role model
Pia ni jina la Television channel nayoipenda sana inaitwa Da Vinci Learning ipo Startimes
 
Wanabodi,
Samahani kama nitakuwa nimechelewa kutoa jibu ila hakuna haraka Afrika,
Maana ya ID yangu ni jina la Jemedari wa vita mmoja anayejulikana zaidi kwa jina la Joshua Mwana wa Nuni,
Kiufupi amenipa hamasa pindi nilipomsoma na kufahamu ushupavu wake thabiti katika uwanja wa vita na pia katika kumtumaini Muumba.
Nipe maelezo yake nami nimfahàmu kiuñdani
 
Habr wakuu

Inafahamika 90% member wa jf tunatumia fake ID Moja wapo mimi

Kama kichwa cha hbar hapo juu dondosha maana ya id yako hapo chini
nikianzia mwenywe

Machmadem kwa maana
Mabwawa yasiyo na idadi
 
MJUKUU WA CHIFU
Maana ya hili jina ni kuwa Babu yangu aliwahi kuwa Chifu huko kwenye milki za huko IFAKARA anaitwa KANUNGILA so sio mbaya mimi kuitwa MJUKUU WA CHIFU.
Pia babu yangu alipigana vita nyingi na kushinda tangu karne ya 15 mpaka karne ya 19 alipofariki akiwa na miaka 996 ambapo aliivamia Ifakara,Malinyi,Ulanga na Kilombero na kuiweza kuitawala lakini asili yetu sisi ni watu wa huko Senegal.
PUMZIKA KWA AMANI BABU YANGU
 
Back
Top Bottom